Highlights | Azam FC 4-0 Zimamoto FC | Mechi ya Kirafiki 12/07/2024

Спорт

Magoli mawili ya Feisal Salum dakika ya 34 na 58 na mawili ya Jhonier Blanco dakika ya 37 na 82 kwa penati yameipa ushindi wa 4-0 Azam FC dhidi ya Zimamoto katika mchezo wa kirafiki uliopigwa leo kwenye Dimba la Amaan, Zanzibar.....

Пікірлер: 52

  • @GibsonNtamamilo
    @GibsonNtamamilo23 күн бұрын

    Timu yangu Azam FC niko hapa karibu na uwanja wenu nawakubali sana. Ila kwa vikosi wanavyoandaa wapinzani wetu Simba na Yanga mwaka huu ni hatari tuongeze quality nyingine na tutafute timu kubwa kidogo.

  • @teddysanga1840
    @teddysanga184023 күн бұрын

    fei anakula vizurii siku hizi kule alikuwa anakula ugali sukari 😂

  • @user-kq6zy9sl1y
    @user-kq6zy9sl1y23 күн бұрын

    Azam fc tafuteni team bora zaidi ya hii kujipima nayo

  • @CleoThedone
    @CleoThedone22 күн бұрын

    Naikubali cn azamu

  • @abubakarjuma443
    @abubakarjuma44323 күн бұрын

    Fei jitaidi kukata tumbo la si ivyo utakua tajir mwenye team

  • @c.grealish
    @c.grealish23 күн бұрын

    Desbest player faysal

  • @FiniasYotham
    @FiniasYotham23 күн бұрын

    FEISALI ana kitambi

  • @mustaphawelder7022

    @mustaphawelder7022

    23 күн бұрын

    Yanga kulikuwa na njaa ndio maana alikuwa amekoooonda

  • @ahmedjeizan4431

    @ahmedjeizan4431

    23 күн бұрын

    Acha ushamba yanga kuna njaa ya babako Djuma shaban alinenepa kwenu mchezaji anatakiwa kumaintain shape kwa mazoezi sio sifa kuwa na kitambi kama safura pimbi wewe

  • @KasmiliAndrea
    @KasmiliAndrea16 күн бұрын

    My we humkubalitu

  • @user-xb5ub7zj5n
    @user-xb5ub7zj5n22 күн бұрын

    Namba 9 tunae 🎉🎉🎉🎉🎉 ligi ianze sasa

  • @josiacharles2778
    @josiacharles277818 күн бұрын

    Sasa uyu fei mbona kitambi kinazidi tu jamani 😢

  • @KasmiliAndrea
    @KasmiliAndrea16 күн бұрын

    Jamaa kama dube

  • @scorasticaclement6308
    @scorasticaclement630823 күн бұрын

    Mbn Sauti Hamna

  • @Mudathir-tx1md
    @Mudathir-tx1md21 күн бұрын

    Hv hata APR itakuwa kazi kuwafunga

  • @EliphasNyagwaru
    @EliphasNyagwaru23 күн бұрын

    Kwa huyu blanco mm nishamsahau dube

  • @mwanangusana

    @mwanangusana

    23 күн бұрын

    😂😂😂 utamkumbuka ligi ikianza

  • @sailoo5722
    @sailoo572223 күн бұрын

    Kwani video imechukuliwa na simu, mbna mnatuonyesha giza ama mko unga

  • @levocatuspjohn8638
    @levocatuspjohn863823 күн бұрын

    Feisal inamaana Azam wamekupa mikate hadi ume vembewa😂😂😂😂

  • @Rukaiya-lt3hm
    @Rukaiya-lt3hm23 күн бұрын

    Mumevaa jezi kama simba ila hamna mpango wowote

  • @maxmia100
    @maxmia10023 күн бұрын

    Dah? Kweli dogo anakitambi dah? Ngoja abweteke tu kazi ndo inaishia hivyo

  • @SalumMadimba
    @SalumMadimba23 күн бұрын

    Basi Fei anajiona staaaa😂😂😂😂

  • @nikky4757
    @nikky475721 күн бұрын

    Sema fei kama ana kitambi fulani hivi

  • @muhamadmaulid694
    @muhamadmaulid69423 күн бұрын

    Iv Zanzibar soka limeenda wapi ,mbona timu mbovu mbovu tu,inakera sana Yani ,misingi ya soka ipo ila mafanikio sifuri

