JINSI NABII IDRISSA ALIVYOGOMA KUTOKA PEPONI - SHEIKH OTHMAN MICHAEL
Жүктеу.....
Пікірлер: 61
@aminamichael17064 жыл бұрын
shukran shekh nakupenda sana kwa ajili ya allah my brother
@fatimahussen32344 жыл бұрын
Mashaallah shekhe kuvuzi kwake anakufahamisha ,mawaidha mpaka ukaelewa ,,Allah akuhifadhi
@salimummy8524 жыл бұрын
Shekh nakupenda sana kiasi ambacho nahitaj kuwa mwanafunzi wako kwakuwa ukiishakumaliza tu na Mimi nakwenda kuwasimulia rafiki zangu ila wakwanza ni Mke Wang..IN SHAA ALLAH ipo siku ntakufuata
@TeamKRX
4 жыл бұрын
Fanya ivyo
@khamisramadhan51334 жыл бұрын
Ma Sha Allah... Una fasaha Allah akuongezee Elimu zaidi tufaidi katka Elimu🙏🙏🙏
@aliidrisahmadhuvavaruu4918
3 жыл бұрын
masha Allah Naomba majibu waziwazi
@aljalilatiba98734 жыл бұрын
Mashallah shekh yupo vizur kwa mawaidha Mwenyewezi mungu akujaaliye elimu na hekima zaidi ya hapo
@umuhemd4908 Жыл бұрын
Shekh masha allah unanifurahisha kweli ukitowa mawaidhaa
@francinensavyimana56014 жыл бұрын
Masha Allah unatufafanuliyaga fresh
@majdimpaka10799 ай бұрын
Maalim mungu akuweke kwa mawaidha yako mazuri
@jasminyiddysulaiman98074 жыл бұрын
Maashallah tabaraqarahman wallah nakupenda kwa ajil ya Allah
@aliidrisahmadhuvavaruu4918
3 жыл бұрын
mm Nataka pesa sikukataa kazi
@abdullahhashimu23804 жыл бұрын
Maa sha Allah kisa kizuri na nimejifundisha
@faizasaid82624 жыл бұрын
Mashallah shukuran
@mamanabdoul4397 Жыл бұрын
MAA SHAA ALLAH.Jazza kAllahu khayri
@saidmsuya94204 жыл бұрын
MashAllah
@bellbell92944 жыл бұрын
Maashaa Allah sheikh Allah akubariki Sana
@saeedsaeed73814 жыл бұрын
Masha Allah sheikh Authuman umechambua vizuri sana mungu akupe umry mwema Ameen yarab
@samanthaali8734 жыл бұрын
Subhna Allah
@saidalsalmi93132 жыл бұрын
Siwezi kutafautisha Sh Othman Michael na Sh. OTHMAN MAALIM, wanafanana vitu vingi.
@zainabuzainabu43724 жыл бұрын
Mashaallah sheikh
@rashidysullyman65163 жыл бұрын
Mashaallah shekhe nampenda sana hakika mawaiza yake ni swadakta haswa na allah amjalie ampe uzima na umri mrefu aendelee kutupa vitu vitam na allah amzidishie upeo mkubwa wa kutoa mawaiza inshaallah 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
@muhammadahmedaliyyu38544 жыл бұрын
WA alaykum salam warahmaturah wabarakatuh
@salmaalkyumi22704 жыл бұрын
Salallahu alaihi wasalam 💘
@korirelias32724 жыл бұрын
ahsante sheikh, othman
@inabikorwaneema88154 жыл бұрын
Walaikum salaam warahmatullah wabarakatuh
@batulisalumidrisa95884 жыл бұрын
JazakaAllah lkheir sheikh Othman
@hanunarashid46774 жыл бұрын
Alhamdulilah tumefata faida Jazaka Allah kheir
@aliidrisahmadhuvavaruu4918
3 жыл бұрын
Kitisho sinitie kabisa unipe pesa aokataa
@fatumaramadhanmashaallahal99664 жыл бұрын
Shukran wajazaka llahu heri
@afric013 жыл бұрын
Mashaaa Allah!!! Darsa na kiswa kizuri sana. Allah atupeleke na sisi peponi. Wivu ndio mapenzi. Allah akupeleke pepo firdaus Sheikh wetu.
@aliidrisahmadhuvavaruu4918
3 жыл бұрын
Assalamaleyhi warahmatullahi
@djumanjike3256 Жыл бұрын
aslmlkm ustadhuwangu allahu akulipe kheri dunia na akhera
@HABIBULLAH-nd9ft4 жыл бұрын
Sub han Allah wal hamdulillah wa laa ilaha ila allah Allah Akbar.
