HUTUBA YA WAZIRI FRANCOIS RUBUTA MBELE YA RAIA WA UVIRA

" Ili mradi wa umeme katika tarafa na jiji la uvira utimilike, inatuomba sote kujenga amani " Waziri Francois Rubota Masumbuko

Пікірлер: 21

  • @irenetuta1106
    @irenetuta1106 Жыл бұрын

    Longue vie papa

  • @urubungatv
    @urubungatv2 жыл бұрын

    Congo inaitaji Viongozi wa Kuongea Ukweli comme Vs Mr Ministre François

  • @Perfectafrika
    @Perfectafrika2 жыл бұрын

    Tunajuwa kama sibote hatumuamini, lakini hatuna choix, batu ya ivi una itika byenye banasema tunamupe 2ans, kama hakuna suite yoyote, tunamuandikie asirudiake tena Uvira. ba politiciens ya congo bama sifa tu, kila umoya anatafuta kujipatiya masifa na hakuna lolote! merci kwaku share habari za nyumbani @Uvira news tv

  • @freddybaziraomari
    @freddybaziraomari2 жыл бұрын

    Mzee tunakuelewa, Mola abariki iwehivio, umeme na barabara ndio binaleta uchumi inchini, may Allah blessed 🇨🇩.

  • @mytelecom2019
    @mytelecom20192 жыл бұрын

    Nos Politicien...

  • @katemboshabani8709

    @katemboshabani8709

    2 жыл бұрын

    rubota ni muongo amani ya uvira na fizi yeye ni ministre arudishe kwanza ba refugee wote mu nchi zao wanyarwanda na warundi amani ndio maendeleo na ndio majengo.

  • @niggaBoySnowman
    @niggaBoySnowman2 жыл бұрын

    HAHAH

  • @alexismtambala-ly5kw
    @alexismtambala-ly5kw Жыл бұрын

    Tuna choka nama promesse

  • @dominikusfransisku1027
    @dominikusfransisku10272 жыл бұрын

    Uva yetu nini tatizo 😢

  • @bukurutogambarato9915
    @bukurutogambarato99152 жыл бұрын

    Tuna kupata mungu akutanguliye mu yote.

  • @frankwarembosaloon5316
    @frankwarembosaloon53162 жыл бұрын

    Ichiimeoza aina luga yakuonganisha raia nahaoviongozi wakinshasa sio wauvira

  • @muragaraphilippe9087
    @muragaraphilippe90872 жыл бұрын

    RUBOTA AMEKUJA KUTUKANA VIJANA SIO VIZURI.VIJANA NDIO VIONGOZI WA KESHO WA UVIRA,LAZIMA WASIKILIZWE.

  • @yahomeshopllc5950
    @yahomeshopllc59502 жыл бұрын

    Hizo ni stategie za 5chanson kama kabila

  • @Atlaswireless_cd
    @Atlaswireless_cd Жыл бұрын

    D'ailleurs si possible uvira on devrait manifester pour ne pas voter car avec ces députés et ministres akuna ata mwenye iko capable bote ni ba farceurs tuu

  • @katemboshabani8709
    @katemboshabani87092 жыл бұрын

    mumutumiye rubota audio ya pasta mmoja anavyo hubiria wa ndugu zake kanisani eti wao ni taifa la tatu watakao pewa udongo watu hao wanaitaji amani? wana lengo lao.

  • @lawipierrokasongo6511
    @lawipierrokasongo65112 жыл бұрын

    Myaka yote kweli atuko watoto mzee tokea mu 2006 mpaka hivi waache maneno tulisha choka bwana, yeye anakuja kufanya propagande tu

  • @frankwarembosaloon5316
    @frankwarembosaloon53162 жыл бұрын

    BARABARA nihaki sio ombi awamawaziri WACONGO niwahovyo sana wazirimzima ajuwi kuongea iliupate BARABARA mpaka upige magoti

  • @leonbenaiah366
    @leonbenaiah3662 жыл бұрын

    Unaongea ukweri

  • @user-bc9yj1qm5l
    @user-bc9yj1qm5l5 күн бұрын

    Tu parles des projets et aujourd'hui vous êtes en prison pour raison de détournement, vraiment c'est grave dans mon pays 😂

Келесі