kwanini serikali kila Mwaka wanatudanganya kuwa wanapajenga au ndo siasa tu?
Kwani serikar hawapaoni? au kwa kulwa hawaishi maeneo hayo?
Kila mwaka mmmhh haya maji si yapite kuleee
Walijidai kuwa unending utaanza mwez I wa tatu 2023 mpaka Leo tunaelekea kumaliza mwaka wanajifanya kuchimbua mitaro ili wapige maokoto Yao vzur
Пікірлер: 4
kwanini serikali kila Mwaka wanatudanganya kuwa wanapajenga au ndo siasa tu?
Kwani serikar hawapaoni? au kwa kulwa hawaishi maeneo hayo?
Kila mwaka mmmhh haya maji si yapite kuleee
Walijidai kuwa unending utaanza mwez I wa tatu 2023 mpaka Leo tunaelekea kumaliza mwaka wanajifanya kuchimbua mitaro ili wapige maokoto Yao vzur