LEO NDO NIMEAMINI KUMBE MANGUNGU ANALIPWA NA YANGA😢😢😢
@husseinchalamila2624Ай бұрын
Bg up bugat uko vizuri
@MagaliKiswili-bj6yz
Ай бұрын
Makolo.wakiambiwa ukweli wanakasilika cjui.kwa nn baada ya kuyafanyia kaz maoni wana chafukwa
@sarahkinyashi6213Ай бұрын
BUGATI ni mmoja tu 💚💛💪💪💪💚💛💪🙏🙏
@davidarabiy3924Ай бұрын
Nakupa salut bro bugat unaongea ukweri kabisa ujawahi feri kabisa wew ni mwamba kabisa
@ziadamuhunzi6210Ай бұрын
😂Bugati kama bugati na buga buga big up sana umeongea fact.
@JacksonFrancesАй бұрын
BUGATI kama BUGATI HUWA NAKUELEWA SANA HUJAWAHI KUNIANGUSHA BUGATI UMEONGEA KIKUBWA SANA na UMEONGEA KISOKA "
@Carolina-sm5ztАй бұрын
Wanamuonea bure mzee wa watu,na baadhi ya mashabiki wana mdhihaki Mungu akulinde Mangungu
@BoniphasLukas
24 күн бұрын
Bwege ww niyanga mnanufaika nae kutuhalibia tim ndiomana mnamsapot ili .muendelee kutamba
@CareenJulias-iu7tfАй бұрын
Manara hakika kwa hili uko vizuri saana. Safi saana👏👏👏
@NelsonElisha-xt3iwАй бұрын
Bugat unajua sana ww jamaa na jiwe hilo limewafika lazima wabadilike na waache uongo thank brother umetisha
@BILALIMSANGI-kw2kiАй бұрын
Mzee anaongea ukweli kinafiki lkn 😂😂😂
@bernardmboma1461Ай бұрын
Mm Simba damu yani huyu manara kasema ukweli kabisaa . Moo kirusi
@user-tb4gh1sm9kАй бұрын
MANARA SIMBA INAVURUGWA NA MO DEWIJI TATIZO KUBWA WANACHAMA WENGI WAO NI MAMBUMBU MBU KABISAA HAWAJUI KM MO DEWIJI NDIO ANAE IUWA SIMBA
@user-cq4mz8wn3bАй бұрын
You tell fact my brother bugat
@deusifusi5999Ай бұрын
Bigist manalaa akilii nyingi sana
@SelemaniSaid-ip6seАй бұрын
😂😂😂sema bugati
@jafetykaberege4948Ай бұрын
Huyu jamaa anaongea kama mwehu flani hivi, kweli shibe mwana malevya. Yaani yeye amuite moh, unadhani MO ni ni muuza vyombo vya dongo kutoka china. Unaweza kumuita tu, mjipange msimu mjao mna shida kubwa sana
@angellomarcel5677
Ай бұрын
Huyu ni Msengelema Fala huyu..
@Carolina-sm5zt
Ай бұрын
Utashangaa hata msimu ujao mambo ni yaleyale
@clementiddi5708
Ай бұрын
@@angellomarcel5677 kuota mchana ni ugonjwa mbaya sana. Njozi njema lol
@clementiddi5708
Ай бұрын
Obviously your level of understanding is below average.
