Hatupo sawa na Uongozi Wangu uliopita/Nilitakiwa kulipa Milioni 500/Nimeuza mali zangu niliwalipe.

Ойын-сауық

#CloudsMedia ipo mubashara kutoka kwenye kipindi cha XXL ya Clouds Fm ikifanya exclusive interview na Konde Boy aka Harmonize, Watangazaji ni BDozen, Kenedy The Remedy, Adamu Mchomvu, Mamy Baby na Perfect Crispin
#TigoFiesta2019 #BabaKasema #LevelsBaby

Пікірлер: 1 700

  • @victorcephas3618
    @victorcephas36184 жыл бұрын

    Ninacho mkubali konde boy Ana hekima kubwa kuongea na kujibu maswali, ana uwezo mkubwa wa kujieleza kuliko wasanii wengi. Mungu akuinue zaidi konde boy

  • @shamimushittindi1418

    @shamimushittindi1418

    4 жыл бұрын

    Malezi hata wazazi wake wapo very humble

  • @fababindawood8363

    @fababindawood8363

    4 жыл бұрын

    Yote hayo kalelewa vzr na diamond platnumz hakika diamond ni mlez mzur xana wa wasaanii

  • @tinnietheclassicchic7967
    @tinnietheclassicchic79674 жыл бұрын

    Nitafurahi kumuona huyu kaka kufahamika duniani kama diamond...mungu akusaidie konde boy...#kondegang for good

  • @omegalawi8298

    @omegalawi8298

    4 жыл бұрын

    #jeshi big 👆 Sana

  • @lydiathadeous6644
    @lydiathadeous66444 жыл бұрын

    Humble KONDEBOY I love that part HUNA DREAM KUBWA ILA YOUR TRYING YOUR BEST 🎯🎯🎯

  • @benardsadani1172

    @benardsadani1172

    4 жыл бұрын

    Saf konde boy

  • @sarahmsuya5416
    @sarahmsuya54164 жыл бұрын

    Harmonize you’re so freakin real and that’s what’s hold you up there in this music game. You don’t fake and when doing so I think it will be with a reason (Kiki wise). Proud of you. Keep pushing, keep being you.

  • @khamisbakari3629
    @khamisbakari36294 жыл бұрын

    Harmonize unajielewa broo! Nilichopenda ulivyozungumzia bifu za Media zinarudisha mziki wetu nyuma, umemtaja Whozu na Marioo nikweli wapo Dilemma mana hawawezi kwenda kupiga show na Wasafi festivals kisa wasafi wanabifu na clouds, na wasanii wa wasafi hawawezi kwenda kupiga show na Tigo Fiesta kisa hao watu wanabifu. So hicho kitu kinarudisha mziki wetu nyuma, kimsingi wakae chini wayamalize ili mziki wetu uzidi kusonga mbele. One love brother, Jah bless you for all💪🏾💪🏾🙏🏽🙏🏽🙏🏽🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @halimatanzani8587

    @halimatanzani8587

    4 жыл бұрын

    Kabisa

  • @rosemaiko9405

    @rosemaiko9405

    4 жыл бұрын

    Kabisaa ,wawache msanii apige show fiesta aitwe pia wasafi,wanapojibagua music hautatufikisha mbali kuwa Na wanamusic wengi wa ktz watingishe dunia unit ndio kila kitu unitedwasainii Vyombo Vya habariiii

  • @khamisbakari3629

    @khamisbakari3629

    4 жыл бұрын

    Rose maiko, km wakifanya ivo mzk wetu utafika mbali sana

  • @zeidytheislandgirl7616

    @zeidytheislandgirl7616

    4 жыл бұрын

    Unaaakili San bro ungekua hujaoa ungenioa tu nimekupenda bure jamaan in kweli kawaweka wazi ili aishi kwa aman

  • @zeidytheislandgirl7616

    @zeidytheislandgirl7616

    4 жыл бұрын

    @@rosemaiko9405 billinas na whozu wote walikua wasafi

  • @sekundambilinyi5450
    @sekundambilinyi54504 жыл бұрын

    Anajua kujieleza huyu mtoto amewiva sana yaani nampenda mpaka naumwa!He is my numero uno Artist in Tz!!!

  • @shingiropapin9057
    @shingiropapin90574 жыл бұрын

    This Harmonize is very humble, courageous and intelligent... His future is more bright than how we can Imagine. Keep it up bro Harmo

  • @mariamkajembe5039

    @mariamkajembe5039

    4 жыл бұрын

    Mnooo very humble🙌🙌

  • @hillaryjimmie2920
    @hillaryjimmie29204 жыл бұрын

    Wenda ikawa interview bora kwa mwaka huu kupita zote.. The best of the best interview ever! Sema Adam kakosekana apo angetia chumvi kidogo japo kuwa huwa hawez kuuliza maswali ya msingi.. Na hii interview ingekuwa 🔥 kama Fetty piaa angekuepo apo

  • @trendings1293
    @trendings12934 жыл бұрын

    Wabongo wambea hatari hii ishu ya milioni 500 tuliisikia kiumbea tu kumbe ni kweli asee😁😁😁😁😁

