HAMISA MOBETTO Afunguka DIAMOND kumsusia MTOTO/ Kutotoa HUDUMA/Kupewa Gari na Mpenzi wake
Ойын-сауық
Kwa mara ya kwanza Hamisa Mobetto amefunguka tetesi za Baby Daddy wake Diamond Platnumz kumsusia mtoto.
...........................................................
Contact Us : 0742447854
-------------------------------------------------------------------------------
Instagram rickmediatz...
---------------------------------------------------------------------------------
Facebook / rickmediatz
---------------------------------------------------------------------------------
Website www.rickmediatz.com
-----------------------------------------------------------------------------------
#HamisaMobetto #DiamondPlatnumz
Пікірлер: 144
Kama unaona sauti inasumbua refresh Simu yako
@Jflavour
Жыл бұрын
Xawa mdam
@husseinofficial3955
Жыл бұрын
Daah kweli ume sema kweli ! ahise ina sumbua sometimes
@maujanjatv24h41
Жыл бұрын
Sauti inasumbua hakuna cha kurefresh wala nini
@Swahili14
Жыл бұрын
Acheni ujanja account yenu mbovu🌚
@zaydelabay9776
Жыл бұрын
@@maujanjatv24h41 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 turefresh imekuwa app ya mange
Hivi ni mimi pekee yangu napendaga kumsikiliza huyu dada au tupo wengi aki anajua anachokifanya....Watanzania tumebarikiwa kuwa na huyu mlimbwende🤩😍❤️
@twiseghekisilu8845
Жыл бұрын
Yupo vizuri anajitambua sana
@bahathmuro7145
Жыл бұрын
Nampenda sana
Hamissa kaonewa mno...na mafanikio ni kero kwa wengine..nakuombea kila la kheri . You are a strong lady mashallah
Safi Sana bby girl, mapenzi ya public utaendeshws km gari bovu. Endelea na msimamo wako. Nimefurahi uko smart ktk majibu yako. Endelea kupambana na Mungu akulinde wewe na familia yako.
Nakupenda hamisa manshallah ❤️
With confidence good hamisa
Respect for Hamisa, "Mimi ni Mama"
Safi sna Hamisa , unamajibu yenye hekima
Just love u hamisa from kenya
Congradulations dear keep it up dear you are doing well 😊 👍
Mashalaah.. majibu yako yako vzr
Hamisa you're a super woman
Woooooow you are brilliant 💕
Hamisa zaa tu kwasababu wewe ni mtoto mmoja hao watoto wako ndio ndungu zako wanao sema yule sio mama yako wanawivu kwasababu mama yako anaonekana bado mdogo,
@khamisally9559
Жыл бұрын
Azae kupitia huo umalaya wake au? Mitoto ya haramu mitupu.
Ila wanyarwanda ni wazuri sana.
Very nice talking Mobeto,,unajielewa Sana dear keep it up achana na hao wanaojionesha Leo kesho wanaachana
This lady is the best pretty lady from all of diamond
Smart woman 👌🏽😊
Kweli mapenzi ya public siyo poa sana siyo kama wale wenye mapenzi ya public kama wale ambao wanaonaga haitoshi wakaweka na mabango yawezekana ikawa ni ushamba ikitokea mmeachana muweke na mabango ya kuachana kwa ababu si mbapensa mapenzi ya public umewasikia wenye akili wanakuambia hawana mapenzi ya kujionyesha
Nakupenda bure Hamisa. Allah kakujalia kauli poa
Smart girl 💗❤
She is very brilliant
Huwezi kuongeza sababu ya kuleya. Kulea ni kazi Mmmm.
Majibu yako missa mashallah
Mimi. Namuombea dua aolewe kwan yote hayo mitihani tu namuhurumia tu.
Yuko social good hamisa i like
Wewe una akili sana Mashaallah lzm uweke heshima kwa watoto wako sio zari mama wa ovyo
@malianonicass7029
Жыл бұрын
We usijifananishe na Zari kakuzidi Kila kitu harafu bonge la mama
@mohammadoman8963
Жыл бұрын
@@malianonicass7029 mama gani asiyekuwa na tabia mama lina watoto wakubwa anatakiwa kujiheshimu ahemuka tu na kiben 10 anawafundisha nini watoto wake?