@jamilamanariyojamila14873 жыл бұрын
Manshallah sisiwot wazuri
@mussaboy33793 жыл бұрын
Mashallah
@mwaamwetahussain99474 жыл бұрын
Mmmh makubwa shekh
@user-ll4rz8ug1g4 жыл бұрын
Maashaallah shukran kwa mawaidha allah akulipe kheri inshaallah
@mwanaishayusuf9968
4 жыл бұрын
mashaallh. shukran.
@salumswaibu9965
4 жыл бұрын
Allah akuogoze
@aishaibrahim56073 жыл бұрын
😍😍😍😍😍😍
@faizasaid82624 жыл бұрын
Uwiii😁
@rukiaalfa63384 жыл бұрын
nakupenda
@aishaibrahim56073 жыл бұрын
Shekhe unanini lkn apo zoazoa🤣🤣🤣ila napenda sana mawaiza yko allah akupe umri mrefu tupate kuelimika
@aliidrisahmadhuvavaruu49183 жыл бұрын
Assalam aleykum warahmatullahi
@medicalphysicsbiomedicalen17074 жыл бұрын
MashaaAllah
@aliidrisahmadhuvavaruu49183 жыл бұрын
Assalam aleykum
@azizamerere9859 Жыл бұрын
Jmn ndgu Zang ktk Imani ni kwel nabii Idris aliacha kiatu peponi?
@aliidrisahmadhuvavaruu49183 жыл бұрын
Na channel yangu musitumie
@inabikorwaneema88154 жыл бұрын
Mashaa Allah. Ssa NABII IDRISSA alienda peponi bila kufa?
@hasanhaji8714
4 жыл бұрын
Wwe mawaidha hukuyasikiliza vilivyo kutokana na swali lako rejea tena utaeleawa vizuri
@inabikorwaneema8815
4 жыл бұрын
@@hasanhaji8714Naam niliskia kma alipo fika mbingu ya inne izrail acukuwa roho yake. Alafu alifka peponi akaambia arudi nyuma akakataa ssa njo ilikua moja kwa moja kifo cake? Samahani kwa usumbufu 👏👏👏
@hasanhaji8714
4 жыл бұрын
Baada ya kufa alipelekwa peponi kiroho na sio kimwili, yupo mbingu ya 4 ila kiroho yupo peponi hta ktk safari ya Miraj Mtume (saw) aliwaona mitume wte ktk mbingu tafauti na yye alimtaja kuw yupo hpo. Ukiw mja mwema unastarehe peponi kiroho na kaburini kinabakia kiwiliwili na ukiwa mbaya against yke
@inabikorwaneema8815
4 жыл бұрын
@@hasanhaji8714 Barak'Allahu fiiQ
@ashuraashura8824 жыл бұрын
Tunaomba utupe kisa ca nabiyulah yusuf
@hamismalimungu99594 жыл бұрын
Shekh nasikia kuna hadithi zinasema kuwa picha ni haram
@bynstudio417
4 жыл бұрын
Shekhee mungu akujalye mawadha mazuri Taafadhali.tunaomba utuweke kwenye flash hata mgeni akija kuliko kuangalia vitu vya ajabu ajabu unaweka hadithi kama hivi tujifnza na nifada kwa vizazi vyetu
@aliidrisahmadhuvavaruu49183 жыл бұрын
Assalam aleykum
@aliidrisahmadhuvavaruu4918
3 жыл бұрын
Kuanzia Leo mm siko katika kazi yako ujuwe huwezi kuniua Allah ndie auwae
Пікірлер: 61
shukran shekh nakupenda sana kwa ajili ya allah my brother
Mashaallah shekhe kuvuzi kwake anakufahamisha ,mawaidha mpaka ukaelewa ,,Allah akuhifadhi
Shekh nakupenda sana kiasi ambacho nahitaj kuwa mwanafunzi wako kwakuwa ukiishakumaliza tu na Mimi nakwenda kuwasimulia rafiki zangu ila wakwanza ni Mke Wang..IN SHAA ALLAH ipo siku ntakufuata
@TeamKRX
4 жыл бұрын
Fanya ivyo
Ma Sha Allah... Una fasaha Allah akuongezee Elimu zaidi tufaidi katka Elimu🙏🙏🙏
@aliidrisahmadhuvavaruu4918
3 жыл бұрын
masha Allah Naomba majibu waziwazi
Mashallah shekh yupo vizur kwa mawaidha Mwenyewezi mungu akujaaliye elimu na hekima zaidi ya hapo
Shekh masha allah unanifurahisha kweli ukitowa mawaidhaa
Masha Allah unatufafanuliyaga fresh
Maalim mungu akuweke kwa mawaidha yako mazuri
Maashallah tabaraqarahman wallah nakupenda kwa ajil ya Allah
@aliidrisahmadhuvavaruu4918
3 жыл бұрын
mm Nataka pesa sikukataa kazi
Maa sha Allah kisa kizuri na nimejifundisha
Mashallah shukuran
MAA SHAA ALLAH.Jazza kAllahu khayri
MashAllah
Maashaa Allah sheikh Allah akubariki Sana
Masha Allah sheikh Authuman umechambua vizuri sana mungu akupe umry mwema Ameen yarab
Subhna Allah
Siwezi kutafautisha Sh Othman Michael na Sh. OTHMAN MAALIM, wanafanana vitu vingi.