  • @moremibituro2060

    @moremibituro2060

    4 жыл бұрын

    Wabongo uwanyime chakula sio umbea

  • @teophilmbalamwezi

    @teophilmbalamwezi

    4 жыл бұрын

    Top trendi whatsapp & Facebook clips trending clips watu hawa lali kaka🤣🤣🤣

  • @veronicadaniel1122

    @veronicadaniel1122

    4 жыл бұрын

    Top trendi whatsapp & Facebook clips trending clips kweli lisemwalo lipo

  • @christophersoty101

    @christophersoty101

    4 жыл бұрын

    @Top trend whatsapp & Facebook clips trending Wabongo wakikosa pesa wanalala ilä wakose umbea uone wanavyohaha kuutafuta 😂😂😂😂😂 wabongo sio watu wa mchezo mchezo

  • @severinmmassy7627

    @severinmmassy7627

    4 жыл бұрын

    Top trendi whatsapp & Facebook clips trending clips mambo nimoto mambo nifaya nikosa gani jamaa kafanya hadi kulipishwa pesa zote hizo??

  • @kahawathungu
    @kahawathungu4 жыл бұрын

    Very down to earth and level headed wanavyosema wazungu. Ameonyesha ukomavu, utu na busara zaidi ya umri wake katika interview hii. Heko kwake.

  • @lindatogether

    @lindatogether

    4 жыл бұрын

    For sure

  • @reganikalenga988
    @reganikalenga9884 жыл бұрын

    Ahhhhh clouds mnajaribu kuwachafua wasafi lakini harmonize anakataa Kaka harmonize bado anaona umuhimu wa wasafi/diamond na wengine Clouds msimuulize maswali ya mitego ili kuwachafua wenzenu Big up harmonize big up konde boy Umheshimu diamond milele ukumbuke aiyola..

  • @shamimushittindi1418

    @shamimushittindi1418

    4 жыл бұрын

    Interview inatakiwa iwe hivyo

  • @davidmagundu2285

    @davidmagundu2285

    4 жыл бұрын

    Boss, maswali ya mitego ndio kazi za waandishi wa habari, ila pongezi kwa harmonize kwa kupangua mashuti

  • @sospetermathias4253

    @sospetermathias4253

    4 жыл бұрын

    Wewe nae nikumatu wenyewe wakiongea huko nisawa wakiuliza Hawa eti wanawachafua

  • @neemamushi8599

    @neemamushi8599

    4 жыл бұрын

    Wakueshimia mungu huwezi kumsujudia binadamu mwenzako heshima ifuate mkondo maisha yende sawa

  • @jaypili7837

    @jaypili7837

    4 жыл бұрын

    Regani Kalenga this man got talent in talking

  • @FirstClassEnt1000
    @FirstClassEnt10004 жыл бұрын

    Smart, Humble, Talented and Blessed. Keep moving bruh.

  • @ismaelmastaki7769
    @ismaelmastaki77694 жыл бұрын

    From South Africa +27🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦I'm so proud of you konde boy ,I love your work and you're so hard ,I'll never late you down to support your work,congratulations never give up konde boy ,we will support you forever 💪💪💪

  • @mwanaharakatiog3279
    @mwanaharakatiog32794 жыл бұрын

    KONDE BOY UMEONGEA POINT SANA MEDIA ZA TANZANIA ZIMALIZE BIFU ZAO WANAUA MUSIC WETU

  • @immaabukuku7180

    @immaabukuku7180

    4 жыл бұрын

    Sio wasanii tu walio dilemma mpaka mashabiki ifuke time izi media zifanye kitu kimoja kwa pamoja katika kuusukuma mzik uzidi kufuka boda na sio kuvutana nyuma

  • @khamisbakari3629

    @khamisbakari3629

    4 жыл бұрын

    Kabisa mkuu, Wamalize tu tofauti zao

  • @janewashe7276
    @janewashe72764 жыл бұрын

    Harmonize aki unajua sana kujieleza sana upendo ndio kila kitu 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @wekesasimiyusospeter3478
    @wekesasimiyusospeter34784 жыл бұрын

    Am from Kenya we love you harmonise very humble artist big up brother

  • @alanmars71
    @alanmars714 жыл бұрын

    Harmonise hamung'unyi maneno anawachana live clouds na media zenye bifu na haogopi kuwataja wasafi wakat wasanii wengne wakiwa humo wanaogoa kuwataja wasanii wa wasafi

  • @ameenaameena3324

    @ameenaameena3324

    4 жыл бұрын

    Sio wanaokipa kwani kuwa taja na kuto wataja kipi kinaongezeka na kupungukuza?

  • @alanmars71

    @alanmars71

    4 жыл бұрын

    @@ameenaameena3324 kama huwa unafuatilia interview zote za xxl utaelewa nachoongolea

  • @farajakasikile8846

    @farajakasikile8846

    4 жыл бұрын

    awachani anawachana qasafi wewe acha ujinga qasafi niwachawi jama katoka kwenye uchawi ameona umezodi uchawi

  • @msasaniboyrais598

    @msasaniboyrais598

    4 жыл бұрын

    Mtoto wa Simba Simba tu utamkalishaje wakati wewe nyumbu apo niswala lamda tu ukifika tu unaliwa asaivi tumemsaau Sindelera

  • @magrethkimambi8007

    @magrethkimambi8007

    4 жыл бұрын

    @@msasaniboyrais598 sindelela gani umemsahau ww

  • @abrahammtongole2747
    @abrahammtongole27474 жыл бұрын

    Level of maturity is very High foe this breddah!! . Big up Jeshi.

