HIGH TAXES IN TANZANIA IS KILLING ECONOMY

Музыка

TANZANIA SIYO KWAMBA HAKUNA KIZAZI KIPYA WAPO.
Sema wengi hawana uwezo wa kumililiki smartphone.
Sababu ushuru wa smartphone na bundle Samia ameongeza makusudi.
Smartphone Kenya ni rahisi kulinganisha na TZ. Na nyingi zinatoka Kenya zikifika TZ bei inakuwa Mara mbili.
Ajabu Kizazi Z Kenya Wanalia na sauti inasikika ulimwenguni kote.
GEN Z WA TZ WANALIA WAKITUMIA SIMU MAARUFU kama "Mulika Mwizi" Kilio chao kinaishia Kariakoo.
SAMIA ANAJUA UKIWANYIMA SMARTPHONE NA BUNDLE UMEWAMALIZA CCM ITAWALE MIAKA 100
GEN Z KENYA SAIDIENI WENZENU TZ NA WiFi kilio chao kifike angalau Kenya Uganda Rwanda na DRC Congo
Samia Ziba Pancha ndipo ujaze upepo hata kwa pump ndogo tairi itajaa na upepo haitapungua
Kuongeza kodi bila kuziba mianya ya rushwa ni sawa na kujaza maji kwenye gunia hayatajaa

Пікірлер

    Келесі