#IRINGA

Maadhimisho hayo yalifanyika Juni 13, 2024 katika Kanisa la TAG Mlandege ambapo mgeni rasmi alikuwa ni Askofu Mkuu wa Kanisa hilo, Dk.Barnabas Mtokambali.Maadhimisho yaliambatana na matukio ya kuwasimika viongozi wapya wa Jimbo la Iringa Kaskazini pamoja na kuwaaga viongozi waliomaliza muda wao yaani aliyekuwa Askofu wa Jimbo, Dk.Jonas Mkane na Katibu wa Jimbo, Dk.Raphael Kitine.

Пікірлер

    Келесі