History nzuri sana tunajifunza kupitia visa hivi sheikh shuqran
@masoudmasoud81384 жыл бұрын
Ekeni video itapendeza zaidi
@mwanakomboomar56244 жыл бұрын
MashaAllah
@zuberikamote20784 жыл бұрын
مشألله
@africanqueen25064 жыл бұрын
Muendelezo tafadhar
@jamalkishangu2 жыл бұрын
Wanazuoni ni warithi wa manabii, umma utaanguka wanazuoni wanapotoweka. Mawaidha kama haya yasiyopendelea madhehebu, yanaanza kutoweka hasa baada ya Waislamu kugawanyika kati ya Saudia na Iran, ugomvi walionao Wasaudia na Wairan ni siasa kila mmoja akijaribu kutunisha misuli katika eneo la Asia ndogo.
@ahmadjuma1368 Жыл бұрын
Imam Ally yupo kwenye haki,yeyote mwenye kumpinga ameipinga Haki
@hatibunkonga23504 жыл бұрын
Twalha na Zubeir na Aisha ndio viongozi wa vita ya Jamal
@ahmedissa7882
4 жыл бұрын
Hapo zilipita fitna mbaya sana,
@hatibunkonga2350
4 жыл бұрын
@@ahmedissa7882 shukran sana ,upon wapi sheikh 0782671966
@zayyatiyussuf95664 жыл бұрын
Muhammed na Faiza njooni wandugu mambo مباشر
@mohammedsaleh2202
4 жыл бұрын
mambo poa vip na wewe
@faizasaid8262
4 жыл бұрын
zayyati yusufu Asnte nipo hujmbo
@faizasaid8262
4 жыл бұрын
Mohammed saleh 😁wambaje
@mohammedsaleh2202
4 жыл бұрын
@@faizasaid8262 faiza nipo vizuri hasa
@faizasaid8262
4 жыл бұрын
Mohammed saleh 👊👌
@myahsaydou33514 жыл бұрын
How did sayidna abu bakr sent to performe hijja while the prophet hasnt done it for people to know idont understand how he was sent to performe hijja before the prophet or what kind of hijja did he performe ??need more knowledge
@zamabuu7707
4 жыл бұрын
Mashallah this is very intellectual question. This incident happened in the 9th year of the hijja, the prophet Muhammad peace be upon him, had intention to perform the hijja himself however he recieved many delegations from arab tribes who went to seek the information about Islam as the result he appointed Ali and Abubakar (May Allah be pleased with them) to lead the pilgrimages, not only that but despite that Makkah was already conquered and it was in the hand of muslims but the mushrikun were still allowed to perform their own kind of hajj, therefore ordered Abu Bakr to announce that the mushrikun can no longer allowed to enter Makkah and perform any form of worship, that was the final year for them. As for the following year the prophet went and perform hajj with Muslims and perfect the hajj and everything to do with Islam. Now coming back to your question our beloved had various ways of teaching, he used to teach by showing actions, or by explanation of how things to be done. Bear in mind this was approximately 22nd year of his prophet hood therefore AbuBakr and Ali were already knowledgeable and good enough to take any task assigned to them. I hope I have answered your question. Jazakallahu khayran
@jamalkishangu Жыл бұрын
Mawaidha wa mwanazuoni huyu, humchukua msikilizaji mpaka katika tukio halisi, naye akajiona yupo katika waliohudhuria tukio lile, hiki ni kipaji kikubwa sana.
