IMANI NA UFAHAMU (III) - PASTOR SUNBELLA KYANDO
KANISA LA REALITY OF CHRIST MINISTRY (ROC) LIPO SINZA MORI DAR ES SALAAM LINAONGOZWA NA WATUMISHI WA MUNGU PASTOR SUNBELLA KYANDO
UNAWEZA WASILIANA NASI AU KUTUMA SADAKA YAKO KWA NAMBA HII : 0657 173 322
Unaweza kutufuatilia katika mitandao yetu ya kijamii
Like our Facebook: / therealityof. .
Follow our Instagram: / realityofch. .
Subscribe our KZread: kzread.info/dron/67L.html...
#sunbellakyando #pastorsunbellakyando #pastorjohnsembatwa #realityofchrist
Пікірлер: 6
Hii elimu ni kubwa sana nadhani katika channel hii nzima hili somo ndio zito kuliko masomo yote uliofundisha... Hapa mtu utaelewa jinsi ya kujinasua kwenye vifungo vingi..if you know the knowledge then you are free
Ninapenda huyu pastor Mungu Hupe ufunuo kweli kweli
Namshukuru sana Mungu kwa ajili ya kuachilia hili neno kwa mtumishi wake. Naamin kwa Imani ufahamu wa neno la Mungu kuhusu shida yangu nitatoka hakika
Niko Kenya na ningependa kukutana na mtumishi SUNBELLA ningeomba ni siku gani ya kumpata.
@maureenmugambi8631
4 ай бұрын
Nitawasiliana na wasaindizi wake Kwa nambari ipi?