Ibra Nation - Nilipize - Official Video

Музыка

THTmedia | Epic Records

Пікірлер: 418

  • @bedagaufrid5998
    @bedagaufrid59982 ай бұрын

    Mpaka sasa hivi mwaka 2024 ndio nyimbo yangu pendwa❤️❤️❤️❤️

  • @mariajulius5685

    @mariajulius5685

    18 күн бұрын

    😊😊😊😊😊😊tuko hapa2024

  • @Rumayo_006
    @Rumayo_0065 жыл бұрын

    2030 I'm here.. wote wanaoikubar ii ngoma don't skip without #like this song..

  • @aimesamuel6485
    @aimesamuel64855 ай бұрын

    2024 gather here

  • @nasranyarubindo8858
    @nasranyarubindo88583 жыл бұрын

    Nampenda sana ibrah mashairi yake yametulia ukiskiliza unapata emotion Kama wwe ndo umetendewa Hilo Jambo yupo vizuri kimuziki namkubali sana

  • @lizykeswick4122
    @lizykeswick41226 жыл бұрын

    katika nyimbo nilizowah kuzipenda basi NILIPIZE ndo ya kwanza xjui kwa sababu maneno yke yananiusu au tu nmetokea kuipenda tu...daah kwangu me xjaona km NILIPIZE

  • @hatamimnimempendabulejaman1596

    @hatamimnimempendabulejaman1596

    5 жыл бұрын

    Ya lizy imechangia Kwa vile yanakuhusu na hata ingekuwa hayakuhusu bado ungeipenda kwasababu ni nzur na ameimba Kwa hisia yani nyimbo wakati unaingia nilikuwa fild zanzibar nilizipenda Kwa Mara moja tangu niisikie ilikuwa unanihusu lakini hata isingenihusu bado ningependa kwasababu ni nzur Sana nikawa namwambiaga rafiki yangu naipenda akasema hata yeye anaipenda

  • @hatamimnimempendabulejaman1596

    @hatamimnimempendabulejaman1596

    5 жыл бұрын

    Kuna mdada yule kwenye KAPUNI aliimba akaipatia nikasema kanikumbusha mbali nilikuwaga naitafutaga hii nyimbo sema nikawa sijuwi Jina gani nimefanya kubahatisha nikachukuwa upande wa shairi nikipata nikasema sijuwi nilipize inaitwa. Napenda pale anapoimba nilisema nilipize anavyoanza na Kuna baazi ya mashair nataka kuwa nawe mamito yani mashair mengi mazur

  • @mesutozil6890
    @mesutozil68905 жыл бұрын

    Ilishakua ringtone ya kwenye cm yangu zaid ya mala 5 hv nan yuko nami 2020

  • @gloriouslameck6909

    @gloriouslameck6909

    4 жыл бұрын

    Hata mm

  • @mgahetz3654

    @mgahetz3654

    3 жыл бұрын

    Me piah

  • @dynesshirima5611

    @dynesshirima5611

    Жыл бұрын

    Even me

  • @RehemaEvarist-wo4mj

    @RehemaEvarist-wo4mj

    9 ай бұрын

    😢

  • @timothmwakakusyu4563

    @timothmwakakusyu4563

    5 ай бұрын

    kama imekuwa ringtone yako hapo ulipo si salama 😁😁😁😁😁😁😁😁😁

  • @bakaryiddy431
    @bakaryiddy4313 жыл бұрын

    Huyu ibra nation ndio mwanamziki nnaye mkubali Africa 🌍♥❤👏👌

  • @musiccaentertainment100k8
    @musiccaentertainment100k8 Жыл бұрын

    Huyu jamaa ako talented sana ❤❤love from kenya 🇰🇪

  • @allenkalalu6006
    @allenkalalu60064 жыл бұрын

    Massively underrated artist in Tanzania

  • @alphoncemsale7081
    @alphoncemsale70812 жыл бұрын

    2022 now and im still listening to this song. Timeless tune. 🔥🔥

  • @asabalor

    @asabalor

    2 жыл бұрын

    This sound will always be the present n the future

  • @joachimpeter5629

    @joachimpeter5629

    Жыл бұрын

    💊

  • @DarlieSabaya-dk4xo
    @DarlieSabaya-dk4xo3 ай бұрын

    I knew this song 2017 jkt maramba surprisingly niliskiaga tu mdundo na the day naiskiza maneno kbs it became masterpiece to date 2024💕

