Mpaka sasa hivi mwaka 2024 ndio nyimbo yangu pendwa❤️❤️❤️❤️
@mariajulius5685
18 күн бұрын
😊😊😊😊😊😊tuko hapa2024
@Rumayo_0065 жыл бұрын
2030 I'm here.. wote wanaoikubar ii ngoma don't skip without #like this song..
@aimesamuel64855 ай бұрын
2024 gather here
@nasranyarubindo88583 жыл бұрын
Nampenda sana ibrah mashairi yake yametulia ukiskiliza unapata emotion Kama wwe ndo umetendewa Hilo Jambo yupo vizuri kimuziki namkubali sana
@lizykeswick41226 жыл бұрын
katika nyimbo nilizowah kuzipenda basi NILIPIZE ndo ya kwanza xjui kwa sababu maneno yke yananiusu au tu nmetokea kuipenda tu...daah kwangu me xjaona km NILIPIZE
@hatamimnimempendabulejaman1596
5 жыл бұрын
Ya lizy imechangia Kwa vile yanakuhusu na hata ingekuwa hayakuhusu bado ungeipenda kwasababu ni nzur na ameimba Kwa hisia yani nyimbo wakati unaingia nilikuwa fild zanzibar nilizipenda Kwa Mara moja tangu niisikie ilikuwa unanihusu lakini hata isingenihusu bado ningependa kwasababu ni nzur Sana nikawa namwambiaga rafiki yangu naipenda akasema hata yeye anaipenda
@hatamimnimempendabulejaman1596
5 жыл бұрын
Kuna mdada yule kwenye KAPUNI aliimba akaipatia nikasema kanikumbusha mbali nilikuwaga naitafutaga hii nyimbo sema nikawa sijuwi Jina gani nimefanya kubahatisha nikachukuwa upande wa shairi nikipata nikasema sijuwi nilipize inaitwa. Napenda pale anapoimba nilisema nilipize anavyoanza na Kuna baazi ya mashair nataka kuwa nawe mamito yani mashair mengi mazur
@mesutozil68905 жыл бұрын
Ilishakua ringtone ya kwenye cm yangu zaid ya mala 5 hv nan yuko nami 2020
@gloriouslameck6909
4 жыл бұрын
Hata mm
@mgahetz3654
3 жыл бұрын
Me piah
@dynesshirima5611
Жыл бұрын
Even me
@RehemaEvarist-wo4mj
9 ай бұрын
😢
@timothmwakakusyu4563
5 ай бұрын
kama imekuwa ringtone yako hapo ulipo si salama 😁😁😁😁😁😁😁😁😁
@bakaryiddy4313 жыл бұрын
Huyu ibra nation ndio mwanamziki nnaye mkubali Africa 🌍♥❤👏👌
@musiccaentertainment100k8 Жыл бұрын
Huyu jamaa ako talented sana ❤❤love from kenya 🇰🇪
@allenkalalu60064 жыл бұрын
Massively underrated artist in Tanzania
@alphoncemsale70812 жыл бұрын
2022 now and im still listening to this song. Timeless tune. 🔥🔥
@asabalor
2 жыл бұрын
This sound will always be the present n the future
@joachimpeter5629
Жыл бұрын
💊
@DarlieSabaya-dk4xo3 ай бұрын
I knew this song 2017 jkt maramba surprisingly niliskiaga tu mdundo na the day naiskiza maneno kbs it became masterpiece to date 2024💕
@emmanuelmasola931
Ай бұрын
Aisee ndugu tumepishana kidogo tu mie jkt maramba 2019
@mussakatabalo114720 күн бұрын
Sijawah kuona muandishi mwenye uandishi mzuri kama ibra piya sauti❤❤❤🎉
@evelynmasaka29087 жыл бұрын
wimbo wako umegusa sana matatizo yanayonisibu kwa sasa, asante kwa majibu ya nyimbo yako na nimejifunza kupitia nyimbo yako, mungu akukuze vema na kipaji chako .
