Inawezekana Kufikia Malengo Yako Usikate Tamaa Joel Arthur Nanauka

🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Пікірлер: 630

  • @raginauthor1881
    @raginauthor18815 жыл бұрын

    POWERFULL WORDS. Nguvu ya kusaidia wengine huongeza marambili nguvu ya kujituma kwako kwani itakuingia moyoni na akili kwamba wapo wengi watakao hitaji msaada wako na kukupa nafasi ya kushukuru kwa hapo ulipo. Kitu pekee tunachosahau ni kwamba Kila unayekutana naye analo la kukufunza mbali na vile ambavyo unamtazama. nimejifunza mengi sana, Dima kuna wazungumzaji wengi ambao nimewahi kuwasikia, kama unakumbuka nilishwahi kukueleza mara ya kwanza kabisa kabla hata kitabu cha TIMIZA MALENGO Hakija toka, kulipokuwa kwenye promotion, kwamba wazungumzaji wengi au wajasilia mali wengi, wanafundisha sio yake wanayoishi au kuyafanya ndio maana wengi wakisoma kazi zao hakuna mabadiliko, but tangu nilipoanza kukufuatilia nikakubali kwamba sasa yupo mzungumzaji Tanzania

  • @charlesjoseph2477

    @charlesjoseph2477

    5 жыл бұрын

    thanks

  • @mosesrichard459

    @mosesrichard459

    4 жыл бұрын

    Unaweza!

  • @katsongowasi

    @katsongowasi

    Жыл бұрын

    Nafurai

  • @issashekh9437

    @issashekh9437

    8 ай бұрын

    Thanks

  • @MustafaShomari-nh7pn

    @MustafaShomari-nh7pn

    6 ай бұрын

    🎉 l0

  • @levinamrema8
    @levinamrema82 жыл бұрын

    Nataka niwe motivation speaker nifanyee mambo gani

  • @user-zn1uv7lr4w

    @user-zn1uv7lr4w

    2 ай бұрын

    Vizuri Sana Kila kitu kinawezekana endapo wewe mwenyewe ukiamua Jambo la kwanza la kufanya motivation speaker unae mjua ili akupe muongozo Jambo la pili ni kusoma vitabu vinavyo husiana na motivation speaker Na jambo la tatu ni kununua course mtandaoni zinazo husiana motivation speaker

  • @mercypedha5519
    @mercypedha55195 жыл бұрын

    The biggest enemy that is killing my dream is Myself ! There is always a potential but we are afraid to fail and learn ! I must step out of my Comfort zone! !! Thank you Hon.Joel 🙏🏿🙏🏿🙏🏿💕

  • @revocatusclevery1540
    @revocatusclevery15405 жыл бұрын

    dah!! hii hakika ni passion yako🙌 Mungu akutunze ndugu yangu,, unafanya kwa kiwango cha juu sana..! A man of de impact ( a strong effect)

  • @safiaabubakar1120
    @safiaabubakar11205 жыл бұрын

    Haijawahi kutokea kuskiza vipindi vyoko Joel nikamwagika machozi kama leo Wallah nimelia imenigusa in my heart

  • @peterswai391
    @peterswai3912 жыл бұрын

    Nice fact kaka God bless more brother Dodoma Tanzania

  • @abdulkadirmwalim24
    @abdulkadirmwalim244 жыл бұрын

    Safi sana kaka kwa kweli umebarikiwa na huna hiana kutowa kwa hicho ulicho barikiwa na mungu. Mungu atazidi kua na ww na pia akuzidishie kipato cha halali ili uweze kuendesha familia yako.

  • @carolineifee800
    @carolineifee8004 жыл бұрын

    Aky nimekupenda bure kwa maneno mataaaano sana ya kutia mtu moyo wallai thanks so much and god bless u

  • @neemaerasto1842
    @neemaerasto18424 жыл бұрын

    Mungu akubariki sana maneno yako yananipa nguvu ya kufanya mambo kwa kujiamini sana sitakata tamaa be blessed more

  • @successpathnetwork
    @successpathnetwork5 жыл бұрын

    Kaka this is deep, deep very deep!!!

