Huu ndio ugonjwa unaomsumbua Malaika na aliojitolea kuupazia sauti kusaidia wengine wanaosumbuliwa

Baada ya ukimya wa takriban miaka mitatu, Malaika amerejea tena na wimbo mpya uitwao Baila. Amechill na Sky kuzungumzia ukimya wake na shughuli za kijamii alizokuwa akizifanya kipindi hicho

Пікірлер: 16

  • @mariamothman7404
    @mariamothman74043 жыл бұрын

    Malaika ni mrembo kama msomali Mashaallah 😘

  • @MohammedAli-vq2dk

    @MohammedAli-vq2dk

    3 жыл бұрын

    @@nahyialetomia9284 🤣🤣🤣mm hapa mrangi

  • @mariamothman7404

    @mariamothman7404

    3 жыл бұрын

    @@nahyialetomia9284 Mashaallah ni mrembo sanaa

  • @azzamahamdu7039

    @azzamahamdu7039

    3 жыл бұрын

    Wasomali ni warefu hyu mfupi🤣🤣🤣atakua mrangi.

  • @annaathanas5225

    @annaathanas5225

    2 жыл бұрын

    Bukoba moja huyo

  • @nataliedayana9824
    @nataliedayana9824 Жыл бұрын

    tention

  • @azzamahamdu7039
    @azzamahamdu70393 жыл бұрын

    Anapenda kucheka.she is beautiful 🥰atakua mrangi.wasomali ni warefu.sio wafupi🤣.kimalaika kifupi afu wamefanana na lulu.tofaut yy ni mnene.

  • @wagkolowa6640

    @wagkolowa6640

    3 жыл бұрын

    Bukoba moja iyo

  • @veronicadaniel1122

    @veronicadaniel1122

    3 жыл бұрын

    Huyu mhaya

  • @annaathanas5225

    @annaathanas5225

    2 жыл бұрын

    Muhaya huyo

  • @stevenick1204
    @stevenick12043 жыл бұрын

    Wa kwanza

  • @yudatadeshayo4434
    @yudatadeshayo44343 жыл бұрын

    Demu mkali

  • @salimjumaa8180
    @salimjumaa8180 Жыл бұрын

    Af una wanywesha sana maji wasani. Aghalau bc mijuice flani SNS ni kubwa mno mzee baba

  • @severinaraymondanthonyanth5989
    @severinaraymondanthonyanth59893 жыл бұрын

    Ningekuwa na uwezo wakremove hzi dislike dadeq mngekuja nikoma Maana sion chakudislike

  • @barackhuncho2432
    @barackhuncho24323 жыл бұрын

    Oooh... Mutotrooo

  • @alimairakoze3784

    @alimairakoze3784

    3 жыл бұрын

    😁

Келесі