@hatamimnimempendabulejaman1596
5 жыл бұрын
Ni kweli Evelyn imetugusa na inamafunzo Sana nasikia hata mobeto aliikubali Sana yani kila mtu alinipenda mim nilivyokuwaga naipenda wee acha
@hatamimnimempendabulejaman1596
5 жыл бұрын
Ana sauti nzur na jita a alipiga vizur mwenyewe yani hatar hatar
@salumuathumani22176 жыл бұрын
broo nakuombea kwa mungu kila kukicha utoboe..kuna kitu unacho ibra nation hakuna msanii anakupata (sweet vocal
@princemujuni9803
5 жыл бұрын
ttz salumu THT hiz sauti ziko nyingi mm bin afsi n ilitegemea makubwa kwa Ibrah lkn badae nikackia yupo Ivrah hilo jina tu ni rmx ya Ibrah. THT hawako serious na wasanii wao
@jiamwiwambura2 жыл бұрын
2022...still hear✨it's a vibe
@josephcostantino33743 жыл бұрын
ngoma uwa ina hishi moyoni mwangu jiwe kali sana ni maisha yetu ya kila siku👌🔥
@dorotheacaroline26286 жыл бұрын
Nikisema nilipize mabaya yako nikuumize!!Ngonga like kama bado unaangalia huu wimbo 2018
@Galinzaog
5 жыл бұрын
sanatuuui
@frolabraghton5550
5 жыл бұрын
Gd xan
@hatamimnimempendabulejaman1596
5 жыл бұрын
Yani huu wimbo niliipendaga tangu unaingia nimebahatisha kuandika Jina Mala pili nimepata da wakati unaingia nilikuwa fild zanzibar nilikuwa nikiusikia napagawa nakaa nausikiliza nikawa na mwambia rafiki yangu naupenda huu wimbo akasema hata yeye anaupendaga
@hatamimnimempendabulejaman1596
5 жыл бұрын
Kwenye KAPUNI yule dada anayempenda kuimba alimwambia kaka yake pale da alinikumbusha nikasema ngoja nitafute muda nilikuwa naitafuta halafu aliimba vizur yule dada ana saut nzur paka kaka yake akamsifia pale
@hatamimnimempendabulejaman1596
5 жыл бұрын
Nishaudanlodi
@japhetshirima86977 жыл бұрын
Aiseee this song is so niceeee....nasikitika kwa jinsi tulivyo u underate.
@ezrajuma8168
5 жыл бұрын
Ata mm pia nimeguswa
@neymarfirminho3123
3 жыл бұрын
hii ngoma n kari xana huyu jamaa ni msanii kweli
@giftswai44323 жыл бұрын
My song when I remember our time but he decided to run away. .am doing great but I miss you
@saidkitamo832 Жыл бұрын
May 24 2023 this song is still Massive hit
@scolanyonyo73176 жыл бұрын
ni mwaka tangu umeniambia nisikilize huu mwimbo sikukufatiliaa, masikini I wish nikuone hata sasa, ila ndio haiwezekani. hakika ulinipenda kweeli.
@linusmalekela960
6 жыл бұрын
Scola Nyonyo pole sana
@Rumayo_006
5 жыл бұрын
Ndo umekja kulijua hilo😧 hakika mnatutesa🙏 Tabibu wa moyo wke
@graphixmaster6146
5 жыл бұрын
😫😫😫
@boscomakingi6592
5 жыл бұрын
Kumbe alikuimbia ww hakika ulimuumiza sa ibra
@harrisongiriad4893
4 жыл бұрын
Oh
@malaika.m.56457 жыл бұрын
kaz nzur schoolmate!