  • @najmabajun202
    @najmabajun2025 жыл бұрын

    daaaah nime anza kukufatilia na hakika nikifatisha vyema masomo unayo tufunza wallah nitafika palenapo taka fika shukulan my brother 🙏🙏🙏 ume nifungua mengi

  • @officialnuh7217
    @officialnuh72175 жыл бұрын

    Cube!!!! Kibaha sec school, umenikumbusha maisha ya Mapisi na kila kitu pale kibaha sec school!!!! God bless you, Wakati nipo pale kibaha sec school nliwahi kuugua na Sina hata sent moja, rafiki angu mmoja alinisadia pocket money yake ikaisha na akawatafuta na wengne

  • @kwizboy7449
    @kwizboy74495 жыл бұрын

    Asante xn kwa ujumbe mzuri kaka Joel lakn unaongea sana kizungu kwa mama yangu pale kasulu anashindwa kuelewa kizungu kinachukua nafasi kubwa mbaya zaid unapofika kwenye point unaongea xn kizungu

  • @isakamuyagala8717
    @isakamuyagala87172 жыл бұрын

    Mungu akubaliki kwa kazi njema ya kuelimisha jamiiii iliyopotea

  • @fidestamhina4063
    @fidestamhina40635 жыл бұрын

    OMG..asante kaka, nimechelewa kusikiliza hii lakin umenisaidia kwa kiwango ambacho hakielezeki, asante

  • @davidbrahi1485
    @davidbrahi14854 жыл бұрын

    Kaka upo vzur sana unanipa nguvu ya kutafta zaidi na zaidi

  • @filbertnashon7160
    @filbertnashon71605 жыл бұрын

    JNanauka,huko vzr usikate TAMAA songa mbele,UMETUHAMASISHA SAANA😍

  • @benjamininyambaso5041
    @benjamininyambaso50415 жыл бұрын

    Jamani hayaa madinii hatarii sanaaa,big up my brother joel nanauka kwa kuzidi kuniongezea maarifaa kila cku mungu azidi kukipa power.

  • @charlesfaida1515
    @charlesfaida15154 жыл бұрын

    Daaa!!! Teacher hapa ulitema madini mwanzo mwisho unaongea vitu hadi nahisi upo mbele yangu Kaka, "GOD BLESS YOU MY TEACHER OF MY LIFE"

  • @judithmtaliki2860
    @judithmtaliki28605 жыл бұрын

    safi sana nimejifunza vitu vingi leo kupitia somo lako

  • @issackmbotera5261
    @issackmbotera52615 жыл бұрын

    Nimejikuta asilimia 90 ya ulichokizungumza kinanigusa! Hongera sana kwa kipaji ulichonacho

  • @eliezermtokoma2057
    @eliezermtokoma20575 жыл бұрын

    Kaka nakuelewa saana ipo siku nitatoa ushuhuda kwaajiri yako MUNGU akutunze

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa66685 жыл бұрын

    Nanauka MUNGU AKUPE HAJA YA MOYO WAKO ,KWA JINSI UNAVYOTUPA VITU VIZURI VYA MAISHA, BE BLESSED JOEL

  • @aaaavvvv4261
    @aaaavvvv42615 жыл бұрын

    Wao sikujuwa hii mambo bt sifi moyo mwalimu mzuri mungu akubariki na kuepushe na shari nmejifunza mno mengi

  • @bck8163
    @bck81635 жыл бұрын

    My friend nimepata mtu ambaye ameniambia ukweli na ni wewe keep it up man of God

  • @mohammedyassin8786
    @mohammedyassin87865 жыл бұрын

    Mr joeli uko vizuri sana sema punguza vingereza maana wengine hatujui kwaiyo tunaitaji tuerewe mwanzo wakipindi hadi mwisho wakipind

  • @mosesanosa9956

    @mosesanosa9956

    4 жыл бұрын

    Mohammed Yassin umejuaje

  • @erickambrose7669

    @erickambrose7669

    4 жыл бұрын

    Haaaa

  • @gmaemba22
    @gmaemba224 жыл бұрын

    Joel umesoma kibaha mwaka gani.? Nadhani nitakua nakufahamu maana mimi sio tuu nimesoma kibaha bali natokea kibaha. Nimesikiliza hii speach imenifundiasha mambo mengi sana. Thank you brother. I would like to meet you when I come back home. Cheers

  • @josephkessy5486
    @josephkessy54865 жыл бұрын

    You are making me Joel. One day I will invite you in my graduation of the classes you are teaching me.

