Utaratibu haufahamiki vizuri! Ingawa umesisitiza, wewe mwenyewe hukuvaa glovu, miwani wala maski. Si mfano mzuri kwa mwalimu.
@RynlizzyTheBoss
5 жыл бұрын
RAMADHAN KHAMIS kwa kuwa yy ni mzoefu
@RAMADHANKHAMIS
5 жыл бұрын
Hata hata hao wazoefu mwishowe hupata madhara.@@RynlizzyTheBoss
@ahmedrashed71382 жыл бұрын
Asante mama
@lesthermulagha20305 жыл бұрын
Asante sana kwa darasa, lakini umetuacha sana kwani sless hatujaona kipimo wa kuweka ila tumeona silcate tunaomba tuweke wazi
@MeshackNgaga3 ай бұрын
Baad ya kumimina hvy hatua inayofuat
@fasahaproductstv6383 жыл бұрын
Ahsante mama ila sabun ina uwezkno mkubwa Wa kuwasha mn Haijapoa ime2mika cku hyo hyo baada ya kuandaliwa
@vansulez5984 жыл бұрын
Mamba
@smayombatv14274 жыл бұрын
Saf san mama
@bettymassanja8814 жыл бұрын
Mimi nahitaji vipimo sahihi vya kila hitaji, tafadhali, kama yawezekana.
@fredykisanga24774 жыл бұрын
Hizi Rambo kwa sasa hazipo utatumia nini
@kallobenedicto25532 жыл бұрын
Silicate unaweka kiasi gani au nikukadilia kulinganana wingi
@hildakalokola85516 жыл бұрын
Mnapatikana wapi?naomba nifundishe jinsi ya kukata Sabuni ya mche
@qayolulu45576 жыл бұрын
HATUJAELEWA
@racheralex1329
4 жыл бұрын
tumekuelewa xana
@bingwatv2100
3 жыл бұрын
Ww ndo haujaelewa
@maryjohnson70994 жыл бұрын
Hayo mashudu ndo ma nn
@ummyproductnatural45123 жыл бұрын
Kwenye mitqndao hii huwezi kusoma kitu kwa asilimia 100%, mimi nilijaribu kufuatilia nikachemka kila video huwa zinafinywafinywa kwa maslahi ya kibiashara wanajuwa tu lazima tu ukitaka utawafata ndio lengo kufundisha inbox sio public, mimi nishaamuwa kusomea na Alhamduli llaahi nishafuzu napika vizuri tu maa shaa Allah
@rayyaanali2521
2 жыл бұрын
Assalam Alaikum. Ulisomea wapi dada. Mimi Niko Mombasa.
@loisewanjiku3974
8 ай бұрын
Ulisomea wapi
@ummyproductnatural4512
8 ай бұрын
@@loisewanjiku3974 mimi nipo Zanzibar
@ummyproductnatural4512
8 ай бұрын
@@rayyaanali2521 mimi nipo Zanzibar
@laurarashid91536 жыл бұрын
Unaweza kutumia mafuta yoyote hata ya alizeti?
@swahiliacademy
6 жыл бұрын
Laura Rashid unaweza kutumia ila kwa mawasiliano zaidi piga simu namba hizi 0713 58 28 54
@rimamrisho6047
4 жыл бұрын
Na hiko unachopima kwa kifuniko cha chipa ni kitu gan mama kinaitwaje my
@rimamrisho6047
4 жыл бұрын
@@swahiliacademy nataka kujuwa kile alichopima kwa kifuniko cha chupa kinaitwaje
Пікірлер: 30
Napenda darasa lako mama uko vizuri sana
Uko cawa
Utaratibu haufahamiki vizuri! Ingawa umesisitiza, wewe mwenyewe hukuvaa glovu, miwani wala maski. Si mfano mzuri kwa mwalimu.
@RynlizzyTheBoss
5 жыл бұрын
RAMADHAN KHAMIS kwa kuwa yy ni mzoefu
@RAMADHANKHAMIS
5 жыл бұрын
Hata hata hao wazoefu mwishowe hupata madhara.@@RynlizzyTheBoss
Asante mama
Asante sana kwa darasa, lakini umetuacha sana kwani sless hatujaona kipimo wa kuweka ila tumeona silcate tunaomba tuweke wazi
Baad ya kumimina hvy hatua inayofuat
Ahsante mama ila sabun ina uwezkno mkubwa Wa kuwasha mn Haijapoa ime2mika cku hyo hyo baada ya kuandaliwa
Mamba
Saf san mama
Mimi nahitaji vipimo sahihi vya kila hitaji, tafadhali, kama yawezekana.
Hizi Rambo kwa sasa hazipo utatumia nini
Silicate unaweka kiasi gani au nikukadilia kulinganana wingi
Mnapatikana wapi?naomba nifundishe jinsi ya kukata Sabuni ya mche
HATUJAELEWA
@racheralex1329
4 жыл бұрын
tumekuelewa xana
@bingwatv2100
3 жыл бұрын
Ww ndo haujaelewa
Hayo mashudu ndo ma nn
Kwenye mitqndao hii huwezi kusoma kitu kwa asilimia 100%, mimi nilijaribu kufuatilia nikachemka kila video huwa zinafinywafinywa kwa maslahi ya kibiashara wanajuwa tu lazima tu ukitaka utawafata ndio lengo kufundisha inbox sio public, mimi nishaamuwa kusomea na Alhamduli llaahi nishafuzu napika vizuri tu maa shaa Allah
@rayyaanali2521
2 жыл бұрын
Assalam Alaikum. Ulisomea wapi dada. Mimi Niko Mombasa.
@loisewanjiku3974
8 ай бұрын
Ulisomea wapi
@ummyproductnatural4512
8 ай бұрын
@@loisewanjiku3974 mimi nipo Zanzibar
@ummyproductnatural4512
8 ай бұрын
@@rayyaanali2521 mimi nipo Zanzibar
Unaweza kutumia mafuta yoyote hata ya alizeti?
@swahiliacademy
6 жыл бұрын
Laura Rashid unaweza kutumia ila kwa mawasiliano zaidi piga simu namba hizi 0713 58 28 54
@rimamrisho6047
4 жыл бұрын
Na hiko unachopima kwa kifuniko cha chipa ni kitu gan mama kinaitwaje my
@rimamrisho6047
4 жыл бұрын
@@swahiliacademy nataka kujuwa kile alichopima kwa kifuniko cha chupa kinaitwaje
Kama uko Nairobi hizo bitha utanunua wapi
@mercywanjiru4692
2 жыл бұрын
Asante