Historia Ya Maulidi - Sheikh Abdallah Saleh Al-Farsy ‎رحمه الله

Sheikh Abdallah Saleh Al-Farsy ‎رحمه الله
Abdulla Saleh Farsy
Tafsiri ya Qurani
Tawhidi
Qurani Takatifu
Zanzibar
Mombasa
Sunnah

Пікірлер: 74

  • @user-bp6fb6wo5u
    @user-bp6fb6wo5u Жыл бұрын

    Allah awalipe kheri endeleeni kututumia clip za shkh Abdallah Al Farsy! Maa shaa Allah wallah tunastafidi sana... Kumbe alianza kuwaeleza watu zamani sana lakini walikaidi haki.

  • @mybabyarchive2104

    @mybabyarchive2104

    Жыл бұрын

    Baada ya kwenda kusoma saudia ndio akaja na fikra zake hizo

  • @abuuaisha6110

    @abuuaisha6110

    11 ай бұрын

    ​@@mybabyarchive2104baada ya kuiona haki au kusoma saudia? hata wewe Allah akikupa taufiq utafuata haki inshaAlla.

  • @jambo3751

    @jambo3751

    9 ай бұрын

    @@mybabyarchive2104 Hahaha Sheikh Abdallah Saleh Alfarsy hakusoma Saudia usiseme uongo. Alikuwa kadhi mkuu Zanzibar akaenda Kenya nako pia akawa Kadhi mkuu wa huko na akaamuwa mwenyewe kustaafu kutokana na hali yake ya kiafya na umri na akaenda Oman nako walimtaka awe kadhi mkuu lakini alikataa na alifariki akiwa huko Oman na kuzikwa huko Allahummaghfirlahu warhamhu waskunuhu fiy jannatul firdaws Amin.

  • @mybabyarchive2104

    @mybabyarchive2104

    9 ай бұрын

    @@jambo3751 Alikua msufi huyo baadae saudia wakampa mpunga akaenda kusoma kwao alivorudi sasa ndo akaanza kueneza fitna zake hizo

  • @hassanmfaume4522

    @hassanmfaume4522

    6 ай бұрын

    Hii fitna au hiyo ya kwako ndio fitna Allah akuelekeze haki na akujaalie uifuate​@@mybabyarchive2104

  • @user-lz3cc1pe6x
    @user-lz3cc1pe6x Жыл бұрын

    Allah iakurehemu ulisheka Manhaj Sahih

  • @rotibul-hadat
    @rotibul-hadat Жыл бұрын

    Historia Ya Maulidi - Sheikh Abdallah Saleh Al-Farsy ‎رحمه الله

  • @awadhmessi3200
    @awadhmessi32007 ай бұрын

    Salam Aleykum, naomba kujuwa Application ya huyu sheikh ya tafsiri ya Qur'an

  • @MohammadJumah-qk2xc
    @MohammadJumah-qk2xc9 ай бұрын

    Muislamu amepotelewa na hekma bas popote ayonako aichukue alllaah taala. Akurehem

  • @rajabumuyumbu4586
    @rajabumuyumbu4586 Жыл бұрын

    Alhamdulillah

  • @HassanSalum-pg9yu
    @HassanSalum-pg9yu Жыл бұрын

    masufi mnadhalilika

  • @user-lz3cc1pe6x
    @user-lz3cc1pe6x Жыл бұрын

    Yaret watu wafahamu hayo

  • @luqmankhalid2219
    @luqmankhalid221911 ай бұрын

    Kufkuzwa ZANZIBAR haina maana ya kufkuzwa katika UISLAMU. Watu wa Maulid tambueni kila ibada imefundishwa na Mtume lakini ibada ya MAULIDI imesahaulika kufundishwa ama vp 💔🔞 اتقوا الله اهل البدعة والمولد

  • @abuuaisha6110

    @abuuaisha6110

    11 ай бұрын

    [عن عائشة أم المؤمنين:] من أحدث في أمرِنا ما ليس منه فهو رَدٌّ. الألباني (ت ١٤٢٠)، غاية المرام ٥ • صحيح • أخرجه البخاري (٢٦٩٧)، ومسلم (١٧١٨)، وأبو داود (٤٦٠٦)، وابن ماجه (١٤)، وأحمد (٢٦٠٣٣) واللفظ له • شرح رواية أخرى