@lilyviva43085 жыл бұрын
Kama 2019 kama Mimi gongaa like apaa
@sophiemgogo41455 жыл бұрын
Aisee leo ndo umeupata huu wimbo 😢 nimehangaika sana
@joanimofaya4726
Жыл бұрын
After 3 year😳
@emmajosephclemence17174 жыл бұрын
Lets give him 1mil in this Sound and nicest Voice of his Ibranation
Ninachohisi ni kupenda kwenye moyo wangu, sina hakika na kupendwa kwenye moyo wako.... Who is with me 2020
@queendanford20733 жыл бұрын
Daaah IBRA nafikilia wazo ulilipata wapi la kinimbia Mimi mana kila ulichoimba kina nusu Mimi daaah naumia sana
@monicajohn31152 жыл бұрын
Napenda sana huu mwimbo
@shenashamsa1895 Жыл бұрын
2023 still love this song❤😢😢
@abisonaflred9466
Жыл бұрын
Music live❤❤
@lulrynadon78845 жыл бұрын
2019 who is with me❤❤❤
@FelitDenzel
3 жыл бұрын
2020
@arestarickselestine53055 жыл бұрын
This song is one my biggest hits in di country
@saidrashid48147 жыл бұрын
ngoma zur Sana naikubal kinyama ...Ninachojua nakupenda kwenye moyo sina hakika na kupendwa kwenye moyo wako
@bakariousman62976 жыл бұрын
One of my few favourite artists in +255
@obed_artz5418 Жыл бұрын
Hii nyimbo mpka mwaka huu 2022 bado.Hauchoshi na bado utaendelea kupeta sana miaka ijayo...Ujumbe tu kwa kizazi kijacho mjitaid kutoa masong kama haya yasiochuja.
@salmahgeorge56493 жыл бұрын
Ninachojuwa nakupenda kweny moyo wangu
@arestarickselestine53056 жыл бұрын
Emotional... Deep down inside.. Feelings
@zuleikhaahmed72203 жыл бұрын
The music is so good!! 💯
@cosimasedward45612 жыл бұрын
Ukisikia watu wanaimba nyimbo zinazoishi miaka yote ndio hii ila huna bahati tu kweli nimeamini maneno ya twenty wenye vipaji wengi masikini
@lissatitus3914 жыл бұрын
Wimbo umenilizaga huu leo ndo nimeukumbuka
@davidmbaga29984 жыл бұрын
Dah mapenzi yanaumiza sana hii nyimbo imegusa kabisa maisha yangu nakumbuka yaliyonitokea katika mahusiano yangu kwa yule niliyempenda kwa dhati daima nitakukumbuka maishani mwangu ndo maana napenda sana kuisikiliza hii nyimbo
@mbuthiawashington35353 жыл бұрын
God to be on ibrah nation music ...I like his melodies ..his one of the best musicians in east Africa watu wa subscribe na wa like kwa wingi ....#kenyan Love
@davidmbaga29982 жыл бұрын
Dah😭😭😭😭 nakumbuka mbali sana nikisikiliza hii nyimbo
@enockmolla3126 жыл бұрын
Nausikiliza kila siku, kuna watu huwa wanumiza sana kwny mapenzi mpak unajikuta unabadisha msimamo!!!
@godlovesanga37937 жыл бұрын
guud i first heard it as a caller tune thats when i had to look after the song....good message in it
@godwillkilangi92997 жыл бұрын
wabongo tunajua
@rhodapeter90186 жыл бұрын
oooooh IBRA hongera
@samsonsaniu4899 Жыл бұрын
fundi wa mziki...!!
@sumoiddy88517 жыл бұрын
hadi nililia machoz song hatar sana
@buberwajohn13125 жыл бұрын
Daaah!! Huyu jamaa sijui anakwama wapi yani anajua kuimba kinoma noma yani sijui ndio muda bado maana toka ile ngoma yake na mubanda.
