HIZI NDIO NAULI KUTOKA 🇹🇿TANZANIA KWENDA AUSTRALIA 🇦🇺🇦🇺(CANBERRA)

Wellcome kwenye channel yangu Naongelea mambo mbalimbali , maisha ya ughaibuni ulaya, kazi , schoraship,Visa,elimu , urembo, vlogs , interviews , stori za maisha na mambo mengii msisahau kusubscribe hapa
www.youtube.com/watch?v=XcONB...
Maoni , ushauri , kutangaza nasi tuandikie instagram granaterosemary
SUPPORT ME ON PAYPAL
paypal.me/RosemaryAlfredM?cou...
email: franjomulato@gmail.com
Instagram:@granaterosemary
#maishayaughaibuni #mamafranjovlogs

Пікірлер: 69

  • @rosedaud4834
    @rosedaud4834 Жыл бұрын

    😂wee hela ya mtaji kabisa hiyo na chenchi inabaki.jana tu Kuna mtu kasafili kwenda huko ni balaa. Asante Kwa taarifa my dear pp we love you and real appreciate it 🙏🥰

  • @mamafranjovlog72

    @mamafranjovlog72

    Жыл бұрын

    Eh mie nimeshangaaa eti sikuwai kujua ni garama hivyo lol🤣🤣🤣acha tu waende huko lol asante love

  • @rosedaud4834

    @rosedaud4834

    Жыл бұрын

    Kabisa aiseeh 😂🙌 mama moyo wangu umeshtuka hiyo bei

  • @Witnessvlog
    @Witnessvlog Жыл бұрын

    Kusafiri ni gharama na sio rahisi sana. Ila ukipanga mapema ina nafuu na inapunguza stress za pesa. Ukijua unasafiri ni vyema kukata ticket miezi 3 kabla. Yani ukichelewa sana iwe miez mitatu kabla ya safari. Japo Australia ni mbali na gharama lakini ukikata ticket miezi 3 hadi minne kabla kwenda na kurudi unaweza pata USD 2000.

  • @Ombeniemanuege-tg7gj
    @Ombeniemanuege-tg7gj3 ай бұрын

    All the best wasafili

  • @mamafranjovlog72

    @mamafranjovlog72

    3 ай бұрын

    🤣🤣

  • @mohamedialliy1974
    @mohamedialliy1974 Жыл бұрын

    Tengeneza kazi nauli sio shida

  • @rashidsalumu8129
    @rashidsalumu8129 Жыл бұрын

    Beautiful sister beautiful content more lobe my sister 🥰🥰🥰🥰

  • @mamafranjovlog72

    @mamafranjovlog72

    Жыл бұрын

    Thanks much 🥰🥰🥰

  • @naimuothman3493

    @naimuothman3493

    Жыл бұрын

    Sister vip hali yako sasa mimi nataka nikulize dada angu me nikijana ambae nipo na umri 26 ila nilitafuta safar ya ujerumani ila dada nauli tuu pamoja na viza niliambiea miolion 8

