HUU HAPA UTENZI WA WAWI NI AINA YAKE JINSI ULIVOSOMWA

Kwa Habari Moto Moto na zenye uhakika wa kina Si kwengine ni #RVS #ONLINE #TV, Fahari ya WaTanzania wote
Ili Kuwa wa kwanza Kupata Taarifa Zetu basi unge bofya Neno Lilo Andikwa #SUBSCRIBE pamoja na alama ya #KENGELE ili upate habari Zenye Uhakika
== JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NASI RVS ONLINE TV ( +255 772 666778), ( +255 719 700015)
⚫️ Email: rvsteam2020@gmail.com OR rvsteamhabari2020@gmail.com

Пікірлер: 121

  • @khamislusang7548
    @khamislusang75483 жыл бұрын

    Wallahi huu sio utenzi tu,bali ujumbe kwa watu wenye aqili. Yeyot alioko serikalini haya Ni mawaidha kwake. Allah amzishie kila la kheri mtunzi wa utenzi huu!🤲

  • @mozakhamis7253
    @mozakhamis72533 жыл бұрын

    Kwakweli kijana wetu mzuri na anastahili sifa zauongozi. Jisi anavouongoza utezi Ana maana kubwa sana amina. Yaraab

  • @AliRaza-wq3sp

    @AliRaza-wq3sp

    3 жыл бұрын

    Moza hujambo?

  • @fatmamansour2369
    @fatmamansour23693 жыл бұрын

    Allah atawafanyia wepesi watatoa kwa salama na amani waje kuungana na familia pamoja na jamii nzima

  • @alikombo5213
    @alikombo52133 жыл бұрын

    Jamaa mashaallwah, yupo vizuri

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf3 жыл бұрын

    Asante sana utenzi murwa unanidai bahshishi Insha Allah ✋✋✋💜💜💜

  • @stonetown578
    @stonetown5783 жыл бұрын

    Masha'Allah TabarakaAllah Utenzi mzuri sana

  • @issahdady608
    @issahdady6083 жыл бұрын

    Alhamdullilah umefikisha Allah atupe taufiq in shaallah

  • @ahmadjuma6083
    @ahmadjuma60833 жыл бұрын

    utenz mzur mashaa allah umewagusa watu wa ccm watake wasitake watatoa tuu mara hii inshaa allah

  • @sihabasihaba9366
    @sihabasihaba93663 жыл бұрын

    Kwa uwezo wa Allah atajaalia kila heri inshaallah

  • @AliRaza-wq3sp
    @AliRaza-wq3sp3 жыл бұрын

    Utenzi Hanna ishu ,ishu kungowa cm madarakani Cheni Kurejea hayo kilasiku hatujaona jipya lakutolewa Ccm Madarakani Watoweni madarakani Tuone jipya

  • @alikombo5213
    @alikombo52133 жыл бұрын

    Mabrook

  • @nassirmasoud2545
    @nassirmasoud25453 жыл бұрын

    Kumuita muislamu mwenzaka maluuni hiyo si sawa.ba we maalumu safu upo hpo wasikiza tuu.lkb ujue ipo na cku yko.tangazeni sera nawala sikutukanana.hyo haki kweli itapatikana kwa kutusiana?

  • @ashajj6534
    @ashajj65343 жыл бұрын

    Subhanallah nataka nicheke lkn naogopa jamman Dunia Ina vituko hii CCM mambwa Hawa lkn inshallah Mola atawafedhehesha iwe mfano na funzo kwa wngn ccm حسبي الله ونعم الوكيل

