No video

JEMEDALI AUCHAMBUA USAJILI WA KELVIN KIJILI/SIMBA WAMEKOSEA KUSAJILI WACHEZAJI WENGI?/MVP KIBAO?

Пікірлер: 68

  • @emmanuelmayunga1518
    @emmanuelmayunga151823 күн бұрын

    Tatizo la Aishi sio majeruh ni msaliti

  • @mkanjimamkanjimamkanjima2043
    @mkanjimamkanjimamkanjima204323 күн бұрын

    Tatizo aishi ni msariti kwa klub kwahiyo analipwa kile alicho kifanya kwa usariti

  • @bellenoe414

    @bellenoe414

    23 күн бұрын

    Mchezaji wake ndo maana inamuuma😂😂😂

  • @edwardmbonika5102
    @edwardmbonika510223 күн бұрын

    Aishi ulitochufanyia mechi ya prison mungu akubariki

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu86623 күн бұрын

    Mwache apate Adabu huyo jamaa aliuza Mechi na yanga clear kabisa

  • @clarencemeena1628
    @clarencemeena162823 күн бұрын

    Aishi alikuwa mchezaji muhimu sana ndani ya Timu lkn baadaye alijigeuza duka la utopolo

  • @shaameshaame2837
    @shaameshaame283723 күн бұрын

    Hilo ni somo kwa wachezaji mujue timu hazina fadhila punguzeni muhemko wa kusajili miaka mingi maana bongo mashabiki wakikuvisha kikoti cha usaliti na viongozi wanaburuzwa juu ya maamuz. Aishi fanya mazoez yako pumzka kama umebakia mwaka utaondoka na kibegi chako uende utakako lakn kama ulisain miaka 5 ukaiona simba ya maana ndo majibu yao hayo

  • @nkoydavid9658
    @nkoydavid965823 күн бұрын

    Tamaa za Aishi zimetuumiza sana wanaSimba mashabiki wengi hatuna imani nae tena.. viongozi wamwache aende tu au avunje mkataba yeye

  • @EzekiaMichael-jn5np
    @EzekiaMichael-jn5np23 күн бұрын

    Kumbe Said ni mnyama kamili

  • @fatherjaytz
    @fatherjaytz23 күн бұрын

    Duka la Mbangula magoli ya kise sana

  • @luindabablui7213
    @luindabablui721323 күн бұрын

    Leo mnaisema Simba vibaya msimu ukianza mtaanza kuisifia tena

  • @ramadhanimsangi9515
    @ramadhanimsangi951522 күн бұрын

    Aishi alikua duka,.kasahau heshima aliyopewa, akataka hela ya haraka, sasa aombe uwakala wa magodoro GSM

  • @erasmusleonidas6729
    @erasmusleonidas672923 күн бұрын

    Azam avunje mkataba wa Manula wampeleke tupate ela mambo yaishe

  • @abdallaselemani
    @abdallaselemani23 күн бұрын

    Kama anataka kuondoka avunje mkataba

  • @user-ok8wc7io9r
    @user-ok8wc7io9r23 күн бұрын

    Shida wametukatalia fei toto 😅😅😅😅😅😅😅

  • @jumannekimpundu4789
    @jumannekimpundu478923 күн бұрын

    Ni sawa mbona wao wamemzuia Feitoto?

  • @user-wl4yo4zp9t
    @user-wl4yo4zp9t23 күн бұрын

    Aende tu hata bila ya thank your mbona chama kaenda bila thank your?

  • @filbertkisauke5647
    @filbertkisauke564723 күн бұрын

    Watu wanaponda usajili wa simba Kwa sbb si Azam watoe pesa Sasa inakuwaje .

  • @samwelsilas629
    @samwelsilas62923 күн бұрын

    Azm watowe hela

  • @tatalyzer382
    @tatalyzer38222 күн бұрын

    1:49 mbona issues za Fei Toto na Yanga hukuacha watu au jamii iseme,uliongea mpaka povu lilikukauka mdomoni

  • @chriskudilla5355
    @chriskudilla535523 күн бұрын

    DUKA ILO alituuza vs Yanga

  • @bavonichristopha1693

    @bavonichristopha1693

    23 күн бұрын

    Ushaidi unao my brother mimi binafsi ni simba lakini ile mechi yetu na yanga viongozi wenyewe ndio waliofanya makosa ya kushinikiza kocha amchezesha manula na uku wakitambua fika manula katoka kwenye majeraha

