Huyu ndiye Mansa Musa, Mfalme wa Mali anayetajwa kuwa mtu Tajiri kuwahi kutokea duniani

Ойын-сауық

Mfahamu Mansa Musa wa Himaya ya Mali ambaye utajiri wake unatajwa kuwa mkubwa kuwahi kutokea duniani

Пікірлер: 48

  • @messaabbas739
    @messaabbas739 Жыл бұрын

    Simulizi nzur mnoo,, thanks SNS ❣️❣️❣️❣️

  • @mycleteffe9785
    @mycleteffe9785 Жыл бұрын

    Yaani kaka nikikusikiliza saut yako nahisi namsikiliza millard ayo....mnafanana sana sauti sanaa...big up

  • @OMANOman-qc1lm
    @OMANOman-qc1lm Жыл бұрын

    kila mmoja kazi yake kusapoti mziki mungu alisema mziki haram sababu Yake mziki unakufanya ukufuru na kufanya nasa za dunia ila watu ndo wanafanya kua dunia kupotesha watu jamani dunia mapito wanao kufa awarud tusali na kumuomba allah yakufata na kuiga mashetani tuayaache🙏🙏🙏🙏

  • @husseinhamis1428

    @husseinhamis1428

    Жыл бұрын

    ❤️

  • @hopechidera

    @hopechidera

    Жыл бұрын

    Nonsense😏

  • @NR-ll4sr

    @NR-ll4sr

    Жыл бұрын

    Kuna watu wanafanya maasi na wala hawapendi music

  • @muwezahasani4017
    @muwezahasani4017 Жыл бұрын

    The heroes mansa musaa

  • @shabiruponera4323
    @shabiruponera4323 Жыл бұрын

    Wakumsujudia mungu tu na sio mtu

  • @abuusaalimalmasasiyyu9421
    @abuusaalimalmasasiyyu94212 ай бұрын

    Wallah am proud being muslim and most of muslim leaders in the world are good and honesty caring people’s rights this is truth

  • @blessingbagio4857
    @blessingbagio4857 Жыл бұрын

    Umenirudisha form3 west African history. 🙏🙏🙏Shout out to my history teacher Mr kanyike all the way from Kampala Ug❤️

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo109 күн бұрын

    Simulizi nsuri sana nilipitwa na hii makala . Kutoka Eastleigh nairobi

  • @KIMSwahili
    @KIMSwahili Жыл бұрын

    Mashallah Allah atuongoze tuwe waislam wa kweli

  • @sidrasidra8616
    @sidrasidra8616 Жыл бұрын

    Sikutamani umalize kuhadisia 👊 uko vizuri 👌

  • @kaayakitomary1233
    @kaayakitomary1233 Жыл бұрын

    Ndio kaka tupeni istoria kama hiz za kiafrica wazungu wanatupotosha sana sana

  • @geoufo2858
    @geoufo2858 Жыл бұрын

    Wazungu wanatuzarau Africa ila Hadi Sasa awanatajiri wanamna hii

  • @salimhamad3878
    @salimhamad3878 Жыл бұрын

    Hii ni katika historia nzuri kuweza kuiskia kutoka sns

  • @emmanuelpeter4822
    @emmanuelpeter4822 Жыл бұрын

    Mansa Mussa👑🔥🔥

  • @eugenejr.8844
    @eugenejr.8844 Жыл бұрын

    Fredrick Bundala 👂 now SNS since RFA

  • @begamnafaj8743
    @begamnafaj8743 Жыл бұрын

    Dah! Itabaki historia Kwa Mali mana sasa in nchi iliyojaa umasikini na njaa

  • @omaryhajji1393
    @omaryhajji1393 Жыл бұрын

    Brother nakuappreciate jinsi unavyoelezea

  • @adamnasibu5931
    @adamnasibu5931 Жыл бұрын

    The memory

  • @999lifetime
    @999lifetime Жыл бұрын

    kwa ujumla ujaweza kueleza tajiri wa africa alikuwa nani ,naomba eleza historia hii vizur .

  • @owenmutale8686

    @owenmutale8686

    Жыл бұрын

    Tuelezee wewe unaejua

  • @herbertygeofrey2724

    @herbertygeofrey2724

    Жыл бұрын

    Brother rudi shule bado muda unao kasome upate hilimu kidogo

  • @shanmlawa
    @shanmlawa11 ай бұрын

    Kwel zamani hijah ilikua ngum MTU anenda hijjah miaka miwil

  • @mkaapwekekariakoo6417
    @mkaapwekekariakoo6417 Жыл бұрын

    🙏🙏

  • @josephk90
    @josephk90 Жыл бұрын

    Dah! Kwa ujinga wangu mimi nlifikiri Mansa Mussa ni mtuma salamu wa redioni miaka ya nyuma kumbe ilikuwa a.k.a😄

  • @zclassicfashionz1573
    @zclassicfashionz1573 Жыл бұрын

    Balaa sana

  • @pimwen2369
    @pimwen2369 Жыл бұрын

    🔥🔥

  • @ziyandamhlana8776
    @ziyandamhlana8776 Жыл бұрын

    Dunia mali ninchii masikini sana dhahabuu alituwa wapiii

  • @Majembe12

    @Majembe12

    Жыл бұрын

    Barter trade...

