Uyu master j alishawai kumfukuza harmonize jukwaani leo harmonize uyooooo
@dickensndadema54037 жыл бұрын
master j producer mzuri sana tatizo maringo kibao
@dominicclassic80895 жыл бұрын
Kichaa kalogwa tena
@joshiamwinami98757 жыл бұрын
acheni wivu nyinyi harmony unatisha
@juliuskalawa82627 жыл бұрын
Safi sana nmecheka sana 😂😂😂😂😂😂 ,hana ishu mwana au sio
@sifasanga78667 жыл бұрын
Safi Hamorapa.....komaa..
@evamday28966 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂 akalimeee uyuu jaman
@omarisaidi93765 жыл бұрын
Harmorapa kaza buti haya maisha hayana mwenyewe
@omarshani82447 жыл бұрын
strong human point of correction
@oomwee25747 жыл бұрын
kazi kweli kweli😆😆😆
@saadakiyungi56647 жыл бұрын
Huyo arudi kijijini akalime tu. Mashauzi mengiii halafu hajui kitu
@batony16827 жыл бұрын
sanaaaaaaa harmorapa safi
@vicentykikoti5936
7 жыл бұрын
waonyexhe
@julietjumanne71667 жыл бұрын
Strong Woman
@originalnchimbi5707 жыл бұрын
tafuta rizik kijana jaa yu pamoja nasi
@IsmailMadrelya7 жыл бұрын
Haahhahaa et hajui Master J ninan daaah kweli Dunia inazunguka ...aiseee wazee mi nasinzia kidogo tukifka Oman muwaambie wanishushe maaana dunia iko kasi sana
huyu jamaa naona wali2pa mtoto wakachukua uchafu mana mamb yk yakichafu chafu
@originalnchimbi5707 жыл бұрын
harmo swala
@ahmedkhatibu53877 жыл бұрын
hahahaaaaaaa,,,,ebana weee
@ricksamthecrow7 жыл бұрын
Anaringa nae strong woman na ako kasauti ka kuremba...
@juliuskalawa82627 жыл бұрын
mwaga mboga nimwage nguna, kama wee Si msanii yee ndo hajulikani kabisaaaaa 😂😂😂😂
@ladslauspeter26487 жыл бұрын
Harmorapa namkubali sanaaa dah!!!!ni hatareeeee
@salummuhija44357 жыл бұрын
maswali yenu yakinafiki dizaini kama mnamchora hamorapa lakini mkae mkijua hakuna mtu aliyezaliwa na kutembea.
@saidimohamedi85636 жыл бұрын
duuu
@wemamtotochanelyusuphomari82627 жыл бұрын
Toa miwani bac
@norbertmlokota370
7 жыл бұрын
aisha yusuph omariy haaaahaaaa😀😀😀😀
@davidjoseph69187 жыл бұрын
yani uyu jamaa ni kihiyo kweli
@qaboossaid22597 жыл бұрын
Acha kujinadi kwenye hakuna. huna nyumba huna gari wala huna biashara unayo simamia ww ni kapuku tu na tarifa zako tunazo,ww ni sugar baby tu. acha kumponda master J,tena ukome strong woman.
@mussawambwe92377 жыл бұрын
Sifa mbaya ##Harmorapa. Mkubwa nimkubwa2. P.Funk mwenyewe alimwambia Masta Jay kua akae atulie aje amwone Hamorapa. ila hakusema Masta Jay hajui chochote
@peter1018ful7 жыл бұрын
ivi ni nani yule MJ......producer.!!!
