HEART PAIN 1-3 😭😭😭

#kichechecomedy #love #clamvevo #film #heartpain #kichechecomedy #comedy #clamvevo

Пікірлер: 52

  • @fortunegerishom1827
    @fortunegerishom1827Ай бұрын

    Wa kwanza tokea Russia ndogo ya Putin Ruto nipe likes zangu😂

  • @jumamwafisi8512
    @jumamwafisi851229 күн бұрын

    Mapenzi tumuachie mboso khan

  • @DekelvaSoujaboy-mb8ps
    @DekelvaSoujaboy-mb8psАй бұрын

    Mapenzi bana hayana mahana unaye mtaka hakutaki na hanaye mtaka naye hamtaki ❤❤❤ 🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @user-hm6hy6rr1h
    @user-hm6hy6rr1hАй бұрын

    Hak ya mung mimi nitayasikia tu mapenzi mitandao hhhhhh ila siyatak mapenzii shikamoooo 😂😂😂😂😂😂

  • @butuamaginga

    @butuamaginga

    Ай бұрын

    Subiri epsode ijayo utalia baada ya kucheka

  • @SusanJulius-cu8xp4vx4m
    @SusanJulius-cu8xp4vx4mАй бұрын

    Huyu kipara na kizungu wapi na wapi

  • @butuamaginga

    @butuamaginga

    Ай бұрын

    Hahahaha

  • @EmmanuelCharo-to4ij
    @EmmanuelCharo-to4ijАй бұрын

    Mapenzi shikamoo from Mombasa kenya

  • @butuamaginga

    @butuamaginga

    Ай бұрын

    Atari

  • @nationaltrendingmedia4603
    @nationaltrendingmedia4603Ай бұрын

    Snakeboy brought me here .. mnafanya kazi nzurii clam vevo gang

  • @butuamaginga

    @butuamaginga

    Ай бұрын

    Asante fanya u subscribe chanel hii upate kazi zetu

  • @nationaltrendingmedia4603

    @nationaltrendingmedia4603

    Ай бұрын

    @@butuamaginga nimefanya vo ndugu Kenya tunawakubali... Combination yako na Tete kama siblings n motoo

  • @butuamaginga

    @butuamaginga

    Ай бұрын

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @Shuugan
    @ShuuganАй бұрын

    🔥

  • @Chims_Buda23
    @Chims_Buda23Ай бұрын

    Noma sana ✌

  • @ZubedaRamadhan-tv1pq
    @ZubedaRamadhan-tv1pqАй бұрын

    Mapenzi shikamooooooooo. Yan nitabaki kuyaheshimu. Kila siku. 😅😅 ila tim. Yote. Mkojuu. Bigap. Hongereni sana. Mungu awaongoze. Mzidi. Kutupa. Vitu vipya. Na mafunzo

  • @butuamaginga

    @butuamaginga

    Ай бұрын

    Sawa tutajitahidi sana kuwapa vitu vyenye uzuri zaidi

  • @butuamaginga

    @butuamaginga

    Ай бұрын

    🎉🎉🎉🎉🎉

  • @othumanally4529
    @othumanally452923 күн бұрын

    Hakika nimevutiwa sana na jinsi unavyoiendesha na kuitendea hii tasnia ya uigizaji. Kumbuka wakati ukiwa Green Ackre nilikuwa ninakupa kipao mbele katika uigizaji. Hongera.

  • @butuamaginga

    @butuamaginga

    23 күн бұрын

    Nakumbuka na sijawahi sahao mwalimu wangu

  • @posatz
    @posatzАй бұрын

    Aisee iko poa

  • @giselemauwa4477
    @giselemauwa4477Ай бұрын

  • @aroAm_official
    @aroAm_officialАй бұрын

    Nakubal kak

  • @butuamaginga

    @butuamaginga

    Ай бұрын

    Shukrani

  • @IsakaKiyalo
    @IsakaKiyaloАй бұрын

    Hongereni kwa kazi nzuri wakuu ila nawashauri tu kitu kimoja unavyoigiza jaribu kutamka maneno yenye mfumo mzuri...mfano haumpendi mtu unamtakia kuwa sikupendi wewe neno sikupendi lina maumivu sana basi mwambie tu kuwa bwana najua unanipenda na pia unamsifia kuwa wewe ni mzuri ila sasa tatizo ni moyo wangu haujawa tayari kuwa na mapenzi kwako sio kumwambia sikupendi