  • @user-et3wx3mq8h
    @user-et3wx3mq8h23 күн бұрын

    Ashimanura kafanyavizurisanandaniyasimba rakinikatuumizasanawashabikiwasimba parearipopigwatano namtani kumbekapewahera kwahiyo hatumtakisimba aondoketu🐆🐆🐆🐆

  • @raphaelkomba364
    @raphaelkomba36422 күн бұрын

    Kuma la mamako we mchambuz

  • @saidmfaume1282
    @saidmfaume128223 күн бұрын

    Sisi pia haturidhiki na alichotufanyia vs Yanga usiangalie upande wake tu.

  • @isaacmutegwa5881
    @isaacmutegwa588123 күн бұрын

    Usitupangue nyie ndo mlisema tuna wazee wengi. Alitusumbua alituuzia mechi ya Yanga .

  • @FIDELISMfugale
    @FIDELISMfugale23 күн бұрын

    SAID NI MSEMAJI MZUR

  • @maryamnofli2109
    @maryamnofli210923 күн бұрын

    Aende. Zake. Simba. Haimuhusu. Jamanii

  • @azizakiswili9063
    @azizakiswili906323 күн бұрын

    Mpaka aseme,zile 5 alipewa how much😅

  • @ufundi_tz
    @ufundi_tz21 күн бұрын

    kwani timu ni azam tu .. huyu nae kavurugwa

  • @FIDELISMfugale
    @FIDELISMfugale23 күн бұрын

    Yy alichotufanyia kufungwaa 5 alituomba msamaha

  • @stephenwainage2523
    @stephenwainage252323 күн бұрын

    Goli tano zimemponza😊😅

  • @user-wv2wr3kl2x
    @user-wv2wr3kl2x22 күн бұрын

    Mbona mwandishi unachochea chokochoko Kwan unakijua kinacho endelea acha bwana kuchonganisha manura ni mchezaji wa simba sport

  • @user-mm9qr7em8k
    @user-mm9qr7em8k23 күн бұрын

    Manula anavuna alichokipanda. alipanda usaliti anavuna usalitii.

  • @nyembobea7285
    @nyembobea728523 күн бұрын

    Hatumtaki chukua kipa wako mzee hana shukrani

  • @joachimsironga1560
    @joachimsironga156023 күн бұрын

    We unaongea ila inaonekana hujui kiundani kunasababu huyo jamaaaa bhna ni mbongo tu😅😅

  • @user-hu4el2rx2u
    @user-hu4el2rx2u23 күн бұрын

    Manula msaliti ka chama na inonga sisi tunajua

  • @user-wn9bp5cl1j
    @user-wn9bp5cl1j23 күн бұрын

    Tunasafisha wasaliti wotee😅😅

  • @chriskudilla5355
    @chriskudilla535523 күн бұрын

    Alituuza

  • @gilbertmaganga9370
    @gilbertmaganga937023 күн бұрын

    Analeta usaliti

  • @godfreymanyilizu5789
    @godfreymanyilizu578923 күн бұрын

    Sasa hii Ng'ombe inasema yenyewe sio Simba sasa hapo inaropoka nini sasa.

  • @nellykira7812
    @nellykira781223 күн бұрын

    Kibaraka huyu

  • @user-bx1qo9fe3q
    @user-bx1qo9fe3q23 күн бұрын

    Simba wanashida na Hawa wachezaji waliotokeanao mbali wanawazalau itawatafuna msim ujao kumiiiiiiiiiiiiiii tilipuhii

  • @abdallahally842
    @abdallahally84223 күн бұрын

    Anaemtaka manula amnunue sio mkopo

  • @GeorgeSikazwe-mm7nn
    @GeorgeSikazwe-mm7nn23 күн бұрын

    Jamii iamue nini ww achana na simba..ww sio msemaji wa wachezaji

  • @YOSHUAMWAMPETA
    @YOSHUAMWAMPETA23 күн бұрын

    Halufu maneno ya kihuni ya ukikubali kuolewa YANASEMWA NA WENYE AKILI FINYU VIJIWENI NA WENYE ELIMU DUNI VIJIWENI WAVUTA BANGI.Kwa mtu Mwenye WELEDI na MTU MZIMA hawezi kutamka hayo kwenye VYOMBO VYA HABARI.JIHESHIMUNI ILI MUHESHIMIWE