@andrewmlamba7 жыл бұрын
Master J,sialisema harmonize hajui kuimba Bongo Star Search,labda kufikia sasa Harmonize anapesa hata kumshinda
@kallamudaily737 жыл бұрын
Strong woman
@qaboossaid22597 жыл бұрын
ww ni HAMNAZO sio HAMORAPA
@MOJAZAIDI.7 жыл бұрын
usitukane mamba hujavuka mto..master j humjui umezaliwa lin?unafanya mziki gani?..mjibu alicho kusemea kama kibaya tumia hekima tu...usilewe mashabiki kwa stahili hiyo ya kiki...watachoka alafu utakosa kuweka alama kwasababu kiukweli ww bado ni mchanga..i hope sabuka na p-funk wata kuweka sawa..go harmorapa
@abdulrahimselemani49227 жыл бұрын
we dogo unamdiss master j...ceo wa mj rec....huyo p.funk anamuheshimu huyo jamaa we unamdiss.. et humjui bhac kwenu hata tv hamna maana ungekuwa unamuona kwny bss... presenter ungentajia hata nyimbo3 tu zilizopitia kwny mikono ya master j..... yan huyu dogo angeendelea kuwadiss hao hao wakina lizer bt.mj ni level zingine asee...
@qaboossaid22597 жыл бұрын
kudhihirisha ww ni strong woman ndio maana ukafanya colabo na juma nature wanaume halisi!!! si mbaya sokwe jike lazima asake madume
@g.phasemaestro11087 жыл бұрын
huyu dogo amekua juzi tu anamjua master jay kweli?
@mathayokaaya58037 жыл бұрын
nilidhani huyu jamaa wanamsingizia uchizi kumbe ni kweli aisee ni chizi
@eddybryson65867 жыл бұрын
Sasa mkurugenzi na manager kuna tofauti gani aisee!?? Hivi mboona 80% ya wasaani wa bongo kiingereza kimewachenga????? Daah!
@eddybryson6586
7 жыл бұрын
Sijifanyi kuwa najua kiingereza, nakifahamu vizuri kiingereza na pia kiswahili nakijua kwa sana, hii ni karne ya 21 na sio kuwa naringa, kwenda skuli ni muhimu. Ila ukweli bado ni ule ule tu, kuwa ni wasanii wachache sana wa Bongo wanaokielewa na kukizungumza kiingereza kwa ufasaha, AY, F.A, P FUNK na Q-CHILLA to name just a few, but big stars like my fevorite DIAMOND PLATNUMZ? Aisee! Hata wewe utaniunga mkono kuwa Kizungu kimemchenga sana, huyu kaka.
@terrieblieyz48187 жыл бұрын
huyu jamaa alishaugua uchizi cjui "strong woman" afu alichelewa kuongea na mziki ameanza kusikiliza mwaka juzi.
@zahramobne7807
6 жыл бұрын
Terrie Blieyz ww umemwona vipi yuko sawa sana pia amaeshima sana
@shukurusbxrule7 жыл бұрын
check vidole utaniambia
@babaiteg3565
7 жыл бұрын
shukuru sbxrule cjaelewa kwavidole kuna nini
@shukurusbxrule
7 жыл бұрын
Babaite G35 mu check jamaa anavyo penya vidole inawezekana ni freemason
@babaiteg3565
7 жыл бұрын
shukuru sbxrule bas inawezekana atujihakikishii ila km kweli yupo hawaruhusiwi kukili wala kusema chochote
@shukurusbxrule
7 жыл бұрын
Babaite G35 kazi kwao siye wazidi kutuwakilisha tu
@babaiteg3565
7 жыл бұрын
shukuru sbxrule hawajiamini kumshirikisha mungu kwamaombi yamafanikio cjui muumba na iblis nani mwny uwezo zaidi
@mussawambwe92377 жыл бұрын
Bongo Dar ss salaam ya P.Jay, alitengeneza Masta Jay nasio P.Funk kama ulikua hujui. Tena Kagonga beat verses zisharekodiwa kitambo, na p. funk alishindwa kufanya Mixing adi Master Jay akaimaliza yote. Leo unalopoka eti hajui chochote wala humfahamu??? usipandishwe kichwa na crew yako ukawadharau uliowakuta hapo town bro. Madam umeshapata chance, Ok just do ya' own Shit...