  • @eunicejoseph3870
    @eunicejoseph38704 жыл бұрын

    Nani kamuona godluck gozbert kwa nyuma kweny screen kama mm nlvyomuona

  • @hafidhhemed1514
    @hafidhhemed15144 жыл бұрын

    Dogo yuko vzr.. humble and honest.. he's down to earth..keep going bro..sky is the limit 🔥

  • @happynessmarki2780
    @happynessmarki27804 жыл бұрын

    Jmn jmn jmn Roho imeniuma jmn kaka amenitia huruma huyuuu,,,,nitajitahidi kukuombe dah! Pole sanaaaaa🤝🏻🤝🏻

  • @richardcharles2390

    @richardcharles2390

    4 жыл бұрын

    Happyness marki ww ndio unatia huruma kwendraaaaa

  • @newmuscat1698

    @newmuscat1698

    4 жыл бұрын

    @@richardcharles2390 roho zinawachonyota cn, basi jamaa anapendwa vibaya

  • @happynessmarki2780

    @happynessmarki2780

    4 жыл бұрын

    Richard Charles Barikiwa

  • @babyggg1509
    @babyggg15094 жыл бұрын

    Huyu kijana ana adabu sanaaa na anajua kujieleza

  • @leilamoses172

    @leilamoses172

    4 жыл бұрын

    babyg gg yah trueeee

  • @jumasalehe7401

    @jumasalehe7401

    4 жыл бұрын

    jamaa namkubali anajua ila tunachokosea mashabiki kumshindanisha na daimondi daimondi ana koneksheni kubwa nawashauli wapenda muzi mzuli kama mm tukitaka mshkaji afanye vizuli zaidi tusiewashindanishe iyo itafanya awe anafanyskazi yake kwa amani

  • @lyympemba

    @lyympemba

    4 жыл бұрын

    yep ana adabu

  • @maishadume3272

    @maishadume3272

    4 жыл бұрын

    babyg gg mhh

  • @nobertmulesi3387
    @nobertmulesi33874 жыл бұрын

    the level of maturity that harmonize is displaying is unmatched

  • @abdultwaha1291
    @abdultwaha12914 жыл бұрын

    Aiseeeee Konde anzia leo me shabiki wako kindakindaki, unajua kujielezea ile mbaya na ni kitu adimu sana kwa wasanii wetu. Bless Bro!!

  • @mohamedikamwana9308
    @mohamedikamwana93084 жыл бұрын

    am so proud of bro konde boi b'coz amejarib kuweka sawa nn kimefany yy kuwa harmonize wthout wasaf na from here watanzania wataelewa na sio kutupa lawama only one side xo keep it up bro na nimeipenda mno interview yako for sure .... inshallah mung akuongoze kwa kila jambo

  • @aminamaulidi1788
    @aminamaulidi17884 жыл бұрын

    Konde nakupenda sbb unaheshimu ungozi wa zamani Safi sn konde boy ulipo nipo jeshi

  • @daudidaudi7398

    @daudidaudi7398

    4 жыл бұрын

    Anajielewa xana konde.

  • @julykabidima1463

    @julykabidima1463

    4 жыл бұрын

    Very good interview konde boy

  • @tambwewilfred622
    @tambwewilfred6224 жыл бұрын

    Mi namkubali sana Diamond, kwani mpaka leo hajaongea chochote, ana hekima sana, Big up Diamond Platinum

  • @maridadimaridadi6879
    @maridadimaridadi68794 жыл бұрын

    Big up Sana harmonize , Mungu yu pamoja na we , Allah bless you

  • @runyotafrancis3772
    @runyotafrancis37724 жыл бұрын

    Tangu utoke wasafi, nimekuwa nasikiliza na kurudi rudia wimbo diamond wa utanipenda hasa pale Diamond anasema "hata harmonize nampigia cm naye ananifokea"

  • @abdulrazakgwotta5561

    @abdulrazakgwotta5561

    4 жыл бұрын

    Dogo mnafiki sana.

  • @trumplee9960

    @trumplee9960

    4 жыл бұрын

    Runyota Francis we k je Dada ako zar alieimbiwa

  • @abdulrazakgwotta5561

    @abdulrazakgwotta5561

    4 жыл бұрын

    @@trumplee9960 hujanielewa halaf umetukana.

  • @raphaelkanoni3453

    @raphaelkanoni3453

    4 жыл бұрын

    Kweli kabisa

  • @mymunamymuna4807

    @mymunamymuna4807

    4 жыл бұрын

    Mungu atazidi kukuongezea nakukubariki zaidi🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @hillarymrema6290
    @hillarymrema62904 жыл бұрын

    kama naionaa kolabo ya jeshii na mavoko kama unaisubir kwa hamu gonga like maaana ni hataree

  • @salmagungurugwa6854

    @salmagungurugwa6854

    4 жыл бұрын

    Hillary Mrema naitamani

  • @pizzowarhymes1997

    @pizzowarhymes1997

    4 жыл бұрын

    Jeshiiiiiii🤗🤗🤗

  • @eunicejoseph3870

    @eunicejoseph3870

    4 жыл бұрын

    Mavoko apambane na hali yake

  • @bonifacejuma8447

    @bonifacejuma8447

    4 жыл бұрын

    Kwel mavoko apambane na hali yake

  • @antoinea.katembo5326

    @antoinea.katembo5326

    4 жыл бұрын

    Hillary Mrema kabisa na ingekuwa safi sana kama wangeungana na R. Mavoko!

