Je, Ni Ipi Familia Halisi Ya Mwanawe Saitoti?
Familia ya aliyekuwa Waziri wa Usalama wa ndani marehemu Profesa George saitoti sasa imejitokeza kupinga madai ya familia moja kutoka eneo la Subukia inayodai kwamba mwanao aliyepotea miaka 24 ni Zachary Musengi, mwanawe Saitoti. Kupitia kwa wakili wa familia ya Saitoti Fred Ngatia, familia hiyo imewasilisha stakabadhi za usafiri na hata shule alizosomea Zachary, wakidai kwamba mtoto aliyepotea ni mwingine bali si Zachary. Familia ya Sebastian Maina hata hivyo inasimama kidete ikisisitiza kuwa Zachary ni mwanao, wakitaka uchunguzi wa chembechembe za urithi kufanywa ili kuthibitisha madai yao.
Пікірлер: 63
mwenye amezaa anajua kucoment Mungu awapiganie mpate ukweli
Do not ignore your parents becoz of poverty plz
@geoffreymwangi6627
5 жыл бұрын
Jackson Ratemo They are not poor has such.
Uyo Kijana anafanana na mama.
Hii dunia inashangaza y steal a child mwenye ako na wazazi yet kuna orphans wengi wanafaa kuadoptiwa and have a place to call home.
@geoffreymwangi6627
5 жыл бұрын
Hamper Dillions its true.
Lkn mama wanafanana na kinjana
Let DNA reveal the truth.
True Dna from both sides . Buy it online from Europe they will do it with honest heart
DNA!!!!!!!! outside Kenya to avoid corruption
@tracy3355
5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Niko tayari kujeni muniibe mimi😃
@maryodanga140
5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@sweetlove9550
5 жыл бұрын
Nimecheka eti ko tayari
@sheikhibrahimabdullahikeny1509
5 жыл бұрын
@@sweetlove9550 Hehehe
@phideliswairimu118
5 жыл бұрын
upelekwe wapi
This family just needs closure
Hata hivyo huyo kijana amefanana na hii Familia ila Mbona kesi haikuishia kwa DNA ukweli utokeze na makero yaishe.
It's nice he's alive DNA pap👌 then kijana will amua where he want to stay 👍
@atangastephen6670
4 жыл бұрын
That's what am wondering y not go for DNA test?
Mbona vuta nikuvute, DNA is the solution na iwe genuine bila bribe
Now that the boy is mature and he know the truth, let him make his own decision. Like Joseph in the bible he will find you quietly. If I were him, I would not abandon all the wealth to join you in the village. Leave him he will contact you at the right time. Even if you go to court he will deny you and I understand him. Kidnapping was wrong and painful to you and to the boy but for now he is not 3yrs old. Leave him alone he will help you too. Thank God you found him alive and well.
@lucymwega784
5 жыл бұрын
true but sijawahi ona kijana mjinga kaa huyu
@charleskibiro9159
5 жыл бұрын
@@lucymwega784 what can he do now. He has to choose between wealth and poverty. If these parents can stop going to the press, like Joseph, musangi will contact them but he will not move to subukia, it is the parents who will move to lavington. Going to press and courts will make musangi deny you and deny DNA until 40yrs to come. Saitoti is gone. Musangi is the beneficiary. You are taking musangi to court.
@phideliswairimu118
5 жыл бұрын
haeizi rudi.from richness to poverty, those are dreams
@ruthkariba4773
5 жыл бұрын
Now that he is rich,, a reunite with his biological parents chini ya maji
@florigustafsson7618
5 жыл бұрын
Money is not everything he will never experience peaceofmind WHICH is more IMPORTANT in life
Atii Anafanana sana na Wasichana"🤣🤣🤣
Damu nzito kuliko maji the boy will just trace his roots
@lucymwega784
5 жыл бұрын
this boy is an idiot can u imagine his mother is already dead na bado hajawahi jitokeza hata kufanywa dna
Being mtoto yuko na wewe pia uko ya nini Saitoti afufuliwe nendeni mkafanye DNA ijulikane na ifanywe bila ulagai
I know this Child very well whom call himself Saito son. We used to play together @ Subukia trading Centre before was storen/abducted 2 boys was abducted Edwin & Wacira Wa Maina I rember very well.I member attending factual film date 14th Every month with his brother Nguho/ Nyokabi sister his neibour Ndekeifamily & Teacher kamani family other. I love you Teacher Sebastian Momoi primary School Teacher father of musembi saitoti/Stephen maina wacira.SHAME ON YOU MUSEMBI. you Just follow Money instead of Parents.its written & Child shall abandon Father &Mother. I think this is the situation fulfilling Now.
Hehehe mwathani! Ni nini Kenya huezi Pata sasa kama unapata mtoto bila kuzaa
@marynjeri815
5 жыл бұрын
Mungusaidia
Subukia Subukia kijana niwetu 🤗
Mama wacha story mob...pesa iko kwa saitoti sahau kijana
@phideliswairimu118
5 жыл бұрын
wanaota ata kama ni ukweli
I don't think this couple is after material gain, all they want is closure. The boy looks so much like this lady, do they have other kids we can see if they look like Zachary?
Kwanini haki isipatikane kwa DNA Faraja na fujo shiishe jameni..sikuhizi sio kufanana Kubao we go wanafanana na sio jamii kamwe.
DNA
Aaaaaaaiiii uyo mtoto ni mkikuyu wapee wenyewe
Ukweli utajulikana 2.
He looks like mummy
very easy kama unaskia damu niyako DNA pap
Sad
It's sad
@JK-oy7sy
5 жыл бұрын
Look
DUNIA NA VITUKO VYAKE😂😂😂
Ancestry DNA kits
Why did that guy has to say dhuruuuu
they do DNA testing it will help them
Kasi ni DNA ifanywe
This boy resembles the mother aki 🙏
The court should compel a DNA test.very painful story.
given that the Saitotis have no biological child, the court has to establish where Musengi came from and that is not a DNA case. How is Mrs Saitoti in possession of a birth cert belonging to a Wachira? no dout he looks like this man around the nose
@paulsom7158
6 жыл бұрын
Fleur the resembles them soo much and even the childhood photo is for him.. sad hope the boy find the truth out
@milkamuriuki63
5 жыл бұрын
ule ni over 18th ziyemwenyewe amue achekuteza watu wengi a kubali dna hu lazimichwi just know your roots 😷😷😷😷😷
@zipporahpeter2115
5 жыл бұрын
Waliuza uongo.ndio sababu wanataka DNA
Anafanana Kira mtu
@jackymwashi6513
3 жыл бұрын
Eeh
Anataka utajiri was saitoti
Majabu