JE MAWAHABI NDIO WALIOWAGAWA? - Sheikh Muhammad Is'haqa

Full video on KZread
Channel : Ihsaan Tv
• LIVE - NASAHA KWA MARA...
#bidaa #ukumbusho #taarifa #mawaidha #video #umuhimu #dini #islam #sunni #sunnah #jumuiya #swahili #mafunzo #ujumbe #nasiha #maarifa #utafutaji #elimu #uislamu #maombi #ujumbe #ufahamu #mihadhara #imani #tawhid #fadhila #Mazingira #MUHIMU #sunnah #fıkra

Пікірлер: 33

  • @abdulhalimahmed207
    @abdulhalimahmed2076 ай бұрын

    ALLAH AKUHIFADH

  • @saidabdurahman9631
    @saidabdurahman96316 ай бұрын

    MaashaAllah shekh unaongea kwa utulivu Watu wanakaririshwa kuwa mawahabi ndio wanaugawa uislam jambo ambalo sio sqhihi

  • @mnolamanyendi4956
    @mnolamanyendi49566 ай бұрын

    Shekhe mimi nakuwerewa Sana Allah akujaliee kheri kubwa

  • @HusseinKarumna
    @HusseinKarumna6 ай бұрын

    Allaaah atuongoze ktk njia Sahihi Shekhe mazungumzo yako yote ni hali mbaya ya Wasomi wetu ktk kufikisha Daawa lkn kuna jambo moja Ambalo sijalielewa nalo ni Kwanini ukiwataja hao Mashekhe walio Fariki Huwarehemu km ilivyo Kawaida ya Uislamu naomba kujua

  • @hajjiramso1937
    @hajjiramso19374 ай бұрын

    Shekh wang wa monga vyuru kichelekan allah akuhifadh

  • @jumaamohamed4203
    @jumaamohamed42036 ай бұрын

    Acha ufedhuli we mzee mungu anakuona

  • @user-pu2uw2ib5y
    @user-pu2uw2ib5y6 ай бұрын

    Ni kweli kabisa nyinyi ndio mnaowagawa waislam

  • @husseinbhatia434

    @husseinbhatia434

    6 ай бұрын

    Ukitoa hicho unacho moyoni utaona Kila kitu vizuri.mi nakuambia unachuki unakitu moyoni kitoe ndugu yangu

  • @mybabyarchive2104
    @mybabyarchive21046 ай бұрын

    Ukimaliza utuambie na ugomvi wa mwezi walileta nani?

  • @SalamaKhamis-un8vn
    @SalamaKhamis-un8vn6 ай бұрын

    Kuwagawa Alikokusudia Shekh Muhammad Idi nikule nyumba moja Baba anafunga kesho mtoto anafunga Leo sio kugawanyika kwa khitlafu zao zakibinafsi

  • @user-gh2su5fb1k
    @user-gh2su5fb1k5 ай бұрын

    Ana sauti nzuri maashallah tutakualika maulidin 😂😂

  • @omarsaid673
    @omarsaid6736 ай бұрын

    HAYA MADAI

  • @GharibAli-po6fp
    @GharibAli-po6fp6 ай бұрын

    Sheikh, bila.ya.kuangalia nani sahihi, mungetufundisha mengine, elimu ni amana, tutaulizwa

  • @omarsaid673
    @omarsaid6736 ай бұрын

    .

  • @user-ep9ot1pe7x
    @user-ep9ot1pe7x6 ай бұрын

    Yeye aweza kukaa boraska?