  • @seniortz4582
    @seniortz45824 жыл бұрын

    For sure this is my first and Best interview in my country... salute jeshiiiiii no1 fun

  • @wisesix2950
    @wisesix29504 жыл бұрын

    Kama wew unamkubali kondeboy kama Mimi gonga like za kutosha👉👉

  • @edinazegu7173
    @edinazegu71734 жыл бұрын

    Hongera kwa maneno yake mazuri mno hataki ugomvi huyu dogo

  • @abdallahmohamed6634
    @abdallahmohamed66344 жыл бұрын

    kama unamkubali Konde gonga like

  • @susanmwambungu160

    @susanmwambungu160

    4 жыл бұрын

    Mungu aendelee kumuongoza huyu kijana!Malezi aliyopata kweli yamemjenga kuwa na Hekima.

  • @shadiamom6084

    @shadiamom6084

    4 жыл бұрын

    ongera sana

  • @SoldadoVersace

    @SoldadoVersace

    4 жыл бұрын

    Fanya unachokifanya mungu atakulebless brow.

  • @wanderaothumani4919
    @wanderaothumani49194 жыл бұрын

    *MOST SENSIBLE INTERVIEW I HAVE HEARD IN TANZANIA MEDIA INDUSTRY WITH THE MOST ACCURATE AND ON POINT INTERVIWEE THUMBS UP HARMONIZE JUST ADDED ONE MORE FAN IN YOUR BASE*🇹🇿

  • @Arbostar

    @Arbostar

    4 жыл бұрын

    Kanipata Pia....

  • @athumaniruwa1580

    @athumaniruwa1580

    4 жыл бұрын

    Clouds wanamlazimisha aiponde wasafi lakini harmonize amekomaa akili,anajua yeye ni harmonize kwa sababu ya wasafi.

  • @junemuchiri609
    @junemuchiri6094 жыл бұрын

    Clouds new studio Zippo poa Sana,big up harmo from +254

  • @salmamuhammed1442
    @salmamuhammed14424 жыл бұрын

    Ana Busara Saana Huyu Harmonize Maskini Mpaka Ananitia Huruma Daah😭😭😭

  • @theoniyonkuru6423

    @theoniyonkuru6423

    4 жыл бұрын

    umaskini wa kwanza ni kufanya jambo renye hufurahii

  • @neemaangelo2208

    @neemaangelo2208

    4 жыл бұрын

    Sana yaani duh!

  • @hkmeme5437

    @hkmeme5437

    4 жыл бұрын

    Kabisa

  • @dolomentluge3918
    @dolomentluge39184 жыл бұрын

    harmo kaa nao makini hao wanafiki wasijekuarbu be balanced kwa vituo vyote usiiponde wcb coz hujafa hujaumbika kama kuna matatizo usiyaanike public xabb xi unajua vyombo vyetu vya hbr vinapenda kukuza mambo ushauri wangu iheshimu wcb maishan mwako ata wakuuzi make ndo wazaz wako walokukuza

  • @faithfelistasmwinjomod3955

    @faithfelistasmwinjomod3955

    4 жыл бұрын

    Well said

  • @khadjikareem5780

    @khadjikareem5780

    4 жыл бұрын

    doloment luge akili huna

  • @lovenessabel2218

    @lovenessabel2218

    4 жыл бұрын

    Me cjaona ubaya hamo alioongea

  • @luxfordmmasa774

    @luxfordmmasa774

    4 жыл бұрын

    Hajaponda mtu boss

  • @vanessanyanda4148
    @vanessanyanda41484 жыл бұрын

    Big up Dozen for the good interview..Kennedy you were very wrong to ask Harmo such a qn..’’Get back to his knees’’ for what specific reasons!!!!

  • @mkikoyoguycoyo

    @mkikoyoguycoyo

    4 жыл бұрын

    Mpumbavu huyo dogo.

  • @pmt79

    @pmt79

    4 жыл бұрын

    Kama akiomba samahani na wao wamuombe samahani idiot huyo dogo

  • @happywilkins4391
    @happywilkins43914 жыл бұрын

    Big up Harmo,unajielew Sana,uko humble na kila mtu,and this will help you 2move on in another level...

  • @rahillhamidu2544
    @rahillhamidu25444 жыл бұрын

    Harmonize uko Sawa amani ndio maisha na silaha kubwa Sana, PEACE

  • @umojamedia4167
    @umojamedia41674 жыл бұрын

    Burudani imezaliwa upya upande mwengine

  • @emmanuelngalayo8725

    @emmanuelngalayo8725

    4 жыл бұрын

    Aaaaaahaaaa mmeonae

  • @shazilihamisi4023

    @shazilihamisi4023

    4 жыл бұрын

    Ndo tunaanza ivyoo msije mkasemaa ooohh .............. hahahahahahahah

  • @maimunaathman4664

    @maimunaathman4664

    4 жыл бұрын

    @@niite_cousin1362 😂😂😂

  • @abedneema3277

    @abedneema3277

    4 жыл бұрын

    Kwani mmemanisha kwamba mziki clouds walikuwa hawana mziki,mziki ulikuwa umezama ndoo Jeshiiii amekija kuufufua nini!!!??tushawasoma mmempole millions zake badae mnatuletea usenge!!!mziki clouds upo na utaendelea kuwepo

  • @happynessmarki2780

    @happynessmarki2780

    4 жыл бұрын

    Remy Juma 🤣🤣🤣

  • @janeayako5231
    @janeayako52314 жыл бұрын

    That's good maturity harmonize music is togetherness

  • @charlskpc1103
    @charlskpc11034 жыл бұрын

    Nimependa the way anavyojibu maswali ya kutaka kuendeleza bifu. Keep it up bro. We need peace, # media should unite 2gether so as to push our music to the world.