@noelmsuya6078Ай бұрын
Hapa Manara umeongea kabisaaaa, mimi ni simba na wewe ni Yanga, lakini umeongea kama mpenda soka la Tanzania na Africa kwa ujumla, Big up Bro
@user-hu4el2rx2uАй бұрын
Manara anaipenda sana Simba damu damu kweli basi tu imebidi anaina uchungu sana
@stephansabas215Ай бұрын
Ni Kweli kabisa ingetakiwa kwenye hisa 51 ndo angetakiwa kuwa na Nguvu kuliko 41
@user-vb8ki3jo9tАй бұрын
Lijamaa hili hatakama linatuchaluwa mimi nalipendaaaaa sanaaaaaaaaaaa.jamani
@CalimerotourZanzibarАй бұрын
Haji manara kaka unajuwa mpira ila kunawatu hawajui nin football wao wanajuwa kupiga domo na kukutukana tu ila kama wanasimba walewa urudieni kauli ya manara mwiifahamu kwa undani big up bugati
@abdulnasuma9729Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂haji daaaaaa
@NaftalMagabeАй бұрын
Uko vizuri bro umewambia ukweli
@ConfusedMountainLandscap-cw3vjАй бұрын
Simba Yangu inateketea jaman. Mh waziri wa michezo tunaomba uingilie kati . Simba hii imefika hatua mtu amekula mharage yupo nyumbani kwake anaweka bando ya Jero anaingia Instagram nakutangaza ujinga. Kwamba hatuna office? Nimeumia sana kwa Mara yangu ya kwanza kuona Tajiri anakosa maarifa.😭😭😭😭
@vladimirngamanya4693Ай бұрын
Anaijua simba kuliko Mangungu
@makejamaduhu7618Ай бұрын
Waaache tubusiwape huo ukweli maana wapo wengi wanaobeza uuu huelewi uuuu yanakuhusu nini.? Wanakataa kupokea ushauri
@allenmsigwa1639Ай бұрын
Hufi Leo mpaka kesho HAJI
@EzekiaMichael-jn5npАй бұрын
Nimekuelewa sana Manara uko sawa
@mubarakaally3741Ай бұрын
😂😂😂 moja wapo ni ww py maan wot waongo😂😂
@rossemsuya2698Ай бұрын
Wao ndiyo wamtambue kuwa huyu ndiye Mwenyekiti wa Vilabu vyote Africa. Hivyo wakitambua wamuone, ila akienda tu watahisi atawavuruga zaidi.
@SalumuRashidi-in1jzАй бұрын
Upo sahihi manara na Manara ni mmoja tu Duniani
@yasminmohamed604Ай бұрын
Kwenda ukoo unaisemeaje ssc inakuhuuu ht usemaje hatukutaki na sie tunakujuwa vzr😅😅
@ScopionScopion-zj9cdАй бұрын
Nikweli mo dewji hata bi 20 alizo sema ameweka toka kile kipndi hajaweka mhindi Nimbahili mno uko viwandani kwake kwenyew ukiingia vumbi kibao atatoa pesa yakutosha kuiendesha Simba
@jonasnzemya7700Ай бұрын
Mpira ni pesa Mzee,wanachama hawana pesa
@user-iz3hs8jl5pАй бұрын
ee sawa kabisa mikia fc lazima awasuluhishe makolo
@allykwayaАй бұрын
Bugatti. Simba damu ansumia kabisaa.
@costantinestephen2594Ай бұрын
Manara anajua sn.
@hatujuaniimani4425Ай бұрын
Yaani Leo kuna vitu viwili Leo nimevielewa kwako,kwanza kuongea ukweli,pili Leo nimeamini kuwa Haji unaipenda xana simba.Kweli upendo wa kweli upo moyoni na sio usoni nakukubali sana haji wewe unaipenda simba kutoka moyoni hakuna ubishi kwenye hilo
@user-rs3gq5kd3nАй бұрын
Simba inakuuma sana
@amisamaurid1882Ай бұрын
Akili ya manara ni vichwa vya wachezaji 30 wa simba ## big up brother nimeamini unajua kweli kuchambua soka😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@patrickimran2645Ай бұрын
Mabeberu fc
@user-bs2nr7gz5pАй бұрын
Wewe bado simba ipo kwenye kichwa chako wala haita kutoka abadani
@HamamyMohd26 күн бұрын
Tunajua kama umetumwa,ila hayawahusu😷.....
