HAMISA MOBETTO Afunguka "WEMA SEPETU hajawahi kunibagua/Sina mpango na Muziki"
Ойын-сауық
...........................................................
Contact Us : 0742447854
-------------------------------------------------------------------------------
Instagram rickmediatz...
---------------------------------------------------------------------------------
Facebook / rickmediatz
---------------------------------------------------------------------------------
Website www.rickmediatz.com
-----------------------------------------------------------------------------------
Пікірлер: 66
She's beautiful with or without makeup...km unampenda gonga like😗😗😗❤
She's very classic and beautiful girl❤
Mobetto ni mrembo jamani❤
You look super gooooood! mother of 2 😍😍😍😍
😃😃🥰🥰misa, mfungo umekunenepesha vixurii, ukapendeza sanaa
Alivyo sema “nimekula nimeshiba” 😍😍
Uzur unamchangnya 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂nmcheka jmn hamisa amemaster eyes contact ❤️
Kazuriiiiiiiii💕👌
Mashallah vitambaa vizur
Misa mzuri bhana ❤️❤️🙏🙏
She is super cute
Kazur ❤
Mbona hayupo comfortable
She's so cute mashaallah
Hamisa mzuri sana afu mpole
Hamisa mzuri sana jaman
@africatanzaniatours5980
Жыл бұрын
Yaan leo nimekubali , mtoto PC Kali kweli kweli
mashallah❤
Waandishi wamejipanga na Maswali maana kuna jicho wamekatwa la mwana ukome😂😂😂😂ila tz mara mingi wanapenda kuuliza maswali ya kifamilia ambayo yananyima mtu raha
Mashaallah ❤❤❤
Mbona kama leo hayuko free sana!
@sabihaibrahim143
Жыл бұрын
Wote wamesema ujinga ila wewe umeliona la kweli hana furaha analazimisha nafsi
@maryamm7765
Жыл бұрын
Apendi kuhojiwa
@agwalubifaridah7079
Жыл бұрын
Ukweli mtupu sjui yupoje
Yn hamisa anaonekana tu hapendi kamera
@beatriceyosia1459
Жыл бұрын
Ndy alishasema anaogopa kamera
Kanenepa_Mashaallah
❤❤❤❤❤love you A.M
Kazuri
That's a super women 💪
😊
❤❤❤❤❤
Hawa nao kipindi alipokua na Diamond Wema alikua hampendi Sasa ya Dai yameisha wamerudi kuwa mashoga
Yaani napenda huyu dada sana
She looks nervous and distracted
Hamisa ww mzuri Sana na ulikuwa na rangi nzuri ya chocolate, ila kule kubadilisha ngozi ndio ulinikeraaaaa.. au lzm ukiwa msanii lzm uwe mweupe..
@annajulius9940
Жыл бұрын
Afu kana anamakasiriko mtizame na majibu yake
@neemaneykisanga
4 ай бұрын
Unajua watu hawajui kama kuna rangi unakua nayo ambayo siyo yako pia tafuta hela utanielewa ila kama hunz hela huwezi elewa utanungunika tu kua watu hawana rangi zao😅
Umenenepa
Kama hayuko sawa maana mmh
Anajifanyisha
Hamisa naomba namba zako kuna jambo nataka nikuulize
@HelenahSian-hl5ue
Жыл бұрын
Anglia page yake ya Mobetto style hapa ni ngumu kusoma comment na pia hawezi kukutafuta hapa
Hamisa mzuri sana
@maryamtanzania9743
Жыл бұрын
Ili mjue mashabiki ni wanafiki wenzenu wako pamoja
❤, 🇰🇪
Nimrembo kwel
Akijipost mbona hayo mashavu hayaonekanagi😂😂😂😂😂
@daruzein
Жыл бұрын
Na mie najiuliza sura hii sio tunayoinaga kwenye page yake
@hanifahanifa1010
Жыл бұрын
Mbonq mzuer TU dada watu
Naogopa saana Kemeraa
Mmmh leo anaongeaje cjamuelewa
Mbona lei kapoa sawa
Huyu hamisa SI miss tz....wema ndio mid tz mbona anajilengeleza ama juu ameona diamond hapo 😂😂😂😂😂
@baibe...rino..
Жыл бұрын
@Boss Lady 🤣🤣🤣🤣wewe fala nini kwani haujaona chibu
Kijuso kama kisheti
@nailaomar4810
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@israelkisaila8401
Жыл бұрын
Khalsa salim😂😂😂😂😂
@n7428
Жыл бұрын
Mbona umeanza uchawi mapema sana Lol
@najmasaid7057
Жыл бұрын
Usimkosoe mungu
Leo Mbona namuona tafauti
@hanifahanifa1010
Жыл бұрын
Kapoa
Leo umbayaaaaaaa
Why is her mouth kind of twisted
Hamisa uliiga kuongea mpaka ukajua Earth is hard Wacha kujivuruta weee kibibi be yourself bana hakuna mtu anakuataka Kwa sahii
@wardahalgerery5955
Жыл бұрын
Truee anaiga someone anajibadilisha haswa mdomo