Izzo Bizness feat Shaa - Kidawa (Official Video)
Музыка
#IzzoBizness #Kidawa #Shaa #SlideDigital
Izzo Bizness Latest song "Tumeoana" ► bit.ly/tumeoana
Buy it from iTunes: geo.itunes.apple.com/in/album...
Official Music video for Kidawa performed by Izzo Bizness featuring Shaa, directed by Nick Dizzo of Focus Films,Tanzania . Produced by Dupy at Uprise Music and Mastered by Master J at MJ records. in Dar es Salaam, Tanzania.
Izzo Bizness SONGS OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
Written & Performed by: Izzo Bizness
Follow Izzo Bisness on:
/ izzo_bizness_mbeya
profile.php?...
/ izzo_bizness
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz
Пікірлер: 582
Naacha comment apa ili mtu akija ku like nirud kusikiliza tena
@gracemrema9815
3 ай бұрын
2024 here we go
@zamoamosy2938
Ай бұрын
niko hapa leo nimekuja kumwaga wino wangu🤞 huyu Shaa🙌
Bado Niko hapa sijahama hata huu mwaka 2024 mwamba wa jina Nani mwingine yuko namimi hapa🎉🎉❤❤❤❤
Dude la kwenda 2024 🔥🔥🔥
Who is with ME 2024..
@BetriceSimkoko-pk9on
4 ай бұрын
Me
@neemashaibu8635
3 ай бұрын
Me
@marjentertainment2031
2 ай бұрын
Tena May nkingoja Hidaya
2024 tulike hapa
who is here 2024 april.
Nani mwingine amerudi ausikilize tena this 2020?
@irenechiga5123
4 жыл бұрын
me
@alanmalle4811
4 жыл бұрын
meeeeeeeeee
@neemamtemvu4793
4 жыл бұрын
Meeee
@africanprincess4621
3 жыл бұрын
Me
@mustafakijuu3543
3 жыл бұрын
Tumerudi bana.
Shaa heshima kwako, hiyo chorus na sauti yako vinanifanya nivute hisia kali sana na najikuta nafurahi peke yangu tuu na kuiona dunia yote yangu! you have made my life! nimekikata ki voice chako nimwewka ringtone harafu najipigia kila wakati! penda sana shaa! IZZO B, Heshima kwako mzazi, hii ngoma miaka buku aisee!
@nellymollel4672
6 жыл бұрын
+Richard Steven keep silent plz mxhamb hawez kuelewaa xo be kimy
@davidjohn2535
4 жыл бұрын
Uko sahihi aisee
@sugarsuzy5792
3 жыл бұрын
👌🥰🥰🥰
@nicodemmabala1904
3 жыл бұрын
Very nice
@fydelisalphonce1064
Ай бұрын
😁😁
Big up izo Yan wimbo mzur unagusa hisia yaaaaaaan🔥🔥🔥🔥👊👆
Kaka we nomaaa yani kichupa Chao cha kidawa mekikubali ile mbayaaaaaa
2024 Niko hapa❤❤❤
Chorus ni tatizo Dancing style ni tatizo The beat, I mean the bass in the beat ni tatizo Cloth suti mixer kinyamwezi na madam shaa alivyotupia ni tatizo Damn thr song is just awesome.
@IzzoBizness
9 жыл бұрын
Ahsante sana.
@michaelchitema6064
3 жыл бұрын
Umeweza broh
Khaaa, nimimi tu, nilijua ndio imetoka this Year 2019....Demn Good stuff fams........100 fire...!
Tujuane tuliouangalia huu wimbo mwaka huu
naipenda hii kwa sababu huwa namkumbuka girl wangu ambae nimepotezana nae miaka kama miwili hivii nilimsikilishaga hii song kipind tukiwa kwa bed naipenda sana ndiyo iliyobaki moyoni mwangu kidawa wangu ASHA
Sema bit Ni kali
Sjui mmeenda wapi jmn tunamiss good music kutoka kwenu
Nimerudi 2024 ngoma noma kwakwel
Huu mwaka umeisha lakn naweza sema hi i ngoma pamoja na kua ni ya kitambo imenifungia mwaka
2021 npo hapa dada yetu Shaa where are you
Leo tarehe 27/03/2023 nimeusikiliza tena huu wimbo.! Daah.! Hatare
Izzo Yuko vzr Sana sijui hata kwann Hawa watt wakina hamorniza wanakuaje mastar na kazi mbovu
We guys make gud couple imeuuuuua sannnnnnaaaaaaaaa
Tweny twenty still on top🔥🔥🔥
Izzo bizness. Mbeya city boy!!!! You kill it, Guuuuud kila kitu ujueee nn hizo flooo zako is so unique no one mwenywe anaweza flooo kaaa ww vileee vionjo vionjaa kwenye ngomaaa utaaaasikiaa ahaaaaa,, mbeyaaa city on the top as a told you before,,, hizo hapo keep it higher,, bro Mbeya city represeeeee #Kashuloya #Kidawa_for _ever_ men #mr_X_Mass #Izzo_no_1_wengn_watafuata
Nimerudi hapa 2023 hii 🔥🔥 Sema jamani hii chorus ni 🔥🔥
Afu motto Shaa pale kati ametisha ile mbayaaaaa yani e bhana Holland tcha ma boy Macco chall
Mama aliniita kidawa, kweli kwako nimekuw dawa,,,,
Wimbo kidawa mzuuri mno hongera bizzo na shaa
Rapha d bluz Arusha Town .. wangapi tumerudia kuskiliza tena 2021
Izzo ishi sana popote ulipo,love you brother 😊
Izzo ebu fanya uje Dom bhana tumekumiss xna hasa """kidawa"""
ahsanteni sana kwa hili goma#IZO+SHAA...........