  • @emmanuelmasola931

    @emmanuelmasola931

    Ай бұрын

    Aisee ndugu tumepishana kidogo tu mie jkt maramba 2019

  • @mussakatabalo1147
    @mussakatabalo114720 күн бұрын

    Sijawah kuona muandishi mwenye uandishi mzuri kama ibra piya sauti❤❤❤🎉

  • @evelynmasaka2908
    @evelynmasaka29087 жыл бұрын

    wimbo wako umegusa sana matatizo yanayonisibu kwa sasa, asante kwa majibu ya nyimbo yako na nimejifunza kupitia nyimbo yako, mungu akukuze vema na kipaji chako .

  • @hatamimnimempendabulejaman1596

    @hatamimnimempendabulejaman1596

    5 жыл бұрын

    Ni kweli Evelyn imetugusa na inamafunzo Sana nasikia hata mobeto aliikubali Sana yani kila mtu alinipenda mim nilivyokuwaga naipenda wee acha

  • @hatamimnimempendabulejaman1596

    @hatamimnimempendabulejaman1596

    5 жыл бұрын

    Ana sauti nzur na jita a alipiga vizur mwenyewe yani hatar hatar

  • @salumuathumani2217
    @salumuathumani22176 жыл бұрын

    broo nakuombea kwa mungu kila kukicha utoboe..kuna kitu unacho ibra nation hakuna msanii anakupata (sweet vocal

  • @princemujuni9803

    @princemujuni9803

    5 жыл бұрын

    ttz salumu THT hiz sauti ziko nyingi mm bin afsi n ilitegemea makubwa kwa Ibrah lkn badae nikackia yupo Ivrah hilo jina tu ni rmx ya Ibrah. THT hawako serious na wasanii wao

  • @jiamwiwambura
    @jiamwiwambura2 жыл бұрын

    2022...still hear✨it's a vibe

  • @josephcostantino3374
    @josephcostantino33743 жыл бұрын

    ngoma uwa ina hishi moyoni mwangu jiwe kali sana ni maisha yetu ya kila siku👌🔥

  • @dorotheacaroline2628
    @dorotheacaroline26286 жыл бұрын

    Nikisema nilipize mabaya yako nikuumize!!Ngonga like kama bado unaangalia huu wimbo 2018

  • @Galinzaog

    @Galinzaog

    5 жыл бұрын

    sanatuuui

  • @frolabraghton5550

    @frolabraghton5550

    5 жыл бұрын

    Gd xan

  • @hatamimnimempendabulejaman1596

    @hatamimnimempendabulejaman1596

    5 жыл бұрын

    Yani huu wimbo niliipendaga tangu unaingia nimebahatisha kuandika Jina Mala pili nimepata da wakati unaingia nilikuwa fild zanzibar nilikuwa nikiusikia napagawa nakaa nausikiliza nikawa na mwambia rafiki yangu naupenda huu wimbo akasema hata yeye anaupendaga

  • @hatamimnimempendabulejaman1596

    @hatamimnimempendabulejaman1596

    5 жыл бұрын

    Kwenye KAPUNI yule dada anayempenda kuimba alimwambia kaka yake pale da alinikumbusha nikasema ngoja nitafute muda nilikuwa naitafuta halafu aliimba vizur yule dada ana saut nzur paka kaka yake akamsifia pale

  • @hatamimnimempendabulejaman1596

    @hatamimnimempendabulejaman1596

    5 жыл бұрын

    Nishaudanlodi

  • @japhetshirima8697
    @japhetshirima86977 жыл бұрын

    Aiseee this song is so niceeee....nasikitika kwa jinsi tulivyo u underate.

