ISHARA MIUJIZA NI KWA WOTE WAAMINIO

Музыка

ISHARA NA MIUJIZA ZITAFUATANA NA WAAMINIO SIYO (manabii mitume maaskofu wachungaji peke yao?) HAPANA.
Marko 16:17-18
[17]Na ishara hizi zitafuatana na hao waaminio; kwa jina langu watatoa pepo; watasema kwa lugha mpya;
[18]watashika nyoka; hata wakinywa kitu cha kufisha, hakitawadhuru kabisa; wataweka mikono yao juu ya wagonjwa, nao watapata afya.
#isharamiujiza
#waaminio
#MtumishiMunishi
#ChinaTiktok
#UsaUktiktok
#TanzaniaTiktok
#kenyaugandatiktok🇰🇪🇺🇬

Пікірлер: 2

  • @mariyammaria669
    @mariyammaria6694 ай бұрын

    Amen mtumishi wamungu🙏

  • @BavugwaAimee-jv2nw
    @BavugwaAimee-jv2nw4 ай бұрын

    Amen 🙏 ❤be blessed

Келесі