JEAN CHARLES AHOUA SKILLS AND GOALS USAJILI WA SIMBA 2024-2025

Спорт

JEAN CHARLES AHOUA SKILLS AND GOALS USAJILI WA SIMBA 2024-2025, JEAN CHARLES AHOUA CV, JEAN CHARLES AHOUA SKILLS, JEAN CHARLES AHOUA GOALS, JEAN CHARLES AHOUA HIGHLIGHTS, JEAN CHARLES AHOUA MAGOLI, MAGOLI YA JEAN CHARLES AHOUA , UWEZO WA JEAN CHARLES AHOUA ,Jean Charles Ahoua (Stella Adjame) Stats, AHOUA CHARLES SKILLS, CHARLES AHOUA SKILLS, MCHEZAJI MPYA SIMBA JEAN CHARLES AHOUA

Пікірлер: 92

  • @BlessingMwakasoke
    @BlessingMwakasokeАй бұрын

    Jamaa n mzuri kwenye suala Zima la kuasisst ana jicho la kimidfielder sanaa tupate tu mastriker wazur jamaa Yuko poa na aina yake y uchezaj n tofaut na chama ana uchezaj kama wapakome kwa hii clip nilioona japo pia clip haitoshi kusema n Bora au laaa

  • @KlikHapaTV

    @KlikHapaTV

    Ай бұрын

    Umenena mzee

  • @EliasCosmas-qp6gn
    @EliasCosmas-qp6gnАй бұрын

    MUNGU ampe Lais wa heshima maisha marefu na afya njema🙏❤

  • @KlikHapaTV

    @KlikHapaTV

    Ай бұрын

    Umemkubali kijana?

  • @AletasMbawala-si5kj
    @AletasMbawala-si5kjАй бұрын

    Mtu wa maana huyu 💪🦁🙏

  • @KlikHapaTV

    @KlikHapaTV

    Ай бұрын

    sawa sawa

  • @user-tn5zr5lu4r

    @user-tn5zr5lu4r

    Ай бұрын

    Msije tukana matusi ligi ikianza😅😅😅

  • @ZakariaSimon-gp1gr
    @ZakariaSimon-gp1grАй бұрын

    ❤❤ nguvu Moja Kijana Wa kazi

  • @KlikHapaTV

    @KlikHapaTV

    Ай бұрын

    Tusubirie ligi ianze sasa

  • @AlphaOmega-c2y
    @AlphaOmega-c2yАй бұрын

    Anafaaa kabs huy tuwaombee munguu

  • @KlikHapaTV

    @KlikHapaTV

    Ай бұрын

    sawa

  • @user-px1gd4de7k
    @user-px1gd4de7kАй бұрын

    Ligi ya bongo ya kawaida Sana ni ya vilabu 3 ndio vyenye ushindani Dogo atawatia aibu mtalala ndani wiki tulutane ngao ya jamii to me Sijawahi kuangushwa na usajiri wa Cretus Magori

  • @KlikHapaTV

    @KlikHapaTV

    Ай бұрын

    Tusubirie Ligi Ianze au Siyo?

  • @Salum-ij6mg

    @Salum-ij6mg

    Ай бұрын

    Tulutane ndo nn

  • @hizzomaplan1409

    @hizzomaplan1409

    Ай бұрын

    Unafuatilia kila mchezaj anaesajiliwa Simba dalili ya uoga

  • @user-nm1jh3dy9n

    @user-nm1jh3dy9n

    Ай бұрын

    Kazungukwa na Nan mzeee

  • @JohnJoseph-te2kv

    @JohnJoseph-te2kv

    Ай бұрын

    ​@@hizzomaplan1409we tahila

  • @Mariampaul-me7qo
    @Mariampaul-me7qo24 күн бұрын

    Wakawaida aisee mutale na mkwala Agostini Akajepha na Valentine Nouma ndo watu wa maaana🎉🎉🎉🎉🎉

  • @KlikHapaTV

    @KlikHapaTV

    23 күн бұрын

    Tusubirie mambo uwanjani

  • @PROPHETPCANTENA
    @PROPHETPCANTENA19 күн бұрын

    Tayaalii

  • @KlikHapaTV

    @KlikHapaTV

    18 күн бұрын

    safi

  • @silvanuskisinza4303
    @silvanuskisinza4303Ай бұрын

    Simba na vibweka vya usajli, kama kawaida kuchamba kwingi.