@shemasitz80077 жыл бұрын
ƙweli harmomɓio xio msani kɓc ni kioja tu nenɗa kijiji tu ɗogo
@ibrahimmbogela1107
5 жыл бұрын
Shemasi Tz wew ndo hufahi hamorapa yupo juuu
@praygodwillson46137 жыл бұрын
Huyo dogo akatafute pa kucheza
@gaspermassawe73977 жыл бұрын
YAANI HUYU ANATAKIWA SHULE YA HARAKA LA SIVYO ATAILETEA AIBU KUBWA TASNIA YA MUSICIAN YA BONGO,STUPIDITY SUPER WOMAN
Пікірлер: 59
Uyu master j alishawai kumfukuza harmonize jukwaani leo harmonize uyooooo
master j producer mzuri sana tatizo maringo kibao
Kichaa kalogwa tena
acheni wivu nyinyi harmony unatisha
Safi sana nmecheka sana 😂😂😂😂😂😂 ,hana ishu mwana au sio
Safi Hamorapa.....komaa..
😂😂😂😂😂😂 akalimeee uyuu jaman
Harmorapa kaza buti haya maisha hayana mwenyewe
strong human point of correction
kazi kweli kweli😆😆😆
Huyo arudi kijijini akalime tu. Mashauzi mengiii halafu hajui kitu
sanaaaaaaa harmorapa safi
@vicentykikoti5936
7 жыл бұрын
waonyexhe
Strong Woman
tafuta rizik kijana jaa yu pamoja nasi
Haahhahaa et hajui Master J ninan daaah kweli Dunia inazunguka ...aiseee wazee mi nasinzia kidogo tukifka Oman muwaambie wanishushe maaana dunia iko kasi sana
@anntecklar1749
7 жыл бұрын
Ismail Madrelya hahaha
Namkubal sana hamo lkn tyu nyota hana huyu Dogo.
weeeeeh HAMOOOOO
master J msamehe bure,kwani alipaswa kuwekwa zoo kajichanganya uraiani kwa bahati mbaya too.
Safi harmorapa akimwaga mboga unamwaga ugali
@shabanimsukuma6148
7 жыл бұрын
Musa Saidi
huyu jamaa naona wali2pa mtoto wakachukua uchafu mana mamb yk yakichafu chafu
harmo swala
hahahaaaaaaa,,,,ebana weee
Anaringa nae strong woman na ako kasauti ka kuremba...
mwaga mboga nimwage nguna, kama wee Si msanii yee ndo hajulikani kabisaaaaa 😂😂😂😂
Harmorapa namkubali sanaaa dah!!!!ni hatareeeee
maswali yenu yakinafiki dizaini kama mnamchora hamorapa lakini mkae mkijua hakuna mtu aliyezaliwa na kutembea.
duuu
Toa miwani bac
@norbertmlokota370
7 жыл бұрын
aisha yusuph omariy haaaahaaaa😀😀😀😀
yani uyu jamaa ni kihiyo kweli
Acha kujinadi kwenye hakuna. huna nyumba huna gari wala huna biashara unayo simamia ww ni kapuku tu na tarifa zako tunazo,ww ni sugar baby tu. acha kumponda master J,tena ukome strong woman.
Sifa mbaya ##Harmorapa. Mkubwa nimkubwa2. P.Funk mwenyewe alimwambia Masta Jay kua akae atulie aje amwone Hamorapa. ila hakusema Masta Jay hajui chochote
ivi ni nani yule MJ......producer.!!!