@brosataasisi3657
3 жыл бұрын
Ile Real Love ni kwere wewe Jamaa
@agustinnocent98417 жыл бұрын
nice song ibrah....kaza ivyoivyo
@ayubuamsonjr943710 ай бұрын
❤❤❤😢uyu jamaa kipaji alipotelea wap jmn
@amiryshomary39013 жыл бұрын
hii dunia haiko fair kabisa ,,,,oooooooh shit!!!!!!!!!!!! ,,,, BONGE LA DUDE LITAISHIA MIAKA 80000000 ,,,,,HONGERA IBRA NATION KWA ZAWADI HIII
@mangumbulikikwembe44712 ай бұрын
Best song ever 🎉🎉🎉
@willzcrank6 жыл бұрын
Would love to hear a sax version of this
@sophiakigava40655 жыл бұрын
Safi Sana Kaka nyimbozako zot nazipenda zinagusa😍😍😍😍😍
@edwinchavala49687 жыл бұрын
dah nliutafuta sana huu wimbo its so classic
@sabrinahezden6644
6 жыл бұрын
Edwin Chavala coolson chavala ni ndugu yako
@swaumkamanga9920
5 жыл бұрын
Kwa kweli nimeuelewa yaan co pw upo konky
@liliankaigarula76655 жыл бұрын
Jmn kupenda bila kupendwa nishda tena nihatar kama ya mahela yote yechuyechu mafekechee naumia sana kuona nimependa nisipopendwa
@fatyfrancistv5545
4 жыл бұрын
@lilian jitulize kwangu acha kulia Lia😁😁
@jescaemanuel34335 жыл бұрын
nice song kaka Ibra inanisisimua kila ninapoisikiliza
@seciliakasinge95585 жыл бұрын
Ibranation I love u so muchhh
@saidiabu20575 жыл бұрын
aisee nimeipenda xn good song
@wilhelminaihuya11767 жыл бұрын
I love the song
@deogratiasmmandamo65616 ай бұрын
Wapi Emma the boy na hawa wasanii wake, they are completely quite
@afroboymsanii8649 Жыл бұрын
Ok 👍👍 kaka sana umeuwa sana iiningoma sio poa aaaaa inaniliza mapenzi sio poa
@hamisikareem6484 жыл бұрын
Kka voko zmekwenda shulee upp vzur.kaz nzur
@angelinakabadi69213 жыл бұрын
Ningesema nilipize mabaya yako nikuumizee🎶🎶🎶
@saluathkdouty78005 жыл бұрын
2018 who still listeng now...
@hawahakika2023
5 жыл бұрын
saluath kdouty
@johnkerrysibomana9062
5 жыл бұрын
2019 naupenda pia huu wimbo
@mwanamvuasuleyman46712 ай бұрын
2024 na bad naipenda tang 2017
@AbdallahMhando-if8fr4 ай бұрын
Binge la ngoma miaka buku
@user-ib3od9jq1bАй бұрын
24/6/2024 still love this 🎵 ❤
@fundiwakupaua5 жыл бұрын
Mpaka leohii 2019 badotu aujachuja,wimbo mkali cn aya mapenzi ayana mwenyewe
@nobertnkuba7 жыл бұрын
among da best songs za muda wote kwangu - NILIPIZE
@saidmanyota36555 жыл бұрын
u knw brooooooo kip it up pazuriiii
@fatmaally31035 жыл бұрын
Umetisha sana bro
@zaitunisaidi6916 жыл бұрын
daah wimbo mzur huu unanikumbusha mbali sana na mtu flani
@Blackie_blackie93277 жыл бұрын
moyo wangu tu.....sina hakika na wako
@hatamimnimempendabulejaman1596
5 жыл бұрын
Na Kuna ule wimbo wa wivu wangu ni mzur nilikuwa naupendaga nawo
@hatamimnimempendabulejaman1596
5 жыл бұрын
Ya moyo wangu tu Sina hakika na wako but mim nakupenda
@ahmedimakopeАй бұрын
I'm here 2024 for this lit
@winstonrwegalulila46832 жыл бұрын
Mwanangu mbona unAjuA kabisA💥
@wiliadchaula77374 жыл бұрын
2020 still listening gonga like
@nkanenoel83577 ай бұрын
Ngoma naielewa sanaaaa Up to December 2024
@hassanmweta72446 жыл бұрын
A conscientious man I see you higher
@lucymalingumu56603 жыл бұрын
Bado iko hoti 2021 ngonga likee tujuane
@eshersaidi50454 жыл бұрын
Dah u always kill it brother am glad 4 u kip it up
@sebastianvenance92986 жыл бұрын
sawaaaaaa ibra umesomekaa
@ambulozlazaro9561 Жыл бұрын
Nakupenda San ibra unajuw kaka sjw up wap
@mzeehassan48676 жыл бұрын
Ibra uko vizuri Kaka unajua na unakipaji sauti yako inanikumbusha mtu mmoja akiitwa makamua sauti zenu the same
@pamojaapp13387 жыл бұрын
Wow. what a voice!!! I love this song.
