HALI ILIVYO MBEYA; POLISI WAKICHAFUA WAKILI MWABUKUSI NA MDUDE WAJIFICHA, MAANDAMANO YASITISHWA

Пікірлер: 38

  • @estherwigfall2558
    @estherwigfall25589 ай бұрын

    😊nimependa kuona polisi wakiandamana mwambukusu oyeeeeee😄😄😄😄😄

  • @MiriamAbdallah
    @MiriamAbdallah9 ай бұрын

    Duuu nimeipenda police kuanamani badala yetu wapumbavu nyee

  • @SundaySteven-bz4yq
    @SundaySteven-bz4yq8 ай бұрын

    Hawana kazi

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole74389 ай бұрын

    kwa Mkoa wa Mbeya ccm muache kazi mfanye kazi kuupata huko Mkoa hapo mpaka kieleweke

  • @batwelimahenge7850
    @batwelimahenge78508 ай бұрын

    Serikali kunani mnacho ongopa jibuni hoja Mandamano ya amani jeshi la polis balabalani mnaongopa Nini?????

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole74389 ай бұрын

    kwanini serikali inaogopa swala hili mama aliruhusu mwenyewe vyama vya upinzani vifanye mqandamano

  • @zabronmwaipungu2212
    @zabronmwaipungu22129 ай бұрын

    Hahahaha, hii bdo Tanzania bwana. Polisi wachukuliwe hatua kwa kuandama wao na kuleta taaruki Katika jiji la mbeya waende mpaka nchi za nje waliko andamana

  • @finesiakwimba7664
    @finesiakwimba76649 ай бұрын

    Asante police kwa kuandamana kwa niaba yetu hata nyie Mambo ya rasilimali za Tanzania yanawahusu kwani nyie mko ulaya?maisha magumu yanawahusu pia.

  • @eleonorabokewarioba4420
    @eleonorabokewarioba44209 ай бұрын

    Police wote waoga wanaandama kwa niaba ya wanainchi, kwani awajiamii ndo maana wanatumia silaa

  • @margarethpolepole7438

    @margarethpolepole7438

    9 ай бұрын

    wanawatishia watu wazima nyau waruhusu tu ndani ya katiba imo ameruhusu mama sasa jasho linantoka alimuita hayati magufuli dikteta Simva wa Yuda sasa anachofanya nini haloooo ya ccm kazi inaendelea

  • @privatuskatabalo9617
    @privatuskatabalo96179 ай бұрын

    Bola useme redio. Maana unaita tv halafu matangazo kama rtd........?

  • @mohamedismail1376
    @mohamedismail13769 ай бұрын

    Hiyo pia ni maandamano ni ujumbe pia

  • @nikodemmwahangila3334
    @nikodemmwahangila33349 ай бұрын

    Saafi police wetu sasa wangejalibu waone kichapo asante wanambeya kwa kuenderea na kazi

  • @user-pf5zs6nm4n

    @user-pf5zs6nm4n

    9 ай бұрын

    Mijini tuu nyie

  • @elibarikipeter

    @elibarikipeter

    8 ай бұрын

    Afu wewe jamaa ninamashaka na wewe Kama sio shoga mbona una Mambo ya kidada namna hiyo najua asali ulioilamba imekulewesha na umechizika wewe kenge huujion tu

  • @SarahShao-jw1up
    @SarahShao-jw1up9 ай бұрын

    Hiv Hawa police wanaishi wapi?!! Bandari haiwahusu? Mbona ni maskini tu wakutupwa!!!

  • @user-bf7pr3wg9h
    @user-bf7pr3wg9h9 ай бұрын

    Kuwepo kwa polisi wengi ni ishara kwamba labda na wao wanaandamana kuunga mkono,maana waziri hakujibu hoja ni ishara kwamba amekubaliana nao sauti ya watanzania.

  • @samweljames8947
    @samweljames89479 ай бұрын

    Mimi huku tunduma nimevaa nguo neupe

  • @aliyageorge6794

    @aliyageorge6794

    9 ай бұрын

    Safi sana ! Hongera... ✌️🇹🇿

  • @user-jf2gp7wb9i
    @user-jf2gp7wb9i9 ай бұрын

    Huyo mkuu wa mkoa Mungu anamuona km kweli anadai hajui kinacho endelea hii dunia niya Technology cheo ni dhamana ipo siku atawekewa crip zake

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa61599 ай бұрын

    Tanganyika hatuna bolice Kuna maccm kijani ipo siku yenu

  • @ruwaichijoseph5946
    @ruwaichijoseph59469 ай бұрын

    Muone jinsi askari wasivyojitambua na watawala wake ccm vilaza tupu

  • @FloridaAdelinus
    @FloridaAdelinus9 ай бұрын

    Ukiona hivyo ujue kuwa Polisi nao wanaandamana kupinga pesa zao za kufa na kuzikana kupigwa na vigogo wa polisi. Pia wao wanaandamana kupinga IGA bila mabango.