  • @mohdkhatib223

    @mohdkhatib223

    23 күн бұрын

    Halafu ndo kombe la muungano limerudi Zanzibar tutakuwa tunashika mkia

  • @YahyaYahya-vp2pp

    @YahyaYahya-vp2pp

    23 күн бұрын

    Mpira ni pesa baba hakuna misingi yoyote zaid ya pesa.. Timu moja ya bara inawazaamini sita... Wakt tim za znz hazina mzamini hata mmoja

  • @yusuphTosha
    @yusuphTosha23 күн бұрын

    Dube wanini tena!

  • @honoratielisha6543
    @honoratielisha654323 күн бұрын

    Mbn feisal ana tako

  • @jameschumbula7351

    @jameschumbula7351

    23 күн бұрын

    🤓

  • @manfuture_

    @manfuture_

    23 күн бұрын

    We huna

  • @Khatib-xp6fp
    @Khatib-xp6fp23 күн бұрын

    Azam tafuten timu ya kujipima zaidi sio zimamoto yanga na simba ni moto

  • @mhusinigau3231

    @mhusinigau3231

    23 күн бұрын

    Zimamoto sio wabovu kbs lkn

  • @Khatib-xp6fp

    @Khatib-xp6fp

    23 күн бұрын

    Hhhhhhhhhh ww ni zima moto nini

  • @user-qo6qv6mc5p
    @user-qo6qv6mc5p23 күн бұрын

    Feisal mtuwmaan anakitamb

  • @user-qo6qv6mc5p
    @user-qo6qv6mc5p23 күн бұрын

    Fei akikajuu tu kitamb

  • @LinuslusianLinuslusian
    @LinuslusianLinuslusian23 күн бұрын

    Feisal sasa basi hana mazeezi

  • @fabianbenardngatunga2713
    @fabianbenardngatunga271321 күн бұрын

    Mbn wamevaa nyekundu ili wajue wameifunga simba wawe wamelipa kisasi

  • @user-qo6qv6mc5p
    @user-qo6qv6mc5p23 күн бұрын

    Ni xavi mtupu

  • @samsonmwaipaja5231
    @samsonmwaipaja523123 күн бұрын

    apr haooo wamefika

  • @mosesjacksonkarashani2642
    @mosesjacksonkarashani264223 күн бұрын

    Mbona Feisal ana kitambi?😢

  • @YalkinAlkindy-nt2hf

    @YalkinAlkindy-nt2hf

    23 күн бұрын

    Siku izi hali ugali na sukari😂

  • @manfuture_

    @manfuture_

    23 күн бұрын

    Kwan wana kataza

  • @mosesjacksonkarashani2642

    @mosesjacksonkarashani2642

    23 күн бұрын

    @@manfuture_ Hivi unakuwaga mjinga hivi au unaigiza?

  • @IMRANITV1

    @IMRANITV1

    23 күн бұрын

    Munampa kichwa kumtaja taja fanyeni kama hajuikani vilee tuendelee na mengine

  • @onekisstv8412

    @onekisstv8412

    23 күн бұрын

    Apo sasa shida sijui ni nini

  • @getajo1153
    @getajo115323 күн бұрын

    Simba toeni hela tumchukue Feisal...

  • @rogersdavis3058

    @rogersdavis3058

    22 күн бұрын

    Tumpeleke wapi

Келесі