Master J,sialisema harmonize hajui kuimba Bongo Star Search,labda kufikia sasa Harmonize anapesa hata kumshinda
Strong woman
ww ni HAMNAZO sio HAMORAPA
usitukane mamba hujavuka mto..master j humjui umezaliwa lin?unafanya mziki gani?..mjibu alicho kusemea kama kibaya tumia hekima tu...usilewe mashabiki kwa stahili hiyo ya kiki...watachoka alafu utakosa kuweka alama kwasababu kiukweli ww bado ni mchanga..i hope sabuka na p-funk wata kuweka sawa..go harmorapa
we dogo unamdiss master j...ceo wa mj rec....huyo p.funk anamuheshimu huyo jamaa we unamdiss.. et humjui bhac kwenu hata tv hamna maana ungekuwa unamuona kwny bss... presenter ungentajia hata nyimbo3 tu zilizopitia kwny mikono ya master j..... yan huyu dogo angeendelea kuwadiss hao hao wakina lizer bt.mj ni level zingine asee...
kudhihirisha ww ni strong woman ndio maana ukafanya colabo na juma nature wanaume halisi!!! si mbaya sokwe jike lazima asake madume
huyu dogo amekua juzi tu anamjua master jay kweli?
nilidhani huyu jamaa wanamsingizia uchizi kumbe ni kweli aisee ni chizi
Sasa mkurugenzi na manager kuna tofauti gani aisee!?? Hivi mboona 80% ya wasaani wa bongo kiingereza kimewachenga????? Daah!
@eddybryson6586
7 жыл бұрын
Sijifanyi kuwa najua kiingereza, nakifahamu vizuri kiingereza na pia kiswahili nakijua kwa sana, hii ni karne ya 21 na sio kuwa naringa, kwenda skuli ni muhimu. Ila ukweli bado ni ule ule tu, kuwa ni wasanii wachache sana wa Bongo wanaokielewa na kukizungumza kiingereza kwa ufasaha, AY, F.A, P FUNK na Q-CHILLA to name just a few, but big stars like my fevorite DIAMOND PLATNUMZ? Aisee! Hata wewe utaniunga mkono kuwa Kizungu kimemchenga sana, huyu kaka.
huyu jamaa alishaugua uchizi cjui "strong woman" afu alichelewa kuongea na mziki ameanza kusikiliza mwaka juzi.
@zahramobne7807
6 жыл бұрын
Terrie Blieyz ww umemwona vipi yuko sawa sana pia amaeshima sana
check vidole utaniambia
@babaiteg3565
7 жыл бұрын
shukuru sbxrule cjaelewa kwavidole kuna nini
@shukurusbxrule
7 жыл бұрын
Babaite G35 mu check jamaa anavyo penya vidole inawezekana ni freemason
@babaiteg3565
7 жыл бұрын
shukuru sbxrule bas inawezekana atujihakikishii ila km kweli yupo hawaruhusiwi kukili wala kusema chochote
@shukurusbxrule
7 жыл бұрын
Babaite G35 kazi kwao siye wazidi kutuwakilisha tu
@babaiteg3565
7 жыл бұрын
shukuru sbxrule hawajiamini kumshirikisha mungu kwamaombi yamafanikio cjui muumba na iblis nani mwny uwezo zaidi
Bongo Dar ss salaam ya P.Jay, alitengeneza Masta Jay nasio P.Funk kama ulikua hujui. Tena Kagonga beat verses zisharekodiwa kitambo, na p. funk alishindwa kufanya Mixing adi Master Jay akaimaliza yote. Leo unalopoka eti hajui chochote wala humfahamu??? usipandishwe kichwa na crew yako ukawadharau uliowakuta hapo town bro. Madam umeshapata chance, Ok just do ya' own Shit...
ƙweli harmomɓio xio msani kɓc ni kioja tu nenɗa kijiji tu ɗogo
@ibrahimmbogela1107
5 жыл бұрын
Shemasi Tz wew ndo hufahi hamorapa yupo juuu
Huyo dogo akatafute pa kucheza
YAANI HUYU ANATAKIWA SHULE YA HARAKA LA SIVYO ATAILETEA AIBU KUBWA TASNIA YA MUSICIAN YA BONGO,STUPIDITY SUPER WOMAN