Highlights | Simba SC 7-1 Tanzania Prisons | NBCPL - 30/12/2022
Спорт
Tazama mambo yalivyokuwa wakati Simba SC, ikishusha mkong'oto wa mabao 7-1 kwa Tanzania Prisons.
Wafungaji ni Saidi Ntibazonkiza mabao matatu
John Bocco mabao matatu
Jeremiah Juma bao moja
Пікірлер: 390
Kama unaamini sakho, tulipoteza mashine gonga likes hapa
⚽football ipo simba ...kwingineko madudu raha ipo simba kwingineko shida wachezaji wazuri wapo simba....kama unakubali like zote kwangu
@japhetshija4741
Жыл бұрын
Duuh kwa moto huu wa saido wanasimba tutawakera san
@johnkapinga2955
Жыл бұрын
Groly to GOD
@paskalwilliam314
Жыл бұрын
@@japhetshija4741 p
@paskalwilliam314
Жыл бұрын
P
@teknopoti8971
Жыл бұрын
Akuna anaepinga
Nipeni like zangu wanasimba wenzangu ngufu moja 💪💪💪
Kama umefurahia usajr wa saido gonga like 😊😊
Burundi juuu sana saido anatuakilisha vema sana🇧🇮
Nipeni likes Zangu maana mm leo hii ndio wa kwanza kuview na hata kucomment😁😁😁
@victaboy7273
Жыл бұрын
Kwakuwa na wewe umecheza au
@franksmalls218
Жыл бұрын
Tulikutuma kwan🤣🤣
@kyandokyando9636
Жыл бұрын
@@victaboy7273 11q111q11q1111 Q111
@hamzaally1091
Жыл бұрын
👍👍👍
@morlovzeboy2763
Жыл бұрын
How do you feel 🤣🤣🤣🤣 Presha Nan kayasikia hayo maneno 🤣🤣🤣
Sakho anatembeza boll balaa👏💪🦁🦁🦁Mungu Ahsante🙏
Nimerudia kuingalia hii mechi mara 5, lakini bado sijachoka. Nasikia raha sana!!
Jaman ivi kuna anaetizama hii sa 6 usiku saiv?😄😄 haikati utamu
@yonajeremia9815
Жыл бұрын
Ndo naangalia hilights hapa
@alfanigwoma382
Жыл бұрын
tupo
@priscamwakalindile6689
Жыл бұрын
Mi narudia rudia Kila mara
@jafarimruke9111
Жыл бұрын
Nipo
@ivonakahango318
Жыл бұрын
Tupo
Sakho was on fire
Sakho kafanya kazi kubwa san kweny hii game japo kuwa hakushinda
Simba sports club big team Africa 🦁💪🌍
likee zenu wana simba blood🦁⛔⛔⛔⛔⛔⛔
Sakho ni mchezaji bora 2022/ ukimtoa mwamba wa lusaka C💪🦁
Sako kwangu Leo n man of match
Saido Anafunga goal mbele ya mabeki =6 Saido ni mchezaji Hatari sana
@paschalmahenge
Жыл бұрын
Kweli simba usajili wa saido hajakosea utopolo watamukumbuka sana ntibazokiza
@odilomwemeziernest646
Жыл бұрын
@@paschalmahenge Naoma nafasi ya kibu, Okra Kama no ndogo sana ndani ya simba.
Simba wakikumbuka utamaduni wao wa pasi fupi fupi kwenye eneo la goli la wapinzani na wakaacha kutafuta umaarufu binafsi na choyo.. wakapeana pasi .. wana uwezo wa kuifunga timu ye yote mabao mengi! Excellent job! Nguvu MOja Simba! From now on thats how you play!