  • @aderiderkihupi7240
    @aderiderkihupi72402 жыл бұрын

    Napata hamasa sana nikiangalia mafundisho yako. Mwenyez Mungu akujalie daima

  • @abuuharuna4278
    @abuuharuna42785 жыл бұрын

    iyo ni kweli kuna wengi tunajidhalau wenyewe ndo maana wengi tunakufa na malengo yetu bila hata kuyanusa na wengi tunavipaji ila hatuvinoi vipaji vyetu ndo maana havitusaidii kufikia malengo ila naamini wengi tutafanikiwa kupitia wewe na mafundisho yako

  • @mekujose8532
    @mekujose85324 жыл бұрын

    Nafurahia masomo yako sana brother,keep it.

  • @sebastianmassawe9527
    @sebastianmassawe95275 жыл бұрын

    Asante kaka Joel kwa somo zuri umenigusa sana kwenye mwaliko wako ulionyesha vitu ambavyo watu hawakutarajia,

  • @favourspapatv
    @favourspapatv4 жыл бұрын

    Maneno yako yanapiga Kama mawimbi ufukweni kwa samaki anayekaribia kukata tamaa.Kongole Sana Mkuu.

  • @racheltanzania3198
    @racheltanzania31985 жыл бұрын

    Joel nakufatilia sana na ujawah kuniangusha asante sana

  • @ndarojuma5128
    @ndarojuma51285 жыл бұрын

    Kaka nimeanza kufanya ujasiriamali kwa bahati mbaya nikapata hasara kweny biashara yangu real be honestly nilvunjika moyo lakini kupitia video yako naamini ninaweza na kuna engi nimejifunza. Stay blessed brother.

  • @mosesallanadam1955
    @mosesallanadam19555 жыл бұрын

    Safi sana, yaani nimechukua muda mfupi na kweli umeshusha madini!

  • @luciewajesus731
    @luciewajesus7315 жыл бұрын

    I can't wait to subscribe I need more of this wisdom ❤❤😍😍

  • @ezekielmwasamboma9953
    @ezekielmwasamboma99534 жыл бұрын

    Hapo penye tofauti kati ya WISHES na GOALS nimepata kitu muhimu mno! Stay blessed brother Joel.

  • @b5342s2
    @b5342s25 жыл бұрын

    unafundisha vizuri Sana Ila kingereza kingi wakati unafundisha wenye Elim nawasio naelim mungu akubariki

  • @adrianaciku1812
    @adrianaciku18125 жыл бұрын

    Ooooooooooh yes this is so good to start my day.first i want to thankyou for motivatin us ..u have no idea how u have helped me to become the person iam today m fearless and doin my purpose..this is best channel ever it has enabled me to change my mind...have been employed for years but through listenin to i have realised i was doin the wrong work i have learnt alot from this tv and m a changed gal...ooh team joel let us meet at the top..may God bless u

  • @cindymacho5282
    @cindymacho52825 жыл бұрын

    good good naacha kuwaangalia wadangaji ngoja nipate maarifa Mungu akubariki

  • @carolineifee800
    @carolineifee8005 жыл бұрын

    Asante sana ju nilikuwa mnyonge lkn niliposkia mafunzo yako nikapata nguvu mpya

  • @hannahmichael2008
    @hannahmichael20084 жыл бұрын

    baba unanibariki sana one day I will reveal this to the world ... thank you ...

  • @user-zn1uv7lr4w
    @user-zn1uv7lr4w5 ай бұрын

    Nashukuru sana kwenye video nimejifunza hizo hatua But it's very powerful Na miongoni mwa kitu cha thamani zaidi nilicho jifunza ni kwamba ili ufanikiwe katika kila nyanja Lazima uhitaji mtu wa kuku'coach kwa mfano Life coach mfano Nanauka Online business coach mfano Dr.said said Relationship coach mfano Chris mauki Spiritual coach mfano...... Health coach mfano ......... n.k Ahsante

  • @rahemaseleiman635
    @rahemaseleiman6354 жыл бұрын

    😥😥😥nilikua na huzun Sana ila umenisaidia kusimama tena mungu akutie nguvu

  • @yusufally6853
    @yusufally68534 жыл бұрын

    Mashallah wallah ALLAH gives jannat Firdausi... Be thanks a lot for learns big profit and target.. For ho to start in my life.