  • @hilalkhalfan1452

    @hilalkhalfan1452

    11 ай бұрын

    MIA HUA PIA NASHANGAA, KILA IBADA IMEFUNZWA LAKINI ADHANA YA KWANZA YA SWALA YA IJUMAA, MTUME SAW ALIISAHAU MPAKA KAFARIKI NA MASWAHABA NDIO WAKAIFUNDISHA. PIA YAKUSHANGAZA NI MENGI, MAANA PIA MTUME SAW NA MASWAHABA WAMESAHAU KUFUNDISHA MUSABAKA WA QUR-AN AMBAO WATU WA KARNE KADHAA MBELE NDIO WAKAIFUNZA NAMNA YA KUFANYA IBADA HIZO NA UTARATIBU KAMILI WA KUALIKA WABUNGE NA MAKAFIRI PIA HUMO HUMO NA MICHANGO. IBADA HIZI UTARATIBU WAKE HAKULETA MTUME SAW NA IBADA HIZI HAWAJATUFUNZA UTARATIBU WAKE LAKINI PIA, BIDA'A NI NZURI KWA MACHO YETU ILA...... " ABDALLAH SALEH FARSY ALIFUKUZWA ZANZIBAR KWASABABU YA KUFASIRI UONGO QUR-AN NA AKATOLEWA UMUFTI NA AKAENDA KUWADANGANYA KENYA HUKO ALIACHA MWENYEWE UMUFTI ZANZIBAR. MWANACHUONI HUWA HAWI MUONGO ILA ABDALLAH FARSY. KWAIO KATOLEWA UMUFTI KWASABABU HAJUI. NA MSITAFUTE HILA WALA NJAMA ZOZOTE ZA KUWADANGANYA WATU. MTUME SAW AMESEMA KULLA BIDA'ATU DHWALALA. HAPO ANAONEKANA ABDALLAH SALEH KAVAA KILEMBA KIREFU NA IMEDHIBITI KWA HADITHI ALIOPOKEA SAYYID NA ALLY KW KUWA KILEMBA ALIVISHWA CHENYE MKIA MFUPI. HUU KUWEKA MKIA MREFU KWENYE KILEMBA CHA ABDALLAH FARSY NIONYESHENI AYA AU HADITHI ILIOMFANYA KILEMBA AKIFANYE MKIA MREFU, NA HAMPATI ILA HIO NI BIDA'A WALIZOKUJA NAZO MAKADIANI KUVAA VILEMBA HIVYO. TIZAMENI MAGAZETI YA MAKADIANI MTAONA. IMMA MAULID MAANA YAKE NI SIRA YA MTUME SAW. SASA SIJUI KUWA MAULID NABIY (SIRA YA MAZAZI YA MTUME SAW), ILIANZA KUFUNZWA KARNE ANAYOISEMA HUYO FARSY MUONGO. IMMA KUANDIKWA VITABU NI MUDA WOWOTE LAKINI SIRA HIO YA MTUME SAW ILIFUNZWA NA MTUME SAW WAKAFSTIA MASWAHABA NA TABIINA MPAKA ELIMU IKATUFIKA, WALA SIFIKIRII ATI WATU WALIIJUA SIRA YA MTUME SAW (MAULID) BILA MASWAHABA KUWAFUNZA TABIINA. UNAONA KABISA MANENO YA FARSY NI UPUUZI TU NA CHUKI. KAMA UKATI HUO DOLA ISHAHARIBIKA, JEE YEYE FARSY TUNAAMINI VIPI LEO KAMA HAYUMO KATIKA ELIMU YA DOLA ILIOHARIBIKA?!. KWA UFUPI NI UPUUZI TU ANAONGEA SIO KAMA SHEKH BALI KAMA WAPUUZI

  • @Khalid-mf3iu

    @Khalid-mf3iu

    10 ай бұрын

    ​@@hilalkhalfan1452ukijilinganisha akili na ilmu yako wewe wajiona wamfikia sheikh Abdallah al farsy?