@benjaminkilepo8489Ай бұрын
Ana uchungu na simba, huyu ni mwanasimba kabisa
@mlungumasaba1786Ай бұрын
Bungati wewe ni munyama sematu unajitoaga data unyama oyeee bugatti oyee makolo oyeee ilanakushauli bugatti ludi ukoloni kumenoga❤❤❤😂
@user-tb4gh1sm9kАй бұрын
Upo vizuri waambie ukweli
@user-tb4gh1sm9kАй бұрын
SAFII SANA
@Maggab-cl5odАй бұрын
Mbona wakati upo simba ulikiri mo dewj kaweka bilion20 Leo unaongea kinafiki unabadilisha kaul
@user-mo8pq4pt3rАй бұрын
Eti makolo oyeeee😂😂😂😂
@user-tu1fw2hh6xАй бұрын
Acha uchawa kwani kwenu kumetulia au kwa sababu mnapata matokeo mlipata matokeo mabovu shirikisho huyo kiongozi akawaita wala mihogo palikuwa hapatoshi ndiyo aje kutatua simba
@patrickimran2645Ай бұрын
Masura mengine hajapendeza kwa watoto wa boss bwana
@ndoanirahaonlinetv5031Ай бұрын
JAMANI MANARA ANA UCHUNGU NA SIMBA ANASTUA VIONGOZI😂😂😂 PIA , MANARA ANAJUA MANGUNGU NI NANI NA WANA SIMBA MNAJUA
@ramadhaniomary7083Ай бұрын
Simba ina kuuma sana kaka mo atatoaje pesa wakati mchakato bado wewe huwezi kuipongeza simba hata ingefanya vizuri lazima uisifie yanga si ndio inayokupa pesa
@user-cq4mz8wn3bАй бұрын
Guy congore take flower❤❤❤❤❤❤❤
@mbakijonas5647Ай бұрын
Mtu kama huyu mwenye uwezo mkubwa wa kuongea ni ngumu sana kujua kama yupo sahihi au la. But all in all mimi naamini Taasisi kuwa na migogoro ni jambo ambalo halikwepeki, na taasisi moja kutofautiana kiuongozi na taasisi nyingine ni jambo la kawaida sana, so naiamini Simba na naamini viongozi wa simba na naamini hizi ni changamoto wakikaa chini watazitatua.
@erickchitumbi1308Ай бұрын
Shabiki 1 wa simba alisema 49%zitakuwa kwa wadhamini,40%kwa soko la Hisa,10%kwa mashabiki&1kwa bodi ya wadhamini upande wa club.
@dyanakibauri306829 күн бұрын
yanayo muhusu heris ni uwakilishi wa vilub caf na si migololo ya ndani ya vilub mbwa wèwe
@mashakakitwana2824Ай бұрын
Madafu yamefanya nn manara 😂😂😂 na mabusha
@hamidmussa838Ай бұрын
Nani alionyoka Mwedeshaji ni mmja.
@issamohamedi9225Ай бұрын
Nyie ni washenzi tu na mbinu zenu za kucheza nnje ya uwanja
@mudhihirugara884521 сағат бұрын
Wewe ni simba damdam nauna uchungu wasimba mzee magoma ukosahihi
@abednego3876Ай бұрын
Big brain
@Maggab-cl5odАй бұрын
Uyo mzungu chawa2
@bilajasho44928 күн бұрын
Manara na mo wamegombana kitambo tuuu hata anachokiongea ni kama anamtetea mangungu sababu anajua mangungu yupo simba kwa maslahi ya yanga
@aishashaban7942Ай бұрын
Anachoongea manara ni fact sana
@user-ip2we5uc7nАй бұрын
FACTS, MANARA UNAJUA SANA
@Farida-vg5ry19 күн бұрын
Ndomana mangungu hatakiwi Yani aondoke tu kwa sabu hana analolijua Wala analolifanya ni mtu ambea yupoyupo tu kawekwa kama msikule na yanga aondoke hana kazi na simba
@kasimuhamidu8467Ай бұрын
Akatatue magomvi ya yanga
@patricklaiton89399 күн бұрын
HERS TUSAIDIE SIMBA
@user-hu4el2rx2uАй бұрын