  • @shantaaswad9523
    @shantaaswad95235 жыл бұрын

    Am glad l come across this channel, very educative, watching from Oman, jamaani unazungumza Kama marehemu Kanumba

  • @mwlrobinson
    @mwlrobinson2 жыл бұрын

    Hiii speech Ina nguvu ya kumbadilisha mtu endapo atatekelza what spoken ♥️🙏🧠

  • @rhinaregina5806
    @rhinaregina58065 жыл бұрын

    Amen Mungu akubariki Sana kaka Mungu akubariki Sana wow God bless you

  • @meryanmwailakale670
    @meryanmwailakale6703 жыл бұрын

    MUNGU akupe maisha marefu uishi miaka mingi kaka joel, BARIKIWA SANAA

  • @lucymgata9721
    @lucymgata97214 жыл бұрын

    Yàani wewe kaka.Mungu akubariki sana

  • @amarismedia146
    @amarismedia1465 жыл бұрын

    Brother Joel For sure you have finished this presentation is marvellous, umetisha kaka hatari Five things so strong Be blessed so much brother

  • @sebastianmsuya25
    @sebastianmsuya255 жыл бұрын

    Joel ndugu yangu ujumbe umeshiba mno, nitausikiliza tena na tena na tena, naomba nijue kitabu cha malengo nakipata wapi kesho asubuhi mapema

  • @leticiampeka1488
    @leticiampeka14885 жыл бұрын

    Thank you so much, may God bless your work brother!

  • @simonfredy2324
    @simonfredy23245 жыл бұрын

    Duuuuh #kakaJoel!!... Sio tu kupata mafunzo mazuri....Lakin pia unauzungumzaji ambao hata kama nilikua busy lazima nitulie kusikiliza.... Nafikiri ni uwezo wa kipekee aliokupa Mungu na Kuna Mbegu umeipanda kwangu...Thank you so much!!

  • @DoubleDD355

    @DoubleDD355

    5 жыл бұрын

    Tanzania vs lesotho

  • @msafiriramadhani3339

    @msafiriramadhani3339

    5 жыл бұрын

    Deus Denis Uko Lesotho Deus?

  • @hajijumanne387
    @hajijumanne3875 жыл бұрын

    Nimekuelewa sana kaka safi sana najifunza sana mambo toka kwako kaka asante

  • @peterdani6244
    @peterdani62445 жыл бұрын

    2019 nimependa sana mafundisho yako we we ni mwalimu ubarikiwe "god" bless you. "descover your life purpose" Amen,Amen, Amen.

  • @philbertm.kajuna7549
    @philbertm.kajuna75495 жыл бұрын

    This is the Best speech, A transforming speech, The one to immerse and bathe myself in. Thank you sir!

  • @mercyadam9803
    @mercyadam98035 жыл бұрын

    Nimegundua Mungu hawezi kufunua siri kwa mtu mchoyo utoaji wako pia umekufikisha hapo

  • @evanswere3719
    @evanswere37195 жыл бұрын

    Wonderful message! Watching from Stuttgart Germany

  • @mawazoamily2678
    @mawazoamily26785 жыл бұрын

    Very talented person wonderful........ Deep Ideas I think there is a some thing to do in our universités..... Hiki ni kitu ambacho tunatakiwa kufundusha vijana wetu....... Am sure we Will change

  • @khalfanomar7665
    @khalfanomar76654 жыл бұрын

    Kumbe hata mimi ni naweza naahidi Mwenyezimungu amenipa kipaji snipe nguvu nitaonesha uwezo wangu

  • @anthonykimaro807
    @anthonykimaro8075 жыл бұрын

    Thanks much dear brother nimebadilika zaidi ubarikiwe Sana.

  • @lissadanford3931
    @lissadanford39316 ай бұрын

    5 years ago when I was 17 yrs nilisikiliza hii video mara kadhaa nikiwa nauza juice kwa kutembeza .... Leo Nina ofisi yangu dodoma nikiwa na 23 yrs ubarikiwe sana

  • @shaibumahanda6501
    @shaibumahanda65015 жыл бұрын

    Daaaa umenigusa sana aiseeee najikuta naenda kazii narudii coz natural ya kaziii ndo ilivyonishape

  • @salimkhamisi6490
    @salimkhamisi6490 Жыл бұрын

    Thank you so much from now ntayafanyia kazi maneno yko inshaallah ntafanikiwa kutimiza malengo yangu

  • @hafsacletty1519
    @hafsacletty15195 жыл бұрын

    Mashaallah M/mungu Akuongezee Ufahamu.Shukrani.

