HALI ILIPOFIKIA KWA ALIYEFANYA MAUWAJI YA MKE NA MUME.

Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
#Habari #Zanzibar #KtvTzOnline
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
cc: Sadia Rashid
cc: Masoud Maganga

Пікірлер: 38

  • @johnmaiyo7384
    @johnmaiyo73845 жыл бұрын

    Amen.pole Sana Mzee. Dunia yaitaji Maombi ili watu wamrudie Mungu dunia iwe na Amani.

  • @samsungjsevenprime5717
    @samsungjsevenprime57175 жыл бұрын

    Atakimbia Duniani lkn ipo siku ya hukmu Kwa Allah itakuwa hana pakukimbilia Inshaallah

  • @altafabdulla7742
    @altafabdulla77425 жыл бұрын

    Inasikitisha na inaumiza lakini hakim yupo aliye kuwa hasinzii hali wala hanywi namuomba allah awajaliye pepo ya hali ya juu na wafiwa allah atakujaliyeni subra

  • @samsungjsevenprime5717
    @samsungjsevenprime57175 жыл бұрын

    ASANTENI NYOTE KOO MZIMA YA KTV TZ ONLINE HAKIKA HII NI FAHARI YETU 👍

  • @samsungjsevenprime5717
    @samsungjsevenprime57175 жыл бұрын

    INNA LILLAH WAINNA ILAIHI RAJIUN ALLAH AWAJAALIE WAWE WAJA WEMA WA PEPONI SOTE NI WAJA WA MUNGU NA KWAKE TUTAREHEA

  • @samsungjsevenprime5717
    @samsungjsevenprime57175 жыл бұрын

    M/Mungu ndie mwenye kushuhudia yote hayo na ndie mwenye kujuwa nani alolifanya tendo hilo la mauwaji na ushahidi wote utapatikana siku ya Hukmu

  • @hassanmfaume4522

    @hassanmfaume4522

    5 жыл бұрын

    Samsung Jseven Prime hapahapa kwanza ili walipe kisasi cha marehemu..!

  • @samsungjsevenprime5717

    @samsungjsevenprime5717

    5 жыл бұрын

    @@hassanmfaume4522 ndio kweli hivo hapa hapa lkn ndio hajaonekana Ila Allah ndio kashamuona

  • @zayyatiyussuf9566
    @zayyatiyussuf95665 жыл бұрын

    Innalilah wainailah rajiun poleni wafiwa Allah awapeni subra

  • @shamsahaji6202
    @shamsahaji62025 жыл бұрын

    Innalillahi wainnailayhi raajiuun Allah awalaze pema .mwenye kuhukumu ni Allah ..ata msihangaike na serekali haina lolote tumewachoka yaani ovyo sana.

  • @nassorsalim2807
    @nassorsalim28075 жыл бұрын

    Mungu awajaalie wawe Waja Wa peponi

  • @fatmakhamis1018
    @fatmakhamis10185 жыл бұрын

    kila nfsi itaonja mauti nae ipo siku atakufa tuu ataikimbia setekali ila hana ujanja wa kumkimbia allah ataona mbele ya hakki

  • @achiwaseif8592
    @achiwaseif85925 жыл бұрын

    Wazanzibar tulokabidhiwa kazi za watu lazma tufike pahali tujielewe. Haiwezekn mauaji tangu november haDI Leo hajaonekanwa mhalifm

  • @mamawa3mamawa321
    @mamawa3mamawa3215 жыл бұрын

    ALLAH NDIO HAKIMU WA HAKI,ALLAH AWAREHEMU

  • @zainabhassan1514
    @zainabhassan15145 жыл бұрын

    Allah awape moyo wa subra

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 Жыл бұрын

    😮😢😢😢😮😢😮😮Hiii ni mtihani walah😢

  • @abdulkareemchacha2625
    @abdulkareemchacha26255 жыл бұрын

    Inasikitisha sana!.....Serikali ifanye kazi yake haya majitu yenye roho mbaya namna hii yapatikane na kukomeshwa kabisa.

