ISHARA MIUJIZA NI KWA WOTE WAAMINIO
Музыка
ISHARA NA MIUJIZA ZITAFUATANA NA WAAMINIO SIYO (manabii mitume maaskofu wachungaji peke yao?) HAPANA.
Marko 16:17-18
[17]Na ishara hizi zitafuatana na hao waaminio; kwa jina langu watatoa pepo; watasema kwa lugha mpya;
[18]watashika nyoka; hata wakinywa kitu cha kufisha, hakitawadhuru kabisa; wataweka mikono yao juu ya wagonjwa, nao watapata afya.
#isharamiujiza
#waaminio
#MtumishiMunishi
#ChinaTiktok
#UsaUktiktok
#TanzaniaTiktok
#kenyaugandatiktok🇰🇪🇺🇬
Пікірлер: 2
Amen mtumishi wamungu🙏
Amen 🙏 ❤be blessed