  • @mandyfitnesstv6738
    @mandyfitnesstv67385 жыл бұрын

    Umekuja wakati muafaka sana katika maisha haya magumu. Ahsante Kwa Elimu hii kaka

  • @beatricemakundi5312
    @beatricemakundi53125 жыл бұрын

    ubarikiwe sana..maneno yako yana nguvu ya kufundisha na kumpa mtu uthubutu

  • @rizikifumao3685
    @rizikifumao36855 жыл бұрын

    asante kwa ujumbe mzuri

  • @kingoman7895
    @kingoman78955 жыл бұрын

    Asante sana kaka joel nimejifunza mengi leo hii ubarikiwe sana kaka joel Amiin

  • @frankseleman8930

    @frankseleman8930

    5 жыл бұрын

    Gd

  • @msambachacha8523
    @msambachacha85235 жыл бұрын

    Thanks Mr Joel, I wish your going to be the best mentor in east Africa , but what ican Say's that keep up, sharpen your mind for you follows and teach the wishers who's out of dar , see me at the top, good evening all of you

  • @user-uj5zs8nc5k
    @user-uj5zs8nc5k5 ай бұрын

    Kwa kwer Nime pata kitu Mungu aenderee kuku kuza zaidi

  • @magrethfulgence7888
    @magrethfulgence78882 жыл бұрын

    Asante kaka kwa somo, kitabu hicho naweza kukipata wapi cha timiza malengo yako

  • @jojoembwaga2931
    @jojoembwaga29315 жыл бұрын

    May God bless you may my God continue to shower u with blessings,u your lessons r so inspiring 🙏

  • @hamiysharo2902
    @hamiysharo29025 жыл бұрын

    May god bless u that is gud i like it🙏

  • @nanjingasaidi1257
    @nanjingasaidi12573 жыл бұрын

    Thank you broh god bless u for your work of telling and inspiring pple abt success

  • @juhudiacademy2170
    @juhudiacademy21705 жыл бұрын

    Great brother. Continue to focus on telling people your real stories rather than telling people someone's story. People will change their life through your story. Congratulations.

  • @charlesngofilo4581
    @charlesngofilo45815 жыл бұрын

    Kaka hakika kipaji ulipewa na una kitendea haki BARIKIWA SANA

  • @salmambabazi1312

    @salmambabazi1312

    5 жыл бұрын

    Kaka unatisha mungu akujarie

  • @esterjohn1433

    @esterjohn1433

    4 жыл бұрын

    Barikiwa sana

  • @mariajmwakisavanga7591

    @mariajmwakisavanga7591

    4 жыл бұрын

    Jaman n kwer

  • @ZERUZERUINTERNATIONAL
    @ZERUZERUINTERNATIONAL5 ай бұрын

    Ni Mzunguko Unao Fanya kazi Ktk Ubongo Wang Iv Now

  • @tegemeareuben7618
    @tegemeareuben76185 жыл бұрын

    GOD bless you my dear brother

  • @namsamson3443
    @namsamson34435 жыл бұрын

    Well done young man. You're very very true. I wasted my time for a long time just because sikuwa na malengo

  • @wisdomofbooks6905
    @wisdomofbooks69054 жыл бұрын

    Gundua unaweza kufanya Nini, hakuna mtu aliyezaliwa bila uwezo wowote,Kila mtu ana kusudi lake,haupo duniani kizembe.kila mtu ana uwezo mkubwa Sana,tumia muda wako kuwekeza kwa ajili ya kipaji chako.ongeza na kuuboresha uwezo wako ulinao.heshima kwako Joel Nanauka.Naitwa Hosea.

  • @joynesashery7173
    @joynesashery71735 жыл бұрын

    Honestly speaking mwaka 2019 I started listening many many of you works and their very unique and helpful,one thing I would like to tell you if there is people to who should watch this is Sisi vijana ,most of youth wamerelax sana ,fear to do what we mostly love we ends up coping others idea mwishon tunafeli kwasababu we are doing what is not for us but were leaving into others dream Congrats to you, am learning a lot from your words

  • @stephenchacha5097

    @stephenchacha5097

    4 жыл бұрын

    Great more brw pig up b blessed

  • @florenciaearnest5241
    @florenciaearnest52415 жыл бұрын

    I say I love your motivation. You inspired me.

