HII NDIYO NJIA WALIOTUMIA MASWAHABA KUTATUA MATATIZO YAO: SHEIKH JAMALUDIN OSMAN
Muhadhara umetolewa na Sheikh Jamaludin Osman , katika ukumbi wa Chuo cha Multi Media University Rongai nchini Kenya Novemba 19, 2023. Madas ikielezea njia ya waliotumia maswahaba kutatua matatizo yao, ni njia gani? Inshaallah fuatilia hadi mwisho upate kuelimika. Sambaza ujumbe huu wa Allah upate faida.
Пікірлер: 10
Shukrani sana sheikh wetu ❤❤❤
Mashallah sheikh tabarakaallah sahihi
masha allah sheiq wetu we love you
Jazaka llahul kheir 🤲🤲🤲
Salallahu Alaihi Wasalam ❤️❤️❤️
Jazaka lahu haira
Sana shekhe wangu unacho ongea
Waleykum salama warahamaturah wabarakatu
Swadakta maneno yako shekhe wetu
Nooooms