  • @user-oc8uo9rl3u
    @user-oc8uo9rl3u6 ай бұрын

    Usiangalie Tanga angalia Tanzania au ulimwengu ila zaidi angalia Tanzania sio Tanga pekee

  • @karimambosanga4290
    @karimambosanga42906 ай бұрын

    Basi yatosha shekh kaeni myamalize kwa faida ya uislam. Mtume saw a sema shikamananeni ktk kamba nayo ni uislam

  • @swahibually8349
    @swahibually83496 ай бұрын

    Hilo lijizee lina laana ya Sheikh wake kama walivyo na laana Mawahabi wote,ndio maana badala ya kusomesha Dini,ana KAZI ya kuponda chuo alichosmea pamoja na kuwaponda Wanawachuoni.Muone alovyopauka unafikiri ni Mwali wa GAO

  • @MkindiRama-lp6hy
    @MkindiRama-lp6hy6 ай бұрын

    Sheikh huna nada za kuongea masheikh Kila mnachosema kinadhibitiwa na mtaulizwa

  • @user-br6er7zf5z
    @user-br6er7zf5z6 ай бұрын

    Ni kweli mawahabi Muna ugawa uislamu matusi mu nayo

  • @OmarAlly-iz8ot
    @OmarAlly-iz8ot6 ай бұрын

    Wataelewa wazushi ijapokua ni vichwa ngumu😂😂😂

  • @user-mr4vd5lf6y
    @user-mr4vd5lf6y6 ай бұрын

    Ww huna hata moja unalo likua kuhusu mtengano wa tamta ulio jaa kwako ni ufitina ndio maana ukamkama shekh WAKO

  • @nasoros.mgungo5502
    @nasoros.mgungo55026 ай бұрын

    😂😂😂😂 Watu wanazungumzia KiNchi, Watu walikuwa wanafunga na kufungua pamoja leo nchi moja kuna Eid Tatu.😢

  • @user-qe8xp6ii1u

    @user-qe8xp6ii1u

    6 ай бұрын

    Huko kwenu kuna misikit mipya mingap iliyojengwa na Yote wanasimamisha Sala ya ijumaa na khutba kama kawaida!?Je,Vip hukmu ya hyo miskit mipya iliyojengwa Je,imekuja kuwagawa waislam !?????Kaa usome basi usipige kelele huku youtube

  • @user-pu2uw2ib5y
    @user-pu2uw2ib5y6 ай бұрын

    Mawahabi ndio wanaoleta fitna katika jamii

  • @user-nl1ou9ow2l

    @user-nl1ou9ow2l

    2 ай бұрын

    Hata rasuli aliwagawa baina ya mama na mwanae, mtoto anapenda haki aliyoisikia kwa Mtume na Mama apenda ushirikina.tukaeni darasani na tuielewe dini ya kiislam kama vile maswahaba Allaah awarizie kama.na kuifahamu kama vile wao walivyoifaham.haya marumbano yatapungua ama kuisha kabisa biidhinillaah.

  • @user-pu2uw2ib5y

    @user-pu2uw2ib5y

    2 ай бұрын

    @@user-nl1ou9ow2l... Waambie mawahabi waloleta itikadi za kikristo ndani ya uislamu

  • @aminaosman3315
    @aminaosman33152 ай бұрын

    ,shekh wewe pia humjui janjira

  • @khamisrubea5083
    @khamisrubea50836 ай бұрын

    Ukiwa mtu mzima uwe na busara

  • @hamzaqaacm1869
    @hamzaqaacm18696 ай бұрын

    Muhabi huyo

  • @jabirhussein4180
    @jabirhussein41806 ай бұрын

    Duuh jamaa ananikosha kwenye kaswida tu anazipatia sana

  • @jumasemgaza6298

    @jumasemgaza6298

    6 ай бұрын

    😂 inaonekana alikuwa bingwa wa qasda mzee

  • @allymwinyi970
    @allymwinyi9706 ай бұрын

    Sheikh mimi nakuheshiimu kama miongoni mwa Masheikh zetu Tanga na Tanzania. Ila kwanini huzungumzi kujenga dini, siku zote unatumia nguvu na elimu yako kufarakanisha, kuzungumza ikhtikaf? Sheikh acha hayo. Zungumza Dini, lingania watu. Acha mambo ya fitna sheikh.

Келесі