Manara anaipenda sana simba basi tu
@dottolemabi6424Ай бұрын
awaite tu 😅😅😅😅
@mbarakasijaona7638Ай бұрын
Manara unazingua aende engenear kweli😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@user-vw2pr7wm8uАй бұрын
Nilichogundua Manara anaipenda sana simba na hii kitu inamla na kumuumiza sana
@jumamulunga289924 күн бұрын
Hapana unaongea kwa mapenzi makubwa na timu yako ya simba ila mshauri waziri anayehusika na michezo awapatanishe hao viongozi wa simba kama unavyodhani lakini Siyo kiongozi wa yanga hapo unaongea kinazi
@hassanmussa6129Ай бұрын
Muhindi mswahili huyo pia Mangungu atupishe simba
@user-ie2sr4fi4kАй бұрын
Manara 😂😂😂😂
@IvanSaid-ef8tbАй бұрын
Hawa bado vichwa vyao vigum sana
@ekimnkande2873Ай бұрын
Wekeni pesa yanga tuone
@sajidseleman6641Ай бұрын
Wengine wanakuzaa😅😅😅
@KangwaJumasaidiАй бұрын
Ivi mana siku izi umeajiliwa kwa mala yapili kuwa msemaji wa Simba tuache na Simba yetu leo yanga imeigiza hasala bilioni moja mbona husemi
@raphaelkessy7360Ай бұрын
😁😁😁😁😁😁Makolo hoyeeee 😅😅😅😅😅😅
@CikeTanzaniaАй бұрын
Huyu ndumilakuwili kipindi yuko simba alikuwa anaisema vibaya yanga saivi yuko yanga anaisema simba.
@alitante4279Ай бұрын
Eti hersi atatue subutu hv kunamtu anaeweza kuchomwa katika moto wa kuni alaf akachochea mwenyew ili aungue uzr!!! 😂😂😂😂
@kichenjewillian572020 күн бұрын
Mwenye simba yake ndo huyu sasa
@BACHAATRAVELTOURINGАй бұрын
Duh! Huyu akisema ukweli wengine munakereka? Akisema kocha mwenda, Gb64, miraji, mzee Saidi, dk Mohamed wote Hawa wanajuwa kukosoa lkn huyu manara akiongea ukweli ni kosa? Kumbe bado hatujatambua kuwa kosa lipo kwenye katiba
@YUSUPHHAMZAHUSSEIN6 күн бұрын
UNAZUNGUUKA TU YANGA HAKUNA MTU MNAE MUOGOPA KAMA MOR NA MANGUNGU NDO MTU WENU SASA SISI HATUMFULUZI ILA TUNA MDHIBITI WEWE NI PRO TUU
@DakorTronyАй бұрын
Bwana onja onja mwenyewe
@bernardmboma1461Ай бұрын
Naungana na ww 💯
@ekimnkande2873Ай бұрын
Unamtetea nini sasa ajiuzulu aseme sina nguvu huwezi kuweka pesa yako hata wewe manara wasimamie pesa yako usiowajua
Mbona watu wa Yanga mnamtetea sana Mangubgu ? Kunakitu nyuma ya pazia juu ya huyu mzee na Yanga. Haijawahi tokea hii hali, Leo hii kiongozi wa Simba kutetewa na Yanga-wanasimba Tujiulize sana juu ya hili. Binafsi naamini kuna maslahi ambayo Yanga wanayapata kupitia Mangungu, si bule kabisa.
@abuumohamed7090Ай бұрын
Fact
@DanielErnest-nn2zjАй бұрын
Mabara ninekuelewa sana yani wewe ni Gini😊az
@user-km8eq5iq4wАй бұрын
Sidhani kama wanakuelewa wanaona kama unawahujumu !!
@sebastiansalamba313Ай бұрын
Haji huo ndio ukweli lakini kuna watu hawawezi kumnyoshea kidole mo,swali wakati simba inafanya vibaya je,kweli mo alikuwa hajui?.....ujinga donda la kichwa
Пікірлер: 274
Manara unawambia ukweli unaouma,maana hata mh.Rage alishawahi kuwaambia kwamba Mangungu yupo pale kama mfungua na mfunga vikao tu...
