HAJI MANARA AINGILIA KATI UGOMVI WA MO DEWJI NA MANGUNGU AMUOMBA HERSI AINGILIE KATI / WATAUWANA

Спорт

MAKAVU YA HAJI MANARA ATEMA NYONGO KWA MO DEWJI AMBEBA MANGUNGU | AOMBA HERSI KUINGILIA KATI
#hajimanara #hersi #simbasc #yanga

Пікірлер: 274

  • @user-ox4fv4cf5l
    @user-ox4fv4cf5lАй бұрын

    Manara unawambia ukweli unaouma,maana hata mh.Rage alishawahi kuwaambia kwamba Mangungu yupo pale kama mfungua na mfunga vikao tu...

  • @user-rf7ni6tr2o
    @user-rf7ni6tr2oАй бұрын

    Duuuu ukifiiria sanaaaa kiundani kamaaaa Kweri vireeeeee

  • @simonIbrahim-hc8vm
    @simonIbrahim-hc8vm26 күн бұрын

    Sanaa kaka❤❤❤😂😂

  • @SylvesterLyuvale
    @SylvesterLyuvaleАй бұрын

    Safi Sana kiongozi

  • @Dully_star
    @Dully_starАй бұрын

    LEO NDO NIMEAMINI KUMBE MANGUNGU ANALIPWA NA YANGA😢😢😢

  • @husseinchalamila2624
    @husseinchalamila2624Ай бұрын

    Bg up bugat uko vizuri

  • @MagaliKiswili-bj6yz

    @MagaliKiswili-bj6yz

    Ай бұрын

    Makolo.wakiambiwa ukweli wanakasilika cjui.kwa nn baada ya kuyafanyia kaz maoni wana chafukwa

  • @sarahkinyashi6213
    @sarahkinyashi6213Ай бұрын

    BUGATI ni mmoja tu 💚💛💪💪💪💚💛💪🙏🙏

  • @davidarabiy3924
    @davidarabiy3924Ай бұрын

    Nakupa salut bro bugat unaongea ukweri kabisa ujawahi feri kabisa wew ni mwamba kabisa

  • @ziadamuhunzi6210
    @ziadamuhunzi6210Ай бұрын

    😂Bugati kama bugati na buga buga big up sana umeongea fact.

  • @JacksonFrances
    @JacksonFrancesАй бұрын

    BUGATI kama BUGATI HUWA NAKUELEWA SANA HUJAWAHI KUNIANGUSHA BUGATI UMEONGEA KIKUBWA SANA na UMEONGEA KISOKA "

  • @Carolina-sm5zt
    @Carolina-sm5ztАй бұрын

    Wanamuonea bure mzee wa watu,na baadhi ya mashabiki wana mdhihaki Mungu akulinde Mangungu

  • @BoniphasLukas

    @BoniphasLukas

    24 күн бұрын

    Bwege ww niyanga mnanufaika nae kutuhalibia tim ndiomana mnamsapot ili .muendelee kutamba

  • @CareenJulias-iu7tf
    @CareenJulias-iu7tfАй бұрын

    Manara hakika kwa hili uko vizuri saana. Safi saana👏👏👏

  • @NelsonElisha-xt3iw
    @NelsonElisha-xt3iwАй бұрын

    Bugat unajua sana ww jamaa na jiwe hilo limewafika lazima wabadilike na waache uongo thank brother umetisha

  • @BILALIMSANGI-kw2ki
    @BILALIMSANGI-kw2kiАй бұрын

    Mzee anaongea ukweli kinafiki lkn 😂😂😂

  • @bernardmboma1461
    @bernardmboma1461Ай бұрын

    Mm Simba damu yani huyu manara kasema ukweli kabisaa . Moo kirusi

  • @user-tb4gh1sm9k
    @user-tb4gh1sm9kАй бұрын

    MANARA SIMBA INAVURUGWA NA MO DEWIJI TATIZO KUBWA WANACHAMA WENGI WAO NI MAMBUMBU MBU KABISAA HAWAJUI KM MO DEWIJI NDIO ANAE IUWA SIMBA

