JEAN CHARLES AHOUA SKILLS AND GOALS USAJILI WA SIMBA 2024-2025
Спорт
JEAN CHARLES AHOUA SKILLS AND GOALS USAJILI WA SIMBA 2024-2025, JEAN CHARLES AHOUA CV, JEAN CHARLES AHOUA SKILLS, JEAN CHARLES AHOUA GOALS, JEAN CHARLES AHOUA HIGHLIGHTS, JEAN CHARLES AHOUA MAGOLI, MAGOLI YA JEAN CHARLES AHOUA , UWEZO WA JEAN CHARLES AHOUA ,Jean Charles Ahoua (Stella Adjame) Stats, AHOUA CHARLES SKILLS, CHARLES AHOUA SKILLS, MCHEZAJI MPYA SIMBA JEAN CHARLES AHOUA
Пікірлер: 92
Jamaa n mzuri kwenye suala Zima la kuasisst ana jicho la kimidfielder sanaa tupate tu mastriker wazur jamaa Yuko poa na aina yake y uchezaj n tofaut na chama ana uchezaj kama wapakome kwa hii clip nilioona japo pia clip haitoshi kusema n Bora au laaa
@KlikHapaTV
Ай бұрын
Umenena mzee
MUNGU ampe Lais wa heshima maisha marefu na afya njema🙏❤
@KlikHapaTV
Ай бұрын
Umemkubali kijana?
Mtu wa maana huyu 💪🦁🙏
@KlikHapaTV
Ай бұрын
sawa sawa
@user-tn5zr5lu4r
Ай бұрын
Msije tukana matusi ligi ikianza😅😅😅
❤❤ nguvu Moja Kijana Wa kazi
@KlikHapaTV
Ай бұрын
Tusubirie ligi ianze sasa
Anafaaa kabs huy tuwaombee munguu
@KlikHapaTV
Ай бұрын
sawa
Ligi ya bongo ya kawaida Sana ni ya vilabu 3 ndio vyenye ushindani Dogo atawatia aibu mtalala ndani wiki tulutane ngao ya jamii to me Sijawahi kuangushwa na usajiri wa Cretus Magori
@KlikHapaTV
Ай бұрын
Tusubirie Ligi Ianze au Siyo?
@Salum-ij6mg
Ай бұрын
Tulutane ndo nn
@hizzomaplan1409
Ай бұрын
Unafuatilia kila mchezaj anaesajiliwa Simba dalili ya uoga
@user-nm1jh3dy9n
Ай бұрын
Kazungukwa na Nan mzeee
@JohnJoseph-te2kv
Ай бұрын
@@hizzomaplan1409we tahila
Wakawaida aisee mutale na mkwala Agostini Akajepha na Valentine Nouma ndo watu wa maaana🎉🎉🎉🎉🎉
@KlikHapaTV
23 күн бұрын
Tusubirie mambo uwanjani
Tayaalii
@KlikHapaTV
18 күн бұрын
safi
Simba na vibweka vya usajli, kama kawaida kuchamba kwingi.
@KlikHapaTV
Ай бұрын
Kwahiyo umegoma Kumpitisha?
Hii mali ikipta kocha mzur ina fighting sprit
@KlikHapaTV
Ай бұрын
Ngoja Tusubirie Ligi Ianze
Kwa kweli hapa tumepigwa na kitu kizito. Ni afadhali hata na Mutale kidogo sio huyu😂😂😂😂😂
@KlikHapaTV
Ай бұрын
Kwahiyo umegoma Kumpitisha?