  • @hilalkhalfan1452

    @hilalkhalfan1452

    10 ай бұрын

    @@Khalid-mf3iu kwani wewe ulifkiria kuwa Abdallah farsy ni Mtume asio kosea?. Akiwa mashekh na waislamu wote wa zanzbar walimtimua umufti kwa kutoa fatuwa mbovu, JEE UTAMLINGANISHA NA MUFTI MKUU NA IMAMU MKUU WA MAKKA KWA MIAKA 20 BILA KUPINGWA (SHEKH JAAFAR BARZANJI) ALIOANDIKA MAULID NABIY?!!!. uamfananishaji SHEKH ALIOKOSA RADHI MPAKA ZA MASHEKH WAKE (ABDALLAH FARSY) VS IMAMU MKUU WA DUNIA KWA MIAKA 20 (JAAFAR BARZANJI).?

  • @AbdullahOmar-fv3ld

    @AbdullahOmar-fv3ld

    9 ай бұрын

    ​@@Khalid-mf3iu kutofautiana Ni kawaida hata maimamu wa nne wametofautiana yeye alifahamu vyake na wenzake walifahamu vyao

  • @fauzishabani2622
    @fauzishabani262211 ай бұрын

    Nawakubali . Mashekh .Chukua unachokiona sahihi vingine viache. Tusiwaseme vby mashekh wetu. Answary nawakubali, Kadiria nawakubali, Sunni nawakubali . chukua unachoona wewe ni sahihi vingine viache kama upendi

  • @abdulsalum9698

    @abdulsalum9698

    11 ай бұрын

    Mjinga ww sana tu

  • @hilalkhalfan1452

    @hilalkhalfan1452

    11 ай бұрын

    @@abdulsalum9698 HAJIBU HIVI ISIPOKUWA NI MUWAHABI (ANSWARU). KWAKUWA WEWE NI ANSWARU(JINA LA BANDIA NISALAFY) NDIO MAANA UKAMUITA MWENYE AKILI NI MJINGA KUMBE WEWE MUWAHABI NDIO MJINGA. KWASABABU MIMI NI TWARIKA LKADIRIY INAYOONGOZWA NA SHEKH MUHAMMAD NASOUR RA NA SASA IPO CHINI YA SHEKH SAYYID OTHMAN. WEWE MUWAHABI KAZI YENU NI MATUSI HATA SHEKH HAMNA. MWENZIO KASEMA KWA UZURI KWASABABU ALIJUA KUWA SOTE NI WAISLAMU NA ANAJUA KUWA ANSWARU ANAWEZA KUKOSEA AKALIWACHA NA KWAKUWA WEWE NI ANSWARU HUWACHI KUNDI LAKO LA UPOTOVU SASA UNATAKA NA HUYO AINGIE KUNDI LAKO. WATU WANAPOIONA HAQQI NDIO HUIFUATA NA SIO ATI UMLAZIMISHE KWA MATUSI. MATUSI SIO DALILI KATIKA UISLAMU WALA KAULI YA MTU SIO DALILI. HIVI WEWE UNAEMUITA MWENZIO NI MJINGA, JEE SHEKH WAKO NI NANI?. MAANA, MAN LAISA SHAIKHU SHEIKHUKHU SHEITWANI, ASIO NA SHEKH BASI SHETANI NDIO SHEKH WAKE. UTUAMBIE LEO SHEKH WAKO WEYE NI NANI?. AMBAE YUPO HAI TUNAONGEA KWASABABU ALIOKUFA HUWA ALIKUWA SHEKH WA WENGINE, WAKO WEYE NI NANI?

  • @saadomar2480

    @saadomar2480

    9 ай бұрын

    Ujingawakenn hv we unataka kilausichokitakawewe nawengine wakichukie au?

  • @saadomar2480

    @saadomar2480

    9 ай бұрын

    Achamatusi siyo UISLAAM kutukanana ndg yngu.

  • @hassanmfaume4522

    @hassanmfaume4522

    6 ай бұрын

    Dini haichukuliwi kwa ufahamu wako bali kwa dalili kutoka ktk Qur'an na Sunna

  • @AhmadaTahir-cu8se
    @AhmadaTahir-cu8se Жыл бұрын

    Hapingwiiii. Lakini uankumbuka tafsiri ngapi ambazo alizitoa na zikawa na makosa? Nakusudia tafsiri ya Quran!!?

  • @abuuaisha6110

    @abuuaisha6110

    11 ай бұрын

    Aliekamilika ni Allah, hakuna mwanadamu ambae hakosei, [عن [عمرو بن العاص]:] إذا اجتهد فأصاب فله أجران، وإن اجتهد فأخطأ فله أجرٌ. الشوكاني (ت ١٢٥٥)، الفتح الرباني ٦‏/٣٠٩٠ • صحيح • أخرجه أبو داود (٣٥٧٤)، وابن ماجه (٢٣١٤)، وأحمد (١٧٨٠٩) باختلاف يسير. • Atakapo jitahidi mtu akapatia ako na ajri(thawabu) mara mbili na atakapo jitahidi akakosea atapa ajri mara moja.