@shekhekhandereizer5595 жыл бұрын
kudadeki nilikuwa sikujui mkl nilipo kuona unapiga hii ngoma wasafi festival mtwara atimae nimepekua nakukuona kumbe ww ni nyokooo ibra asee kwl kuna vipaji vikal sana ila maskin wachache natmaa zao wanawavunja moyo awasikiki bonge la ngoma limenitoa machozi asee sabu ujumbe ulio imbwa umenigusa nakumkumbuka mtu nilie mp moyo Wang lkn nilicho kutwa ibra nation broo sarot kwako
@hatamimnimempendabulejaman1596
5 жыл бұрын
Haha unanichekeshaga huwo usemi wa nyoko ya ibra anajuwa Sana wengi tuliikubali hiyo ngoma ni kali Sana na wengine walisema inawahusu wakazidi kuipenda
@hatamimnimempendabulejaman1596
5 жыл бұрын
Mim nilikuwa kila nikisikia huu wimbo nachanganyikiwa nikawa natamani usiishe
@hatamimnimempendabulejaman1596
5 жыл бұрын
Wakati unaingia nilikuwa zanzibar fild nilikuwa namwambiaga rafiki yangu naipendaga hii nyimbo akawa anasema hata yeye anaipenda
@hatamimnimempendabulejaman1596
5 жыл бұрын
Sauti yake nzur nyimbo nzur
@davidedison96927 жыл бұрын
big up bro nyimbo kaliii
@salhacker7728 Жыл бұрын
Who watching this song this year?!
@johngrey89994 жыл бұрын
Kila neno ni hit🔥🔥🔥
@rajabusemkiwa97693 жыл бұрын
Unajuw sana Kaka so kwnn ucende WCB Kaka na ukatoka hapo THT
@abdisalaammwanya-em8jc Жыл бұрын
2023❤Ibra Nation
@lizykeswick41226 жыл бұрын
dis song iz amazing....wallah
@amanimwidowe94085 жыл бұрын
uko vizuli shetani asikuharibie ndoto zako ♥️
@arestarickselestine53056 жыл бұрын
Cool stuff ninja..issa good Music
@hassymghamba52463 жыл бұрын
Kali sana hii.. still watching in 2020 September 7,,Ninachohic nakupenda kwenye moyo wako ila sina hakika na kupendwa kwenye moyo wako.. gonga like twende sawa
@hamzaridhiwanihassan85144 жыл бұрын
2019.... Still playing this song, ina balaa kwangu bdo
Пікірлер: 418
Mpaka sasa hivi mwaka 2024 ndio nyimbo yangu pendwa❤️❤️❤️❤️
@mariajulius5685
18 күн бұрын
😊😊😊😊😊😊tuko hapa2024
2030 I'm here.. wote wanaoikubar ii ngoma don't skip without #like this song..
2024 gather here
Nampenda sana ibrah mashairi yake yametulia ukiskiliza unapata emotion Kama wwe ndo umetendewa Hilo Jambo yupo vizuri kimuziki namkubali sana
katika nyimbo nilizowah kuzipenda basi NILIPIZE ndo ya kwanza xjui kwa sababu maneno yke yananiusu au tu nmetokea kuipenda tu...daah kwangu me xjaona km NILIPIZE
@hatamimnimempendabulejaman1596
5 жыл бұрын
Ya lizy imechangia Kwa vile yanakuhusu na hata ingekuwa hayakuhusu bado ungeipenda kwasababu ni nzur na ameimba Kwa hisia yani nyimbo wakati unaingia nilikuwa fild zanzibar nilizipenda Kwa Mara moja tangu niisikie ilikuwa unanihusu lakini hata isingenihusu bado ningependa kwasababu ni nzur Sana nikawa namwambiaga rafiki yangu naipenda akasema hata yeye anaipenda
@hatamimnimempendabulejaman1596
5 жыл бұрын
Kuna mdada yule kwenye KAPUNI aliimba akaipatia nikasema kanikumbusha mbali nilikuwaga naitafutaga hii nyimbo sema nikawa sijuwi Jina gani nimefanya kubahatisha nikachukuwa upande wa shairi nikipata nikasema sijuwi nilipize inaitwa. Napenda pale anapoimba nilisema nilipize anavyoanza na Kuna baazi ya mashair nataka kuwa nawe mamito yani mashair mengi mazur