@jumamangombe6493
Ай бұрын
Wew ni mpumbavu
Yaccouba sogne aliechangamka
@KlikHapaTV
Ай бұрын
hahaha
Apa hmn ki2
@KlikHapaTV
Ай бұрын
Ni MVP ligi ya Ivory Coast Kumbuka
Hamna mchezaji humo tujidae kisokolojia
@omarimbega
Ай бұрын
Sawa mungu
@jumamangombe6493
Ай бұрын
Kusoma na kuandika hujui ndo utamjua mchezaji? Pimbi wewe
Hii ni mali
@KlikHapaTV
Ай бұрын
Simba wamepania Round Hii
@francykahabi6289
Ай бұрын
Mali saana mangungu funding saan atakua kahuzikaa😂😂😂
@francykahabi6289
Ай бұрын
Wajingaa kweli nyinyi na makombe mtaishia kuyasikia tuu kwenye bomba ety huyu ndo wanawadanganya in mbadala wa chama 😂😂😂😂,,Yaani makombe mpaka Samia atoke madarakani washenzi nyinyi
Huyu mchezaji wa ndondo cup
@KlikHapaTV
Ай бұрын
Ni MVP ligi ya Ivory Coast Kumbuka
Boss hapo umetudanganya hakuna mchezaji hapo
@KlikHapaTV
Ай бұрын
Subiria kazi uwanjani
Mim sjaona laa jabu kwa huyu niwale wale Akina Jobe t
@KlikHapaTV
Ай бұрын
Ni MVP ligi ya Ivory Coast Kumbuka
Normal player bora asajiliwe kinzumbi
KItu ambacho nakipenda ni bado kabwana mdogo xn
@KlikHapaTV
Ай бұрын
bado mdogo kabisa
Mtu na nusu
@KlikHapaTV
Ай бұрын
sawa sawa
Hamna mchezaji umu ,,,, huyu ligi ya apa bongo lazima afeli
@user-xx3tu3cm8g
Ай бұрын
Sawa mganga
@KlikHapaTV
Ай бұрын
Hahaha kwamba amegeuka Mganga
@Shemahonge-ku7xx
Ай бұрын
Baadae mnamtaka mnafanya nasherehe majini fc mnashida
@salummahamud355
Ай бұрын
Kama we ni utopolo tulitarajia kusema hayo😊😊
@taseleli9181
Ай бұрын
Wapiga ramli wameshaanza duuu😂😂😂
Wa Kawaida saana
@asnahemily6321
Ай бұрын
Sema ukweli hata kama unaumia mzee 😅😅😅😅😅😅
@KlikHapaTV
Ай бұрын
Ni MVP ligi ya Ivory Coast Kumbuka
@petertv1578
Ай бұрын
Ata akiwa wa kawaida wakwetu
Huyu na karabaka bora karabaka
@KlikHapaTV
Ай бұрын
kwanini hahaha
Hamna kitu apa
@KlikHapaTV
Ай бұрын
Kwahiyo umegoma Kumpitisha?
No skills 😂😂😂apa kazi anayo ya kutuaminisha kama anaweza ila kama hzi ndo clip zake bora hapana kwa kweli
@KlikHapaTV
Ай бұрын
Kwahiyo haujampitisha?
Soccer nyie hahahahah
@KlikHapaTV
Ай бұрын
limefanya nini
Dah tumepigwa
@KlikHapaTV
Ай бұрын
Kwahiyo umegoma Kumpitisha?
Normal player
@KlikHapaTV
Ай бұрын
Ni MVP ligi ya Ivory Coast Kumbuka
Mm simba ila humu hakuna kitu
@KlikHapaTV
Ай бұрын
@@i.dclassic116 Kwanini unaona hamna kitu
@hgki313
Ай бұрын
Mfuatilie akili yako itakua
@PlatPanky
26 күн бұрын
Kwa Nini ujitambulishe wewe Ni Simba Kwanza inaonyesha wazi sio
hapa naona kama tumepigwa iv
@KlikHapaTV
Ай бұрын
Kwahiyo umegoma Kumpitisha?
WACHEZAJI WANAOENDANA NA KOMBE LENYEWE LA LOSERS😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@KlikHapaTV
Ай бұрын
Kwahiyo umegoma Kumpitisha?
akuna kitu apa tumepgwa
@KlikHapaTV
Ай бұрын
@@user-gi7tp2mz8b Kwanini kaka?
@richardmlinga3764
Ай бұрын
kweli hamna mchezaji kabisa humu. Sio wa quality ya kuchezea simba, bora poku
@taseleli9181
Ай бұрын
@@richardmlinga3764 kesho msibadilishe maneno
@hgki313
Ай бұрын
@@richardmlinga3764hujamfuatilia ndomaan unaropoka, mchezaj bora Ivory