Wanasimbaaa.. 🎅🎅😃😃 hata tulingi 🤸🤸🤸. #Simbanguvumoja
Yana vipenzi vyangu kwer mmumetufurahisha uku burundi tumeinjoi kwer nawapenda wana simba 🇧🇮 tunawapenda
Kuna siku sakho ata kuja kuuwa kipa kama una amini hvyo like na hitaji za kutosha sio kwa ile short la kugongesha mwamba kiasi kile
Sakho on fire
Ukiskia pira biriani nd iloooo sasa🙌
Mzamiru ameimprove sana kiwango chake .. Sakho alikuwa na game nzuri sana Leo .. prisons wameingia kwenye mfumo vzr..
na iki ndo kiwango bora cha simba toka msimu uanze,pasi mpaka golini,sakho kaacha uchoyo,wachezaji wasimba wameacha ubinafsi wa pasi,na wachezaji wa simba wameacha uroho wa kufunga
Nice game simba they deserve to win play of the day simba goalkeeper
Wallah haiishi hamu kuitizama hii
Sakho kakiwasha sana
Sakho ameupiga mwingiiiii
@officialfadhilomar5249
Жыл бұрын
Sanaa aseeee lkn ....dogo yuko vzr ,,,apangiwe watu tu wakucheza nao
Azam TV mnazidi kunoga ktk upigaji picha hongereni Sana
Mimi Yanga dam kbs ila kwa hili halina ubishi Saidoo na Bigirimana bora Saidoo viongozi wetu wanadai mtovu wa nidham dunia hii bhana
huyu kwangu ndo refa bora tanzania,wampe mechi ya simba na yanga
@mbalaleshalif8892
Жыл бұрын
Kweri.
Nawapenda san simba❤
Hii timu tunaipenda sana.. thank you boys #NguvuMoja
V ilkuaje hawa simba walkubali sakho auondoke what a player
Saido ntibazonkiza the king of tanzania
Wastebasket like nyingi za kufunga mwaka basi kwa emoj 🤍🦁❤️
Nimefurah jamn, simbaaaaaaaaa
Nguvuuu mojaaa naangalia hvisasa ni saa Tisha na dakika kumi na mbili3:12 Nani anaenjoy na mimi
@dononestar7356
Жыл бұрын
Tuko pa1
@kingnicky2568
Жыл бұрын
Tupo pamoja 3:25
@oscarjulius5723
Жыл бұрын
Mimi hapa🦁
Naipenda Sana club yangu Simba sport club
Simba ni shidaaaaaa
Super
@getrudakomba8393
Жыл бұрын
simba ❣️❣️❣️❣️❣️
@mlavikal
Жыл бұрын
Unyama ni mwingi
stress kidogo tu nakuja kuangali hii na horoya 😂
@nickclaver7195
Жыл бұрын
Unamalizia na ya utopolo 😂😂😂😂
@mgonasipapune1383
Жыл бұрын
😢kabisaaaaaaa
This is simba kuna anae kereka na magoli ya mnyama hhhhh
Aise simba imetsha xnaaaaaa J mn ❤❤❤❤❤❤❤❤🏃
Mgunda nakumiss ❤❤
Timu ya kwanza kuwa na hat trick mbili kwa mechi
Ila nampenda sakho jmn❤❤❤❤
Kwa Hali hii nimeamini maneno ya Yanga kua SAIDO Hana nizamu.
@zainabumushi2756
Жыл бұрын
Kabisa
@rosemahenge9071
Жыл бұрын
Sijaelewa 😂😂
@bernaberna4159
Жыл бұрын
Nizamu ya hatrick😂😂😂
13:10 that footwork from pape you don't do that if you're not a baller..