  • @ezrajuma8168

    @ezrajuma8168

    5 жыл бұрын

    Ata mm pia nimeguswa

  • @neymarfirminho3123

    @neymarfirminho3123

    3 жыл бұрын

    hii ngoma n kari xana huyu jamaa ni msanii kweli

  • @giftswai4432
    @giftswai44323 жыл бұрын

    My song when I remember our time but he decided to run away. .am doing great but I miss you

  • @saidkitamo832
    @saidkitamo832 Жыл бұрын

    May 24 2023 this song is still Massive hit

  • @scolanyonyo7317
    @scolanyonyo73176 жыл бұрын

    ni mwaka tangu umeniambia nisikilize huu mwimbo sikukufatiliaa, masikini I wish nikuone hata sasa, ila ndio haiwezekani. hakika ulinipenda kweeli.

  • @linusmalekela960

    @linusmalekela960

    6 жыл бұрын

    Scola Nyonyo pole sana

  • @Rumayo_006

    @Rumayo_006

    5 жыл бұрын

    Ndo umekja kulijua hilo😧 hakika mnatutesa🙏 Tabibu wa moyo wke

  • @graphixmaster6146

    @graphixmaster6146

    5 жыл бұрын

    😫😫😫

  • @boscomakingi6592

    @boscomakingi6592

    5 жыл бұрын

    Kumbe alikuimbia ww hakika ulimuumiza sa ibra

  • @harrisongiriad4893

    @harrisongiriad4893

    4 жыл бұрын

    Oh

  • @malaika.m.5645
    @malaika.m.56457 жыл бұрын

    kaz nzur schoolmate!

  • @lilyviva4308
    @lilyviva43085 жыл бұрын

    Kama 2019 kama Mimi gongaa like apaa

  • @sophiemgogo4145
    @sophiemgogo41455 жыл бұрын

    Aisee leo ndo umeupata huu wimbo 😢 nimehangaika sana

  • @joanimofaya4726

    @joanimofaya4726

    Жыл бұрын

    After 3 year😳

  • @emmajosephclemence1717
    @emmajosephclemence17174 жыл бұрын

    Lets give him 1mil in this Sound and nicest Voice of his Ibranation

  • @abdulmselem9830
    @abdulmselem98306 жыл бұрын

    Daaah jamaa anajua bhana lkn wabongo wanapenda vibovu wanaojua hawatambi

  • @marisamollel1265
    @marisamollel12654 жыл бұрын

    One of the underrated artist in Tz

  • @vivianrobert7136
    @vivianrobert71363 жыл бұрын

    Ninachohisi ni kupenda kwenye moyo wangu, sina hakika na kupendwa kwenye moyo wako.... Who is with me 2020

  • @queendanford2073
    @queendanford20733 жыл бұрын

    Daaah IBRA nafikilia wazo ulilipata wapi la kinimbia Mimi mana kila ulichoimba kina nusu Mimi daaah naumia sana

  • @monicajohn3115
    @monicajohn31152 жыл бұрын

    Napenda sana huu mwimbo

  • @shenashamsa1895
    @shenashamsa1895 Жыл бұрын

    2023 still love this song❤😢😢

  • @abisonaflred9466

    @abisonaflred9466

    Жыл бұрын

    Music live❤❤

  • @lulrynadon7884
    @lulrynadon78845 жыл бұрын

    2019 who is with me❤❤❤

  • @FelitDenzel

    @FelitDenzel

    3 жыл бұрын

    2020

  • @arestarickselestine5305
    @arestarickselestine53055 жыл бұрын

    This song is one my biggest hits in di country

  • @saidrashid4814
    @saidrashid48147 жыл бұрын

    ngoma zur Sana naikubal kinyama ...Ninachojua nakupenda kwenye moyo sina hakika na kupendwa kwenye moyo wako

  • @bakariousman6297
    @bakariousman62976 жыл бұрын

    One of my few favourite artists in +255

  • @obed_artz5418
    @obed_artz5418 Жыл бұрын

    Hii nyimbo mpka mwaka huu 2022 bado.Hauchoshi na bado utaendelea kupeta sana miaka ijayo...Ujumbe tu kwa kizazi kijacho mjitaid kutoa masong kama haya yasiochuja.

