Huu ndio ugonjwa unaomsumbua Malaika na aliojitolea kuupazia sauti kusaidia wengine wanaosumbuliwa
Baada ya ukimya wa takriban miaka mitatu, Malaika amerejea tena na wimbo mpya uitwao Baila. Amechill na Sky kuzungumzia ukimya wake na shughuli za kijamii alizokuwa akizifanya kipindi hicho
Пікірлер: 16
Malaika ni mrembo kama msomali Mashaallah 😘
@MohammedAli-vq2dk
3 жыл бұрын
@@nahyialetomia9284 🤣🤣🤣mm hapa mrangi
@mariamothman7404
3 жыл бұрын
@@nahyialetomia9284 Mashaallah ni mrembo sanaa
@azzamahamdu7039
3 жыл бұрын
Wasomali ni warefu hyu mfupi🤣🤣🤣atakua mrangi.
@annaathanas5225
2 жыл бұрын
Bukoba moja huyo
tention
Anapenda kucheka.she is beautiful 🥰atakua mrangi.wasomali ni warefu.sio wafupi🤣.kimalaika kifupi afu wamefanana na lulu.tofaut yy ni mnene.
@wagkolowa6640
3 жыл бұрын
Bukoba moja iyo
@veronicadaniel1122
3 жыл бұрын
Huyu mhaya
@annaathanas5225
2 жыл бұрын
Muhaya huyo
Wa kwanza
Demu mkali
Af una wanywesha sana maji wasani. Aghalau bc mijuice flani SNS ni kubwa mno mzee baba
Ningekuwa na uwezo wakremove hzi dislike dadeq mngekuja nikoma Maana sion chakudislike
Oooh... Mutotrooo
@alimairakoze3784
3 жыл бұрын
😁