Duuuu ukifiiria sanaaaa kiundani kamaaaa Kweri vireeeeee
Sanaa kaka❤❤❤😂😂
Safi Sana kiongozi
LEO NDO NIMEAMINI KUMBE MANGUNGU ANALIPWA NA YANGA😢😢😢
Bg up bugat uko vizuri
@MagaliKiswili-bj6yz
Ай бұрын
Makolo.wakiambiwa ukweli wanakasilika cjui.kwa nn baada ya kuyafanyia kaz maoni wana chafukwa
BUGATI ni mmoja tu 💚💛💪💪💪💚💛💪🙏🙏
Nakupa salut bro bugat unaongea ukweri kabisa ujawahi feri kabisa wew ni mwamba kabisa
😂Bugati kama bugati na buga buga big up sana umeongea fact.
BUGATI kama BUGATI HUWA NAKUELEWA SANA HUJAWAHI KUNIANGUSHA BUGATI UMEONGEA KIKUBWA SANA na UMEONGEA KISOKA "
Wanamuonea bure mzee wa watu,na baadhi ya mashabiki wana mdhihaki Mungu akulinde Mangungu
@BoniphasLukas
24 күн бұрын
Bwege ww niyanga mnanufaika nae kutuhalibia tim ndiomana mnamsapot ili .muendelee kutamba
Manara hakika kwa hili uko vizuri saana. Safi saana👏👏👏
Bugat unajua sana ww jamaa na jiwe hilo limewafika lazima wabadilike na waache uongo thank brother umetisha
Mzee anaongea ukweli kinafiki lkn 😂😂😂
Mm Simba damu yani huyu manara kasema ukweli kabisaa . Moo kirusi
MANARA SIMBA INAVURUGWA NA MO DEWIJI TATIZO KUBWA WANACHAMA WENGI WAO NI MAMBUMBU MBU KABISAA HAWAJUI KM MO DEWIJI NDIO ANAE IUWA SIMBA
You tell fact my brother bugat
Bigist manalaa akilii nyingi sana
😂😂😂sema bugati
Huyu jamaa anaongea kama mwehu flani hivi, kweli shibe mwana malevya. Yaani yeye amuite moh, unadhani MO ni ni muuza vyombo vya dongo kutoka china. Unaweza kumuita tu, mjipange msimu mjao mna shida kubwa sana
@angellomarcel5677
Ай бұрын
Huyu ni Msengelema Fala huyu..
@Carolina-sm5zt
Ай бұрын
Utashangaa hata msimu ujao mambo ni yaleyale
@clementiddi5708
Ай бұрын
@@angellomarcel5677 kuota mchana ni ugonjwa mbaya sana. Njozi njema lol
@clementiddi5708
Ай бұрын
Obviously your level of understanding is below average.
Hapa Manara umeongea kabisaaaa, mimi ni simba na wewe ni Yanga, lakini umeongea kama mpenda soka la Tanzania na Africa kwa ujumla, Big up Bro
Manara anaipenda sana Simba damu damu kweli basi tu imebidi anaina uchungu sana
Ni Kweli kabisa ingetakiwa kwenye hisa 51 ndo angetakiwa kuwa na Nguvu kuliko 41
Lijamaa hili hatakama linatuchaluwa mimi nalipendaaaaa sanaaaaaaaaaaa.jamani
Haji manara kaka unajuwa mpira ila kunawatu hawajui nin football wao wanajuwa kupiga domo na kukutukana tu ila kama wanasimba walewa urudieni kauli ya manara mwiifahamu kwa undani big up bugati
😂😂😂😂😂😂😂😂haji daaaaaa
Uko vizuri bro umewambia ukweli
Simba Yangu inateketea jaman. Mh waziri wa michezo tunaomba uingilie kati . Simba hii imefika hatua mtu amekula mharage yupo nyumbani kwake anaweka bando ya Jero anaingia Instagram nakutangaza ujinga. Kwamba hatuna office? Nimeumia sana kwa Mara yangu ya kwanza kuona Tajiri anakosa maarifa.😭😭😭😭
Anaijua simba kuliko Mangungu
Waaache tubusiwape huo ukweli maana wapo wengi wanaobeza uuu huelewi uuuu yanakuhusu nini.? Wanakataa kupokea ushauri
Hufi Leo mpaka kesho HAJI
Nimekuelewa sana Manara uko sawa
😂😂😂 moja wapo ni ww py maan wot waongo😂😂
Wao ndiyo wamtambue kuwa huyu ndiye Mwenyekiti wa Vilabu vyote Africa. Hivyo wakitambua wamuone, ila akienda tu watahisi atawavuruga zaidi.