  • @jano254jayc4
    @jano254jayc45 жыл бұрын

    Av learned more from you brother Joel thanku.

  • @komboomar8275
    @komboomar82755 жыл бұрын

    Mm sina haja ya kutafuta elimu ya maisha kwengine hapa ndio kituo changu cha kujifunza

  • @jacksonkumbi3283

    @jacksonkumbi3283

    5 жыл бұрын

    Kaka Kama una vitabu ulivyo andika kwa kiswaili niambie call 0756170000

  • @benardpaul1271
    @benardpaul12714 жыл бұрын

    Asanteni bro una maneno yahekima mungu akubaliki

  • @akutiboysolomon9418
    @akutiboysolomon94185 жыл бұрын

    I am beguiled with the adorable speech I used to listen it frequently it has an impact in my life,it make me feel lively

  • @kelvinjohn3166

    @kelvinjohn3166

    5 жыл бұрын

    Nice to u blo

  • @levispaultitus8623
    @levispaultitus86235 жыл бұрын

    Ndugu Joel Mungu akubariki Kwa elimu Nzuri.. Mungu atuwezeshe kutendea Kazi

  • @dastanmorice1254

    @dastanmorice1254

    4 жыл бұрын

    ahsante sana kaka nimejifunza sana

  • @AlexNjeje
    @AlexNjeje3 ай бұрын

    As longer as your, you did right things everyday, always i admire you, GOD Bless you , my Coach

  • @ruthkileo4751
    @ruthkileo47515 жыл бұрын

    Antony has motivated me since nikiwa Tusiime high school....... I am a motivational speaker i will meet you guys one day...... I do it in schools i inspire students 😋😋😋😋this speech has changed me i have to work for my goals.......I'm good at story telling woooow

  • @adrianabillia6225
    @adrianabillia62254 жыл бұрын

    One of your best video for me,,,,,,, different between value pride,,,,,,,

  • @user-ol3ib7gm6s
    @user-ol3ib7gm6s5 ай бұрын

    Absolutely mungu akubariki sanaa

  • @bestkimali216
    @bestkimali2165 жыл бұрын

    Bro ningekosa kitu kikubwa Sana, asante nimepokea bro

  • @matendoandrewmgeni1135
    @matendoandrewmgeni11355 жыл бұрын

    daaah! broo katika siku nimetetemeka kwa point zako leo nime bebemeka maana sio kutetemeka khaaa na darasa langu la saba nimejikuta kama mimi ni chuo kikuu! asante..

  • @gloryolomi7
    @gloryolomi75 жыл бұрын

    This talk is remarkable!! It is one of the stairs to my home!! Am just lucky to have a big brother like you😍😍...... Oh and the cover photo kwa this video is beautiful😂😂😂😂

  • @hildahillary9586

    @hildahillary9586

    5 жыл бұрын

    nimekuona😍

  • @merclyinga5097

    @merclyinga5097

    4 жыл бұрын

    Nice

  • @atubeka9317

    @atubeka9317

    4 жыл бұрын

    Nimefurahi sana kusikiliza mafunzo yako

  • @gracevalentine4234
    @gracevalentine42345 жыл бұрын

    Daaah, ubarikiwe sana kaka yngu Joel, Mbegu ambayo Mungu ameweka ndan yako iendelee kuzaa, kizazi hata kizazi

  • @msleny6767
    @msleny67675 жыл бұрын

    So powerful words,it change my thinking upside down,inside out and starting thinking afresh. This is all I wanted before the end of my season on planing and goal setting Thank you Joel Arther,there was a catch in your words👍👌

  • @edgarchristopher4393

    @edgarchristopher4393

    5 жыл бұрын

    Good mami Mungu akupiganie zaidi

  • @msleny6767

    @msleny6767

    5 жыл бұрын

    @@edgarchristopher4393 Asante, nawe pia

  • @dennischarles8524
    @dennischarles85245 жыл бұрын

    Nice,ningekushauri uweke captions kwenye kila neno kwa kiingereza mafundisho haya yatapendwa na watu wengi hapa duniani