  • @butuamaginga

    @butuamaginga

    Ай бұрын

    Sawa

  • @mercywambuigachuma
    @mercywambuigachumaАй бұрын

    pole sana butua

  • @butuamaginga

    @butuamaginga

    Ай бұрын

    😢😢😢😢😢

  • @DekelvaSoujaboy-mb8ps
    @DekelvaSoujaboy-mb8psАй бұрын

    I like this movie oya mwamba butua utafika mbali sana love from Drc Congo Lubumbashi 🇨🇩🇨🇩🇨🇩 🖊️🖊️🖊️🖋️🖋️🎉🎉

  • @butuamaginga

    @butuamaginga

    Ай бұрын

    Asante sana bos kama ume subcribe utapata vitu bora sana

  • @DekelvaSoujaboy-mb8ps

    @DekelvaSoujaboy-mb8ps

    29 күн бұрын

    @@butuamaginga kitambo Sana mzee baba

  • @butuamaginga

    @butuamaginga

    29 күн бұрын

    @@DekelvaSoujaboy-mb8ps tupo bos tunapambania kombe

  • @omarbosiomar8608
    @omarbosiomar8608Ай бұрын

    much love

  • @butuamaginga

    @butuamaginga

    Ай бұрын

    🎉🎉🎉🎉🎉

  • @DonMooSTUDIO_Express
    @DonMooSTUDIO_ExpressАй бұрын

    ❤ nimechelewa kucomment nilitaka niiangalie mwanzo mpaka mwisho kwa umakini ❤ mimi ni fans namba moja wa BUTUA & CHIBU ❤ hawa jamaa napenda sana wanavyocheza scene zao kitaalamu. Nawapa tuzo za uigizaji bora 🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆

  • @butuamaginga

    @butuamaginga

    Ай бұрын

    Shukrani sana bos wangu

  • @DonMooSTUDIO_Express

    @DonMooSTUDIO_Express

    Ай бұрын

    @@butuamaginga 🤝💥🏆🤝

  • @butuamaginga

    @butuamaginga

    Ай бұрын

    @@DonMooSTUDIO_Express salute

  • @sofiakinyia2734
    @sofiakinyia2734Ай бұрын

    Iendelee plz🎉🎉🎉😂

  • @butuamaginga

    @butuamaginga

    Ай бұрын

    Ndo tunasuka epsode ya nne ili tufunge sezon one

  • @josephcharlesnalimi8078
    @josephcharlesnalimi8078Ай бұрын

    🎉

  • @ZalhaMustapha-yj4os
    @ZalhaMustapha-yj4osАй бұрын

    Nikiyafikiria hya mapnz ukipenda na yy anaye anayempndaa tena dhat 😔😔ndipo pale ninapotoka kazin nikaenda jazaa move za kina Butua,clam vevo na chips zang kuku nienjoy halaf bc🤣🤣....jmn hizo ndio akili zang zimechoka kuteseka🙌🙌🙌🙌

  • @butuamaginga

    @butuamaginga

    Ай бұрын

    Nimecheka kwa sauti endelea kutazama kazi zetu utazidi kula chipsi

  • @ZalhaMustapha-yj4os

    @ZalhaMustapha-yj4os

    Ай бұрын

    @@butuamaginga 🤣🤣🤣🤣ndicho kilichobakia2 hicho😄😄

  • @Emsoy_tz
    @Emsoy_tzАй бұрын

    Holi baraha zito Kaka.

  • @butuamaginga

    @butuamaginga

    Ай бұрын

    Shukrani

  • @mr_akily_og
    @mr_akily_ogАй бұрын

    Pooooooooooooooooooooooooooooz

  • @user-rg5vl7mk9q
    @user-rg5vl7mk9qАй бұрын

    Hebu tumsapot kijana wetu kwakusubscribe❤

  • @butuamaginga

    @butuamaginga

    Ай бұрын

    Hakika shukrani sana

  • @yuui1878
    @yuui1878Ай бұрын

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🇧🇮🇧🇮