Ila simba kuna muda uwa nawasamehe makosa yenu yotee hatar sana
Amazing 😊
Love it mnyama
Simbaa
Hii ndio simba tunayoitaka ila tunaitaji muendelezo so moj tushinde moja tunadroo inazoofisha ushindi wa kugombania ubingwa
Genius chama 17
Simba hii Kuna watu watateseka
Hongeren wanasimba kwakutupa raha
Hili pira burudani Pira biriani la kumaliza 2022❤️❤️🔥🔥tumeenjoy
Huyu mgunda ni 🔥🔥🔥🔥🔥
Manshaalah
🦁💪
😂😂😂ii siku nilienjoy sana
Mna onaje kiwango cha ntiba
Walijitahidi sana kushikilia bomba First half #prisons
Kiukweli sako akiwa kwenye ubora wake amewapita mbali sna ma winger kwenye soka letu
P.O.Sakho very so hard. Simba sc is ur better choice
@stjudematific803
Жыл бұрын
Yeah that sounds perfect
Nimeimis team yangu 😢
@SelemaniMalapa
4 күн бұрын
Nmemx
Simba ya 🔥🔥
Kwanza saido ameingia kwenye rekod zadunia kupga goli3 ndan yadakika9+1
This is simbaaa
Ao wanao toa Ela waendelee tu ila cku timu ikija kupigwa goli 10 ndio watajua gundi inausika vp kwenye kubandika baharage
Dah! Kutoka Kenya Simba timu langu siku zote. Pongezi.
Saido ntibazonkiza simba baba Lao tanzania
Beautiful game
Usimfananishe Bocco na mayele bhna😀
@salimmalaka256
Жыл бұрын
MAYELE CHA MTOTO 2.
Honestly huyu kipa wa prison ni nomaaaa
@official_phay1174
Жыл бұрын
Balaaaaaq
Simba baba lao ❤❤❤❤❤
Mabeki wamemuangusha Melinda mlango Kafanya Kazi yake vizuri Sana.
Sasa mbona saido anataka kuwa zaidi ya Chama!😁
Nimekuja baada ya kumic sakhooo
Kama unatizama 02/08/2024 gonga like nauamini msimuhuu lazima simbayetu itakua moto,simba ya chazi awa,chasambi,mutale.
@rahmamussa5683
12 сағат бұрын
Tareh 4 mwezi wa 8
🔥🔥🔥🔥🔥🦁
Apo sawa
Pamoja kaka lakini huyo Ally anajitahidi hayupo vibaya chakusema huyo kocha aende akasome kwanza akiwa vizuri aje tena maana naona kama ana mzaha na simba❤❤
Ila sakho alikua na umhim wake
@bernaberna4159
10 ай бұрын
Ndo Maisha ya mpira
Mm kila day nafurahia kuangalia hii video
@jamessanga6768
29 күн бұрын
Ile ya 5 huwa huangalii??😅😅😅😅
Tanzanian football so lively
Simba ya moto
Haya tuhus
Simba yetu
Hakuna mwamuzi wa bongo anaefaa kuichezesha simba
@josephmugala1970
Жыл бұрын
Kweri kabisa
@bullstraiker5177
Жыл бұрын
Waamuzi wetu pasua kichwa dadeq
@odilomwemeziernest646
Жыл бұрын
Kwani mwamzi kafanya nini?
@ahmedame9336
Жыл бұрын
@@odilomwemeziernest646 angalia matukio ya pande zote kwa utulivu sana. Usipobaini naomba utulie, mm hujadiliana na watu wasio na jazba na pia wale tu wenye upeo wa kuona mambo bila chuki
@odilomwemeziernest646
Жыл бұрын
@@ahmedame9336 nilichokiona ni simba kunyimwa penaliti mbili za uhakika ile ya sako kipindi cha kwanza,na saido kuvutwa kipindi cha pili.pengine pote alikuwa sawa sana.
Namkubali sana saidoo,anakasisana
Sakho wewe ni mfalme wa soka. Endelea kutokuwa na ubinafsi kama hivi, utafika mbali.
Chukua kamazote prizons walichopata iwezawad ya mwaka 2023 wakawaambie waendako
noma xana Kagera 😢😢😢😢
This is Simba
Ukisikia kupigwa kama ngoma ndio hii😅😅
Jifunze quran kwa hukmu, kuongea kiarabu gusa maandishi ya bluu youtube.com/@muhammadkipangatv2674
mpenja hiyo ni hatriki yapili kwa bocco
@thomasdesta939
Жыл бұрын
Roho inawauma mauto hayawani
Safi sana