  • @saeedmassoud256
    @saeedmassoud2565 жыл бұрын

    Innalillah wainnailaihi rajiun

  • @zayyatiyussuf9566
    @zayyatiyussuf95665 жыл бұрын

    SHUKRAN KTV TZ ONLINE HAKIKA HII NI FAHARI YETU

  • @zayyatiyussuf9566

    @zayyatiyussuf9566

    5 жыл бұрын

    KAKA MASOUD USO KWA MACHO. ALLAH AKULIPE KHERI ZAKE WW PAMOJA NA KOO ZIMA YA KIDOTI MANA YATAKA MOYO.

  • @asfarsham9037
    @asfarsham90375 жыл бұрын

    Anaonesha muuwaji sio ACT WAZALENDO.angekuwa ndani zamani sana

  • @fatmamohamed1099
    @fatmamohamed10995 жыл бұрын

    Innalillh polenn

  • @hildababyabdullah5627
    @hildababyabdullah56275 жыл бұрын

    Sambazeni picha kwenye magazeti wazanzibar tusiwe wavivu kupita kias yani hii serikali ya zenji inatia hasira

  • @shammoha5297
    @shammoha52975 жыл бұрын

    Innallillahi wainnaillaihi rajiun. Jamani. Mola atusitiri.

  • @idirisaally9936
    @idirisaally99365 жыл бұрын

    Zanzibar hakuna viongozi mnasema mtu yupo aliefanya mauaji tena hayupo mbali kwann mushindwe kumkamata et tena wanaregeza saut yupo ununio daah

  • @zainasoud7164
    @zainasoud71645 жыл бұрын

    Hiii iliniskitisha ni tamaa yapesa inavosemekana aliuza uwanda akapata milionikadha hatimae wameuwa pesa hawajapata hii inasemekana sinauhakika no lisikia story wakihadidhia

  • @mariamfaki1166
    @mariamfaki11665 жыл бұрын

    Mtoeni picha zake magazetini atapatikana tu acheni uvivu wa kazi

  • @mavumbamavumba1927
    @mavumbamavumba19275 жыл бұрын

    Hivi hili jeshi la pilisi linafaida gani, kuwepo Zanzibar, ni upuuzi mtupu, maana kesi za Zanzibar ndio hizo kwa hizo kila siku jeshi la polisi linashindwa kufuatilia na linapofuatilia linaishia njiani. Waache Zarau jeshi la polisi, hivi kweli Zanzibar hii inaukubwa gani kwamba muhalifu washindwe kumshika, wao kila siku upelelezi unaendelea wapumbavu wakubwa.

  • @sadakhamis1261
    @sadakhamis12615 жыл бұрын

    Poleni saana

  • @galayagalaya48
    @galayagalaya485 жыл бұрын

    Innalilah wainna ilayh ragioun

  • @ankallypandu7648
    @ankallypandu76484 жыл бұрын

    Majani marafiki si watu wazuri

  • @belgieboys9867
    @belgieboys98675 жыл бұрын

    sasa hakuna chochote hata utafiki wa vyao za vidole? ina maana bado hatujaendelea kimaendeleo

  • @ashamecky7772
    @ashamecky77725 жыл бұрын

    Mmmh kakimbia OK huko alipo nae afe kinyama shenzi zake

  • @khalifanassor5349
    @khalifanassor53495 жыл бұрын

    Malipo duniani akhera hesabu

  • @salimharrasy7047
    @salimharrasy70475 жыл бұрын

    Serikali ni jukumu lenu. Jiulizeni Zanzibar ambayo ilikuwa pepo ya Dunia leo ni moto wa Dunia. Kulikoni Waasis?

  • @sadakhamis1261
    @sadakhamis12615 жыл бұрын

    Hii familia inatia huruma

  • @aishakhamis2996

    @aishakhamis2996

    5 жыл бұрын

    Kabisaa but mungu atawaidia...

  • @ussikhamisussi4882
    @ussikhamisussi48825 жыл бұрын

    Kuna mbinu nyingi sana za kuwakamata wahalifu na aina hii lakini hii Serikali ya Z'bar si Serikali tendaji, is just wanataka na wao waitwe Serikali tu ila hakuna utendaji kiukweli.