@IzzoBizness
9 жыл бұрын
Ahsante sana.
@amediasamedias8231
9 жыл бұрын
sawaa mkuu..
Kama kuna ambao wanaisililiza hii ngoma mpk Sasa 2020 gonga like
hahaha nliona kene fnl kipande nkakusikia unasema unataka ona mwanamke akisimama kene nusu ya wimbo huku unachana kidogo,finally i have my audio,asee bra we ni designer kitu kimetulia mulemule kama ulivotarajia..keep it up,,,mlitulia na shaa alijua nini anakuja fanya...waiting for the next audio...husiniangushe ati
Jamani mimi huu wimbo naupenda kweli lakin nimejarbu kuutafuta mtandaoni sjauona
Ngoma bado kariiiiii inavutia machoni mpaka masikioni tamu
tulale njaa lamda mipango ya mwenyezi.nice bro.
Bado nipo hapa 2024
shaa ni nouma koras kaua kinoma
@IzzoBizness
9 жыл бұрын
Ahsante sana.
Chief umegundua za mapenzi ndio zinauza eeeeh????? hongera! very sweet song, you did it again baada ya uleeeee
@IzzoBizness
9 жыл бұрын
Ahsante sana.
bro bonge la ngoma izzo ningependa ungefanya collabo nyingine na shaa sauti yake ni hatari
Vipi? Mimi nataka tu kutoa mwaliko kubwa nje kutoka Marekani . Mimi upendo muziki wako dude yangu. Keep it up na mimi kushika zifuatazo wewe. Nilikuwa wimbo huu kupata mengi ya wanawake African idadi faini simu . Baraka na wewe kutoka kijana wako in U.S.A.
uvaaji wa nguo zenu nimeupenda sana kwakwel kila kitu ubufunifu bhna
Big up sana kaka saut hy ya huyo Shaa nmeipenda sana
Father wa Trap Beat Bongo na East Africa
Dah Chiku nilikupenda sema hukuwa ridhiki yangu ....Mungu akupe afya tele katika familia yakoo.....Ameen.
Kidawa ametulia brother na kweli amekuwa dawa big up , big 5 uko juu.
jaman penda sana,wimbo huu..bigup izzo
Nyimbo kali sna na mashairi yaliyotulia ,kuanzia vers hadi chorus
nasikiliza hii nyimbo sichoki yaani kiukwel ts best song ever big up bro.. keep t up nimeipenda sanaaa
Bado ni kali sana mpaka leo
Oh boy, beat, verses, chorus, bridge everything 101%. This is my jam now
BRO IZZO B, BIG UP SANA KWAKO MAANA KILA NGOMA YAKO NAIKUBALI SANA
Nakukubali sana brother hasa hili pini kidawa so noma
Wow nazipenda saana nyimbo zako izzo hata huku belgium tunazipenda saana big up uendeleye uzidi kusonga mbele
@IzzoBizness
9 жыл бұрын
Ahsante sana
Still watch this mpka Leo 2019
ngoma nalielewa saaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaana bonge la dudeee
Kama mpaka 2019 bado unaangalia mziki mzuri kutoka kwa Izoo na Shaa na unakubali combination yao na unashauri watoe ngoma nyingine gonga like
kaka hii kazi nilikuwa sijaisikiliza ila leo ndo nimeiona na kweli ni track ya kusikiliza siku nzima uchoki,kazi imesimama sana
Much luv 2 u guys mnajua xana mmeukonga moyo wa mie jaman dah!