  • @salmahgeorge5649
    @salmahgeorge56493 жыл бұрын

    Ninachojuwa nakupenda kweny moyo wangu

  • @arestarickselestine5305
    @arestarickselestine53056 жыл бұрын

    Emotional... Deep down inside.. Feelings

  • @zuleikhaahmed7220
    @zuleikhaahmed72203 жыл бұрын

    The music is so good!! 💯

  • @cosimasedward4561
    @cosimasedward45612 жыл бұрын

    Ukisikia watu wanaimba nyimbo zinazoishi miaka yote ndio hii ila huna bahati tu kweli nimeamini maneno ya twenty wenye vipaji wengi masikini

  • @lissatitus391
    @lissatitus3914 жыл бұрын

    Wimbo umenilizaga huu leo ndo nimeukumbuka

  • @davidmbaga2998
    @davidmbaga29984 жыл бұрын

    Dah mapenzi yanaumiza sana hii nyimbo imegusa kabisa maisha yangu nakumbuka yaliyonitokea katika mahusiano yangu kwa yule niliyempenda kwa dhati daima nitakukumbuka maishani mwangu ndo maana napenda sana kuisikiliza hii nyimbo

  • @mbuthiawashington3535
    @mbuthiawashington35353 жыл бұрын

    God to be on ibrah nation music ...I like his melodies ..his one of the best musicians in east Africa watu wa subscribe na wa like kwa wingi ....#kenyan Love

  • @davidmbaga2998
    @davidmbaga29982 жыл бұрын

    Dah😭😭😭😭 nakumbuka mbali sana nikisikiliza hii nyimbo

  • @enockmolla312
    @enockmolla3126 жыл бұрын

    Nausikiliza kila siku, kuna watu huwa wanumiza sana kwny mapenzi mpak unajikuta unabadisha msimamo!!!

  • @godlovesanga3793
    @godlovesanga37937 жыл бұрын

    guud i first heard it as a caller tune thats when i had to look after the song....good message in it

  • @godwillkilangi9299
    @godwillkilangi92997 жыл бұрын

    wabongo tunajua

  • @rhodapeter9018
    @rhodapeter90186 жыл бұрын

    oooooh IBRA hongera

  • @samsonsaniu4899
    @samsonsaniu4899 Жыл бұрын

    fundi wa mziki...!!

  • @sumoiddy8851
    @sumoiddy88517 жыл бұрын

    hadi nililia machoz song hatar sana

  • @buberwajohn1312
    @buberwajohn13125 жыл бұрын

    Daaah!! Huyu jamaa sijui anakwama wapi yani anajua kuimba kinoma noma yani sijui ndio muda bado maana toka ile ngoma yake na mubanda.

  • @brosataasisi3657

    @brosataasisi3657

    3 жыл бұрын

    Ile Real Love ni kwere wewe Jamaa

  • @agustinnocent9841
    @agustinnocent98417 жыл бұрын

    nice song ibrah....kaza ivyoivyo

  • @ayubuamsonjr9437
    @ayubuamsonjr943710 ай бұрын

    ❤❤❤😢uyu jamaa kipaji alipotelea wap jmn

  • @amiryshomary3901
    @amiryshomary39013 жыл бұрын

    hii dunia haiko fair kabisa ,,,,oooooooh shit!!!!!!!!!!!! ,,,, BONGE LA DUDE LITAISHIA MIAKA 80000000 ,,,,,HONGERA IBRA NATION KWA ZAWADI HIII

  • @mangumbulikikwembe4471
    @mangumbulikikwembe44712 ай бұрын

    Best song ever 🎉🎉🎉

  • @willzcrank
    @willzcrank6 жыл бұрын

    Would love to hear a sax version of this

  • @sophiakigava4065
    @sophiakigava40655 жыл бұрын

    Safi Sana Kaka nyimbozako zot nazipenda zinagusa😍😍😍😍😍

  • @edwinchavala4968
    @edwinchavala49687 жыл бұрын

    dah nliutafuta sana huu wimbo its so classic

  • @sabrinahezden6644

    @sabrinahezden6644

    6 жыл бұрын

    Edwin Chavala coolson chavala ni ndugu yako

  • @swaumkamanga9920

    @swaumkamanga9920

    5 жыл бұрын

    Kwa kweli nimeuelewa yaan co pw upo konky

  • @liliankaigarula7665
    @liliankaigarula76655 жыл бұрын

    Jmn kupenda bila kupendwa nishda tena nihatar kama ya mahela yote yechuyechu mafekechee naumia sana kuona nimependa nisipopendwa