Ilishakua ringtone ya kwenye cm yangu zaid ya mala 5 hv nan yuko nami 2020
@gloriouslameck6909
4 жыл бұрын
Hata mm
@mgahetz3654
3 жыл бұрын
Me piah
@dynesshirima5611
Жыл бұрын
Even me
@RehemaEvarist-wo4mj
9 ай бұрын
😢
@timothmwakakusyu4563
5 ай бұрын
kama imekuwa ringtone yako hapo ulipo si salama 😁😁😁😁😁😁😁😁😁
Huyu ibra nation ndio mwanamziki nnaye mkubali Africa 🌍♥❤👏👌
Huyu jamaa ako talented sana ❤❤love from kenya 🇰🇪
Massively underrated artist in Tanzania
2022 now and im still listening to this song. Timeless tune. 🔥🔥
@asabalor
2 жыл бұрын
This sound will always be the present n the future
@joachimpeter5629
Жыл бұрын
💊
I knew this song 2017 jkt maramba surprisingly niliskiaga tu mdundo na the day naiskiza maneno kbs it became masterpiece to date 2024💕
@emmanuelmasola931
Ай бұрын
Aisee ndugu tumepishana kidogo tu mie jkt maramba 2019
Sijawah kuona muandishi mwenye uandishi mzuri kama ibra piya sauti❤❤❤🎉
wimbo wako umegusa sana matatizo yanayonisibu kwa sasa, asante kwa majibu ya nyimbo yako na nimejifunza kupitia nyimbo yako, mungu akukuze vema na kipaji chako .
@hatamimnimempendabulejaman1596
5 жыл бұрын
Ni kweli Evelyn imetugusa na inamafunzo Sana nasikia hata mobeto aliikubali Sana yani kila mtu alinipenda mim nilivyokuwaga naipenda wee acha
@hatamimnimempendabulejaman1596
5 жыл бұрын
Ana sauti nzur na jita a alipiga vizur mwenyewe yani hatar hatar
broo nakuombea kwa mungu kila kukicha utoboe..kuna kitu unacho ibra nation hakuna msanii anakupata (sweet vocal
@princemujuni9803
5 жыл бұрын
ttz salumu THT hiz sauti ziko nyingi mm bin afsi n ilitegemea makubwa kwa Ibrah lkn badae nikackia yupo Ivrah hilo jina tu ni rmx ya Ibrah. THT hawako serious na wasanii wao
2022...still hear✨it's a vibe
ngoma uwa ina hishi moyoni mwangu jiwe kali sana ni maisha yetu ya kila siku👌🔥
Nikisema nilipize mabaya yako nikuumize!!Ngonga like kama bado unaangalia huu wimbo 2018
@Galinzaog
5 жыл бұрын
sanatuuui
@frolabraghton5550
5 жыл бұрын
Gd xan
@hatamimnimempendabulejaman1596
5 жыл бұрын
Yani huu wimbo niliipendaga tangu unaingia nimebahatisha kuandika Jina Mala pili nimepata da wakati unaingia nilikuwa fild zanzibar nilikuwa nikiusikia napagawa nakaa nausikiliza nikawa na mwambia rafiki yangu naupenda huu wimbo akasema hata yeye anaupendaga
@hatamimnimempendabulejaman1596
5 жыл бұрын
Kwenye KAPUNI yule dada anayempenda kuimba alimwambia kaka yake pale da alinikumbusha nikasema ngoja nitafute muda nilikuwa naitafuta halafu aliimba vizur yule dada ana saut nzur paka kaka yake akamsifia pale
@hatamimnimempendabulejaman1596
5 жыл бұрын
Nishaudanlodi
Aiseee this song is so niceeee....nasikitika kwa jinsi tulivyo u underate.
@ezrajuma8168
5 жыл бұрын
Ata mm pia nimeguswa
@neymarfirminho3123
3 жыл бұрын
hii ngoma n kari xana huyu jamaa ni msanii kweli
My song when I remember our time but he decided to run away. .am doing great but I miss you
May 24 2023 this song is still Massive hit
ni mwaka tangu umeniambia nisikilize huu mwimbo sikukufatiliaa, masikini I wish nikuone hata sasa, ila ndio haiwezekani. hakika ulinipenda kweeli.