  • @mpelenganyajunior1352
    @mpelenganyajunior13524 жыл бұрын

    Anajuwa kujieleza kwa kweli kaongea vzr sana

  • @markkihula30
    @markkihula304 жыл бұрын

    Jamaa anajieleza vizuri sana mwakani kama leo huyo jamaa msipokua makini anainunua clouds

  • @annamarwa2040

    @annamarwa2040

    4 жыл бұрын

    Haha

  • @annamarwa2040

    @annamarwa2040

    4 жыл бұрын

    Haha

  • @salmaally351

    @salmaally351

    4 жыл бұрын

    😅😅😅

  • @magrethkimambi8007

    @magrethkimambi8007

    4 жыл бұрын

    😂😂😂

  • @markkihula30

    @markkihula30

    4 жыл бұрын

    Tumempitisha tayari kijana wetu

  • @lalasalama6720
    @lalasalama67204 жыл бұрын

    Sasa clouds hamtoi habari zao, kwann mnahoji masuali based on wasafi, mnatoa habari zao indirectly, thus wrong

  • @gatomkudegatomkude9190
    @gatomkudegatomkude91904 жыл бұрын

    Ile ngoma ya mnya mondi. Utanipendaga ariona mbari Sana mnyamwezi naleo arichokiimba ndicho kilichotokea . Ila kitu kimoja tu. Konde unatakiwa muheshim mondi kwani ndiye Masta wako

  • @shamimushittindi1418

    @shamimushittindi1418

    4 жыл бұрын

    Jamani mlitaka akae hadi lini?wewe bado unaishi kwenu?ina maana ulivyoondoka huwapendi wazazi wako?

  • @herenawilbad629

    @herenawilbad629

    4 жыл бұрын

    Kwan cloud walimuita au wamemlazimsha mbon mnaleta maneno tu

  • @neemamwambata2400

    @neemamwambata2400

    4 жыл бұрын

    Gatomkude Gatomkud y

  • @gatomkudegatomkude9190

    @gatomkudegatomkude9190

    4 жыл бұрын

    Sina maana hiyo kwamba aendele kukaa wcb hapana Ninachosema heshima iwepo ikiwa Kama masta wake

  • @majumbatv1116

    @majumbatv1116

    4 жыл бұрын

    Wewe umeshindwa kuelewa diamond alishaona anamnyonya harmonize ndio maan akajua akikua atatoka tu

  • @jameskambona5465
    @jameskambona54654 жыл бұрын

    Media zote zinatakiwa ziwapromote ma artist wa tz na east Africa ili kupeleka muziki wetu mbali, bila kubaguana kizuri lazima kitakua juu 2 na sio kuchukiana. I love Tz

  • @gerrardmapunda7821

    @gerrardmapunda7821

    4 жыл бұрын

    Big up wajna kwa busara zako

  • @evancemoevt8597
    @evancemoevt85974 жыл бұрын

    Safi Kabisa Siku zote Amani na Upendo ndo Jambo la Msingi!!

  • @rigalugano8791

    @rigalugano8791

    4 жыл бұрын

    Big up bro

  • @shaniamgunda7838
    @shaniamgunda78384 жыл бұрын

    nimekupenda mnoo unanyoosha maelezo upondi wasafi Dah kondeboy wanyooshe

  • @deboramrema2861
    @deboramrema28614 жыл бұрын

    Safi sana kwanza katika kitu kilichonifa nizidi kukupenda unajua kujieleza kuliko kawaida asante kwa hilo nakuombea kwa mweezi Mungu akupe afya njema wew na my wife wako na pia baraka za Mwenyeezi Mungu zizidi kukumiminikia usiku na mchana ufanye kazi kwa bidii na uzidi kuheshimiana na watu kama ulivyo sasa hongera sana sana sana Mungu akubariki kipenzi chetu

  • @hillarymbilinyi9067
    @hillarymbilinyi90674 жыл бұрын

    Interview ya kibabe sana hii, this is my best interview✌

  • @lindatogether

    @lindatogether

    4 жыл бұрын

    Bonge moja ya interview

  • @AI-xc2bv

    @AI-xc2bv

    4 жыл бұрын

    Imetisha kinoma☺☺☺☺

  • @HabilyTech
    @HabilyTech4 жыл бұрын

    Harmonize ana akili sana amini kwamba huu ndo mwisho wa utim huu ni wakat wa watu kufanya kazi sasa kwa ushirikiano

  • @mloleclassic-254

    @mloleclassic-254

    4 жыл бұрын

    Wewe hufikirie alitolewa wapi ka sio diamond platnumz angekuwa hapo leo

  • @leilamoses172

    @leilamoses172

    4 жыл бұрын

    Habily Boy yesiiii

  • @mariebakari6692

    @mariebakari6692

    4 жыл бұрын

    Mlole classic-254 alitoka tumboni kwa mama yeke Ivi huyo diamond wenu alitokea wsf???

