Harmonize na Kajala Nyuma ya Milango maandalizi ya Harusi yao yanukia Penzi Zitoo..! 😍😍😍
Ойын-сауық
#harmonize #kajala #mapenzi #jrawwtz
▶ Don't Click This Link: bit.ly/2Pg2zRU
▶ Ahsante kwa kuwa mwana familia, wa Jraww Tz kwa habari murua utazipata hapa, Ungana nasi kwa kila update zitakazo jitokeza..Subscribe Channel yetu ili usipitwe na habari zetu.
▶ Follow on Instagram: / jrawwtz
▶ Follow us on Facebook: / jraww255
▶ Note:👇
Jraww Tz, ni Channel ya habari za siasa zinazohusu Tanzania. Tunajitahidi kutoa habari zetu kwa uwazi bila kupendelea wala kwa lengo la kuchafua upande wowote kisiasa.
Tunaipenda sana Tanzania, hatutahama Tanzania kwa shida ama kwa raha
Kama huja subscribe bado, tafadhali fanya hivyo na mshauri na mwenzako pia Tufuatilie kwenye social media na application zetu hapa 👇
👉Download Game Letu Pendwa hapa: play.google.com/store/apps/de...
👉Application Bomba ya Muziki na KUdownload hii hapa:
bit.ly/3mGumqb
👉PITIA TOVUTI YETU: jrawwmusic.com/
👉VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/jrawwphoto...
👉GET YOUR VIDEO VIEWS: sprizzy.com/?ref=jrawwtz
👉TAFADHALI USISAHAU KUSUBSCRIBE KUPATA HABARI ZETU KILA MUDA/DO NOT FORGET TO SUBSCRIBE TO GET MORE VIDEOS
#JrawwTz
Пікірлер: 89
Nyie mnaosema kajara mzee, hebu subirini muwe na umli kama wake kama mtakuwa nauzuri aliyoanao kajala, aminini maneno yangu mtakuwa nyang'anyang'a yaani choka mbaya. Namsifu kwa umri wake bado anavutia sana, tena sana tu.
@getrudeshirima9524
Жыл бұрын
Yaani anavutia pamoja na umri alonao, nadhani kuwa na mtoto mmoja tu imepelekea kuonekana hivo na mazoezi pia
Mbona aonekana Mzee Sana
kajala ni mzur tuu💞💞💞 hata bila makeup
She looks so beautiful
Kajala na Harmonize walipendana sana sijui ni shetani gani aliingilia penzi lao
Kajala mzuri jmn 🥰🥰🥰
Sasa hapa ndio naona kajala mkubwa sana
Nani hatawai zeeka ....ukiamka Kila siku ujue hauko vile ulikua Jana kwa hivo muache kusema kazeeka... Amependwa na Harmonize.....