  • @sihabasihaba9366
    @sihabasihaba93663 жыл бұрын

    Hapana chezeaaaa ACT

  • @allymacnair5189
    @allymacnair51893 жыл бұрын

    Sub han Allah

  • @mozakhamis7253
    @mozakhamis72533 жыл бұрын

    Mambo yanaiva ishaalla heri

  • @ibrakabwe2003
    @ibrakabwe20033 жыл бұрын

    Uko vizur

  • @sabranassor3616
    @sabranassor36163 жыл бұрын

    Mtihani. Mwaka huu

  • @salumomari4333
    @salumomari43333 жыл бұрын

    Mola awape marazi mabaya wenye nia mbaya nauchaguz ujao

  • @nassirmasoud2545
    @nassirmasoud25453 жыл бұрын

    Unaapiza muislamu mwenzako kisha unafrahia?hi dini musichanganye na siasa binafsi

  • @omaromicx4540
    @omaromicx45403 жыл бұрын

    Upo vzr

  • @thedon8467
    @thedon8467 Жыл бұрын

    MASHAALLAH TABARALLAH TAALA

  • @thedon8467
    @thedon84674 ай бұрын

    WEWE NOMA MAANA HUU SIO UTENZI NI UJUMBE MZURI

  • @kautharsuleiman4262
    @kautharsuleiman42623 жыл бұрын

    Masha' allah

  • @abasamwame6583
    @abasamwame65833 жыл бұрын

    Utenzi wote act huyu ndio kiboko yao

  • @ahmadimukhtari5405
    @ahmadimukhtari54053 жыл бұрын

    Mashaallwah maashaaallwah maashaallwah maaashaallwah maashaallwah maashaallwah

  • @wahidabakar
    @wahidabakar29 күн бұрын

    mashallah

  • @sihabasihaba9366
    @sihabasihaba93663 жыл бұрын

    Weweeeeeeeeee

  • @latifahali8228
    @latifahali82283 жыл бұрын

    me nashanga iyo shida ikija kwa kila mtu tena awo ccm ndio kuzidi lkn hawasomi half maisha magumu. but kwa mungu hakuna kubwa wajuwe walikuwa wengi wenye kujinadi leo wako wapi. km shida na maish magumu kila mtu

  • @hashimali7925
    @hashimali79253 жыл бұрын

    Utenzi hasa mwenyewe alikua saidi utenzi almarhum yule mzee we wacha tu

  • @fatmambarouk8107

    @fatmambarouk8107

    3 жыл бұрын

    Said Hamad alifariki Allah amlaze mahala pema PEPONI AAMIIN alikuwa akisoma vizuri sana

  • @MctMct-tt4rq

    @MctMct-tt4rq

    3 жыл бұрын

    UMEONA YULE MMM MUNGU ALIPA SAUTY MUNGU AMFANYIE WEPES😢😢😢

  • @rinovarthiliwi1314
    @rinovarthiliwi13143 жыл бұрын

    CHADEMA NA ACT WAZALENDO TOENI TAARIFA MAPEMA UNITED NATION MAMBO MNAYOFANYIWA NA TUME ZA UCHAGUZI, CCM NA POLISI.

  • @ashajj6534
    @ashajj65343 жыл бұрын

    مشا الله تبارك الله الله

  • @hafswaamabella80

    @hafswaamabella80

    3 жыл бұрын

    Amima amina amina yarabbiy

  • @hafswaamabella80

    @hafswaamabella80

    3 жыл бұрын

    Nalia kwauchungu yarabbiy tujaalie salama umma wako ulinde na shar ya makafir hawa ccm