  • @user-cq4mz8wn3b
    @user-cq4mz8wn3bАй бұрын

    You tell fact my brother bugat

  • @deusifusi5999
    @deusifusi5999Ай бұрын

    Bigist manalaa akilii nyingi sana

  • @SelemaniSaid-ip6se
    @SelemaniSaid-ip6seАй бұрын

    😂😂😂sema bugati

  • @jafetykaberege4948
    @jafetykaberege4948Ай бұрын

    Huyu jamaa anaongea kama mwehu flani hivi, kweli shibe mwana malevya. Yaani yeye amuite moh, unadhani MO ni ni muuza vyombo vya dongo kutoka china. Unaweza kumuita tu, mjipange msimu mjao mna shida kubwa sana

  • @angellomarcel5677

    @angellomarcel5677

    Ай бұрын

    Huyu ni Msengelema Fala huyu..

  • @Carolina-sm5zt

    @Carolina-sm5zt

    Ай бұрын

    Utashangaa hata msimu ujao mambo ni yaleyale

  • @clementiddi5708

    @clementiddi5708

    Ай бұрын

    @@angellomarcel5677 kuota mchana ni ugonjwa mbaya sana. Njozi njema lol

  • @clementiddi5708

    @clementiddi5708

    Ай бұрын

    Obviously your level of understanding is below average.

  • @noelmsuya6078
    @noelmsuya6078Ай бұрын

    Hapa Manara umeongea kabisaaaa, mimi ni simba na wewe ni Yanga, lakini umeongea kama mpenda soka la Tanzania na Africa kwa ujumla, Big up Bro

  • @user-hu4el2rx2u
    @user-hu4el2rx2uАй бұрын

    Manara anaipenda sana Simba damu damu kweli basi tu imebidi anaina uchungu sana

  • @stephansabas215
    @stephansabas215Ай бұрын

    Ni Kweli kabisa ingetakiwa kwenye hisa 51 ndo angetakiwa kuwa na Nguvu kuliko 41

  • @user-vb8ki3jo9t
    @user-vb8ki3jo9tАй бұрын

    Lijamaa hili hatakama linatuchaluwa mimi nalipendaaaaa sanaaaaaaaaaaa.jamani

  • @CalimerotourZanzibar
    @CalimerotourZanzibarАй бұрын

    Haji manara kaka unajuwa mpira ila kunawatu hawajui nin football wao wanajuwa kupiga domo na kukutukana tu ila kama wanasimba walewa urudieni kauli ya manara mwiifahamu kwa undani big up bugati

  • @abdulnasuma9729
    @abdulnasuma9729Ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂haji daaaaaa

  • @NaftalMagabe
    @NaftalMagabeАй бұрын

    Uko vizuri bro umewambia ukweli

  • @ConfusedMountainLandscap-cw3vj
    @ConfusedMountainLandscap-cw3vjАй бұрын

    Simba Yangu inateketea jaman. Mh waziri wa michezo tunaomba uingilie kati . Simba hii imefika hatua mtu amekula mharage yupo nyumbani kwake anaweka bando ya Jero anaingia Instagram nakutangaza ujinga. Kwamba hatuna office? Nimeumia sana kwa Mara yangu ya kwanza kuona Tajiri anakosa maarifa.😭😭😭😭

  • @vladimirngamanya4693
    @vladimirngamanya4693Ай бұрын

    Anaijua simba kuliko Mangungu

  • @makejamaduhu7618
    @makejamaduhu7618Ай бұрын

    Waaache tubusiwape huo ukweli maana wapo wengi wanaobeza uuu huelewi uuuu yanakuhusu nini.? Wanakataa kupokea ushauri

  • @allenmsigwa1639
    @allenmsigwa1639Ай бұрын

    Hufi Leo mpaka kesho HAJI

  • @EzekiaMichael-jn5np
    @EzekiaMichael-jn5npАй бұрын

    Nimekuelewa sana Manara uko sawa

  • @mubarakaally3741
    @mubarakaally3741Ай бұрын

    😂😂😂 moja wapo ni ww py maan wot waongo😂😂

  • @rossemsuya2698
    @rossemsuya2698Ай бұрын

    Wao ndiyo wamtambue kuwa huyu ndiye Mwenyekiti wa Vilabu vyote Africa. Hivyo wakitambua wamuone, ila akienda tu watahisi atawavuruga zaidi.

