#IRINGA

Tukio hilo liliongozwa na Askofu Mkuu wa Kanisa TAG, Dk.Barnabas Mtokambali.Viongozi waliosimikwa ni Askofu wa Jimbo, Mchungaji Florian Swenye, Katibu wa Jimbo, Mchungaji Jonathan Dallu na Mtunza Hazina wa Jimbo, Mchungaji Chavala.

Пікірлер