  • @HabilyTech

    @HabilyTech

    4 жыл бұрын

    @@mloleclassic-254 hivi nilichoongea apo nimepinga alipotoka we mkenya hebu jifnze kiswahili vizuri ukielewe.

  • @HabilyTech

    @HabilyTech

    4 жыл бұрын

    @@mariebakari6692 mi nashangaa sana watu wengine sijui wana akili za mgando

  • @kimkimmie3435
    @kimkimmie34354 жыл бұрын

    Gosh I respect you ! Salute! You are so eloquent. Unajibu vizuri, respectfully.. huna kinyongo...

  • @lukemelyemwenga2910
    @lukemelyemwenga29104 жыл бұрын

    nmeenjoy sana hii interview the guy is really clever and wise enough,,, keep it broo

  • @maestrotv8264
    @maestrotv82644 жыл бұрын

    Kumbe masikini wasani adi wanaogpa waende wapi..? Kwene haya matamasha dah inaumiza sana hii kuona wasanii niwatumwa clouds nyie mavi tu sema dogo kaeleza ukweli wasanii awajui waende wapi

  • @leilamoses172
    @leilamoses1724 жыл бұрын

    Uko vizuri konde si tupo pamoja na we tunakupenda kondeeee boyyyy jeshiiiii

  • @newgeorge55
    @newgeorge554 жыл бұрын

    no one iz perfect, big up br i like it

  • @evekirschrosh
    @evekirschrosh4 жыл бұрын

    This guy is very smart 🤛🏾👏🏾👏🏾👏🏾🙌🏾

  • @markkihula30

    @markkihula30

    4 жыл бұрын

    Too smart

  • @Rogathe-Rogathe
    @Rogathe-Rogathe4 жыл бұрын

    you're so humble Hamo....i lv u....Allah akuongoze daima uendelee kufanya vizr na vzriiiii😍😍

  • @asareemmanuel3235

    @asareemmanuel3235

    4 жыл бұрын

    Wacha uongo harmonize is a very proud person am telling you the truth

  • @Rogathe-Rogathe

    @Rogathe-Rogathe

    4 жыл бұрын

    Asare Emmanuel .... Hayo ni mawazo yako kwa unavyomuona.... Lkn mie sijamuona ktk mawazo yako... He is a humble guy full stop

  • @alphamenson3784
    @alphamenson37844 жыл бұрын

    Diz dude is very humble....GO HARMONIZE, GO HARMONIZE, DON'T STAP DON'T STAP MAN

  • @RamazaniMulongeca

    @RamazaniMulongeca

    4 жыл бұрын

    Alpha Menson “Stop”😂

  • @alphamenson3784

    @alphamenson3784

    4 жыл бұрын

    @@RamazaniMulongeca hell yeah man

  • @reubenmasalu4923
    @reubenmasalu49234 жыл бұрын

    konde boy upo vizur pambana upushi mziki wako uende mbele broo🎼🎤🎸

  • @yuriempress938
    @yuriempress9384 жыл бұрын

    I wish him kila kitu anachostahili ...harmo is talented and he is a hard working guy

  • @photostudio8594
    @photostudio85944 жыл бұрын

    This guy who ever writes you script for interview he must be very wise asante sana jeshi for a perfect response kuhusu that question

  • @leonardjohnson2058

    @leonardjohnson2058

    4 жыл бұрын

    photo studio aliambiwa akienda clouds awe makin maana niwapenda bifu wasijemponza km Rich mavoko aliandaliwa kipindi akawasema vibaya kn Mond ikamkost alf wakamtupa

  • @shamimushittindi1418

    @shamimushittindi1418

    4 жыл бұрын

    Yuko na watu makini

  • @sumasullesulle6881

    @sumasullesulle6881

    4 жыл бұрын

    Nc Mr uno

  • @theoniyonkuru6423
    @theoniyonkuru64234 жыл бұрын

    konde respect umejitambua DUNIYA TUNAPITA . MYAKA MIYA YA NINI

  • @miriamkafwila98
    @miriamkafwila984 жыл бұрын

    I love your determination Harmonize please keep pushing dont give up...

  • @sendekakimani3825
    @sendekakimani38254 жыл бұрын

    Hayu jamaa anaupendo sana kwa watu. Anakumbuka aliko toka. Good sana mungu akuongonze

  • @ayubusalima4013
    @ayubusalima40134 жыл бұрын

    Konde boy umetisha mzee kubl sana!!!!!!💕

  • @alicesamson6316
    @alicesamson63164 жыл бұрын

    Jeshi kaongea point sana

  • @hakimramadhan8337

    @hakimramadhan8337

    4 жыл бұрын

    hey

  • @lindatogether

    @lindatogether

    4 жыл бұрын

    Ana akili nyingi sana

  • @pillychalamila1766

    @pillychalamila1766

    4 жыл бұрын

    Fact

  • @gumaakayrash7874

    @gumaakayrash7874

    4 жыл бұрын

    Pamoja San

  • @ismaildavid6970

    @ismaildavid6970

    4 жыл бұрын

    uliza maswali yaliyoenda shule acheni majungu.

  • @isackmhala1373
    @isackmhala13734 жыл бұрын

    Money is Nothing.....This is the WORLD All we'r pass in the Earth's surface

  • @petermax5756

    @petermax5756

    4 жыл бұрын

    Nice

  • @humbleeleso4157
    @humbleeleso41574 жыл бұрын

    This guy speaks nice and facts#

  • @simmyimma1483
    @simmyimma14834 жыл бұрын

    harmonize kaongea fact sana nimependa sana.