  • @KlikHapaTV

    @KlikHapaTV

    Ай бұрын

    Kwahiyo umegoma Kumpitisha?

  • @user-jy1wm8do8w
    @user-jy1wm8do8wАй бұрын

    Hii mali ikipta kocha mzur ina fighting sprit

  • @KlikHapaTV

    @KlikHapaTV

    Ай бұрын

    Ngoja Tusubirie Ligi Ianze

  • @raymondswed7358
    @raymondswed7358Ай бұрын

    Kwa kweli hapa tumepigwa na kitu kizito. Ni afadhali hata na Mutale kidogo sio huyu😂😂😂😂😂

  • @KlikHapaTV

    @KlikHapaTV

    Ай бұрын

    Kwahiyo umegoma Kumpitisha?

  • @jumamangombe6493

    @jumamangombe6493

    Ай бұрын

    Wew ni mpumbavu

  • @seifalislam8206
    @seifalislam8206Ай бұрын

    Yaccouba sogne aliechangamka

  • @KlikHapaTV

    @KlikHapaTV

    Ай бұрын

    hahaha

  • @salumkhamis2994
    @salumkhamis2994Ай бұрын

    Apa hmn ki2

  • @KlikHapaTV

    @KlikHapaTV

    Ай бұрын

    Ni MVP ligi ya Ivory Coast Kumbuka

  • @WILLIAMPETROSHIGUME
    @WILLIAMPETROSHIGUMEАй бұрын

    Hamna mchezaji humo tujidae kisokolojia

  • @omarimbega

    @omarimbega

    Ай бұрын

    Sawa mungu

  • @jumamangombe6493

    @jumamangombe6493

    Ай бұрын

    Kusoma na kuandika hujui ndo utamjua mchezaji? Pimbi wewe

  • @yassirkhamiss2895
    @yassirkhamiss2895Ай бұрын

    Hii ni mali

  • @KlikHapaTV

    @KlikHapaTV

    Ай бұрын

    Simba wamepania Round Hii

  • @francykahabi6289

    @francykahabi6289

    Ай бұрын

    Mali saana mangungu funding saan atakua kahuzikaa😂😂😂

  • @francykahabi6289

    @francykahabi6289

    Ай бұрын

    Wajingaa kweli nyinyi na makombe mtaishia kuyasikia tuu kwenye bomba ety huyu ndo wanawadanganya in mbadala wa chama 😂😂😂😂,,Yaani makombe mpaka Samia atoke madarakani washenzi nyinyi