Ķwa kweli uko vizuri
Unajibu maswali vizuri Sana 👍
Hamisa and wengine kumbukeni kuna UKIMWI. ila pole keako ma kwa huyo mkaka wa watu
Nakupenda we mdada hadi basi
Je t'aime beaucoup
Aisee
Hamisa💟💟💟💟
She is the sweetest
@zenahyusuf46
Жыл бұрын
You can say that again😍
@pillymcharo9855
Жыл бұрын
Mm mwenyewe nampenda sn hamisa na hata nikisia mtu anamsemaga vibaya napagawa mnoo nampenda sn uyu bint
Amefanana na anjela kuongea
Mitano tena kwa hamisa
umekuwa Hamisa Hongera
@cherylcheryl7694
Жыл бұрын
Haswaaaaa
Yupo wengi
Hamisa maneno yako ni ya maana sana.
Tupambane hamisa watoto hawachelewi kukua tuwaache na Vicent vyao siyo wewe tu nimekupenda tupo wengi
mungu akulinde
Mrs juagar
Si umesema baba watoto wako ndio wamekupatia
Sauti vip 😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏
Brother diamond kapoteza sanaaa.
Ckia..dada..angu..tubili..akimaliza..miti. huja. Mailin..hichi..kisikukoseshe..amani. hawakuazia..hapo.waliaza.mbali..sana. Hao.. kesho.watakwambia.mwegine..nigependa.kam.ugenyamaza.kam.hakuna Kilichopita..tu.nibora.yako.maisha.yanaendelea..tu
I like u
Tupooooo
umesema kweli
Sauti mnaua vyb🤧
Kama mnavyofaham 🍹
Ila bodyguard uko nyuma wueh nani kamchokoza jamani
@noraancellin6138
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
C mpenz mzinifu mwenzio
He is the bestest 😂😂😂😂😂duuh
@mwanaishaabubakar5013
Жыл бұрын
She is...
Unaokopa kusemwa duhhh sababu umekaliya kuchukuwa mabwana wawatu.
@maujanjatv24h41
Жыл бұрын
Umetumwa?
@cherylcheryl7694
Жыл бұрын
Bwanako kapotea?
@deborahnyamondo9990
Жыл бұрын
kwani hawaezi kataa hao mabwana
@joyobango4602
Жыл бұрын
Hakuna bwana ya mtu nonsense
Those cheek bones. Age is catching up with her
@cheupestefano5424
Жыл бұрын
I thought I was the only one who saw her cheeks show she is aging
@kassiAmos
Жыл бұрын
Unfortunately we will all age 😂😂😂
Vipi rich Ross waliachana au???
Uongo bwana kwahiyo ata hukumbuki ulikua ulikua wapi au kwenye event duuh ..na yule uliekua unatoa video zake akiwa amelala au ulikua unamkomesha zari, kwahiyo diamond alikwambia mzae mmmm
@maryikwabe3368
Жыл бұрын
Juu ww unaujua ukweli sitwambia basi aliyeinunua nani uko na majungu dada tulia yeye at least ako na hiyo ya kupewa au ya kujinunulia ww uko na gani? Wacha wivi ikifika mtu ako na chuki na mwizako kama amefanya vizuri wacha apewe hongera zake
@subirahamis7412
Жыл бұрын
Makasiriko 😂
No voice
Aki loe umeogia ukweli kabisa hamisa
usipende kuchukua wanaume za watu
At least hamisa anajiheshimu you keep your relationship secret
@khamisally9559
Жыл бұрын
Kujiheshimu ndio huku kuzaa nje ya ndoa? Hakuna lolote hapa ni umalaya tu.
Umeacha lin kujitangaza au baada ya kusemwa na mange
Uongo mbona Rich Rose mbona ulimtambulisha adharani duniani
Wakarim wawapi wakati wanaua wa congo
@Noah-se3ni
Жыл бұрын
Kweli Kabisa 😂🤣🤣🤣🤣😂😁🤣
@michaelbenson1802
Жыл бұрын
Uyu dd hawajui vizuri ao watu
@Noah-se3ni
Жыл бұрын
@@michaelbenson1802 Kweli Kabisa unachokisema 🤣🤣🤣🤣😁😂🤣
@michaelbenson1802
Жыл бұрын
@@Noah-se3ni ndo ivo kk
@p30lites46
Жыл бұрын
Unajua wanyarwand walo jazana rwanda acha kupotosh watu khaa
Mwanamke huyu kachanganyikiwa hivi mwanaume anaweza kupata mtoto bila KUOA?