  • @hafidhsalum-jp2mw

    @hafidhsalum-jp2mw

    11 ай бұрын

    Wewe ungeweza kuitafsiri na usikosee? Mshukuru Allah kwa kumjaalia yeye ameturahisishia sisi adi leo kuifahamu Makosa ni sehemu ya kibinaadamu ndugu

  • @hilalkhalfan1452

    @hilalkhalfan1452

    10 ай бұрын

    @@abuuaisha6110 kama mshajua kuwa ni Shekh wa kukosea kosea na kuropokwa ropokwa basi mngefahamu kwanini alivuliwa umufti zanzbar. KWAKUWA KAINGIA KWENYE UWAHABIYA WA KUPINGA MAULID, BASI MMEKUWA NI MALAIKA WA KUMFUTIA MADHAMBI YAKE 😂. WANACHUONI HAWAKUWA OVYO OVYO KAMA FARSY. mnampenda kwakuwa mfuasi wenu hataki mauid nabiy, na mazali ana makosa mengi na KUKATAZA MAULID PIA KAKOSEA NA ATALIPWA UJIRA MMOJA WA KUJITAHIDI, NA HUENDA ALIFANYA MAKSUDI IKIMUINGIZA MOTONI KWASABABU MTUME SAW PIA AMESEMA, WATAINGIA MOTO MKUBWA WENYE KUTOA FATUWA ZA UONGO. NA HILO PIA ULIKUBUKE. USIKUMBUKE AJRAANI TUU MUWAHABI WEWE

  • @humoudseyd7310
    @humoudseyd7310 Жыл бұрын

    Watu wa majaziii basi hata shekh mkubwa mwenyeelmu huyu mnampinga? Nyote watu wa dufu hamumuwe,I huyu kwa elmu bado tummengangania maulidiiiiiik kuwaimbisha watoto wetu huku nyie mkionaraha kwa sauti zao?

  • @mussaissa6796

    @mussaissa6796

    Жыл бұрын

    Ana elimu kuliko imam dhahbiy na ibun kathir Na ibun taimiyyah sio??

  • @medimisi6930

    @medimisi6930

    Жыл бұрын

    @@mussaissa6796 na mtume si ndo ametufundisha haya lete hiyo hadithi ya maulid unaweza ukaipata

  • @AbdullahOmar-fv3ld

    @AbdullahOmar-fv3ld

    9 ай бұрын

    ​@@medimisi6930lete hadithi ya mashindano ya qurani

  • @G.r.e.a.t.I.Q
    @G.r.e.a.t.I.Q7 ай бұрын

    Kuna Kigogo mmoja wa Shia alithibitishia kuwa Maulid ni ya kwao Mashia. Yaani Barzanji ambaye ni Mtunzi wa Maulid ni shia. Hivyo akanikejeli kuwa tunajidai kuwakataa Mahshia na Ushia wakati kwenye tungo zao tumekwama!

