HIZI NDIO NAULI KUTOKA 🇹🇿TANZANIA KWENDA AUSTRALIA 🇦🇺🇦🇺(CANBERRA)
Wellcome kwenye channel yangu Naongelea mambo mbalimbali , maisha ya ughaibuni ulaya, kazi , schoraship,Visa,elimu , urembo, vlogs , interviews , stori za maisha na mambo mengii msisahau kusubscribe hapa
www.youtube.com/watch?v=XcONB...
Maoni , ushauri , kutangaza nasi tuandikie instagram granaterosemary
SUPPORT ME ON PAYPAL
paypal.me/RosemaryAlfredM?cou...
email: franjomulato@gmail.com
Instagram:@granaterosemary
#maishayaughaibuni #mamafranjovlogs
Пікірлер: 69
😂wee hela ya mtaji kabisa hiyo na chenchi inabaki.jana tu Kuna mtu kasafili kwenda huko ni balaa. Asante Kwa taarifa my dear pp we love you and real appreciate it 🙏🥰
@mamafranjovlog72
Жыл бұрын
Eh mie nimeshangaaa eti sikuwai kujua ni garama hivyo lol🤣🤣🤣acha tu waende huko lol asante love
@rosedaud4834
Жыл бұрын
Kabisa aiseeh 😂🙌 mama moyo wangu umeshtuka hiyo bei
Kusafiri ni gharama na sio rahisi sana. Ila ukipanga mapema ina nafuu na inapunguza stress za pesa. Ukijua unasafiri ni vyema kukata ticket miezi 3 kabla. Yani ukichelewa sana iwe miez mitatu kabla ya safari. Japo Australia ni mbali na gharama lakini ukikata ticket miezi 3 hadi minne kabla kwenda na kurudi unaweza pata USD 2000.
All the best wasafili
@mamafranjovlog72
3 ай бұрын
🤣🤣
Tengeneza kazi nauli sio shida
Beautiful sister beautiful content more lobe my sister 🥰🥰🥰🥰
@mamafranjovlog72
Жыл бұрын
Thanks much 🥰🥰🥰
@naimuothman3493
Жыл бұрын
Sister vip hali yako sasa mimi nataka nikulize dada angu me nikijana ambae nipo na umri 26 ila nilitafuta safar ya ujerumani ila dada nauli tuu pamoja na viza niliambiea miolion 8
Sister nipo sirasi nataka nikulize kitu
Love sana
@mamafranjovlog72
Жыл бұрын
🥰🥰
Nakubar dada
@mamafranjovlog72
Жыл бұрын
Asante asante
😳🙌
@mamafranjovlog72
Жыл бұрын
Hatariii garamaaa🤣🤣
W kwanz leo
@mamafranjovlog72
Жыл бұрын
kwakwelii asante nakuona nakuonaaa
Mtume roho yangu
@mamafranjovlog72
Жыл бұрын
hahhaha hatariiiii
Tuko pamoja dada
@mamafranjovlog72
Жыл бұрын
Asanteee🥰🥰
Naomba nijue Australia wanatumia lugha ya kingereza au
@mamafranjovlog72
Жыл бұрын
Ndio wanaongea kiingereza
Nilikumis Sana mom lakee🥺
@mamafranjovlog72
Жыл бұрын
Thanks much dear miss you too na heri ya mwaka mpya
Mtume karoho kangu 😄😄
@mamafranjovlog72
Жыл бұрын
🤣🤣🤣
Naomba unisaidie nitajilipi nauli na visa ila nataka kuja kufanya kazi yoyote
@mamafranjovlog72
Жыл бұрын
Unataka msaada gani sharifa
Saf
@mamafranjovlog72
Жыл бұрын
Sante
Kila kitu kinawezekana, tutafika tu hata waweke nauli $1000,000
@mamafranjovlog72
Жыл бұрын
Haiya haiyaaa deo
Unaendeleaje mkono mpenzi
@mamafranjovlog72
Жыл бұрын
Asante dear uko vizuri jumatatu naenda tu kutoa nyuzi
@rosedaud4834
Жыл бұрын
Mungu mwema kwa kweli .
@mamafranjovlog72
Жыл бұрын
@@rosedaud4834 sana my dear asante sana for asking
Vipi kuhusu kazi za Poland je nafasi bado zipo? Na je utaratibu wa kutoa pesa na mambo mengine mawasiliano yako nayapataje ili nifanye muamala uniweke kwenye orodha
@mamafranjovlog72
Жыл бұрын
Nicheki instagram
NAULI ZA AUSTRALIA ZIMENISHANGAZA LOL
Hi mama Franjo nimekutumia email nimekuuliza pia jinsi ya kunisaidia kufanya mchakato wote wa kuandaa doc na jinsi ya kupata kazi kirahisi kwenye hizo nchi
@mamafranjovlog72
Жыл бұрын
Situmii email ndio mana kwenye video zangu zote nimeweka jina langu la instagram nimewaambia mnifolo insta tuongee huko natumia jina la @granaterosemary
@godwinaxwesso8726
Жыл бұрын
@@mamafranjovlog72 asante, mama Franjo. Je Poland kunayo kazi ya delivery driver mwenye experience ya 10+ years na registered nurse mwenye experience ya 18? Kama wanahitajika naomba nipatie details doc gani zinatakiwa na wewe utanisaidia kwa lipi kama consultant na kiungo. Pls need to hear more from you dear
@mamafranjovlog72
Жыл бұрын
@@godwinaxwesso8726 kuhusu kazi zilizopo na qualification vyote nimeshaongelea angalia video zangu za nyuma pliz sio video hii
@godwinaxwesso8726
Жыл бұрын
@@mamafranjovlog72 sawa dada yetu , wewe ndo daraja na tunahitaji sana kupata taarifa zilizo sahihi kutoka kwako kuliko kusikia kutoka kwa matapeli wa kwenye mitandao, ombi langu ni kwamba nikiwa tayari nina submit wapi doc zangu, na kama sitakosea ulisema kwa urahisi wewe ndo utakaye process kila kitu huko ughaibuni
@godwinaxwesso8726
Жыл бұрын
@@mamafranjovlog72 mama Franjo habari yako. Visa gani ambayo ni rahisi nikija abroad kwa mfano Canada baadaye nikaibadili kuwa work permit
Sister nipo sirasi nataka nikulize kitu
@mamafranjovlog72
Жыл бұрын
Niulize naimu
@naimuothman3493
Жыл бұрын
Sisters kiukweli nipo na mama angu yupo ujerumani ila alinambia nauli ni shilingi mioni 8 jee ni kweli
@naimuothman3493
Жыл бұрын
Nataka kujua maana ilyo hela mwaka mzima naichanga sister yeye yupo ujerumani
@naimuothman3493
Жыл бұрын
Na nimejaribu kukutafuta whatapp
@mamafranjovlog72
Жыл бұрын
@@naimuothman3493 nauli haifiki zaidi ya milioni mbili . Kushuka chini