  • @geresonochieng7098
    @geresonochieng70984 жыл бұрын

    Nimewapenda sana na nimependa konde ako na hekma ndio magufuli aliiona mungu ata kufikisha mbali kiburi chaupande ule kitakupandisha sana

  • @coccobellonungwi8326
    @coccobellonungwi83264 жыл бұрын

    Never give up bro god bless you anything is possible 🙏🙏🙏

  • @cdraccounts8830
    @cdraccounts88304 жыл бұрын

    This guy Konde Boy is smart

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed6244 жыл бұрын

    KONDE BOY MNYAMWEZ SANA HAHAHA CLOUDS WASHAMNYAKUA ASEEE

  • @geofnjaux8014

    @geofnjaux8014

    4 жыл бұрын

    munira upoo

  • @cassperrevindines1620

    @cassperrevindines1620

    4 жыл бұрын

    Weee Dada...mmmmm kama umeumbiwa pale

  • @bennyasseralfred3811

    @bennyasseralfred3811

    4 жыл бұрын

    Munira Ahmed we dada hiii picha niyako kweli..!? mbona hua naskia wanataja warembo wazuri huko kwetu está África. we unakua huko wapi?. Claudio wamemchukia kwababu wameona kama ally yupoyupo

  • @danielmrombo

    @danielmrombo

    4 жыл бұрын

    😜😜😜😜😜

  • @imkitailend9843

    @imkitailend9843

    4 жыл бұрын

    Hii

  • @christophersoty101
    @christophersoty1014 жыл бұрын

    Heeeeeeee nilijua Ndoto kumbe kweli #JESHI yupo mjengoni hahaha MUNGU mkubwa aisee Duh 😂😂😂😂💪💪💪💪

  • @leonardjohnson2058

    @leonardjohnson2058

    4 жыл бұрын

    Christopher Soty Clouds kwa fursa walikuwa hwna kiki ya fiesta Dar ssa wamepata sasa

  • @arexmerck2324

    @arexmerck2324

    4 жыл бұрын

    iyo nibiashara kwahio razima afungue mipaka irio kua imeziba

  • @christophersoty101

    @christophersoty101

    4 жыл бұрын

    @Arex Merck Harmonize anajua biashara huyo mtoto Namuona mbali saaana

  • @maryamjey6340
    @maryamjey63404 жыл бұрын

    Kondeboy... go! go! go! Much love frm 254

  • @Sogofood.africa
    @Sogofood.africa4 жыл бұрын

    Kwa hesabu za halaka halaka konde atalipa zaidi ya millioni 600.apo ndo utaelewa musemo wa #wcb 4life.ivi kuna wenye wanaujuwa sawa sawa.kamuulize lavalava ao mbosso 😂😂. kama hauko jeshi 🙄🙄🤦

  • @witneymathy4058
    @witneymathy40584 жыл бұрын

    Unaonekana una fikra pevu,Mungu akutangulie ktk mafanikio yako uendelee kuwa juuuuu.#Harmonize

  • @elvinfrank289
    @elvinfrank2894 жыл бұрын

    Nicca harmonize yur speech is so nicely God blessing yu brouh

  • @Mtumbaya09
    @Mtumbaya094 жыл бұрын

    BONGE LA INTERVIEW HAIJAWAH TOKEA HARMONIZE W N UMEME

  • @maimunanido4209

    @maimunanido4209

    4 жыл бұрын

    piga kazi kaka

  • @supersontz7328
    @supersontz73284 жыл бұрын

    nashauri tu clouds naona mnazunguuuka mm naona mngemaliza tu hizi bifu mana hazina mana kwenye mziki wetu wa bongo

  • @HabilyTech

    @HabilyTech

    4 жыл бұрын

    Fact sana

  • @dannytiggy8610

    @dannytiggy8610

    4 жыл бұрын

    Ndio maana magu kaona uwe mbunge

  • @elifurahacharles4282

    @elifurahacharles4282

    4 жыл бұрын

    Super son Tz kweni clouds wanabifu na nani? Mbona hawajawahi kugomba na mtu?

  • @supersontz7328

    @supersontz7328

    4 жыл бұрын

    na diamond Platinumz

  • @richardndesamburo5464

    @richardndesamburo5464

    4 жыл бұрын

    Like bro

  • @hamadsaidy8752
    @hamadsaidy87524 жыл бұрын

    @Mm timu wcb leo nimekuja kuangaria kijan wetu @Mond hongera sanaaaaaaa

  • @meggomeggo3678
    @meggomeggo36784 жыл бұрын

    Konde unaweza bring that fire 🔥 burn in and up (jeshi)🔁

  • @sidikgold1912
    @sidikgold19124 жыл бұрын

    Konde boy 👽 jeshiii you fire 🔥

  • @edisonmaliva1719
    @edisonmaliva17194 жыл бұрын

    konde boy much respect.kama unamuelewa konde boy gonga like twende sawa.

  • @zainabumtubwi263
    @zainabumtubwi2634 жыл бұрын

    Yaani sijamaliza kusikiliza ila uyu rajabu kalelewa kwenye dini sana .pia apendi ubaya yupo makini.mtoto akikua anaenda na maisha yake.hongera sana.

