JE MAWAHABI NDIO WALIOWAGAWA? - Sheikh Muhammad Is'haqa
Full video on KZread
Channel : Ihsaan Tv
• LIVE - NASAHA KWA MARA...
#bidaa #ukumbusho #taarifa #mawaidha #video #umuhimu #dini #islam #sunni #sunnah #jumuiya #swahili #mafunzo #ujumbe #nasiha #maarifa #utafutaji #elimu #uislamu #maombi #ujumbe #ufahamu #mihadhara #imani #tawhid #fadhila #Mazingira #MUHIMU #sunnah #fıkra
Пікірлер: 33
ALLAH AKUHIFADH
MaashaAllah shekh unaongea kwa utulivu Watu wanakaririshwa kuwa mawahabi ndio wanaugawa uislam jambo ambalo sio sqhihi
Shekhe mimi nakuwerewa Sana Allah akujaliee kheri kubwa
Allaaah atuongoze ktk njia Sahihi Shekhe mazungumzo yako yote ni hali mbaya ya Wasomi wetu ktk kufikisha Daawa lkn kuna jambo moja Ambalo sijalielewa nalo ni Kwanini ukiwataja hao Mashekhe walio Fariki Huwarehemu km ilivyo Kawaida ya Uislamu naomba kujua
Shekh wang wa monga vyuru kichelekan allah akuhifadh
Acha ufedhuli we mzee mungu anakuona
Ni kweli kabisa nyinyi ndio mnaowagawa waislam
@husseinbhatia434
6 ай бұрын
Ukitoa hicho unacho moyoni utaona Kila kitu vizuri.mi nakuambia unachuki unakitu moyoni kitoe ndugu yangu
Ukimaliza utuambie na ugomvi wa mwezi walileta nani?
Kuwagawa Alikokusudia Shekh Muhammad Idi nikule nyumba moja Baba anafunga kesho mtoto anafunga Leo sio kugawanyika kwa khitlafu zao zakibinafsi
Ana sauti nzuri maashallah tutakualika maulidin 😂😂
HAYA MADAI
Sheikh, bila.ya.kuangalia nani sahihi, mungetufundisha mengine, elimu ni amana, tutaulizwa
.
Yeye aweza kukaa boraska?
Usiangalie Tanga angalia Tanzania au ulimwengu ila zaidi angalia Tanzania sio Tanga pekee
Basi yatosha shekh kaeni myamalize kwa faida ya uislam. Mtume saw a sema shikamananeni ktk kamba nayo ni uislam
Hilo lijizee lina laana ya Sheikh wake kama walivyo na laana Mawahabi wote,ndio maana badala ya kusomesha Dini,ana KAZI ya kuponda chuo alichosmea pamoja na kuwaponda Wanawachuoni.Muone alovyopauka unafikiri ni Mwali wa GAO
Sheikh huna nada za kuongea masheikh Kila mnachosema kinadhibitiwa na mtaulizwa
Ni kweli mawahabi Muna ugawa uislamu matusi mu nayo
Wataelewa wazushi ijapokua ni vichwa ngumu😂😂😂
Ww huna hata moja unalo likua kuhusu mtengano wa tamta ulio jaa kwako ni ufitina ndio maana ukamkama shekh WAKO
😂😂😂😂 Watu wanazungumzia KiNchi, Watu walikuwa wanafunga na kufungua pamoja leo nchi moja kuna Eid Tatu.😢
@user-qe8xp6ii1u
6 ай бұрын
Huko kwenu kuna misikit mipya mingap iliyojengwa na Yote wanasimamisha Sala ya ijumaa na khutba kama kawaida!?Je,Vip hukmu ya hyo miskit mipya iliyojengwa Je,imekuja kuwagawa waislam !?????Kaa usome basi usipige kelele huku youtube
Mawahabi ndio wanaoleta fitna katika jamii
@user-nl1ou9ow2l
2 ай бұрын
Hata rasuli aliwagawa baina ya mama na mwanae, mtoto anapenda haki aliyoisikia kwa Mtume na Mama apenda ushirikina.tukaeni darasani na tuielewe dini ya kiislam kama vile maswahaba Allaah awarizie kama.na kuifahamu kama vile wao walivyoifaham.haya marumbano yatapungua ama kuisha kabisa biidhinillaah.
@user-pu2uw2ib5y
2 ай бұрын
@@user-nl1ou9ow2l... Waambie mawahabi waloleta itikadi za kikristo ndani ya uislamu
,shekh wewe pia humjui janjira
Ukiwa mtu mzima uwe na busara
Muhabi huyo
Duuh jamaa ananikosha kwenye kaswida tu anazipatia sana
@jumasemgaza6298
6 ай бұрын
😂 inaonekana alikuwa bingwa wa qasda mzee
Sheikh mimi nakuheshiimu kama miongoni mwa Masheikh zetu Tanga na Tanzania. Ila kwanini huzungumzi kujenga dini, siku zote unatumia nguvu na elimu yako kufarakanisha, kuzungumza ikhtikaf? Sheikh acha hayo. Zungumza Dini, lingania watu. Acha mambo ya fitna sheikh.