  • @canoksancomprehensivelearn7182
    @canoksancomprehensivelearn71829 ай бұрын

    Ni muhimu waislam wajue kuwa Allah anatuma watu kuzihuisha sunnah za manabii katika kila ummah na hata kama watu watakasirika wapingao sunnah haitasaidia nuru ya Allah ndio itashinda, wanaofanya hayo hutetea pumbao zao na tamaa za nafsi ukiwa nazo mbele huwezi jua haki. Hata kama utamuona sheikh mkubwa anapinga sunnah ujue Allah kamuona ana uovu mkubwa na anaweza asimuongoze akafa akiwa na bidaa zake aingie jahannahm kwa jupitia hayo anayoyaweka mbele maslahi yake. { وَمَاۤ أَرۡسَلۡنَا مِن قَبۡلِكَ مِن رَّسُولࣲ وَلَا نَبِیٍّ إِلَّاۤ إِذَا تَمَنَّىٰۤ أَلۡقَى ٱلشَّیۡطَـٰنُ فِیۤ أُمۡنِیَّتِهِۦ فَیَنسَخُ ٱللَّهُ مَا یُلۡقِی ٱلشَّیۡطَـٰنُ ثُمَّ یُحۡكِمُ ٱللَّهُ ءَایَـٰتِهِۦۗ وَٱللَّهُ عَلِیمٌ حَكِیمࣱ (52) لِّیَجۡعَلَ مَا یُلۡقِی ٱلشَّیۡطَـٰنُ فِتۡنَةࣰ لِّلَّذِینَ فِی قُلُوبِهِم مَّرَضࣱ وَٱلۡقَاسِیَةِ قُلُوبُهُمۡۗ وَإِنَّ ٱلظَّـٰلِمِینَ لَفِی شِقَاقِۭ بَعِیدࣲ (53) } [Surah Al-Ḥajj: 52-53] Na hatukumtuma kabla yako Mtume wala Nabii ila anapo soma, Shet'ani hutumbukiza katika masomo yake. Lakini Allah huyaondoa anayo yatia Shet'ani; kisha Allah huzithibitisha Aya zake. Na Allah ni Mjuzi Mwenye hikima. "Hayo ni ili alifanye lile analo litia Shet'ani liwe ni fitna kwa wale wenye maradhi ndani ya nyoyo zao, na wale ambao nyoyo zao ni ngumu. Na hakika madhaalimu wamo katika mfarakano wa mbali." Aya hizi mbili zatosha tushaona dhalimu ni nani au dhalimu kuliko wote ni yupi katika surat Alqaswas kuwa yule afanyaye matamanio yake kuwa haki, na hapa Allah kafafanua zaidi naye haongozi madhalimu

  • @dulaabdallah6127

    @dulaabdallah6127

    9 ай бұрын

    Sunnah Gani hiyo ambayo makhalifa wa mtume hawakuifwatiliza. Makkah na Madina hakuna hiyo unayoihisi Sunnah za hafla za maulidi. Sisi twayatoa wapi haya

  • @AhmadaTahir-cu8se
    @AhmadaTahir-cu8se Жыл бұрын

    Mtu anaweza kukataa na kukioinga kitu kwa sababu ya kitu. Kwanza mungeuliza kwa nini sheikh Abdallah alioinga Maulidi wakati alikuwemo kwenye hayo hayo Maulidi??

  • @mussaissa6796
    @mussaissa6796 Жыл бұрын

    Nafikiri mmerithi uongo kutoka kwa watu waongo kama huyu Hebu jifundishe ukweli kuhusu mnachopinga kabla hamjadanganya kama hawa masheikh chapati

  • @AliMohamed-gv7nw

    @AliMohamed-gv7nw

    Жыл бұрын

    Waulize hao wenzio watu wamaulid huyu abdallh Al farsy ninan nazani humjui wala ww hujijui utachekwa

  • @saheelameir4313

    @saheelameir4313

    9 ай бұрын

    Hamuna hoja za msingi kabisa watu wa maulid

  • @saheelameir4313

    @saheelameir4313

    9 ай бұрын

    Kila nikipima nakuta watu wa maulid hoja zao ni nyepesi mno

  • @hilalkhalfan1452
    @hilalkhalfan1452 Жыл бұрын

    WEWE UMETIMULIWA NA MASHEKHE WA ZANZIBAR WANAOSOMA MAULID KIASI UNUNE. UMEUMIA SANA ILA POLE.

  • @hilalkhalfan1452

    @hilalkhalfan1452

    Жыл бұрын

    Umevuliwa umufti zanzbar kwa porojo lako ukakimbilia kenya na kenya walikupa umufti maana waliona unatoka zanzbar walifkuri unaakili na mwishoe kenya wakakufukuza ukaenda kufia mbele ya safari pangu pakavu. Naona unapiga porojo hata huelewiki ati ismailia ndo katawala akaleta maulid. Wapi na wapi na hayo maneno yako ya kuzusha. Uliwakimbia mashekh ukaanza kutafsiri Qur-an makosa matupu.

  • @user-bp6fb6wo5u

    @user-bp6fb6wo5u

    Жыл бұрын

    Ujinga mzigo kweli, wewe wacha ufala wako shkh Abdallah unamsema kama ni mtu wa mtaani!!! Wewe wafananisha huyu mwanachuoni na mabasha wa Lamu na Mambrui!!! Wewe humo kweli!!!