  • @SalumuRashidi-in1jz
    @SalumuRashidi-in1jzАй бұрын

    Upo sahihi manara na Manara ni mmoja tu Duniani

  • @yasminmohamed604
    @yasminmohamed604Ай бұрын

    Kwenda ukoo unaisemeaje ssc inakuhuuu ht usemaje hatukutaki na sie tunakujuwa vzr😅😅

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cdАй бұрын

    Nikweli mo dewji hata bi 20 alizo sema ameweka toka kile kipndi hajaweka mhindi Nimbahili mno uko viwandani kwake kwenyew ukiingia vumbi kibao atatoa pesa yakutosha kuiendesha Simba

  • @jonasnzemya7700
    @jonasnzemya7700Ай бұрын

    Mpira ni pesa Mzee,wanachama hawana pesa

  • @user-iz3hs8jl5p
    @user-iz3hs8jl5pАй бұрын

    ee sawa kabisa mikia fc lazima awasuluhishe makolo

  • @allykwaya
    @allykwayaАй бұрын

    Bugatti. Simba damu ansumia kabisaa.

  • @costantinestephen2594
    @costantinestephen2594Ай бұрын

    Manara anajua sn.

  • @hatujuaniimani4425
    @hatujuaniimani4425Ай бұрын

    Yaani Leo kuna vitu viwili Leo nimevielewa kwako,kwanza kuongea ukweli,pili Leo nimeamini kuwa Haji unaipenda xana simba.Kweli upendo wa kweli upo moyoni na sio usoni nakukubali sana haji wewe unaipenda simba kutoka moyoni hakuna ubishi kwenye hilo

  • @user-rs3gq5kd3n
    @user-rs3gq5kd3nАй бұрын

    Simba inakuuma sana

  • @amisamaurid1882
    @amisamaurid1882Ай бұрын

    Akili ya manara ni vichwa vya wachezaji 30 wa simba ## big up brother nimeamini unajua kweli kuchambua soka😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @patrickimran2645
    @patrickimran2645Ай бұрын

    Mabeberu fc

  • @user-bs2nr7gz5p
    @user-bs2nr7gz5pАй бұрын

    Wewe bado simba ipo kwenye kichwa chako wala haita kutoka abadani

  • @HamamyMohd
    @HamamyMohd26 күн бұрын

    Tunajua kama umetumwa,ila hayawahusu😷.....

  • @benjaminkilepo8489
    @benjaminkilepo8489Ай бұрын

    Ana uchungu na simba, huyu ni mwanasimba kabisa

  • @mlungumasaba1786
    @mlungumasaba1786Ай бұрын

    Bungati wewe ni munyama sematu unajitoaga data unyama oyeee bugatti oyee makolo oyeee ilanakushauli bugatti ludi ukoloni kumenoga❤❤❤😂

  • @user-tb4gh1sm9k
    @user-tb4gh1sm9kАй бұрын

    Upo vizuri waambie ukweli

  • @user-tb4gh1sm9k
    @user-tb4gh1sm9kАй бұрын

    SAFII SANA

  • @Maggab-cl5od
    @Maggab-cl5odАй бұрын

    Mbona wakati upo simba ulikiri mo dewj kaweka bilion20 Leo unaongea kinafiki unabadilisha kaul

  • @user-mo8pq4pt3r
    @user-mo8pq4pt3rАй бұрын

    Eti makolo oyeeee😂😂😂😂

  • @user-tu1fw2hh6x
    @user-tu1fw2hh6xАй бұрын

    Acha uchawa kwani kwenu kumetulia au kwa sababu mnapata matokeo mlipata matokeo mabovu shirikisho huyo kiongozi akawaita wala mihogo palikuwa hapatoshi ndiyo aje kutatua simba

  • @patrickimran2645
    @patrickimran2645Ай бұрын

    Masura mengine hajapendeza kwa watoto wa boss bwana

  • @ndoanirahaonlinetv5031
    @ndoanirahaonlinetv5031Ай бұрын

    JAMANI MANARA ANA UCHUNGU NA SIMBA ANASTUA VIONGOZI😂😂😂 PIA , MANARA ANAJUA MANGUNGU NI NANI NA WANA SIMBA MNAJUA

  • @ramadhaniomary7083
    @ramadhaniomary7083Ай бұрын

    Simba ina kuuma sana kaka mo atatoaje pesa wakati mchakato bado wewe huwezi kuipongeza simba hata ingefanya vizuri lazima uisifie yanga si ndio inayokupa pesa