  • @kautharsuleiman4262
    @kautharsuleiman42623 жыл бұрын

    🤲🏾🤲🏾🤲🏾🤲🏾

  • @MctMct-tt4rq
    @MctMct-tt4rq3 жыл бұрын

    HUYU MSOMAJI KANIKUMBUSHA MSOMAJI ALOFARIKI SAID HAMADI MUNGU AFANYIE WEPES KTK MAISHA YA AKHERA 😢

  • @mozakhamis7253
    @mozakhamis72533 жыл бұрын

    Lanatulla. Mungu hatosimama naoishaalla

  • @nguzohassan399
    @nguzohassan3993 жыл бұрын

    Allah karm

  • @sihabasihaba9366
    @sihabasihaba93663 жыл бұрын

    Kutoka Oman pamoja sana

  • @AliRaza-wq3sp

    @AliRaza-wq3sp

    3 жыл бұрын

    Hujambo

  • @sihabasihaba9366

    @sihabasihaba9366

    3 жыл бұрын

    @@AliRaza-wq3sp nashkuru Alhamdulillah

  • @hidayabakar7026

    @hidayabakar7026

    3 жыл бұрын

    Sadakta utenzi maneno kumtu

  • @hidayabakar7026

    @hidayabakar7026

    3 жыл бұрын

    Umepangika maneno yatawagusa

  • @sihabasihaba9366

    @sihabasihaba9366

    3 жыл бұрын

    @@hidayabakar7026 Allah atufanyie wepesi

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga25133 жыл бұрын

    Mash,mash,mash,ya Habib ana kulu maalum ziada.

  • @hamishemed9396
    @hamishemed93963 жыл бұрын

    Mmmmmmmmmh

  • @jamil1547
    @jamil15473 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣

  • @rukiasalum631
    @rukiasalum6313 жыл бұрын

    Na nyie mmeuwa ivoivo askari mmemkata kichwa km kuku au mmesahau mmeuwa wengi tu c wa kusema nyie mnyamaze tu

  • @farhatsalum1871

    @farhatsalum1871

    3 жыл бұрын

    Hahahahahahahahaaaaa ukweli unaumàaaa

  • @rukiasalum631

    @rukiasalum631

    3 жыл бұрын

    @@farhatsalum1871 ndokwanza ujue km ukweli unauma naona umejichomoza kwa kupewa ukweli kumbe mnaumia ee utacheka sana hata bado na mwisho utalia

  • @farhatsalum1871

    @farhatsalum1871

    3 жыл бұрын

    @@rukiasalum631 nitacheka sana kweli atanikilia nitalia kwa furaha

  • @rukiasalum631

    @rukiasalum631

    3 жыл бұрын

    @@farhatsalum1871 utalia kwa huzuni hutolia kwa furaha ilo nakwambia

  • @farhatsalum1871

    @farhatsalum1871

    3 жыл бұрын

    Hata nikilia nitalia duniani sijui nyie mtakaoloa akhera

  • @rukiasalum631
    @rukiasalum6313 жыл бұрын

    Askari hapigi raia burebure nyinyi ndo mnoanza fujo sasa wakuachieni tu tulieni msifanye fujo muone kama watakuguseni

  • @mussaseifabdullwahid341

    @mussaseifabdullwahid341

    3 жыл бұрын

    Hao askari hmn akili km ww

  • @rukiasalum631

    @rukiasalum631

    3 жыл бұрын

    @@mussaseifabdullwahid341 ww ndohuna akili unopelekeshwa na sefu ufanye fujo mkishikwa na askari mlalamike yy katulia kwake nyinyi mnapata tabu zindukeni nyinyi

  • @mussaseifabdullwahid341

    @mussaseifabdullwahid341

    3 жыл бұрын

    @@rukiasalum631 Mm hunambii chochote wala hunidanganyi khs aakari maana nna rfk zangu wengi askari na nnawambia wasitumike vby na wanasema kweli leo wapo kzn kesho hwp wp uraiani.Kwanza kubambikia kesi watu funguka ww mwanamke au kwakuwa hayajakufika au ndo nyie mnogawa uchi mkaachiwa?

  • @rukiasalum631

    @rukiasalum631

    3 жыл бұрын

    @@mussaseifabdullwahid341 Nawala hayatonifika mana nimetulia kwangu sina fujo na mtu na sifkirii askari akakufata nyumbani kukupiga km hujafanya fujo wanaakili zao wakikufata umehusika na fujo

  • @mussaseifabdullwahid341

    @mussaseifabdullwahid341

    3 жыл бұрын

    @@rukiasalum631 Omba Mungu tu yasikufike wangapi washachukuliwa majumbani mwao