  • @naimuothman3493
    @naimuothman3493 Жыл бұрын

    Sister nipo sirasi nataka nikulize kitu

  • @glorymoshi7793
    @glorymoshi7793 Жыл бұрын

    Love sana

  • @mamafranjovlog72

    @mamafranjovlog72

    Жыл бұрын

    🥰🥰

  • @enemtatuka5863
    @enemtatuka5863 Жыл бұрын

    Nakubar dada

  • @mamafranjovlog72

    @mamafranjovlog72

    Жыл бұрын

    Asante asante

  • @shyfettymtunda4619
    @shyfettymtunda4619 Жыл бұрын

    😳🙌

  • @mamafranjovlog72

    @mamafranjovlog72

    Жыл бұрын

    Hatariii garamaaa🤣🤣

  • @maleeksaidi906
    @maleeksaidi906 Жыл бұрын

    W kwanz leo

  • @mamafranjovlog72

    @mamafranjovlog72

    Жыл бұрын

    kwakwelii asante nakuona nakuonaaa

  • @salha6596
    @salha6596 Жыл бұрын

    Mtume roho yangu

  • @mamafranjovlog72

    @mamafranjovlog72

    Жыл бұрын

    hahhaha hatariiiii

  • @nemesjosephat5612
    @nemesjosephat5612 Жыл бұрын

    Tuko pamoja dada

  • @mamafranjovlog72

    @mamafranjovlog72

    Жыл бұрын

    Asanteee🥰🥰

  • @theresiamanyanda1125
    @theresiamanyanda1125 Жыл бұрын

    Naomba nijue Australia wanatumia lugha ya kingereza au

  • @mamafranjovlog72

    @mamafranjovlog72

    Жыл бұрын

    Ndio wanaongea kiingereza

  • @witnessmusa5454
    @witnessmusa5454 Жыл бұрын

    Nilikumis Sana mom lakee🥺

  • @mamafranjovlog72

    @mamafranjovlog72

    Жыл бұрын

    Thanks much dear miss you too na heri ya mwaka mpya

  • @angelasenga796
    @angelasenga796 Жыл бұрын

    Mtume karoho kangu 😄😄

  • @mamafranjovlog72

    @mamafranjovlog72

    Жыл бұрын

    🤣🤣🤣

  • @sharifabahar9905
    @sharifabahar9905 Жыл бұрын

    Naomba unisaidie nitajilipi nauli na visa ila nataka kuja kufanya kazi yoyote

  • @mamafranjovlog72

    @mamafranjovlog72

    Жыл бұрын

    Unataka msaada gani sharifa

  • @patsony
    @patsony Жыл бұрын

    Saf

  • @mamafranjovlog72

    @mamafranjovlog72

    Жыл бұрын

    Sante

  • @deogratius8501
    @deogratius8501 Жыл бұрын

    Kila kitu kinawezekana, tutafika tu hata waweke nauli $1000,000

  • @mamafranjovlog72

    @mamafranjovlog72

    Жыл бұрын

    Haiya haiyaaa deo

  • @rosedaud4834
    @rosedaud4834 Жыл бұрын

    Unaendeleaje mkono mpenzi

  • @mamafranjovlog72

    @mamafranjovlog72

    Жыл бұрын

    Asante dear uko vizuri jumatatu naenda tu kutoa nyuzi

  • @rosedaud4834

    @rosedaud4834

    Жыл бұрын

    Mungu mwema kwa kweli .

  • @mamafranjovlog72

    @mamafranjovlog72

    Жыл бұрын

    @@rosedaud4834 sana my dear asante sana for asking

  • @hamzaforogo
    @hamzaforogo Жыл бұрын

    Vipi kuhusu kazi za Poland je nafasi bado zipo? Na je utaratibu wa kutoa pesa na mambo mengine mawasiliano yako nayapataje ili nifanye muamala uniweke kwenye orodha

  • @mamafranjovlog72

    @mamafranjovlog72

    Жыл бұрын

    Nicheki instagram

  • @mamafranjovlog72
    @mamafranjovlog72 Жыл бұрын

    NAULI ZA AUSTRALIA ZIMENISHANGAZA LOL

  • @godwinaxwesso8726
    @godwinaxwesso8726 Жыл бұрын

    Hi mama Franjo nimekutumia email nimekuuliza pia jinsi ya kunisaidia kufanya mchakato wote wa kuandaa doc na jinsi ya kupata kazi kirahisi kwenye hizo nchi

  • @mamafranjovlog72

    @mamafranjovlog72

    Жыл бұрын

    Situmii email ndio mana kwenye video zangu zote nimeweka jina langu la instagram nimewaambia mnifolo insta tuongee huko natumia jina la @granaterosemary

  • @godwinaxwesso8726

    @godwinaxwesso8726

    Жыл бұрын

    @@mamafranjovlog72 asante, mama Franjo. Je Poland kunayo kazi ya delivery driver mwenye experience ya 10+ years na registered nurse mwenye experience ya 18? Kama wanahitajika naomba nipatie details doc gani zinatakiwa na wewe utanisaidia kwa lipi kama consultant na kiungo. Pls need to hear more from you dear

  • @mamafranjovlog72

    @mamafranjovlog72

    Жыл бұрын

    @@godwinaxwesso8726 kuhusu kazi zilizopo na qualification vyote nimeshaongelea angalia video zangu za nyuma pliz sio video hii

  • @godwinaxwesso8726

    @godwinaxwesso8726

    Жыл бұрын

    @@mamafranjovlog72 sawa dada yetu , wewe ndo daraja na tunahitaji sana kupata taarifa zilizo sahihi kutoka kwako kuliko kusikia kutoka kwa matapeli wa kwenye mitandao, ombi langu ni kwamba nikiwa tayari nina submit wapi doc zangu, na kama sitakosea ulisema kwa urahisi wewe ndo utakaye process kila kitu huko ughaibuni

  • @godwinaxwesso8726

    @godwinaxwesso8726

    Жыл бұрын

    @@mamafranjovlog72 mama Franjo habari yako. Visa gani ambayo ni rahisi nikija abroad kwa mfano Canada baadaye nikaibadili kuwa work permit

  • @naimuothman3493
    @naimuothman3493 Жыл бұрын

    Sister nipo sirasi nataka nikulize kitu

  • @mamafranjovlog72

    @mamafranjovlog72

    Жыл бұрын

    Niulize naimu

  • @naimuothman3493

    @naimuothman3493

    Жыл бұрын

    Sisters kiukweli nipo na mama angu yupo ujerumani ila alinambia nauli ni shilingi mioni 8 jee ni kweli

  • @naimuothman3493

    @naimuothman3493

    Жыл бұрын

    Nataka kujua maana ilyo hela mwaka mzima naichanga sister yeye yupo ujerumani

  • @naimuothman3493

    @naimuothman3493

    Жыл бұрын

    Na nimejaribu kukutafuta whatapp

  • @mamafranjovlog72

    @mamafranjovlog72

    Жыл бұрын

    @@naimuothman3493 nauli haifiki zaidi ya milioni mbili . Kushuka chini