INASIKITISHA!! KONTAWA ASIMULIA MSANII ALIYETAKA AIMBE NAE NGOMA YA BINADAMU KABLA YA HARMONIZE
Ойын-сауық
INASIKITISHA!! KONTAWA ASIMULIA MSANII ALIYETAKA AIMBE NAE NGOMA YA BINADAMU KABLA YA HARMONIZE
#diamondplatnumz #harmonize #wasafifm #wasafimedia #wasafitv #binadamu
Пікірлер: 44
KATI YA KONTAWA NA YOUNG LUNYA NANI MKALI ZAIDI?
@BonifaceKamsini
Ай бұрын
0te
@Coven_Tv
Ай бұрын
Kontawa, anazo touch flani hivi za inspiration
@Khany_voice417
Ай бұрын
Acha ujinga, kufananisha MBUZIII na BINADAMU,,😂😂 me nachekaga tu. KONTAWA my brother tutakutana siku1 studio 🎙️
@abubakarsuleman1983
Ай бұрын
Emu usizingue kontawa huwezi kumsimamisha na watoto wadogo , tena ukome usituvunjie heshima.
@samuelmwatsuma4462
Ай бұрын
Young Lunya ako vizuri,. hip hop commercial ya kisasa hawa wengine wanapiga ile ingine ya kina lord-eye
Ama mnataka yesu arudi anikute bado sijaoa nakubali hio verse❤
Kwa Mbali kama namsikia my brother Chi chi chiriririii😅🔥 One love from Mozambique my brother kontawa ❤ Like kama na wewe umemsikia 😅
Kontawa ndo mkali kwani akuna msanii namkubali kama kontawa apa Tanzania kontawa namkubali sana ngoma zake mungu azidi kumpa uwezo zaidi Kwa majina naitwa saidi mapemba
toa ngoma mwanangu 💪
Toka nimeidownload Binaadam halijatoka on repeat.classic beat great lyrics.congrats
tunakubari ngoma zako sana
Namkubali❤ sana kontawa
Mbuziiiiii
oy kontawa next toa nyingine
Jeshiiiiiiiii
Kwan mnacho kiongea mnakielewa? lunya namba nyingine contawa bado sana kumlinganisha na lunya, ndio anajua ila bado awez kubato na young lunya.
kontawa ni mwamba
Kontawa bro Una weza🔥🔥🔥
Mr Dunga Mawe🎉🎉❤🎉
Firee
Unasemaje binadamu haijawahi kusikilizwa wakati binadam kazi ya J nature unaacha wapi?
Namkubali sana Kontawa❤
Chemiy🤣kumekucha
❤
@harmonize ni mwamba na bado hamjakubali....MTAKUBALI...
Hili dude lipo vzur kwa ajili ya kondeboy
Kaka tawa
Kontawa we noma tumekukubali msumbiji pia
Tawa anavitu vingi ukimsiliza kwa umakin utamuoelewa
Bloo nakuku bali sana😮😮😮😮
kontawa
Kontawa
TAWA
😂😂
Tembo 🐘
Kuna mtu anachogo, hayaa
Kontawa muyama
Kontawa bro Una weza🔥🔥🔥