IMANI NA UFAHAMU (III) - PASTOR SUNBELLA KYANDO

KANISA LA REALITY OF CHRIST MINISTRY (ROC) LIPO SINZA MORI DAR ES SALAAM LINAONGOZWA NA WATUMISHI WA MUNGU PASTOR SUNBELLA KYANDO
UNAWEZA WASILIANA NASI AU KUTUMA SADAKA YAKO KWA NAMBA HII : 0657 173 322
Unaweza kutufuatilia katika mitandao yetu ya kijamii
Like our Facebook: / therealityof. .
Follow our Instagram: / realityofch. .
Subscribe our KZread: kzread.info/dron/67L.html...
#sunbellakyando #pastorsunbellakyando #pastorjohnsembatwa #realityofchrist

Пікірлер: 6

  • @champion.906
    @champion.9062 ай бұрын

    Hii elimu ni kubwa sana nadhani katika channel hii nzima hili somo ndio zito kuliko masomo yote uliofundisha... Hapa mtu utaelewa jinsi ya kujinasua kwenye vifungo vingi..if you know the knowledge then you are free

  • @peteroderobarasa5205
    @peteroderobarasa52054 ай бұрын

    Ninapenda huyu pastor Mungu Hupe ufunuo kweli kweli

  • @BeatriceMtenga
    @BeatriceMtenga4 ай бұрын

    Namshukuru sana Mungu kwa ajili ya kuachilia hili neno kwa mtumishi wake. Naamin kwa Imani ufahamu wa neno la Mungu kuhusu shida yangu nitatoka hakika

  • @maureenmugambi8631
    @maureenmugambi86314 ай бұрын

    Niko Kenya na ningependa kukutana na mtumishi SUNBELLA ningeomba ni siku gani ya kumpata.

  • @maureenmugambi8631

    @maureenmugambi8631

    4 ай бұрын

    Nitawasiliana na wasaindizi wake Kwa nambari ipi?