  • @isharanakihinga4910
    @isharanakihinga4910 Жыл бұрын

    💯💥🔥🔥🔥🔥

  • @ziyandamhlana8776
    @ziyandamhlana8776 Жыл бұрын

    Sundi is big man

  • @abuusaalimalmasasiyyu9421
    @abuusaalimalmasasiyyu94212 ай бұрын

    Watawala wakislaam wajifunze kwa hii historia mzur

  • @abuusaalimalmasasiyyu9421

    @abuusaalimalmasasiyyu9421

    2 ай бұрын

    Koz mostly of them wajiona wanyonge wakiutekeleza na kuufanyia kaz uislaam wao umagharib umewajaa mpk mtu anadharau din ake mambo hayako hivo Allah atakufanyia wepes kweny utawala wako na kuwapa aman watu wako ukimridhisha Allah na watu watakua na ihmani na wew

  • @MCWABIKE
    @MCWABIKE Жыл бұрын

    Mansa musa angekuwa hayi paka sasa ngekuwa na miaka 743 duuuu 😅😅😅😅

  • @OMANOman-qc1lm
    @OMANOman-qc1lm Жыл бұрын

    ndo watu wajue kua dini nimoja duniani ya kislam ukitaka kua ukweli kua dini ya kislam ndo dini kweli soma kuruani imendwika nini naukijua kuruani kweli unasoma sura kama unaumwa unapona yani kila sura Katika kuruani inamaana yake ndo maana unaskia walie mkufuru mungu siku ya kiama watapata athabu yake mungu alisema akuna mwanamke kuva nguo za nusu utupu au kuonyesha maumbo Yao na ikikaribia kiama wanawake wengine watakua awana aibu kutongoza wanaume kuva nusu utupu kuzini sana watoto wa haram watakua wengi watu watakufuru sana mnyazi mungu namengi yatakua alio sema allah sema binadam wengi tunapotoshwa na maisha ya nchi zingine na kuinga ujinga wa nchi zingine kufata mkubo wa shetani guys someni kuruani mjue dini ipi ya kweli duniani mapito kuna kesho tutasema nini kwa mungu huo mwoto milele kabrini athabu😭😭😭😭

  • @omaryntagala3740

    @omaryntagala3740

    Жыл бұрын

    👏👏👏👏👏👏👏👏

  • @hopechidera

    @hopechidera

    Жыл бұрын

    Stupidity😏

  • @frankmsigwa153

    @frankmsigwa153

    Жыл бұрын

    Wanaojua kweli wengi wanatenda dhambi ila wasiojua kweli wanahofu ya dhambi ?? Je hii imekaaje

  • @emmanuelkamoli8215

    @emmanuelkamoli8215

    20 күн бұрын

    Unamtazamo finyu sana Christin unaiweka wapi hujitabui unazungumza kwa mahaba au kwa facts ww ni Mungu hadi kuzungmza Kislam ni dining namba moja. KURUANI IMEADIKWA NA MUHOMENDI BIBLIA IMEANDIKWA NA MITUME WA MUNGU MWENYEWE SASA UNAPQTA WAPI MANENO MAMBOVU KAMA HAYO

  • @onlinetelevisionofficialtz4600
    @onlinetelevisionofficialtz4600 Жыл бұрын

    N kitu cha pekee unachonivutia sky

  • @constanciomarcos5484
    @constanciomarcos5484 Жыл бұрын

    mapokezi ya harmonize kigoma

  • @adamnasibu5931

    @adamnasibu5931

    Жыл бұрын

    Sema mapokezi ya mziki mnene show ya Bure kigoma

  • @sidrasidra8616
    @sidrasidra8616 Жыл бұрын

    😳🙄Sundiyata🙈

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Жыл бұрын

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌️

  • @fa-gx5yt
    @fa-gx5yt Жыл бұрын

    MALI empire kzread.info/dash/bejne/ao2upKytj5OZoNY.html kzread.info/dash/bejne/jHyDpKmuZLzOdJc.html

  • @JMcnTv-iw1rq
    @JMcnTv-iw1rq Жыл бұрын

    🙏

Келесі