  • @hilalkhalfan1452

    @hilalkhalfan1452

    Жыл бұрын

    @@user-bp6fb6wo5u kwani umemuona ana nini la ajabu huyo mtwana. Amefukuzwa zanzbar na amekosa razi za mashekh wake wa zanzbar huyo. Wewe ndio unamuona wa ajabu. Wanafunzi aliosoma nao pamoja kwa Shekh suleiman alawi nimewahi kuonana nao na khabari zote. Tena kuna mmoja mzee alikuwa ni mufti wa tumbatu akafia dar es Salaam maeneo ya mwana nyamala kama miaka 4 tu iliopita na amerudishwa kuzikwa tumbatu. JEE WEWE ULIWAHI KUONANA NA NANI ALIOSOMA NAE KATIKA WANACHUONI WA ZANZIBAR?. WEWE HUJUI KUWA ALIVULIWA UMUFTI MARA MOJA ZANZIBAR. ALIPITISHWA UMUFTI KIMAGENDO NA AKAVULIWA AU HUJUI?. AKAWADANGANYA WATU KWA KUTOA TAFSIRI YA QUR-AN HALI INAMAKOSA KIBAO. KWA ZANZIBAR, HUYO HAKUWA MWANACHUONI MKUWA ILA KAKUZWA KIMTANDANDAO KAMA ALIVYOKUZWA NASOUR BACHU AMBAE HANA HATA SHEKHE. WEWE UPO WAPI KIJANA. KUKUZWA KIMTANDAO HAIMAANISHI NDIO SHEKH MKUBWA. MASHEKHE WA ZANZIBAR KINA HABIB OMAR QULATAIN, HABIB OMAR BIN SUMEIT, SHEKH SULEIMAN BIN ALAWI, SHEKH HASAN BIN AMEIR, SHEKH MJANA KHERI NA WENGINE. HUYO FARSI KASOMA KWA SHEKH SULEIMAN ALAWI NA AKISHA AKAYAKOROGA MWENYEWE. KAKIMBIA DARASANI

  • @yusufmwangichannel6692

    @yusufmwangichannel6692

    Жыл бұрын

    ​@@hilalkhalfan1452Acha fitna wewe. Una elimu gani wewe usie jitambua. Unamuongea vibaya mufti alie na elimu ya dini na alie tafsiri Qur'an msahafu mzima kwa lugha ya kiswahili unamkejeli mufti mwenye anaheshimiwa na masheikh wakubwa walio hitimu vyuo vikuu vya madrasa kama Saudia na Sudan. Sheikh Al-Farsy hakufukuzwa Kenya aliondoka kuenda Muscat Oman baada ya ku-retire kama Chief Kadhi wa Kenya

  • @khamisali5978

    @khamisali5978

    Жыл бұрын

    Maneno yote unayosema unatumia tafsr yake ya kiswahili aloandika na kufukuzwa ZANZIBAR haina maana kufukuzwa kwenye uislamu.

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 Жыл бұрын

    Huuu ndo mwaka wa kudhalilika kwa masufi waabudia .akaburi na watu wa maulid

  • @masoudmasoud8138

    @masoudmasoud8138

    Жыл бұрын

    Utajijua mwenyeoo salafi wewee

  • @user-pj8ed9kn6g

    @user-pj8ed9kn6g

    Жыл бұрын

    Subhnnallah hivi Nikweli wanabudu makaburi na umeshuhudia au unasikia tu naww itaqllah ndugu yang

  • @abuuaisha6110

    @abuuaisha6110

    11 ай бұрын

    ​@@user-pj8ed9kn6gmimi nimeshuhudia kwa macho yangu mawili ibada za makaburi nakusikia kwa masikio yangu mawili maneno ya ibada yanoelekezwa kwa walioko makaburini na niko tayari siku ya kiyama kuenda kutoa ushahidi mbele ya Allah kuhusu hilo

  • @hilalkhalfan1452

    @hilalkhalfan1452

    11 ай бұрын

    NAFKIRIA MAWAHABI HUWA MNAFUNZWA ILI IWE IBADA BASI IWE INASHURUTI ZAKE. HAYA TUFUNZE HIO IBADA YA MASUFI WANAABUDIA VIPI KABURI NAOMBA UTUFUNZE MWANZO HADI MWISHO NDUGU YETU MPENDWA. IMA KAMA HUJUI BASI UKAFIRI UMEKURUDI

Келесі