Pendaneni mpaka waumwe akina mwijaku ,hawana KAZI muda wao wanatumia kuvuruga maisha ya watu
Huyu conde akiniona mimi haki ya mungu hatomtaka huyu mama tena
@fatumafatumashariff3355
Жыл бұрын
😂😂😂😂 kbsa
hamo twakupenda broo,toa kipuli cha pua nawe kakaa,please,msalimie wifii
Kazeekaje kumbe mzee
@lailaoman3856
Жыл бұрын
😄nilijuwa nimimi tu ndo niliye muona
Mzee usoo chaa
Wew na kazeeka kazeeka...enhe ndo kapendwa na harmo...wewe na ubinti wako kila siku kuumizwaa...ata upati bwana wa kueleweka wabongo achen wivu
@Iamnia871
Жыл бұрын
Yan kama wachawi wamekazana kazeeka kazeeka wala hata hajazeeka bhn ni wivu tu unawasumbua 😏
@rosemahenge9071
Жыл бұрын
@@Iamnia871 🤣🤣🤣aaah jaman watu wasiseme ukweli Kwan uzee ni kitu cha ajabu jaman ndiyo kazeeka na asipopaka hayo madawa kichwan ana mvi kabisa na watu hawasemi kwa ubaya ila wanashangaa kumbe bila makeup ndiyo yupo hivi
@fatumafatumashariff3355
Жыл бұрын
Kbsa😂
Mbibi huyo kakomaaa
Wow amazing 😍😍😍
Mmmmmmmmm hizo ndio sura zao halisi🤣🤣🤣🤣
@rynemac99
Жыл бұрын
kwaiyo wanapendana
@nawechi4818
Жыл бұрын
@@rynemac99 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 me mwenyewe mgeni kwakweli
Heeeeeee kumbe ukiwa hujapaka mekapu unamsura mbaya ivyo Yani mzeeee kabisa
Kajala wee mzuri sana Kwa umri wake
Mmependeza bwana
Looking awesome
Kwn wpo pamoja hwa
Broo iyo pini ya pua umetoboa au umekibandika .... kama mebandia au umetoboa bc achana nacho broo akikupenzi kabisa ya dah ayo mambo tuwachie wenzetu tuuu nakukubali sanaaaaa broooo
Kumbe kizee kabisa hiki
I represent konde boi in kenya
Kumbe ndo sula mbaya Ivo😁
Ila Kajala kazeeka😭😭😭
Kajala ana shape lakini suraaa mmmmgh
Mmh mbona bibi?
Sura ngumu kama uchumi ya kenya.......mashavu yametokomea kumbe ehh..jamani make up....🤔🤔
@fatmakhanii1676
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
She got man look
@chikurashidi7085
Жыл бұрын
Amezeeka sana kaokota zoba lake
Mekup Zina inua watu🤣🤣🤣
mtoto wa KIUME vipini vya pua vya nini mbona unatangaza ushoga
kajala mbaya bila mekap mweee
safi sanaa
Wo Safi nami nd ndot yangu musician nitakuwa
Sura kama mwalimu nyerere
@claudiabakisa8052
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@fainajaffary4070
Жыл бұрын
😁😁😁
Wamefanana
Kicheko tu endelea
Mhh Ila jaman uyo c mwanao unamzaa kabisa Yani khaa unabaka
Asa una sura la kizee mzee wewe
Kajala kadhuri bhana
Kajala mtu mzima ad sura inaonyesha
@wasalimie11
Жыл бұрын
Mikono pia
Wote sura ngum
Oya broo unaowa mkweo au vp
Sura ngumu kama harmonize
Make hap nichek kwanz
Bibi kajara huyo
🥰🥺💗
mi nilijua ni macho yangu🤔
Sasa hii ndio ya manisani au msikitini
🥰🥰🥰
Uyo bibi kumbe kazeeka mikono ya kizee kabsa🗣🗣😂
@mamalaocruz9616
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@mukeshimanarashide4714
Жыл бұрын
Jamani kwaniniivo
Naona kama kajala amezeeka vile
@neemamgogo4711
Жыл бұрын
Umri namba kumpenda hivyo hivyo
@missangela6720
Жыл бұрын
Huo hata mamvi kichwani
@Ummu-Nauthar98
Жыл бұрын
@@missangela6720 mvi gani ni bandit zile khaa ‼️ kajala yye kuoaka rangi nywele n kawaida kwake, nawapenda bure harmokajala
@missangela6720
Жыл бұрын
@@Ummu-Nauthar98 😳😳😳😳
Kumbe mzee flt zambeb san
Sura kama ling'ombe
@Iamnia871
Жыл бұрын
Na utakufa maskini mchawi ww
Mvi kama zote
@Iamnia871
Жыл бұрын
Hizo sio mvi ww
Duuuuh. Kibibi icho
Kipini cha pua 4 me hamo hupendezi
@nurafedrick378
Жыл бұрын
Anamaana yake hajaeka bure wacha watusaidie mahalipengine
@chikurashidi7085
Жыл бұрын
@@nurafedrick378 mzee