Upo sahihi manara na Manara ni mmoja tu Duniani
Kwenda ukoo unaisemeaje ssc inakuhuuu ht usemaje hatukutaki na sie tunakujuwa vzr😅😅
Nikweli mo dewji hata bi 20 alizo sema ameweka toka kile kipndi hajaweka mhindi Nimbahili mno uko viwandani kwake kwenyew ukiingia vumbi kibao atatoa pesa yakutosha kuiendesha Simba
Mpira ni pesa Mzee,wanachama hawana pesa
ee sawa kabisa mikia fc lazima awasuluhishe makolo
Bugatti. Simba damu ansumia kabisaa.
Manara anajua sn.
Yaani Leo kuna vitu viwili Leo nimevielewa kwako,kwanza kuongea ukweli,pili Leo nimeamini kuwa Haji unaipenda xana simba.Kweli upendo wa kweli upo moyoni na sio usoni nakukubali sana haji wewe unaipenda simba kutoka moyoni hakuna ubishi kwenye hilo
Simba inakuuma sana
Akili ya manara ni vichwa vya wachezaji 30 wa simba ## big up brother nimeamini unajua kweli kuchambua soka😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mabeberu fc
Wewe bado simba ipo kwenye kichwa chako wala haita kutoka abadani
Tunajua kama umetumwa,ila hayawahusu😷.....
Ana uchungu na simba, huyu ni mwanasimba kabisa
Bungati wewe ni munyama sematu unajitoaga data unyama oyeee bugatti oyee makolo oyeee ilanakushauli bugatti ludi ukoloni kumenoga❤❤❤😂
Upo vizuri waambie ukweli
SAFII SANA
Mbona wakati upo simba ulikiri mo dewj kaweka bilion20 Leo unaongea kinafiki unabadilisha kaul
Eti makolo oyeeee😂😂😂😂
Acha uchawa kwani kwenu kumetulia au kwa sababu mnapata matokeo mlipata matokeo mabovu shirikisho huyo kiongozi akawaita wala mihogo palikuwa hapatoshi ndiyo aje kutatua simba
Masura mengine hajapendeza kwa watoto wa boss bwana
JAMANI MANARA ANA UCHUNGU NA SIMBA ANASTUA VIONGOZI😂😂😂 PIA , MANARA ANAJUA MANGUNGU NI NANI NA WANA SIMBA MNAJUA
Simba ina kuuma sana kaka mo atatoaje pesa wakati mchakato bado wewe huwezi kuipongeza simba hata ingefanya vizuri lazima uisifie yanga si ndio inayokupa pesa
Guy congore take flower❤❤❤❤❤❤❤
Mtu kama huyu mwenye uwezo mkubwa wa kuongea ni ngumu sana kujua kama yupo sahihi au la. But all in all mimi naamini Taasisi kuwa na migogoro ni jambo ambalo halikwepeki, na taasisi moja kutofautiana kiuongozi na taasisi nyingine ni jambo la kawaida sana, so naiamini Simba na naamini viongozi wa simba na naamini hizi ni changamoto wakikaa chini watazitatua.
Shabiki 1 wa simba alisema 49%zitakuwa kwa wadhamini,40%kwa soko la Hisa,10%kwa mashabiki&1kwa bodi ya wadhamini upande wa club.
yanayo muhusu heris ni uwakilishi wa vilub caf na si migololo ya ndani ya vilub mbwa wèwe
Madafu yamefanya nn manara 😂😂😂 na mabusha
Nani alionyoka Mwedeshaji ni mmja.