  • @fatyfrancistv5545

    @fatyfrancistv5545

    4 жыл бұрын

    @lilian jitulize kwangu acha kulia Lia😁😁

  • @jescaemanuel3433
    @jescaemanuel34335 жыл бұрын

    nice song kaka Ibra inanisisimua kila ninapoisikiliza

  • @seciliakasinge9558
    @seciliakasinge95585 жыл бұрын

    Ibranation I love u so muchhh

  • @saidiabu2057
    @saidiabu20575 жыл бұрын

    aisee nimeipenda xn good song

  • @wilhelminaihuya1176
    @wilhelminaihuya11767 жыл бұрын

    I love the song

  • @deogratiasmmandamo6561
    @deogratiasmmandamo65616 ай бұрын

    Wapi Emma the boy na hawa wasanii wake, they are completely quite

  • @afroboymsanii8649
    @afroboymsanii8649 Жыл бұрын

    Ok 👍👍 kaka sana umeuwa sana iiningoma sio poa aaaaa inaniliza mapenzi sio poa

  • @hamisikareem648
    @hamisikareem6484 жыл бұрын

    Kka voko zmekwenda shulee upp vzur.kaz nzur

  • @angelinakabadi6921
    @angelinakabadi69213 жыл бұрын

    Ningesema nilipize mabaya yako nikuumizee🎶🎶🎶

  • @saluathkdouty7800
    @saluathkdouty78005 жыл бұрын

    2018 who still listeng now...