@linusmalekela960
6 жыл бұрын
Scola Nyonyo pole sana
@Rumayo_006
5 жыл бұрын
Ndo umekja kulijua hilo😧 hakika mnatutesa🙏 Tabibu wa moyo wke
@graphixmaster6146
5 жыл бұрын
😫😫😫
@boscomakingi6592
5 жыл бұрын
Kumbe alikuimbia ww hakika ulimuumiza sa ibra
@harrisongiriad4893
4 жыл бұрын
Oh
kaz nzur schoolmate!
Kama 2019 kama Mimi gongaa like apaa
Aisee leo ndo umeupata huu wimbo 😢 nimehangaika sana
@joanimofaya4726
Жыл бұрын
After 3 year😳
Lets give him 1mil in this Sound and nicest Voice of his Ibranation
Daaah jamaa anajua bhana lkn wabongo wanapenda vibovu wanaojua hawatambi
One of the underrated artist in Tz
Ninachohisi ni kupenda kwenye moyo wangu, sina hakika na kupendwa kwenye moyo wako.... Who is with me 2020
Daaah IBRA nafikilia wazo ulilipata wapi la kinimbia Mimi mana kila ulichoimba kina nusu Mimi daaah naumia sana
Napenda sana huu mwimbo
2023 still love this song❤😢😢
@abisonaflred9466
Жыл бұрын
Music live❤❤
2019 who is with me❤❤❤
@FelitDenzel
3 жыл бұрын
2020
This song is one my biggest hits in di country
ngoma zur Sana naikubal kinyama ...Ninachojua nakupenda kwenye moyo sina hakika na kupendwa kwenye moyo wako
One of my few favourite artists in +255
Hii nyimbo mpka mwaka huu 2022 bado.Hauchoshi na bado utaendelea kupeta sana miaka ijayo...Ujumbe tu kwa kizazi kijacho mjitaid kutoa masong kama haya yasiochuja.
Ninachojuwa nakupenda kweny moyo wangu
Emotional... Deep down inside.. Feelings
The music is so good!! 💯
Ukisikia watu wanaimba nyimbo zinazoishi miaka yote ndio hii ila huna bahati tu kweli nimeamini maneno ya twenty wenye vipaji wengi masikini
Wimbo umenilizaga huu leo ndo nimeukumbuka
Dah mapenzi yanaumiza sana hii nyimbo imegusa kabisa maisha yangu nakumbuka yaliyonitokea katika mahusiano yangu kwa yule niliyempenda kwa dhati daima nitakukumbuka maishani mwangu ndo maana napenda sana kuisikiliza hii nyimbo
God to be on ibrah nation music ...I like his melodies ..his one of the best musicians in east Africa watu wa subscribe na wa like kwa wingi ....#kenyan Love
Dah😭😭😭😭 nakumbuka mbali sana nikisikiliza hii nyimbo
Nausikiliza kila siku, kuna watu huwa wanumiza sana kwny mapenzi mpak unajikuta unabadisha msimamo!!!
guud i first heard it as a caller tune thats when i had to look after the song....good message in it
wabongo tunajua
oooooh IBRA hongera
fundi wa mziki...!!
hadi nililia machoz song hatar sana
Daaah!! Huyu jamaa sijui anakwama wapi yani anajua kuimba kinoma noma yani sijui ndio muda bado maana toka ile ngoma yake na mubanda.
@brosataasisi3657
3 жыл бұрын
Ile Real Love ni kwere wewe Jamaa
nice song ibrah....kaza ivyoivyo
❤❤❤😢uyu jamaa kipaji alipotelea wap jmn
hii dunia haiko fair kabisa ,,,,oooooooh shit!!!!!!!!!!!! ,,,, BONGE LA DUDE LITAISHIA MIAKA 80000000 ,,,,,HONGERA IBRA NATION KWA ZAWADI HIII
Best song ever 🎉🎉🎉
Would love to hear a sax version of this
Safi Sana Kaka nyimbozako zot nazipenda zinagusa😍😍😍😍😍
dah nliutafuta sana huu wimbo its so classic
@sabrinahezden6644
6 жыл бұрын
Edwin Chavala coolson chavala ni ndugu yako
@swaumkamanga9920
5 жыл бұрын
Kwa kweli nimeuelewa yaan co pw upo konky
Jmn kupenda bila kupendwa nishda tena nihatar kama ya mahela yote yechuyechu mafekechee naumia sana kuona nimependa nisipopendwa
@fatyfrancistv5545
4 жыл бұрын
@lilian jitulize kwangu acha kulia Lia😁😁
nice song kaka Ibra inanisisimua kila ninapoisikiliza
Ibranation I love u so muchhh
aisee nimeipenda xn good song
I love the song
Wapi Emma the boy na hawa wasanii wake, they are completely quite
Ok 👍👍 kaka sana umeuwa sana iiningoma sio poa aaaaa inaniliza mapenzi sio poa
Kka voko zmekwenda shulee upp vzur.kaz nzur
Ningesema nilipize mabaya yako nikuumizee🎶🎶🎶
2018 who still listeng now...