@jumahamis2274 жыл бұрын
She
@alshamsitz3961 Жыл бұрын
Acha maneno matamu ya siasa sheikh Othman,ww sema kina zuber,twalha na Bi Aisha ni wakosefu,waislamu lazima tuamke na tuache mapenzi ya unafik kwa watu waovu
@omaratik27784 жыл бұрын
Muislamu mzuri ni Yule anaeskia na kuchukua njia mzuri wala wao hawakua malaika iwe funzo kwetu waislamu wote tushikamaneni kamba moja ndio yaliopita iwe darsa kwetu umoja upendo na Amani wote hao walifanya kazi kubwa Sana ili Sisi tuwe na njia sahali yote yawe ni mafunzo kwetu
@ftimaramadan47483 жыл бұрын
Allah humma Swale Alla saidina Muhammad waalaa alihi waasihabihi wasalamu
Пікірлер: 77
Huyu shekhe amesoma Sana anakuchambuli kimojakimoja usipo muelewa bc huwezi kunielewa yyte 🙏🙏mungu tulindie shekhe wetu.
Allah akustri na kila baya sheikh Othuman mashaallah Allah akubariki sana kwani mawaidha tunafaidi uwepo wako.
Allah humma Swale Alla saidina Muhammad waalaa alihi waasihabihi wasalamu
Shukran sana team Riyadh kwakweli tunapata mengi mema kutokana na nyny japo tupo mbali ila ujumbe unatufikia
@jamalyshoo3013
4 жыл бұрын
Maasha allah!!shkh othman,allah akupe umri mrefu shkh wetu....
Sheikh anahadithia historia kam unaangalia movie kwa kweli, Mungu atuepushe na fitna, tunaomba muendelezo wa hiyo vita ya swiffin.
❤San ya sheikh God bless you
Jaman msigune mkaja mka2haribia sheikh we2 semeni Masha allah
@w4058
Жыл бұрын
Uzuri Zaid na itakikanavyo khasa Allahumma Barik Tabaraka Rahman
Subhanallah jazzakah llah kheir sheikh kiswa cha kuhuzunisha
Yallah tunakuomba utulinde fitina tupe na mwisho mwema
Masha Allah
SubhanAllah. Alhamdullillah. Mola atujaalie miongoni mwa waja wema. Ameen. Shukran Sheikh
@moussahabyarimana5983
4 жыл бұрын
zayat na fatmah na halima xingatiyeni islam naomba simu zenu
@zayyatiyussuf9566
4 жыл бұрын
@@moussahabyarimana5983 Mm na simu moja sasa nikupe halafu mm nitatumia nn?
@jumbewaziri2859
4 жыл бұрын
Sijui napata wap mawaidha na visa vyoteee vya othuman malm
Shukran. Jazaakumullahu khaira. Tunafaidika kweli.
Assalam alaykum ,Allah awaongozeni katika yote yaliyokua mema
Mashaallah
MashaAllahu jazakh Allahu kheiri
Mashallah
JAZAKALLAHu kheir
Ameen Ameen Ameen Yarabi sote InshAllah 🤲 shukran Sana Kwa Dua
Shukran sana shekhe Othman Maalim, jazakallahu kher, Allah akulipe Jannah inshallah 🙏
MaashAllah Alhamdulilah
Mashaallah Allah akuweke uzidi kutupa mambo mengi Inshaallah
Asalam alaykum warahmatullah wabarakatu wadau wa Riyadh na koo zima ya Riyadh Tv online Znz
@mohammedsaleh2202
4 жыл бұрын
waalaikum salam
@aishasaid5702
4 жыл бұрын
Waalaykum salaam warahmatullah wabarakatuh
@faizasaid8262
4 жыл бұрын
zayyati yusufu walykum salam warhmatu wah wabarakat
@moussahabyarimana5983
4 жыл бұрын
ayisha zayat fatmah naomba simu zenu ikiwa muko wa single
@alizahranmohd4095
4 жыл бұрын
assalam alykum.vp hujmb.za ckuuuu
Shukraan
Mashallah shukuran
@zayyatiyussuf9566
4 жыл бұрын
Hujambo Faiza Ok Alahamdullah in shaa Allah kher
MASHA ALLAH.