  • @hawahakika2023

    @hawahakika2023

    5 жыл бұрын

    saluath kdouty

  • @johnkerrysibomana9062

    @johnkerrysibomana9062

    5 жыл бұрын

    2019 naupenda pia huu wimbo

  • @mwanamvuasuleyman4671
    @mwanamvuasuleyman46712 ай бұрын

    2024 na bad naipenda tang 2017

  • @AbdallahMhando-if8fr
    @AbdallahMhando-if8fr4 ай бұрын

    Binge la ngoma miaka buku

  • @user-ib3od9jq1b
    @user-ib3od9jq1bАй бұрын

    24/6/2024 still love this 🎵 ❤

  • @fundiwakupaua
    @fundiwakupaua5 жыл бұрын

    Mpaka leohii 2019 badotu aujachuja,wimbo mkali cn aya mapenzi ayana mwenyewe

  • @nobertnkuba
    @nobertnkuba7 жыл бұрын

    among da best songs za muda wote kwangu - NILIPIZE

  • @saidmanyota3655
    @saidmanyota36555 жыл бұрын

    u knw brooooooo kip it up pazuriiii

  • @fatmaally3103
    @fatmaally31035 жыл бұрын

    Umetisha sana bro

  • @zaitunisaidi691
    @zaitunisaidi6916 жыл бұрын

    daah wimbo mzur huu unanikumbusha mbali sana na mtu flani

  • @Blackie_blackie9327
    @Blackie_blackie93277 жыл бұрын

    moyo wangu tu.....sina hakika na wako

  • @hatamimnimempendabulejaman1596

    @hatamimnimempendabulejaman1596

    5 жыл бұрын

    Na Kuna ule wimbo wa wivu wangu ni mzur nilikuwa naupendaga nawo

  • @hatamimnimempendabulejaman1596

    @hatamimnimempendabulejaman1596

    5 жыл бұрын

    Ya moyo wangu tu Sina hakika na wako but mim nakupenda

  • @ahmedimakope
    @ahmedimakopeАй бұрын

    I'm here 2024 for this lit

  • @winstonrwegalulila4683
    @winstonrwegalulila46832 жыл бұрын

    Mwanangu mbona unAjuA kabisA💥

  • @wiliadchaula7737
    @wiliadchaula77374 жыл бұрын

    2020 still listening gonga like

  • @nkanenoel8357
    @nkanenoel83577 ай бұрын

    Ngoma naielewa sanaaaa Up to December 2024

  • @hassanmweta7244
    @hassanmweta72446 жыл бұрын

    A conscientious man I see you higher

  • @lucymalingumu5660
    @lucymalingumu56603 жыл бұрын

    Bado iko hoti 2021 ngonga likee tujuane

  • @eshersaidi5045
    @eshersaidi50454 жыл бұрын

    Dah u always kill it brother am glad 4 u kip it up

  • @sebastianvenance9298
    @sebastianvenance92986 жыл бұрын

    sawaaaaaa ibra umesomekaa

  • @ambulozlazaro9561
    @ambulozlazaro9561 Жыл бұрын

    Nakupenda San ibra unajuw kaka sjw up wap

  • @mzeehassan4867
    @mzeehassan48676 жыл бұрын

    Ibra uko vizuri Kaka unajua na unakipaji sauti yako inanikumbusha mtu mmoja akiitwa makamua sauti zenu the same

  • @pamojaapp1338
    @pamojaapp13387 жыл бұрын

    Wow. what a voice!!! I love this song.

  • @shekhekhandereizer559
    @shekhekhandereizer5595 жыл бұрын

    kudadeki nilikuwa sikujui mkl nilipo kuona unapiga hii ngoma wasafi festival mtwara atimae nimepekua nakukuona kumbe ww ni nyokooo ibra asee kwl kuna vipaji vikal sana ila maskin wachache natmaa zao wanawavunja moyo awasikiki bonge la ngoma limenitoa machozi asee sabu ujumbe ulio imbwa umenigusa nakumkumbuka mtu nilie mp moyo Wang lkn nilicho kutwa ibra nation broo sarot kwako

  • @hatamimnimempendabulejaman1596

    @hatamimnimempendabulejaman1596

    5 жыл бұрын

    Haha unanichekeshaga huwo usemi wa nyoko ya ibra anajuwa Sana wengi tuliikubali hiyo ngoma ni kali Sana na wengine walisema inawahusu wakazidi kuipenda

  • @hatamimnimempendabulejaman1596

    @hatamimnimempendabulejaman1596

    5 жыл бұрын

    Mim nilikuwa kila nikisikia huu wimbo nachanganyikiwa nikawa natamani usiishe

  • @hatamimnimempendabulejaman1596

    @hatamimnimempendabulejaman1596

    5 жыл бұрын

    Wakati unaingia nilikuwa zanzibar fild nilikuwa namwambiaga rafiki yangu naipendaga hii nyimbo akawa anasema hata yeye anaipenda

  • @hatamimnimempendabulejaman1596

    @hatamimnimempendabulejaman1596

    5 жыл бұрын

    Sauti yake nzur nyimbo nzur

  • @davidedison9692
    @davidedison96927 жыл бұрын

    big up bro nyimbo kaliii

  • @salhacker7728
    @salhacker7728 Жыл бұрын

    Who watching this song this year?!

  • @johngrey8999
    @johngrey89994 жыл бұрын

    Kila neno ni hit🔥🔥🔥

  • @rajabusemkiwa9769
    @rajabusemkiwa97693 жыл бұрын

    Unajuw sana Kaka so kwnn ucende WCB Kaka na ukatoka hapo THT

  • @abdisalaammwanya-em8jc
    @abdisalaammwanya-em8jc Жыл бұрын

    2023❤Ibra Nation

  • @lizykeswick4122
    @lizykeswick41226 жыл бұрын

    dis song iz amazing....wallah

  • @amanimwidowe9408
    @amanimwidowe94085 жыл бұрын

    uko vizuli shetani asikuharibie ndoto zako ♥️

  • @arestarickselestine5305
    @arestarickselestine53056 жыл бұрын

    Cool stuff ninja..issa good Music

  • @hassymghamba5246
    @hassymghamba52463 жыл бұрын

    Kali sana hii.. still watching in 2020 September 7,,Ninachohic nakupenda kwenye moyo wako ila sina hakika na kupendwa kwenye moyo wako.. gonga like twende sawa

  • @hamzaridhiwanihassan8514
    @hamzaridhiwanihassan85144 жыл бұрын

    2019.... Still playing this song, ina balaa kwangu bdo

  • @suitbertmaro5792
    @suitbertmaro57926 жыл бұрын

    Beautiful song

Келесі