Mashaallah sheikh
Mashaallah shekhe nampenda sana hakika mawaiza yake ni swadakta haswa na allah amjalie ampe uzima na umri mrefu aendelee kutupa vitu vitam na allah amzidishie upeo mkubwa wa kutoa mawaiza inshaallah 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
WA alaykum salam warahmaturah wabarakatuh
Salallahu alaihi wasalam 💘
ahsante sheikh, othman
Walaikum salaam warahmatullah wabarakatuh
JazakaAllah lkheir sheikh Othman
Alhamdulilah tumefata faida Jazaka Allah kheir
@aliidrisahmadhuvavaruu4918
3 жыл бұрын
Kitisho sinitie kabisa unipe pesa aokataa
Shukran wajazaka llahu heri
Mashaaa Allah!!! Darsa na kiswa kizuri sana. Allah atupeleke na sisi peponi. Wivu ndio mapenzi. Allah akupeleke pepo firdaus Sheikh wetu.
@aliidrisahmadhuvavaruu4918
3 жыл бұрын
Assalamaleyhi warahmatullahi
aslmlkm ustadhuwangu allahu akulipe kheri dunia na akhera
Sub han Allah wal hamdulillah wa laa ilaha ila allah Allah Akbar.
Manshallah sisiwot wazuri
Mashallah
Mmmh makubwa shekh
Maashaallah shukran kwa mawaidha allah akulipe kheri inshaallah
@mwanaishayusuf9968
4 жыл бұрын
mashaallh. shukran.
@salumswaibu9965
4 жыл бұрын
Allah akuogoze
😍😍😍😍😍😍
Uwiii😁
nakupenda
Shekhe unanini lkn apo zoazoa🤣🤣🤣ila napenda sana mawaiza yko allah akupe umri mrefu tupate kuelimika
Assalam aleykum warahmatullahi
MashaaAllah
Assalam aleykum
Jmn ndgu Zang ktk Imani ni kwel nabii Idris aliacha kiatu peponi?
Na channel yangu musitumie
Mashaa Allah. Ssa NABII IDRISSA alienda peponi bila kufa?
@hasanhaji8714
4 жыл бұрын
Wwe mawaidha hukuyasikiliza vilivyo kutokana na swali lako rejea tena utaeleawa vizuri
@inabikorwaneema8815
4 жыл бұрын
@@hasanhaji8714Naam niliskia kma alipo fika mbingu ya inne izrail acukuwa roho yake. Alafu alifka peponi akaambia arudi nyuma akakataa ssa njo ilikua moja kwa moja kifo cake? Samahani kwa usumbufu 👏👏👏
@hasanhaji8714
4 жыл бұрын
Baada ya kufa alipelekwa peponi kiroho na sio kimwili, yupo mbingu ya 4 ila kiroho yupo peponi hta ktk safari ya Miraj Mtume (saw) aliwaona mitume wte ktk mbingu tafauti na yye alimtaja kuw yupo hpo. Ukiw mja mwema unastarehe peponi kiroho na kaburini kinabakia kiwiliwili na ukiwa mbaya against yke
@inabikorwaneema8815
4 жыл бұрын
@@hasanhaji8714 Barak'Allahu fiiQ
Tunaomba utupe kisa ca nabiyulah yusuf
Shekh nasikia kuna hadithi zinasema kuwa picha ni haram
@bynstudio417
4 жыл бұрын
Shekhee mungu akujalye mawadha mazuri Taafadhali.tunaomba utuweke kwenye flash hata mgeni akija kuliko kuangalia vitu vya ajabu ajabu unaweka hadithi kama hivi tujifnza na nifada kwa vizazi vyetu
Assalam aleykum
@aliidrisahmadhuvavaruu4918
3 жыл бұрын
Kuanzia Leo mm siko katika kazi yako ujuwe huwezi kuniua Allah ndie auwae
Assalam aleykum
@aliidrisahmadhuvavaruu4918
3 жыл бұрын
Aoniruhusu nifanye kazi namwengine