Napenda saut ya shaa kweny ngoma hii
Yani semu yangu nimeweka hiyo song too naskiliza kila siku na kila time big up baba kidawa
Kidawa Mitano tena 2021
Kk ulitulia sana kwenye hii ngomaaaa
Shaa's voice and fineness-ness isn't talked about enough🙌🏾🙌🏾
Km upo na bebe bebe na unamuongopea kwa gheto et ooh hakuna km ww , we endelea kusikiliza kidawa
Eti wew kwangu nidawa njoo nikuonyeshe mashape hatar 2022 tuko pamoja
daaah holla at you bizness mbeya boe....ngma kareee san aan ## kidawa
@IzzoBizness
9 жыл бұрын
Ahsante sana.
dah..!! cyo siri imekaa poa saana keep it up bro nmeipenda kazi yako na huwa nazikubali saana kazi zako kiukwel haubahatishi kaka unajua unacho kifanya vzr saana
kind of rap i like.izzo uko juu.nice vocals from shaa.this song inaweza kabisaa
Kwa niaba ya Wahenga na wazee Wetu wote Afrika Mashariki na kati, Still 2023 and it's still a HIT.. Tawilee..!
huo ndo mziki ambao tunauhitaji katika karne ya leo sio kutuimbia ngumu tukashindwa hata kucheza.hongera sana kijana kwa kuleta mabadiliko katika sanaa yetu halafu nakupa kazi kawaambie wengine waige mfano wako kwa kazi nzuri kama hii.halafu izzo naona ngoma hii ya ki utu uzima sana iko powwwwa
@IzzoBizness
9 жыл бұрын
Ahsante sana
safi sana izzo b.... nyimbo iko poa sana kaka
@IzzoBizness
9 жыл бұрын
Ahsante sana.
Naikubali hii ngoma vibayaa
Hii hapa tena 2021...nani mwengine..gonga like kwa ngoma kali
Izzo b kaka lao ,Izzo brother Izzo whatever hahahahahhaha Noma homie ,Nimeiangalia once more leo so nimepata hope ya maisha kubwa despite ya ups and down zinazonichallange, Coke boy Izzo B
Shaa katishaa, vdeo ok,mrembo anaeimbiwa katulia.,
When you miss good music njoo hapa
Izo biashara unaweza toka unaanza...mpaka tuliko now ningoma Kali tu unajua soma nyakati...experience is wisdom... Thanks
nimekubaliiiii 100%
@CHABUWILLY
29 күн бұрын
Gambo wapi???
Huyu ndo izzo ninae mjua mimi twende sawa 2020
Naiangalia hii ngoma 2021/9/25 ila naona Kama imetoka Jana. Wallahi mziki mzuri unaishi Daima. Big up mno Broo Izoo B
Tulio Rudi kusikiliza mziki mzuri 2021 like hapa👍👍
Da sichoki kusikiliza nyimbo hii
Respect sana Mr izzo toka enzi za tenzi za mapenzi mpaka kidawa hujawahi haribu ebwana much love to u Broo.
bonge moja la ngomaaa__bigup izzo b
@IzzoBizness
9 жыл бұрын
Ahsante sana.
kweri izo bisiness watakukubali
Be the way Dupy aliumiza sana humu had kuna siku nikamwambia anakupendelea sana,It is your Young bro and your number one Fan dunia nzima ....Much respect to you Coke boy ,Kaka lao,Presenter ,Ball player ,Sprite ambassador sema ila tangazo ya sprite ilikuwa hatari naitafuta kinyama yan ,Izzo Business ,Mbeya Boy
Kidawa 2023 ⭐
Huu wimbo❤❤❤❤❤❤😢😢😢😢
izzo kiukwel nakukubali sema tu uko kimya sana
bonge la video, bonge la track yani tisha sanaaaaaaaa!!!
@IzzoBizness
9 жыл бұрын
Ahsante sana.
izzo unajua hadi waniboa....shaa did amazing chorus....i pray God gives u strength utupe vitu vikali vya namna hii! kidawa....
Kaka umefanya ngoma Kali saana pamoja na shaa yaani kwel daah natamani kuwa kidawa kwa jins ulivyo msifia hahaha zidi kutoa .....pia mavazi yametulia Big up 2 all of u😘😘😘😘😘
'' Mama aliniita kidawa kwel kwako nmekua dawa... Ww kwangu km..... Kwny sherehe nkufungue ww''yaan napenda hii mistari bro izo ukukosea kitu apo na shaa kai present ipasavyo I really like the song kw maneno flan amazing, kila song ukiwepo unaitendea haki but skufichi kidawa and love me is my best song kwako keep it up brother penda xna ww..!!
hongera sana blazaaa....this song is gwuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuud
Kama unaiangalia hii nyimbo mwaka huu 2021 gonga like twende sawa
Mpaka sasa hii ndo kazi nzuri nimeiona this year! Keep up bruhh.. Mbeya city uuwiiiih
this song's melody reminds me the song of big time rush halfway there