  • @user-hu4el2rx2u
    @user-hu4el2rx2u23 күн бұрын

    Chama huyo achezi kama kasaliti Simba tutamsomea albadir kama alivyo saliti simba hata cheza yanga mtakuja kuona sisi atumfichi mbaya sana chama Bora angeenda Azam au kmc kuliko yanga hatumuachi si ameona kwa Morrison na mayele na yeye pia

  • @BenjaminiMathayo
    @BenjaminiMathayo23 күн бұрын

    Unatolea maelezo habari za Simba wewe ni nani au unatafuta kiki

  • @suleimanmakameissa6071

    @suleimanmakameissa6071

    22 күн бұрын

    Kwani apo anazungumzia Simba au Manula ambae yeye ni mchezaji anaemsimamia?

  • @ernestkamata2555
    @ernestkamata255523 күн бұрын

    Huyu siyo mchambuzi ni msemaji wa upande mwingine

  • @subiraaddo864
    @subiraaddo86423 күн бұрын

    Kwani si useme tu chama keshazeeka unavunga vunga nn??

  • @jaffjeff6912

    @jaffjeff6912

    22 күн бұрын

    Kasema tukutane kwa Mkapa aongei sana by Chama

  • @user-wl4yo4zp9t
    @user-wl4yo4zp9t23 күн бұрын

    Kusajili wachezaji wengi haikuhusu achana na simba yetu.

  • @YOSHUAMWAMPETA

    @YOSHUAMWAMPETA

    23 күн бұрын

    Umejuaje kuwa nilitaka kuzema hivyo?

  • @user-hu4el2rx2u
    @user-hu4el2rx2u23 күн бұрын

    Chama tutamshushu busha la nyuma alafu tutamuona kama tarehe 8 DABI hatacheza na akicheza hapo hapo tunampa

  • @jaffjeff6912

    @jaffjeff6912

    22 күн бұрын

    Mzee mpili kasema atakae mgusa Chama anaruka nae kama kipanga msijaribu muacheni acheze mpira

  • @bavonichristopha1693
    @bavonichristopha169323 күн бұрын

    Viongozi wetu wa Simba hacheni mambo ya hovyo hovyo kama hutuna mpango nae Aisha manula basi mwacheni aenda hata kwa mkopo azam

  • @yusuphmdadike8758

    @yusuphmdadike8758

    23 күн бұрын

    Atoe pesa anunue mkataba fullstop

  • @subiraaddo864
    @subiraaddo86423 күн бұрын

    Kwani huyu ndo msemaji wa simba au??

  • @jaffjeff6912

    @jaffjeff6912

    22 күн бұрын

    Tukutane Lupas😊

  • @user-ox4fv4cf5l
    @user-ox4fv4cf5l23 күн бұрын

    TATIZO LAWI BADO ANA MKATABA NA COASTAL NA MBONA HILO HAMLIHOJI?

  • @soniimedia2440
    @soniimedia244023 күн бұрын

    Huu ni wakati wa simba kubeba makombe tusisikilize propaganda ukweli simba anasajili vizuri na watakaoachwa hawapo kwenye mipango yetu.

  • @FIDELISMfugale
    @FIDELISMfugale23 күн бұрын

    Hatumtak kabisaaaaaaaaaa Huyo group Moja na Chama,inonga, Tunafanya USAF wajinga wote waondoke

  • @user-fi6hb3lp5y
    @user-fi6hb3lp5y23 күн бұрын

    Hivi wewe yupo mchezaji aliesajiliwa Simba ukasema wamepatia? Mbona too much know wewe

  • @bellenoe414

    @bellenoe414

    23 күн бұрын

    Meneja wa manula 😂😂

  • @patrickdaffa1207
    @patrickdaffa120721 күн бұрын

    Heshima ya nini kama mtu anauza game heshima ya nn? Simba sio wajinga na simba ndo timu ambayo inaachana na wachezaji vzr sana.ukiona wanafanya hivyo ujue Kuna kosa kubwa kafanya.

  • @AbisinaRashidi-c8d
    @AbisinaRashidi-c8d22 күн бұрын

    Msaliti Hana lolote mbwa aende zake na mwenzie chama wahujumu wakubwa Aishi muujumu

Келесі