Jifunze namna ya kutengeneza sabuni ya kipande

#UJASIRIAMALI #SHULEYAMTAA

Пікірлер: 30

  • @munasaidi614
    @munasaidi6144 жыл бұрын

    Napenda darasa lako mama uko vizuri sana

  • @mercywanjiru4692
    @mercywanjiru46922 жыл бұрын

    Uko cawa

  • @RAMADHANKHAMIS
    @RAMADHANKHAMIS5 жыл бұрын

    Utaratibu haufahamiki vizuri! Ingawa umesisitiza, wewe mwenyewe hukuvaa glovu, miwani wala maski. Si mfano mzuri kwa mwalimu.

  • @RynlizzyTheBoss

    @RynlizzyTheBoss

    5 жыл бұрын

    RAMADHAN KHAMIS kwa kuwa yy ni mzoefu

  • @RAMADHANKHAMIS

    @RAMADHANKHAMIS

    5 жыл бұрын

    Hata hata hao wazoefu mwishowe hupata madhara.@@RynlizzyTheBoss

  • @ahmedrashed7138
    @ahmedrashed71382 жыл бұрын

    Asante mama

  • @lesthermulagha2030
    @lesthermulagha20305 жыл бұрын

    Asante sana kwa darasa, lakini umetuacha sana kwani sless hatujaona kipimo wa kuweka ila tumeona silcate tunaomba tuweke wazi

  • @MeshackNgaga
    @MeshackNgaga3 ай бұрын

    Baad ya kumimina hvy hatua inayofuat

  • @fasahaproductstv638
    @fasahaproductstv6383 жыл бұрын

    Ahsante mama ila sabun ina uwezkno mkubwa Wa kuwasha mn Haijapoa ime2mika cku hyo hyo baada ya kuandaliwa

  • @vansulez598
    @vansulez5984 жыл бұрын

    Mamba

  • @smayombatv1427
    @smayombatv14274 жыл бұрын

    Saf san mama

  • @bettymassanja881
    @bettymassanja8814 жыл бұрын

    Mimi nahitaji vipimo sahihi vya kila hitaji, tafadhali, kama yawezekana.

  • @fredykisanga2477
    @fredykisanga24774 жыл бұрын

    Hizi Rambo kwa sasa hazipo utatumia nini

  • @kallobenedicto2553
    @kallobenedicto25532 жыл бұрын

    Silicate unaweka kiasi gani au nikukadilia kulinganana wingi

  • @hildakalokola8551
    @hildakalokola85516 жыл бұрын

    Mnapatikana wapi?naomba nifundishe jinsi ya kukata Sabuni ya mche

  • @qayolulu4557
    @qayolulu45576 жыл бұрын

    HATUJAELEWA

  • @racheralex1329

    @racheralex1329

    4 жыл бұрын

    tumekuelewa xana

  • @bingwatv2100

    @bingwatv2100

    3 жыл бұрын

    Ww ndo haujaelewa

  • @maryjohnson7099
    @maryjohnson70994 жыл бұрын

    Hayo mashudu ndo ma nn

  • @ummyproductnatural4512
    @ummyproductnatural45123 жыл бұрын

    Kwenye mitqndao hii huwezi kusoma kitu kwa asilimia 100%, mimi nilijaribu kufuatilia nikachemka kila video huwa zinafinywafinywa kwa maslahi ya kibiashara wanajuwa tu lazima tu ukitaka utawafata ndio lengo kufundisha inbox sio public, mimi nishaamuwa kusomea na Alhamduli llaahi nishafuzu napika vizuri tu maa shaa Allah

  • @rayyaanali2521

    @rayyaanali2521

    2 жыл бұрын

    Assalam Alaikum. Ulisomea wapi dada. Mimi Niko Mombasa.

  • @loisewanjiku3974

    @loisewanjiku3974

    8 ай бұрын

    Ulisomea wapi

  • @ummyproductnatural4512

    @ummyproductnatural4512

    8 ай бұрын

    @@loisewanjiku3974 mimi nipo Zanzibar

  • @ummyproductnatural4512

    @ummyproductnatural4512

    8 ай бұрын

    @@rayyaanali2521 mimi nipo Zanzibar

  • @laurarashid9153
    @laurarashid91536 жыл бұрын

    Unaweza kutumia mafuta yoyote hata ya alizeti?

  • @swahiliacademy

    @swahiliacademy

    6 жыл бұрын

    Laura Rashid unaweza kutumia ila kwa mawasiliano zaidi piga simu namba hizi 0713 58 28 54

  • @rimamrisho6047

    @rimamrisho6047

    4 жыл бұрын

    Na hiko unachopima kwa kifuniko cha chipa ni kitu gan mama kinaitwaje my

  • @rimamrisho6047

    @rimamrisho6047

    4 жыл бұрын

    @@swahiliacademy nataka kujuwa kile alichopima kwa kifuniko cha chupa kinaitwaje

  • @mercywanjiru4692
    @mercywanjiru46922 жыл бұрын

    Kama uko Nairobi hizo bitha utanunua wapi

  • @mercywanjiru4692

    @mercywanjiru4692

    2 жыл бұрын

    Asante