HALI ILIPOFIKIA KWA ALIYEFANYA MAUWAJI YA MKE NA MUME.
Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
#Habari #Zanzibar #KtvTzOnline
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
cc: Sadia Rashid
cc: Masoud Maganga
Пікірлер: 38
Amen.pole Sana Mzee. Dunia yaitaji Maombi ili watu wamrudie Mungu dunia iwe na Amani.
Atakimbia Duniani lkn ipo siku ya hukmu Kwa Allah itakuwa hana pakukimbilia Inshaallah
Inasikitisha na inaumiza lakini hakim yupo aliye kuwa hasinzii hali wala hanywi namuomba allah awajaliye pepo ya hali ya juu na wafiwa allah atakujaliyeni subra
ASANTENI NYOTE KOO MZIMA YA KTV TZ ONLINE HAKIKA HII NI FAHARI YETU 👍
INNA LILLAH WAINNA ILAIHI RAJIUN ALLAH AWAJAALIE WAWE WAJA WEMA WA PEPONI SOTE NI WAJA WA MUNGU NA KWAKE TUTAREHEA
M/Mungu ndie mwenye kushuhudia yote hayo na ndie mwenye kujuwa nani alolifanya tendo hilo la mauwaji na ushahidi wote utapatikana siku ya Hukmu
@hassanmfaume4522
5 жыл бұрын
Samsung Jseven Prime hapahapa kwanza ili walipe kisasi cha marehemu..!
@samsungjsevenprime5717
5 жыл бұрын
@@hassanmfaume4522 ndio kweli hivo hapa hapa lkn ndio hajaonekana Ila Allah ndio kashamuona
Innalilah wainailah rajiun poleni wafiwa Allah awapeni subra
Innalillahi wainnailayhi raajiuun Allah awalaze pema .mwenye kuhukumu ni Allah ..ata msihangaike na serekali haina lolote tumewachoka yaani ovyo sana.
Mungu awajaalie wawe Waja Wa peponi
kila nfsi itaonja mauti nae ipo siku atakufa tuu ataikimbia setekali ila hana ujanja wa kumkimbia allah ataona mbele ya hakki
Wazanzibar tulokabidhiwa kazi za watu lazma tufike pahali tujielewe. Haiwezekn mauaji tangu november haDI Leo hajaonekanwa mhalifm
ALLAH NDIO HAKIMU WA HAKI,ALLAH AWAREHEMU
Allah awape moyo wa subra
😮😢😢😢😮😢😮😮Hiii ni mtihani walah😢
Inasikitisha sana!.....Serikali ifanye kazi yake haya majitu yenye roho mbaya namna hii yapatikane na kukomeshwa kabisa.
Innalillah wainnailaihi rajiun
SHUKRAN KTV TZ ONLINE HAKIKA HII NI FAHARI YETU
@zayyatiyussuf9566
5 жыл бұрын
KAKA MASOUD USO KWA MACHO. ALLAH AKULIPE KHERI ZAKE WW PAMOJA NA KOO ZIMA YA KIDOTI MANA YATAKA MOYO.
Anaonesha muuwaji sio ACT WAZALENDO.angekuwa ndani zamani sana
Innalillh polenn
Sambazeni picha kwenye magazeti wazanzibar tusiwe wavivu kupita kias yani hii serikali ya zenji inatia hasira
Innallillahi wainnaillaihi rajiun. Jamani. Mola atusitiri.
Zanzibar hakuna viongozi mnasema mtu yupo aliefanya mauaji tena hayupo mbali kwann mushindwe kumkamata et tena wanaregeza saut yupo ununio daah
Hiii iliniskitisha ni tamaa yapesa inavosemekana aliuza uwanda akapata milionikadha hatimae wameuwa pesa hawajapata hii inasemekana sinauhakika no lisikia story wakihadidhia
Mtoeni picha zake magazetini atapatikana tu acheni uvivu wa kazi
Hivi hili jeshi la pilisi linafaida gani, kuwepo Zanzibar, ni upuuzi mtupu, maana kesi za Zanzibar ndio hizo kwa hizo kila siku jeshi la polisi linashindwa kufuatilia na linapofuatilia linaishia njiani. Waache Zarau jeshi la polisi, hivi kweli Zanzibar hii inaukubwa gani kwamba muhalifu washindwe kumshika, wao kila siku upelelezi unaendelea wapumbavu wakubwa.
Poleni saana
Innalilah wainna ilayh ragioun
Majani marafiki si watu wazuri
sasa hakuna chochote hata utafiki wa vyao za vidole? ina maana bado hatujaendelea kimaendeleo
Mmmh kakimbia OK huko alipo nae afe kinyama shenzi zake
Malipo duniani akhera hesabu
Serikali ni jukumu lenu. Jiulizeni Zanzibar ambayo ilikuwa pepo ya Dunia leo ni moto wa Dunia. Kulikoni Waasis?
Hii familia inatia huruma
@aishakhamis2996
5 жыл бұрын
Kabisaa but mungu atawaidia...
Kuna mbinu nyingi sana za kuwakamata wahalifu na aina hii lakini hii Serikali ya Z'bar si Serikali tendaji, is just wanataka na wao waitwe Serikali tu ila hakuna utendaji kiukweli.