Nyie ni washenzi tu na mbinu zenu za kucheza nnje ya uwanja
Wewe ni simba damdam nauna uchungu wasimba mzee magoma ukosahihi
Big brain
Uyo mzungu chawa2
Manara na mo wamegombana kitambo tuuu hata anachokiongea ni kama anamtetea mangungu sababu anajua mangungu yupo simba kwa maslahi ya yanga
Anachoongea manara ni fact sana
FACTS, MANARA UNAJUA SANA
Ndomana mangungu hatakiwi Yani aondoke tu kwa sabu hana analolijua Wala analolifanya ni mtu ambea yupoyupo tu kawekwa kama msikule na yanga aondoke hana kazi na simba
Akatatue magomvi ya yanga
HERS TUSAIDIE SIMBA
Manara anaipenda sana simba basi tu
awaite tu 😅😅😅😅
Manara unazingua aende engenear kweli😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Nilichogundua Manara anaipenda sana simba na hii kitu inamla na kumuumiza sana
Hapana unaongea kwa mapenzi makubwa na timu yako ya simba ila mshauri waziri anayehusika na michezo awapatanishe hao viongozi wa simba kama unavyodhani lakini Siyo kiongozi wa yanga hapo unaongea kinazi
Muhindi mswahili huyo pia Mangungu atupishe simba
Manara 😂😂😂😂
Hawa bado vichwa vyao vigum sana
Wekeni pesa yanga tuone
Wengine wanakuzaa😅😅😅
Ivi mana siku izi umeajiliwa kwa mala yapili kuwa msemaji wa Simba tuache na Simba yetu leo yanga imeigiza hasala bilioni moja mbona husemi
😁😁😁😁😁😁Makolo hoyeeee 😅😅😅😅😅😅
Huyu ndumilakuwili kipindi yuko simba alikuwa anaisema vibaya yanga saivi yuko yanga anaisema simba.
Eti hersi atatue subutu hv kunamtu anaeweza kuchomwa katika moto wa kuni alaf akachochea mwenyew ili aungue uzr!!! 😂😂😂😂
Mwenye simba yake ndo huyu sasa
Duh! Huyu akisema ukweli wengine munakereka? Akisema kocha mwenda, Gb64, miraji, mzee Saidi, dk Mohamed wote Hawa wanajuwa kukosoa lkn huyu manara akiongea ukweli ni kosa? Kumbe bado hatujatambua kuwa kosa lipo kwenye katiba
UNAZUNGUUKA TU YANGA HAKUNA MTU MNAE MUOGOPA KAMA MOR NA MANGUNGU NDO MTU WENU SASA SISI HATUMFULUZI ILA TUNA MDHIBITI WEWE NI PRO TUU
Bwana onja onja mwenyewe
Naungana na ww 💯
Unamtetea nini sasa ajiuzulu aseme sina nguvu huwezi kuweka pesa yako hata wewe manara wasimamie pesa yako usiowajua
manara kaongea kwa uchungu sana😂😂😂
Huyu manara simba ingenea akafanyeje ndobora wagombane yanga tuwe huru ww simba manara
Mbona watu wa Yanga mnamtetea sana Mangubgu ? Kunakitu nyuma ya pazia juu ya huyu mzee na Yanga. Haijawahi tokea hii hali, Leo hii kiongozi wa Simba kutetewa na Yanga-wanasimba Tujiulize sana juu ya hili. Binafsi naamini kuna maslahi ambayo Yanga wanayapata kupitia Mangungu, si bule kabisa.
Fact
Mabara ninekuelewa sana yani wewe ni Gini😊az
Sidhani kama wanakuelewa wanaona kama unawahujumu !!
Haji huo ndio ukweli lakini kuna watu hawawezi kumnyoshea kidole mo,swali wakati simba inafanya vibaya je,kweli mo alikuwa hajui?.....ujinga donda la kichwa