  • @user-cq4mz8wn3b
    @user-cq4mz8wn3bАй бұрын

    Guy congore take flower❤❤❤❤❤❤❤

  • @mbakijonas5647
    @mbakijonas5647Ай бұрын

    Mtu kama huyu mwenye uwezo mkubwa wa kuongea ni ngumu sana kujua kama yupo sahihi au la. But all in all mimi naamini Taasisi kuwa na migogoro ni jambo ambalo halikwepeki, na taasisi moja kutofautiana kiuongozi na taasisi nyingine ni jambo la kawaida sana, so naiamini Simba na naamini viongozi wa simba na naamini hizi ni changamoto wakikaa chini watazitatua.

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi1308Ай бұрын

    Shabiki 1 wa simba alisema 49%zitakuwa kwa wadhamini,40%kwa soko la Hisa,10%kwa mashabiki&1kwa bodi ya wadhamini upande wa club.

  • @dyanakibauri3068
    @dyanakibauri306829 күн бұрын

    yanayo muhusu heris ni uwakilishi wa vilub caf na si migololo ya ndani ya vilub mbwa wèwe

  • @mashakakitwana2824
    @mashakakitwana2824Ай бұрын

    Madafu yamefanya nn manara 😂😂😂 na mabusha

  • @hamidmussa838
    @hamidmussa838Ай бұрын

    Nani alionyoka Mwedeshaji ni mmja.

  • @issamohamedi9225
    @issamohamedi9225Ай бұрын

    Nyie ni washenzi tu na mbinu zenu za kucheza nnje ya uwanja

  • @mudhihirugara8845
    @mudhihirugara884521 сағат бұрын

    Wewe ni simba damdam nauna uchungu wasimba mzee magoma ukosahihi

  • @abednego3876
    @abednego3876Ай бұрын

    Big brain

  • @Maggab-cl5od
    @Maggab-cl5odАй бұрын

    Uyo mzungu chawa2

  • @bilajasho449
    @bilajasho44928 күн бұрын

    Manara na mo wamegombana kitambo tuuu hata anachokiongea ni kama anamtetea mangungu sababu anajua mangungu yupo simba kwa maslahi ya yanga

  • @aishashaban7942
    @aishashaban7942Ай бұрын

    Anachoongea manara ni fact sana

  • @user-ip2we5uc7n
    @user-ip2we5uc7nАй бұрын

    FACTS, MANARA UNAJUA SANA

  • @Farida-vg5ry
    @Farida-vg5ry19 күн бұрын

    Ndomana mangungu hatakiwi Yani aondoke tu kwa sabu hana analolijua Wala analolifanya ni mtu ambea yupoyupo tu kawekwa kama msikule na yanga aondoke hana kazi na simba

  • @kasimuhamidu8467
    @kasimuhamidu8467Ай бұрын

    Akatatue magomvi ya yanga

  • @patricklaiton8939
    @patricklaiton89399 күн бұрын

    HERS TUSAIDIE SIMBA

  • @user-hu4el2rx2u
    @user-hu4el2rx2uАй бұрын

    Manara anaipenda sana simba basi tu

  • @dottolemabi6424
    @dottolemabi6424Ай бұрын

    awaite tu 😅😅😅😅

  • @mbarakasijaona7638
    @mbarakasijaona7638Ай бұрын

    Manara unazingua aende engenear kweli😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @user-vw2pr7wm8u
    @user-vw2pr7wm8uАй бұрын

    Nilichogundua Manara anaipenda sana simba na hii kitu inamla na kumuumiza sana

  • @jumamulunga2899
    @jumamulunga289924 күн бұрын

    Hapana unaongea kwa mapenzi makubwa na timu yako ya simba ila mshauri waziri anayehusika na michezo awapatanishe hao viongozi wa simba kama unavyodhani lakini Siyo kiongozi wa yanga hapo unaongea kinazi

