Hizi nyimbo zilinivusha Sanaa kipindi napita mahali pagumu mnoooo. Mungu awabariki mnooo. 🙏🙏🙏
@eunicedan Жыл бұрын
Was wondering where they went kindly.... Started watching them enzi za Viumbe vyote.... Keep it up Mr and Mrs
@eliahjustinsilwimba44462 жыл бұрын
Goodluc unapatikana wapi mtumishi wa Mungu? Kiukweli wimbo huu nimeusikiliza kutwa yote tangu kulipokucha mpaka sasa usiku,nimeshinda ofisini nikiusikiliza wimbo huu tu.Mungu akubariki sana wewe na mkeo kwa baraka zote
@user-xl2fd1tb7d3 ай бұрын
Good song nabarikiwa sana ooh yess
@jorophecharles97333 жыл бұрын
This is a good worship song.GOD has blessed you with a beatiful wife inside out who sings like an angel.
@neemalaizer37223 жыл бұрын
Barikiwa mno mtumishi wa Mungu
@PaskaliaBoniphace-hc1cn6 ай бұрын
Mungu mwema 2024❤
@loveedward35532 жыл бұрын
Wimbo wangu wa nyakati zote,barikiwa sana kwa viwango vya juu vya kumuinua Mungu
@marymoses72635 жыл бұрын
Hongera Mr& Mrs Goodluck. Mungu aendelee kuwainua kwa Viwango vya juu zaid
@user-tv1wr2gi1u Жыл бұрын
Wow I am blessed
@healthyeatingmankind5542 Жыл бұрын
The anointing in this song overwhelms me!!
@kyfnajamiitv Жыл бұрын
Ni ibada nzuri sana
@timotheomahala373 Жыл бұрын
safi kabisa wimbo umenigusa
@user-qh4ce6vz9q Жыл бұрын
AMEN
@gracegracegrace18274 жыл бұрын
Jamani nimeconnect kwenye bufa naona mbingu imeshuka hapa ndani ....oh Yesu unastahili heshima Hakika
@kyfnajamiitv
Жыл бұрын
Ukiwa na smart TV ambayo pia umeunganisha Subwoofer zako, tumia simu yako halafu connect na SMART TV yako. Uta enjoy zaidi
@josephopati43624 жыл бұрын
your songs bless me a lot.May the lord give you grace to do more.
@thomasdunde16984 жыл бұрын
May God increases daily for his Glorious
@danielsaid54853 жыл бұрын
Amen
@petermdeme7635 Жыл бұрын
Bwana umetukuka niwimbo wenyeuwepo wa mungu uendele kuinuliwa katika huduma yako
@joshuatiny40624 жыл бұрын
Good song ,heshima Ni za mungu muumba mbingu na nchi
@rachelelias6522 Жыл бұрын
Heshima zoote ni zako weweeeeee
@prosperjuma9052 жыл бұрын
Hongera mtumishi.
@AmyCosmetics Жыл бұрын
wimbo mzuri saaana! Mungu azidi kuwainua kwani mmeimba katika Roho na kweli, Nabarikiwa sana🎉🎉🎉🎉🎉
@aaronswai69352 жыл бұрын
Hakilka BWANA Yesu anastahili heshima zote. Mungu akubariki sana Goodlucky
@reginamaganga86005 жыл бұрын
Amen, thank you so much for the Blessing Song.
@NoriantImali-vw1ob Жыл бұрын
Amen 🙏
@queenrogasian46612 жыл бұрын
Mung akutangulie sana mtumishi
@janelyatuu11352 жыл бұрын
Amen amen mungu awatunze
@samsonrais85993 жыл бұрын
Mungu Baba, naomba msamaha kwa niaba yangu na kwa ajili ya kila mmoja. Nibariki bwana.
@patrickmapinduzi85653 жыл бұрын
Hakika mnaimba vzl cana mbalkiwe
@davidmlangwa59435 ай бұрын
Nafrahia sana wimbo huu PASTOR naomba kujua kanisani ni wapi unielekeze BABA
@carolynedivisi809 Жыл бұрын
Halleluya ❤❤
@beatricefarasi50202 жыл бұрын
Nabarikiwa na huduma yenu MUNGU awatunze sana nawapenda sanaaa mr&Mrs
@gracegracegrace18274 жыл бұрын
Oooooh Amiri jeshi mkuu Mungu wa mbinguni awatunze watumishi wake Mr &Mrs Sandy
@aikaalexander84602 жыл бұрын
Nawapenda Sana ❤️❤️
@terrycominomagog96422 жыл бұрын
🙏 What a blessing to have such gospel artists...Nice voices
@CharlesNgambia Жыл бұрын
Barikiwa sana kaka,,Mungu azidi kukupa mafunuo mapya kwa ajili ya utukufu wake
@pastorgeorgekaruchio83383 жыл бұрын
Always blessed, keep the spiritual fire burning, it's not in vain brethren.there is a great reward.
