Hizi hapa Simu 5 bora zenye bei chini ya Laki 3!
Ғылым және технология
Wengi wetu tunapenda simu nzuri lakini kutokana na aina ya soko simu moja unaweza kuipata kwa bei mbali mbali hazina bei moja maalumu… Hivyo watu wengi hapa huumizwa kwa kuuziwa simu zisizo na uwezo mkubwa kwa bei ghali sana! Kwasababu tu hawazifahamu.
Leo nimekuandalia list ya simu nzuri zenye uwezo mkubwa (High-end na Middle high) unazoweza kuzipata kwa bei ya chini kabisa,
(Tsh 150,000 mpaka 300,000)
Fuatilia video hii kufahamu simu hizo,sifa zake na bei zake!
Possible keywords
• Simu za bei ndogo
• Simu bora kwa bei nafuu
. Samsung, iPhone, Tecno, Sonny, infinix, oppo kwa bei ndogo
#kiswahili #simu #kariakoo #Ai #Yanga #millardayo #iphone #samsung #tecno #infinix
Пікірлер: 22
Bado zipo
Hapana izo used bro
Nashid n hy I phone 6 plus
We need more videos like this ❤🎉 0:23
Mimi nahitaji hiyo iphone x unapatikana wap
Mm nataka INFINIX hot30 ni shingapi
Hizo ni used au mpya kabisa au?
Kaka mm naitaka hyo oppo a83. naona naweza kuinunua.
@ELLYTECH
5 ай бұрын
Upo wapi
Zinapatik wp
Unapatikana wap kaka
@dicksonstevengibai1372
Жыл бұрын
Nielekez ulipo asee Nina shida na izo simu
@ELLYTECH
Жыл бұрын
Nipo Dar es salaam
Pw
Labda used lakini mpya unadanganya kaka 2
@ELLYTECH
2 ай бұрын
Hizo simu nilizotaja Huwezi kupata mpya tena Duniani kote makampuni hutengeneza toleo moja kwa miaka miwili tu, Samsung mpya unayoweza kupata kwa sasa ni toleo la s23 na s24, iPhone ni iPhone 14 na iPhone 15 pekee, hizo zote ni used na refurbished
mimi nataka iphone 13 pro max unapatikana wapi na ni bei gani
@ELLYTECH
Жыл бұрын
WhatsApp 0654223036
@khareemnyoka1239
10 ай бұрын
@@ELLYTECHb
Namb yako napataje
@ELLYTECH
Жыл бұрын
WhatsApp 0654223036
@daudic.mpinga4606
16 күн бұрын
@@ELLYTECHmnauza au mnatangaza tu