  • @user-yb8pk6cv7f
    @user-yb8pk6cv7fАй бұрын

    Huyu mchezaji wa ndondo cup

  • @KlikHapaTV

    @KlikHapaTV

    Ай бұрын

    Ni MVP ligi ya Ivory Coast Kumbuka

  • @user-lh9gi4eg1r
    @user-lh9gi4eg1rАй бұрын

    Boss hapo umetudanganya hakuna mchezaji hapo

  • @KlikHapaTV

    @KlikHapaTV

    Ай бұрын

    Subiria kazi uwanjani

  • @HarithAlyhamadi
    @HarithAlyhamadiАй бұрын

    Mim sjaona laa jabu kwa huyu niwale wale Akina Jobe t

  • @KlikHapaTV

    @KlikHapaTV

    Ай бұрын

    Ni MVP ligi ya Ivory Coast Kumbuka

  • @MohamedYahya-dd3vm
    @MohamedYahya-dd3vm29 күн бұрын

    Normal player bora asajiliwe kinzumbi

  • @HabibuMuhunzi
    @HabibuMuhunziАй бұрын

    KItu ambacho nakipenda ni bado kabwana mdogo xn

  • @KlikHapaTV

    @KlikHapaTV

    Ай бұрын

    bado mdogo kabisa

  • @madenyahaya7937
    @madenyahaya7937Ай бұрын

    Mtu na nusu

  • @KlikHapaTV

    @KlikHapaTV

    Ай бұрын

    sawa sawa

  • @patrickkilongo3214
    @patrickkilongo3214Ай бұрын

    Hamna mchezaji umu ,,,, huyu ligi ya apa bongo lazima afeli

  • @user-xx3tu3cm8g

    @user-xx3tu3cm8g

    Ай бұрын

    Sawa mganga

  • @KlikHapaTV

    @KlikHapaTV

    Ай бұрын

    Hahaha kwamba amegeuka Mganga

  • @Shemahonge-ku7xx

    @Shemahonge-ku7xx

    Ай бұрын

    Baadae mnamtaka mnafanya nasherehe majini fc mnashida

  • @salummahamud355

    @salummahamud355

    Ай бұрын

    Kama we ni utopolo tulitarajia kusema hayo😊😊

  • @taseleli9181

    @taseleli9181

    Ай бұрын

    Wapiga ramli wameshaanza duuu😂😂😂

  • @wiseproent8661
    @wiseproent8661Ай бұрын

    Wa Kawaida saana

  • @asnahemily6321

    @asnahemily6321

    Ай бұрын

    Sema ukweli hata kama unaumia mzee 😅😅😅😅😅😅

  • @KlikHapaTV

    @KlikHapaTV

    Ай бұрын

    Ni MVP ligi ya Ivory Coast Kumbuka

  • @petertv1578

    @petertv1578

    Ай бұрын

    Ata akiwa wa kawaida wakwetu

  • @user-tn5zr5lu4r
    @user-tn5zr5lu4rАй бұрын

    Huyu na karabaka bora karabaka

  • @KlikHapaTV

    @KlikHapaTV

    Ай бұрын

    kwanini hahaha

  • @user-od6qy7us9e
    @user-od6qy7us9eАй бұрын

    Hamna kitu apa

  • @KlikHapaTV

    @KlikHapaTV

    Ай бұрын

    Kwahiyo umegoma Kumpitisha?

  • @FurahaMwankina-k1f
    @FurahaMwankina-k1fАй бұрын

    No skills 😂😂😂apa kazi anayo ya kutuaminisha kama anaweza ila kama hzi ndo clip zake bora hapana kwa kweli

  • @KlikHapaTV

    @KlikHapaTV

    Ай бұрын

    Kwahiyo haujampitisha?

  • @user-nm1jh3dy9n
    @user-nm1jh3dy9nАй бұрын

    Soccer nyie hahahahah

  • @KlikHapaTV

    @KlikHapaTV

    Ай бұрын

    limefanya nini

  • @eliudmbange2278
    @eliudmbange2278Ай бұрын

    Dah tumepigwa

  • @KlikHapaTV

    @KlikHapaTV

    Ай бұрын

    Kwahiyo umegoma Kumpitisha?

  • @AllyKilumbi
    @AllyKilumbiАй бұрын

    Normal player

  • @KlikHapaTV

    @KlikHapaTV

    Ай бұрын

    Ni MVP ligi ya Ivory Coast Kumbuka

  • @i.dclassic116
    @i.dclassic116Ай бұрын

    Mm simba ila humu hakuna kitu

  • @KlikHapaTV

    @KlikHapaTV

    Ай бұрын

    @@i.dclassic116 Kwanini unaona hamna kitu

  • @hgki313

    @hgki313

    Ай бұрын

    Mfuatilie akili yako itakua

  • @PlatPanky

    @PlatPanky

    26 күн бұрын

    Kwa Nini ujitambulishe wewe Ni Simba Kwanza inaonyesha wazi sio

  • @user-se9mj1sz6r
    @user-se9mj1sz6rАй бұрын

    hapa naona kama tumepigwa iv

  • @KlikHapaTV

    @KlikHapaTV

    Ай бұрын

    Kwahiyo umegoma Kumpitisha?

  • @raymondswed7358
    @raymondswed7358Ай бұрын

    WACHEZAJI WANAOENDANA NA KOMBE LENYEWE LA LOSERS😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @KlikHapaTV

    @KlikHapaTV

    Ай бұрын

    Kwahiyo umegoma Kumpitisha?

  • @user-gi7tp2mz8b
    @user-gi7tp2mz8bАй бұрын

    akuna kitu apa tumepgwa

  • @KlikHapaTV

    @KlikHapaTV

    Ай бұрын

    @@user-gi7tp2mz8b Kwanini kaka?

  • @richardmlinga3764

    @richardmlinga3764

    Ай бұрын

    kweli hamna mchezaji kabisa humu. Sio wa quality ya kuchezea simba, bora poku

  • @taseleli9181

    @taseleli9181

    Ай бұрын

    ​@@richardmlinga3764 kesho msibadilishe maneno

  • @hgki313

    @hgki313

    Ай бұрын

    ​@@richardmlinga3764hujamfuatilia ndomaan unaropoka, mchezaj bora Ivory

Келесі