@andrewmagwila16024 жыл бұрын
Mungu awabarki Sana pastor Godluck pmj na familia yako nawapenda Sana Hongereni Sana kwa kazi ya Mungu songeni mbele kazi yenu ni njema
@samsonkyengo50554 жыл бұрын
Nampenda Huyu kaka na mkeye bure
@ceverinlyimo82914 жыл бұрын
Heshima ,zote kwako Yesu
@mpoleentertainment16772 жыл бұрын
Such a sweet song... Full of anointing
@AmyCosmetics Жыл бұрын
It annoits my soul🙌🙌🙌
@peredesorphelinstv87503 ай бұрын
🛐🛐🛐🛐🛐🙌🙌🙌😭😭
@josepholumasi50193 жыл бұрын
may Glory and honor be unto God. Let's just worship Him
@annakimari86492 жыл бұрын
Heshima zote ni zako Mungu mkuu🙏🙏🙏
@juniorouma63724 жыл бұрын
nimebarikiwa sana
@mayungahima19875 жыл бұрын
Amiri jeshi mkuu Mungu wetu unasitahiri heshima zote nizako wewe
@hannamjenga98335 жыл бұрын
Amen amen .... Mbarikiwe sana watumishi wa Mungu
@naserianmichael24115 жыл бұрын
Nimebarikiwa mno..sifa na utukufu kwa Mungu
@kyfnajamiitv Жыл бұрын
🎉🎉🎉
@willeBujy3 жыл бұрын
Waooooo Barikiwa Sana 🙏
@ibrakadabra21915 жыл бұрын
Namwelew sana uyu rafiki angu
@kelvincharles54084 жыл бұрын
Amen and amen
@moira70484 жыл бұрын
Amen, will these songs ever come back on spotify?
@queenrogasian46612 жыл бұрын
Nice song
@mariamchrista17224 жыл бұрын
Amen mbarikiwe sana
@winfrida26193 жыл бұрын
Haleluya
@estherfaida33084 жыл бұрын
Shalom.ila umenikumbuka.nimewai kuimba sikumoja hapo kanisani kwako.nilikuwa nikifikia kwa mtumishi Emmanuel mushi.
@maheligati29363 жыл бұрын
Amina
@estherfaida33084 жыл бұрын
Shalom. Mama Esther Burundi mwimbaji nakusalim
@goodlucksandytv3951
4 жыл бұрын
Amen mwana wa Mungu habari zako Ester faida
@andrewmagwila16024 жыл бұрын
Hongereni Sana Sana Sana kwa kuendelea kuutunza uwepo wa Mungu maana wengi baada Mungu kuwainua husahau kugeukia Mambo ya kisasa lkn nyie mmatunza uwepo Hongereni Sanaaaaaa
@goodlucksandytv3951
4 жыл бұрын
amen endelea kutuombea. kwa kweli Mungu atuhifadhi
@andrewmagwila1602
4 жыл бұрын
Amen pastor
@jalengahurmphries4 жыл бұрын
This is a servant not an artist.
@mathewmselle73315 жыл бұрын
Mtumishi goodluck kwanini wimbo wako wa nisaidie hukutoa video?
@estherfaida33084 жыл бұрын
Barikiwa kwa uimbaji nzuri
@goodlucksandytv3951
4 жыл бұрын
amen asante unapatikana wapi wewe Ester
@goodlucksandytv3951
4 жыл бұрын
Nashukuru kwa kututia moyo endelea kutuombea
@esthermusangi62495 жыл бұрын
UMETUKUKA BWANA
@giftgeorgendulesi3647
4 жыл бұрын
Nawapenda watumishi wa Mungu,endeleeni kumtumikia aliewaweka
Пікірлер: 78
Hizi nyimbo zilinivusha Sanaa kipindi napita mahali pagumu mnoooo. Mungu awabariki mnooo. 🙏🙏🙏
Was wondering where they went kindly.... Started watching them enzi za Viumbe vyote.... Keep it up Mr and Mrs
Goodluc unapatikana wapi mtumishi wa Mungu? Kiukweli wimbo huu nimeusikiliza kutwa yote tangu kulipokucha mpaka sasa usiku,nimeshinda ofisini nikiusikiliza wimbo huu tu.Mungu akubariki sana wewe na mkeo kwa baraka zote
Good song nabarikiwa sana ooh yess
This is a good worship song.GOD has blessed you with a beatiful wife inside out who sings like an angel.
Barikiwa mno mtumishi wa Mungu
Mungu mwema 2024❤
Wimbo wangu wa nyakati zote,barikiwa sana kwa viwango vya juu vya kumuinua Mungu
Hongera Mr& Mrs Goodluck. Mungu aendelee kuwainua kwa Viwango vya juu zaid
Wow I am blessed
The anointing in this song overwhelms me!!