  • @aliyageorge6794
    @aliyageorge67949 ай бұрын

    Polisi wanatumika! Wangewaacha wananchi waandamane, where is the democracy in Tanzania?

  • @usafiaps318
    @usafiaps3189 ай бұрын

    Hawawezi Kuzuia Fikra.Tanganyika,Katiba Mpya, Bandari Zetu .Tutazidai Mpaka Ieleweke

  • @mwanagwakyala3213
    @mwanagwakyala32139 ай бұрын

    Mwabukusi ana akili sana amepima jinsi gani tulivyowatumwa

  • @jacquelinechundu1197
    @jacquelinechundu11979 ай бұрын

    Wote hao police na ccm yao ni vilaza mavi

  • @gadafsalum8042
    @gadafsalum80429 ай бұрын

    Wangepambana wakawa musitari wambele

  • @isaacmwaseba9972
    @isaacmwaseba99729 ай бұрын

    Tafuteni ela haya yote hutayaona. Lisu yupo marekani mbowe yupo na familia yake alafu wewe hujulikani hata herufi ya jina unapeleka poa yako. Tulikubaliana familia zao ziwe mbele ndio wafuate ndugu zetu cha ajabu wamejifungia wanasema eti polisi wamezingira nyumba ya mwabukusi mbona kwa mdogo wake hamna polisi si aende barabarani sasa.

  • @zabronmwaipungu2212

    @zabronmwaipungu2212

    9 ай бұрын

    Mpumbavu kwani walikwambia maandamano haya ni ya Lisu au Mbowe mitanzania mingingine sijui mkoje kwa kweli mmerogwa nani nyie. Sasa huoni kuwa polisi ndo wameandamana hspo.

  • @isaacmwaseba9972

    @isaacmwaseba9972

    9 ай бұрын

    @@zabronmwaipungu2212 msenge wewe unaposema maandamano ya watanzania wao umeona ni wakenya mbwa wewe usijifanyi unauchungu sana na nchi wakati familia yako yenyewe kila siku migogoro tu unashindwa kutatua. Tena usirudie kunijibu jibu kijinga fala wewe. Oohoo maandamano polisi wameandamana na ndio tulitaka iwe hivyo wenye ubavu tu ndio waonekane barabarani nyie wavaa pumpus kaa kwenu ukinywa uji.

  • @bongo39
    @bongo399 ай бұрын

    Imekuaje tena wamejufucha nyie sii vidume ingiza mguu mnataka kuwatia watu kafara waingie wao nyie mkae pembeni wacheni jana yenu

  • @isaacmwaseba9972

    @isaacmwaseba9972

    9 ай бұрын

    Wamenikela sana waandamnaji nimelipia kifurushi nione wanavyotandikwa wao nao wamekaa nyumbani na familia zao pumbavu sana waandamanaji waoga.

  • @isaacmwaseba9972

    @isaacmwaseba9972

    9 ай бұрын

    Hivi sisi tuangalie GAZA tu na tulisubili tuone mwabukusi na mdude wanavyotandikwa live. Maana mdomo mwingi vitendo sifuri. Mbowe kakaa pale anawaangalia tu waandamanaji waoga.

  • @charleslukumai7875

    @charleslukumai7875

    9 ай бұрын

    ​@@isaacmwaseba9972umejikera mwenyewe kama huyaoni hayo maandamano ya.polisi. Hata mbunge Mpina jana aliunga kwa kuelezea wazi bungeni ufisadi ulionpo ndani ya mkataba wa DPworld. Amka, wewe uliyelala.

  • @charleslukumai7875

    @charleslukumai7875

    9 ай бұрын

    Wewe ni mjinga au kipofu? Hao polisi hapo siyo waandamanaji?

  • @isaacmwaseba9972

    @isaacmwaseba9972

    9 ай бұрын

    @@charleslukumai7875 ndio mlitaka hizo akili zitumike kuandaa mkataba wa bandari duuu afadhari Mungu katuepusha na akili zenu. Eti nitamkamata ocd mbele ya vijana wake hata getini umedhindwa kutoka.

Келесі