Allahuma Amiin thuma Amiin
Naomba kujua rakaa za swala alfajir adhuhur alasir magharib ishaa
@kuruthumuramadhani5303
4 жыл бұрын
Alfajir rakaa 2, adhuhur 4, alasir 4, magharib 3, ishaa 4
@chunanachu2529
4 жыл бұрын
@@kuruthumuramadhani5303 shukran
اللهم ارحمنا
Walekum musalam warahamatul llahu wabarakatu
Shukraniii shekhe
الله يبارك فيكم
History nzuri sana tunajifunza kupitia visa hivi sheikh shuqran
Ekeni video itapendeza zaidi
MashaAllah
مشألله
Muendelezo tafadhar
Wanazuoni ni warithi wa manabii, umma utaanguka wanazuoni wanapotoweka. Mawaidha kama haya yasiyopendelea madhehebu, yanaanza kutoweka hasa baada ya Waislamu kugawanyika kati ya Saudia na Iran, ugomvi walionao Wasaudia na Wairan ni siasa kila mmoja akijaribu kutunisha misuli katika eneo la Asia ndogo.
Imam Ally yupo kwenye haki,yeyote mwenye kumpinga ameipinga Haki
Twalha na Zubeir na Aisha ndio viongozi wa vita ya Jamal
@ahmedissa7882
4 жыл бұрын
Hapo zilipita fitna mbaya sana,
@hatibunkonga2350
4 жыл бұрын
@@ahmedissa7882 shukran sana ,upon wapi sheikh 0782671966
Muhammed na Faiza njooni wandugu mambo مباشر
@mohammedsaleh2202
4 жыл бұрын
mambo poa vip na wewe
@faizasaid8262
4 жыл бұрын
zayyati yusufu Asnte nipo hujmbo
@faizasaid8262
4 жыл бұрын
Mohammed saleh 😁wambaje
@mohammedsaleh2202
4 жыл бұрын
@@faizasaid8262 faiza nipo vizuri hasa
@faizasaid8262
4 жыл бұрын
Mohammed saleh 👊👌
How did sayidna abu bakr sent to performe hijja while the prophet hasnt done it for people to know idont understand how he was sent to performe hijja before the prophet or what kind of hijja did he performe ??need more knowledge
@zamabuu7707
4 жыл бұрын
Mashallah this is very intellectual question. This incident happened in the 9th year of the hijja, the prophet Muhammad peace be upon him, had intention to perform the hijja himself however he recieved many delegations from arab tribes who went to seek the information about Islam as the result he appointed Ali and Abubakar (May Allah be pleased with them) to lead the pilgrimages, not only that but despite that Makkah was already conquered and it was in the hand of muslims but the mushrikun were still allowed to perform their own kind of hajj, therefore ordered Abu Bakr to announce that the mushrikun can no longer allowed to enter Makkah and perform any form of worship, that was the final year for them. As for the following year the prophet went and perform hajj with Muslims and perfect the hajj and everything to do with Islam. Now coming back to your question our beloved had various ways of teaching, he used to teach by showing actions, or by explanation of how things to be done. Bear in mind this was approximately 22nd year of his prophet hood therefore AbuBakr and Ali were already knowledgeable and good enough to take any task assigned to them. I hope I have answered your question. Jazakallahu khayran
Mawaidha wa mwanazuoni huyu, humchukua msikilizaji mpaka katika tukio halisi, naye akajiona yupo katika waliohudhuria tukio lile, hiki ni kipaji kikubwa sana.
She
Acha maneno matamu ya siasa sheikh Othman,ww sema kina zuber,twalha na Bi Aisha ni wakosefu,waislamu lazima tuamke na tuache mapenzi ya unafik kwa watu waovu
Muislamu mzuri ni Yule anaeskia na kuchukua njia mzuri wala wao hawakua malaika iwe funzo kwetu waislamu wote tushikamaneni kamba moja ndio yaliopita iwe darsa kwetu umoja upendo na Amani wote hao walifanya kazi kubwa Sana ili Sisi tuwe na njia sahali yote yawe ni mafunzo kwetu
Allah humma Swale Alla saidina Muhammad waalaa alihi waasihabihi wasalamu
Mashallah