Ni ibada nzuri sana
safi kabisa wimbo umenigusa
AMEN
Jamani nimeconnect kwenye bufa naona mbingu imeshuka hapa ndani ....oh Yesu unastahili heshima Hakika
@kyfnajamiitv
Жыл бұрын
Ukiwa na smart TV ambayo pia umeunganisha Subwoofer zako, tumia simu yako halafu connect na SMART TV yako. Uta enjoy zaidi
your songs bless me a lot.May the lord give you grace to do more.
May God increases daily for his Glorious
Amen
Bwana umetukuka niwimbo wenyeuwepo wa mungu uendele kuinuliwa katika huduma yako
Good song ,heshima Ni za mungu muumba mbingu na nchi
Heshima zoote ni zako weweeeeee
Hongera mtumishi.
wimbo mzuri saaana! Mungu azidi kuwainua kwani mmeimba katika Roho na kweli, Nabarikiwa sana🎉🎉🎉🎉🎉
Hakilka BWANA Yesu anastahili heshima zote. Mungu akubariki sana Goodlucky
Amen, thank you so much for the Blessing Song.
Amen 🙏
Mung akutangulie sana mtumishi
Amen amen mungu awatunze
Mungu Baba, naomba msamaha kwa niaba yangu na kwa ajili ya kila mmoja. Nibariki bwana.
Hakika mnaimba vzl cana mbalkiwe
Nafrahia sana wimbo huu PASTOR naomba kujua kanisani ni wapi unielekeze BABA
Halleluya ❤❤
Nabarikiwa na huduma yenu MUNGU awatunze sana nawapenda sanaaa mr&Mrs
Oooooh Amiri jeshi mkuu Mungu wa mbinguni awatunze watumishi wake Mr &Mrs Sandy
Nawapenda Sana ❤️❤️
🙏 What a blessing to have such gospel artists...Nice voices
Barikiwa sana kaka,,Mungu azidi kukupa mafunuo mapya kwa ajili ya utukufu wake
Always blessed, keep the spiritual fire burning, it's not in vain brethren.there is a great reward.
Mungu awabarki Sana pastor Godluck pmj na familia yako nawapenda Sana Hongereni Sana kwa kazi ya Mungu songeni mbele kazi yenu ni njema
Nampenda Huyu kaka na mkeye bure
Heshima ,zote kwako Yesu
Such a sweet song... Full of anointing
It annoits my soul🙌🙌🙌
🛐🛐🛐🛐🛐🙌🙌🙌😭😭
may Glory and honor be unto God. Let's just worship Him
Heshima zote ni zako Mungu mkuu🙏🙏🙏
nimebarikiwa sana
Amiri jeshi mkuu Mungu wetu unasitahiri heshima zote nizako wewe
Amen amen .... Mbarikiwe sana watumishi wa Mungu
Nimebarikiwa mno..sifa na utukufu kwa Mungu
🎉🎉🎉
Waooooo Barikiwa Sana 🙏
Namwelew sana uyu rafiki angu
Amen and amen
Amen, will these songs ever come back on spotify?
Nice song
Amen mbarikiwe sana
Haleluya
Shalom.ila umenikumbuka.nimewai kuimba sikumoja hapo kanisani kwako.nilikuwa nikifikia kwa mtumishi Emmanuel mushi.
Amina
Shalom. Mama Esther Burundi mwimbaji nakusalim
@goodlucksandytv3951
4 жыл бұрын
Amen mwana wa Mungu habari zako Ester faida
Hongereni Sana Sana Sana kwa kuendelea kuutunza uwepo wa Mungu maana wengi baada Mungu kuwainua husahau kugeukia Mambo ya kisasa lkn nyie mmatunza uwepo Hongereni Sanaaaaaa
@goodlucksandytv3951
4 жыл бұрын
amen endelea kutuombea. kwa kweli Mungu atuhifadhi
@andrewmagwila1602
4 жыл бұрын
Amen pastor
This is a servant not an artist.
Mtumishi goodluck kwanini wimbo wako wa nisaidie hukutoa video?
Barikiwa kwa uimbaji nzuri
@goodlucksandytv3951
4 жыл бұрын
amen asante unapatikana wapi wewe Ester
@goodlucksandytv3951
4 жыл бұрын
Nashukuru kwa kututia moyo endelea kutuombea
UMETUKUKA BWANA
@giftgeorgendulesi3647
4 жыл бұрын
Nawapenda watumishi wa Mungu,endeleeni kumtumikia aliewaweka
Mh!hallelujah Mungu akuinue mtumishi was mungu
@goodlucksandytv3951
4 жыл бұрын
Ameen asante ubarikiwe sana
Amen
Amen