  • @hassanmussa6129
    @hassanmussa6129Ай бұрын

    Muhindi mswahili huyo pia Mangungu atupishe simba

  • @user-ie2sr4fi4k
    @user-ie2sr4fi4kАй бұрын

    Manara 😂😂😂😂

  • @IvanSaid-ef8tb
    @IvanSaid-ef8tbАй бұрын

    Hawa bado vichwa vyao vigum sana

  • @ekimnkande2873
    @ekimnkande2873Ай бұрын

    Wekeni pesa yanga tuone

  • @sajidseleman6641
    @sajidseleman6641Ай бұрын

    Wengine wanakuzaa😅😅😅

  • @KangwaJumasaidi
    @KangwaJumasaidiАй бұрын

    Ivi mana siku izi umeajiliwa kwa mala yapili kuwa msemaji wa Simba tuache na Simba yetu leo yanga imeigiza hasala bilioni moja mbona husemi

  • @raphaelkessy7360
    @raphaelkessy7360Ай бұрын

    😁😁😁😁😁😁Makolo hoyeeee 😅😅😅😅😅😅

  • @CikeTanzania
    @CikeTanzaniaАй бұрын

    Huyu ndumilakuwili kipindi yuko simba alikuwa anaisema vibaya yanga saivi yuko yanga anaisema simba.

  • @alitante4279
    @alitante4279Ай бұрын

    Eti hersi atatue subutu hv kunamtu anaeweza kuchomwa katika moto wa kuni alaf akachochea mwenyew ili aungue uzr!!! 😂😂😂😂

  • @kichenjewillian5720
    @kichenjewillian572020 күн бұрын

    Mwenye simba yake ndo huyu sasa

  • @BACHAATRAVELTOURING
    @BACHAATRAVELTOURINGАй бұрын

    Duh! Huyu akisema ukweli wengine munakereka? Akisema kocha mwenda, Gb64, miraji, mzee Saidi, dk Mohamed wote Hawa wanajuwa kukosoa lkn huyu manara akiongea ukweli ni kosa? Kumbe bado hatujatambua kuwa kosa lipo kwenye katiba

  • @YUSUPHHAMZAHUSSEIN
    @YUSUPHHAMZAHUSSEIN6 күн бұрын

    UNAZUNGUUKA TU YANGA HAKUNA MTU MNAE MUOGOPA KAMA MOR NA MANGUNGU NDO MTU WENU SASA SISI HATUMFULUZI ILA TUNA MDHIBITI WEWE NI PRO TUU

  • @DakorTrony
    @DakorTronyАй бұрын

    Bwana onja onja mwenyewe

  • @bernardmboma1461
    @bernardmboma1461Ай бұрын

    Naungana na ww 💯

  • @ekimnkande2873
    @ekimnkande2873Ай бұрын

    Unamtetea nini sasa ajiuzulu aseme sina nguvu huwezi kuweka pesa yako hata wewe manara wasimamie pesa yako usiowajua

  • @ismahafidhi1756
    @ismahafidhi1756Ай бұрын

    manara kaongea kwa uchungu sana😂😂😂

  • @user-qo6qv6mc5p
    @user-qo6qv6mc5pАй бұрын

    Huyu manara simba ingenea akafanyeje ndobora wagombane yanga tuwe huru ww simba manara

  • @freemonhenry3448
    @freemonhenry3448Ай бұрын

    Mbona watu wa Yanga mnamtetea sana Mangubgu ? Kunakitu nyuma ya pazia juu ya huyu mzee na Yanga. Haijawahi tokea hii hali, Leo hii kiongozi wa Simba kutetewa na Yanga-wanasimba Tujiulize sana juu ya hili. Binafsi naamini kuna maslahi ambayo Yanga wanayapata kupitia Mangungu, si bule kabisa.

  • @abuumohamed7090
    @abuumohamed7090Ай бұрын

    Fact

  • @DanielErnest-nn2zj
    @DanielErnest-nn2zjАй бұрын

    Mabara ninekuelewa sana yani wewe ni Gini😊az

  • @user-km8eq5iq4w
    @user-km8eq5iq4wАй бұрын

    Sidhani kama wanakuelewa wanaona kama unawahujumu !!

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313Ай бұрын

    Haji huo ndio ukweli lakini kuna watu hawawezi kumnyoshea kidole mo,swali wakati simba inafanya vibaya je,kweli mo alikuwa hajui?.....ujinga donda la kichwa

Келесі