Hizi ndizo TV (9) Bora za Aborder | Fahamu sifa na bei zake
Ғылым және технология
Hizi ndizo TV (9) Bora za Aborder | Fahamu sifa na bei zake
***
Kama unaitaji kununua TV za bei nafuu basi unaweza kununua Tv za Aborder na hapa nimekuwekea orodha ya TV tisa za Aborder unazoweza kununua kwa bei ya kawida kutegemea na aina na uwezo wa TV husika.
****
Credit:
www.aborderonline.com/
Usisahau ku subscribe pamoja na kushare
Пікірлер: 55
Kaka samahani unapatikana wapi minaomba tv
Naomba namba yako
TV yangu ni inch 55 imepasuka kioo jee naweza pata kioo kingine cha kununua...?
@poatel
2 жыл бұрын
Uko mkoa gani? Tembelea: www.poatel.com
Samahani mimi TV yangu ni inchi 55 imepasuka kioo nilipenda kujua napataje kioo kingine kwa hapa Tanzania hata kama nikuagiza nje...?
@poatel
2 жыл бұрын
Upo mkoa gani
Mambo samahani nimeuziwa tv smart na haifany kaz
@poatel
2 жыл бұрын
Pole Dada, haifanyi kazi kama smart TV au ni mbovu kabisa?.
Nch 24 shi ngapi
@poatel
3 жыл бұрын
Umetaza hiyo video hadi mwisho?
Weka limoti zake za kusapot kwenye App
@poatel
Жыл бұрын
Karibu: poatel.com
Aina ya tv za chogo
@poatel
2 жыл бұрын
Tembelea: www.poatel.com Kufahamu sifa na bei
Hyo inch 55 hampunguzi???
@poatel
3 жыл бұрын
Inapatikana wapi?
Nimenunua aborder solar 24 nchi natumia umeme wa tanesco siku ya tatu toka inunuliwe ikatoa mistari ya njano nikarudisha dukani wakanipa abodar nyingine nayo week moja tu ikatoa mistari mitatu tatizo nini?
@poatel
2 жыл бұрын
Hiyo mistari inatokea ndani ya kioo?
@salvinakintu275
2 жыл бұрын
Ndio
@poatel
2 жыл бұрын
Hapo inategemea na uhifadhi wa kifaa.
TV yang imezima ghafla tu shida n nn jmn
@poatel
2 жыл бұрын
Pole Sana Charity Kikoka, TV kuzima ghafla inategemea. Nakushauri fika kwa fundi aliyekaribu nawe.
zunne tv ubora wake
@poatel
3 жыл бұрын
Tutazipita pia
ntazipata wapi software updates ??
@poatel
3 жыл бұрын
Software update za nini?
Tatizo la aborder ni kuungua kwa injini yake na haipatikani madukani
@poatel
3 жыл бұрын
Ok
@janeyphersuma1316
2 жыл бұрын
Nimenunua radio ya aboder ina mwaka tu mbovu Sina hamu na Hii kampuni ovyo ovyo
@poatel
2 жыл бұрын
Tembelea: www.poatel.com Kufahamu sifa na bei
Tv izi za smat iki ibiwa unaweza ku trak
@poatel
3 жыл бұрын
Ndio unaweka program tu
Mpo xeemu gani
@poatel
Жыл бұрын
Dar es Salaam na Mwanza, Tembelea Poatel.com
Jaman mi TV yangu ukiwasha inaoshesha vizuri ila ukipita dakika 10 inaonyesha Chenga fundi kasema tubadilishe mashine nyie kama kampuni mnanisaidiaje
@poatel
2 жыл бұрын
Upo mkoa gani?
@ngerezaajumannee3494
2 жыл бұрын
DAR kinondoni kwajuni
@poatel
2 жыл бұрын
Kisimbuzi chako Kiko sawa?
@ngerezaajumannee3494
2 жыл бұрын
@@poatel natumia deki
@poatel
2 жыл бұрын
Ebu jaribu kutumia Deki nyingine huone kwanza, huwenda tatizo sio tv
Nipo mwanza napata 24 eneo LA duka
@elizabethjohanes1756
3 жыл бұрын
Duka linapatikana sehem gani nipo mwanza
@poatel
3 жыл бұрын
@@elizabethjohanes1756 kwa mwanza bado hatujafika.
Mnapatkan wap
@poatel
3 жыл бұрын
Tupo Dar
Vp mna kifaa cha kutrack tv?
@abdallahmagana
4 жыл бұрын
Hapana
@nadhifasaidi4596
4 жыл бұрын
Jamani rangi imenichosha
@poatel
4 жыл бұрын
Rangi ya nini?
@nadhifasaidi4596
4 жыл бұрын
@@poatel rangi ya tv km inakua haiko clear
@nadhifasaidi4596
4 жыл бұрын
@@poatel picha hazina mnga'o