@hawahakika2023
5 жыл бұрын
saluath kdouty
@johnkerrysibomana9062
5 жыл бұрын
2019 naupenda pia huu wimbo
2024 na bad naipenda tang 2017
Binge la ngoma miaka buku
24/6/2024 still love this 🎵 ❤
Mpaka leohii 2019 badotu aujachuja,wimbo mkali cn aya mapenzi ayana mwenyewe
among da best songs za muda wote kwangu - NILIPIZE
u knw brooooooo kip it up pazuriiii
Umetisha sana bro
daah wimbo mzur huu unanikumbusha mbali sana na mtu flani
moyo wangu tu.....sina hakika na wako
@hatamimnimempendabulejaman1596
5 жыл бұрын
Na Kuna ule wimbo wa wivu wangu ni mzur nilikuwa naupendaga nawo
@hatamimnimempendabulejaman1596
5 жыл бұрын
Ya moyo wangu tu Sina hakika na wako but mim nakupenda
I'm here 2024 for this lit
Mwanangu mbona unAjuA kabisA💥
2020 still listening gonga like
Ngoma naielewa sanaaaa Up to December 2024
A conscientious man I see you higher
Bado iko hoti 2021 ngonga likee tujuane
Dah u always kill it brother am glad 4 u kip it up
sawaaaaaa ibra umesomekaa
Nakupenda San ibra unajuw kaka sjw up wap
Ibra uko vizuri Kaka unajua na unakipaji sauti yako inanikumbusha mtu mmoja akiitwa makamua sauti zenu the same
Wow. what a voice!!! I love this song.
kudadeki nilikuwa sikujui mkl nilipo kuona unapiga hii ngoma wasafi festival mtwara atimae nimepekua nakukuona kumbe ww ni nyokooo ibra asee kwl kuna vipaji vikal sana ila maskin wachache natmaa zao wanawavunja moyo awasikiki bonge la ngoma limenitoa machozi asee sabu ujumbe ulio imbwa umenigusa nakumkumbuka mtu nilie mp moyo Wang lkn nilicho kutwa ibra nation broo sarot kwako
@hatamimnimempendabulejaman1596
5 жыл бұрын
Haha unanichekeshaga huwo usemi wa nyoko ya ibra anajuwa Sana wengi tuliikubali hiyo ngoma ni kali Sana na wengine walisema inawahusu wakazidi kuipenda
@hatamimnimempendabulejaman1596
5 жыл бұрын
Mim nilikuwa kila nikisikia huu wimbo nachanganyikiwa nikawa natamani usiishe
@hatamimnimempendabulejaman1596
5 жыл бұрын
Wakati unaingia nilikuwa zanzibar fild nilikuwa namwambiaga rafiki yangu naipendaga hii nyimbo akawa anasema hata yeye anaipenda
@hatamimnimempendabulejaman1596
5 жыл бұрын
Sauti yake nzur nyimbo nzur
big up bro nyimbo kaliii
Who watching this song this year?!
Kila neno ni hit🔥🔥🔥
Unajuw sana Kaka so kwnn ucende WCB Kaka na ukatoka hapo THT
2023❤Ibra Nation
dis song iz amazing....wallah
uko vizuli shetani asikuharibie ndoto zako ♥️
Cool stuff ninja..issa good Music
Kali sana hii.. still watching in 2020 September 7,,Ninachohic nakupenda kwenye moyo wako ila sina hakika na kupendwa kwenye moyo wako.. gonga like twende sawa
2019.... Still playing this song, ina balaa kwangu bdo
Beautiful song