Idhini

Qaswida ya idhini kutoka almadrasatul-rauf-rahim kwamtipura inalazungumzia "tamko la kukubali au kukataa kwa muolewa katika kufunga ndoa"
Iwapo atakataa akiwa na sababu za msingi ni vyema wazazi wadhamini tamko hilo maana yeye ni miongoni mwa wahusika katika jambo la ndoa.
Licha ya umuhimu wa tamko hilo katika ndoa, waolewa wanatakiwa kutii na kuwa na heshima na wazazi wao!!!

Пікірлер: 4

  • @ghaidaabdulrahman1784
    @ghaidaabdulrahman17842 жыл бұрын

    Masha Allah

  • @mrsmohammadnguche4165
    @mrsmohammadnguche41653 жыл бұрын

    Mashaallah nice kaswaida hongereni washiriki wahii kaswaida 🌷🌷🌷🌷🌷🌷🌷

  • @masoudabdallah4645
    @masoudabdallah4645 Жыл бұрын

    Mashaallah

  • @NajmaShabani-od5kx
    @NajmaShabani-od5kxАй бұрын

    Natafuta albam ya hii kaswida