Sura yake sasa....🏃♀️🏃♀️
@modrinmaufi9142
Жыл бұрын
Weka yako tuone bwa wewee
@faiththawe4371
Жыл бұрын
Mitaya kama mizizi ya muwa
sauti jamani wandishi
Card umepewa au ufunguo tu unakutosha
@maujanjatv24h41
Жыл бұрын
Na wewe unatak upewe card?
@zenahyusuf46
Жыл бұрын
Wataka card pia au
Haka kadem ni karembo
Acha uwongo ww mbea Mkubwa ww mbona mondi uku ficha
@joyobango4602
Жыл бұрын
Hater
@janembanga2138
Жыл бұрын
Tena alimwambia asimuseme kama ni yeye mpaka amununulia gari, lakini yeye alishindwa 🤪
@subirahamis7412
Жыл бұрын
Hater😂
She gifted herself with a car 😂😂😂
@kassiAmos
Жыл бұрын
At least she's able to gift herself what about you 😂?
Vigwegwe wameshajibiwa
@cherylcheryl7694
Жыл бұрын
Wamefikishiwa salamu hahhaha
Bona la simba ulisema hazalani hukuficha
@lareineminah1353
Жыл бұрын
Alisemaa baada ya myaka 9 Nakupatikana kwa mtoto
@modrinmaufi9142
Жыл бұрын
@@lareineminah1353 usimjibu huyo chizi na committee yake ya kijinga
@lareineminah1353
Жыл бұрын
@@modrinmaufi9142 sawa
@janembanga2138
Жыл бұрын
Mama dangote alikuja kuona mtoto ukamwitia wandishi usifikirie tumesahau
porojo tu muna jifanya wahindi muna andika hapa kitu kingine muna andika kingine mafala huyo hamisa hana uzuri wowowte wala hana weupe amitumiya madawa yakuwa mweupe mwa mbiye atowe pecap uta kimbiya hahaha
@fatumagidion5076
Жыл бұрын
Kajifunze kwanza kuandika😂😂😂
@zenahyusuf46
Жыл бұрын
Waeza tumia madawa pia mama..a woman hating on another woman🤨 shame on you😏
@giftyabdallah2251
Жыл бұрын
Watu mnamakasiliko duuhhh
@shimii3662
Жыл бұрын
Are you okay??
@mahijjaeidi9144
Жыл бұрын
Naww tumia
Umerizika bado huja rizika nyoooo .unaona aibu. Hivi leo ndo umekuwa na akili . Ulitaka kulingana na ZARI . subutu huwezi
@zenahyusuf46
Жыл бұрын
Unatukana mtu ambae hakujui🤣🤣🤣 mtu ambae amekushinda zaidi ya elfu na mia,,huna aibu wewe😂
@modrinmaufi9142
Жыл бұрын
Wewe unalingana nani kiuchumi umekaa kutukana walio kuzidi mchawi mkubwa wewe
@deborahnyamondo9990
Жыл бұрын
Sasa aje na miaka zao hazitoshani wewe huoni zari ni Rika ya mama yake
@elizabethwanyonyi5477
Жыл бұрын
Y bitter words towards her? Take a chill pill and leave this lady alone.. Go to hell
Huyu Domo aka diamond baba east Africa amuheshimu huyu Binti kulingana na majibu yake ameonyesha kuwa anaheshimu deadbeat dad na hataki kumuazirisha
@freelancer6368
Жыл бұрын
Ukiwa sidechick utakuwa na heshima gani watu wa one night stand? Ajue nafasi yake.. diamond hajaomba heshima kwa pugi she can talk whatever for all he cares
@michilita2959
Жыл бұрын
@@freelancer6368 stop being stupid did she or he tell u it was alone night stand km hujuwi nyamaza hao waliishi nyumba moja
@michilita2959
Жыл бұрын
@@freelancer6368 I think ur amale n if ur awoman be sure to fit in her shoes she was there to this idot called diamond growing from nothing ulizia history Yao uambiwe
@freelancer6368
Жыл бұрын
@@michilita2959 Nyumba ganiii? Her situationship stopped at one night stand which led to accidental pregnancy
@michilita2959
Жыл бұрын
@@freelancer6368 pliz get something else u DNT know her plus the story I wish angekuja akakupea prove
MUNGU NISAMEHE HUYU MTOTO NI WA JAGOUR YULE MBUNGE WA KENYA. AMEFANANA NA WATOTO WA MHE HATA SISI TULIENDA TEMBELEA BUNGE LA KENYA ALITUELEZA KUWA NISALIMIENI MTOTO WANGU
@NS-ru1yf
Жыл бұрын
Hahaaa! Doh,unamkasirisha Simba jaman