  • @nyamweririchard5945
    @nyamweririchard59454 жыл бұрын

    Duuu, hongera Sana harmonize unajieleza vizuri Sana, u seems to be a real gentleman and u know what ua doing, big respect to u, be cool to those who brought u there and respect them as ua brothers.

  • @fadhilkipinga6591

    @fadhilkipinga6591

    4 жыл бұрын

    Nimekukubali umeongea na kushauri vzuri san

  • @josephmassawe3665
    @josephmassawe36654 жыл бұрын

    Hii ni moja ya interview bora kabisa..kama unaungana na mm gonga like

  • @chistophermihayo6846
    @chistophermihayo68464 жыл бұрын

    Konde gang mpaka tuinunue clouds media

  • @abdukadrilwassa408

    @abdukadrilwassa408

    4 жыл бұрын

    Huo ndo maana ya mkataba kwanza wamekutoza ndogo million 500 ndogo mno maana ulikataliwa BSS lakini myama simba akakudhamini Leo umepata watu wengine hawajui ulipotoka ndo unasema wanakupenda ,kumbuka IPO siku utamkumbuka myama simba ( DMD) na hawa uliowaona wanakufaa watakukimbia siku zote walikuwa wapi wasikuinue,masikini akipata matako ulia mbwata, na tambua mtupa maganda asahau lakini mla ndizi asahau mond hatakusahau bado ni mtoto kwake

  • @abdukadrilwassa408

    @abdukadrilwassa408

    4 жыл бұрын

    Eti clouds watakutia jeuri siku zote walikuwa wapi eti unajifanya mwema eti media hazitakiwi kuwa na bifu utakuja kujutia siku moja tuone utafika wapi maana mtoto akimkataa baba yake Mzazi rahana umfikia tatizo lako unavimba sana unajiona unajiweza kumbe huna lolote

  • @afropatriot7769

    @afropatriot7769

    4 жыл бұрын

    @@abdukadrilwassa408 akili zako ndogo sana kwa hiyo unataka aendelee kuwatumikia WCB tu,kazi aliofanya imewaingizia WCB mamilioni mangapi kina fella na salam ni matajiri kwa mgongo wa hawa wasanii acha na yeye apambane apate anufaike na kipaji chake nayeye awe tajiri kama kina mond na ndio mziki unakua kama hawa wasanii wakikua individually acheni utimu unaua game

  • @kapendalubowa534
    @kapendalubowa5344 жыл бұрын

    Dogo nakukubali Sana, vision yako ina uhai,una University degree Ya kitaa inatisha,piga kazi,mtangulize Mwenyezi Mungu kwenye safari yako ya kusaka mafanikio,Mheshimu sana Diamond Ni mtu muhimu Sana kwako,jitenge na majungu ya wapambe,ukiyasikia yatafakari ndo uamue,endelea kuwasaidia wenye shida pale unapoweza, lakini kuwa makini Sana na siasa zinaweza Sana kukupandisha ama kukufuta kwenye gemu,Mungu akubariki Konde Boy nakukubali Sana.

  • @iviejustified8109
    @iviejustified81094 жыл бұрын

    Mjamaa upo smart saana asee... God be with you! Sema waandishi mnakuwa kama hamuelewi... Coz he spoke of breaching contracts and ready to re reimburse.... Bado unaaliza tena hayo hayo.... I mean come on guys!

  • @sirj1597
    @sirj15974 жыл бұрын

    Kama Unaamini CLOUDS nimakuma Gonga Like....

  • @allyhaji4746

    @allyhaji4746

    4 жыл бұрын

    umewaeleza ukweli

  • @mfaumemfaume1164

    @mfaumemfaume1164

    4 жыл бұрын

    Kuma mwenyewe

  • @doristo2597

    @doristo2597

    4 жыл бұрын

    Shoga wewe pambania ugali wako nyoko wewe jin Sir J.

  • @kingsman3524

    @kingsman3524

    4 жыл бұрын

    Komaa mwana

  • @kingsman3524

    @kingsman3524

    4 жыл бұрын

    Chako nichako

  • @fredngowi8529
    @fredngowi85294 жыл бұрын

    Ukifanya interview na watu wenye akili lazima ujibu kiakili good response jeshi

  • @hassanmkungile6021
    @hassanmkungile60212 жыл бұрын

    Nimerudia tena kutizama hii interview 2021 Harmonizer keep up bro✊🏽✊🏽

  • @ahadimastonesinkwembe6907
    @ahadimastonesinkwembe69074 жыл бұрын

    Nimemkubali konde boy nimekubali unajua kuona kesho mungu akubariki konde boy utafanikiwa

  • @leeiddykgg8504
    @leeiddykgg85044 жыл бұрын

    Harmonize tofaut San na wasani wengine hamo unajua kujieleza san ila ambacho nimekipenda nikwakua uongizi wako wazaman bado unauxhim hyo nihatua nyingine ambayo itaendelea kukufanya uendelee kua harmonize zaidi big up brother

  • @nahyialetomia9284
    @nahyialetomia92844 жыл бұрын

    Harmonize ameongea kiungwana sana

  • @shamimushittindi1418

    @shamimushittindi1418

    4 жыл бұрын

    Kalelewa vizuri

  • @idrissadickson5193

    @idrissadickson5193

    4 жыл бұрын

    Harmonies ni muugwana mno

  • @lindatogether

    @lindatogether

    4 жыл бұрын

    Saaana

Келесі