#kicheche #ghost #chumvinyingi #clamvevo #madebelidai #mkojanigang #kpwaaquino
Mnao miss mzee likoma na diboz gonga likes
Tunawataka
Na suraj pia 😂😂
Heheee kumekuch n wif wenyewe ni Sheila aaaa hii ndio movie
😂😂😂 na nora
Nampenda sana sheila😂😂
Hii n nzuri sana tuko pamoja hadi mwisho
😂😂😂walipo watu wa KP mimi nipo 😂😂😂😂🎉🎉🎉
😂😂❤❤
Sheyshey na Nora nimekuja kwaajili yen🎉🎉
Mi mwenyew mnaangalia kwa ajili ya Sheila na Nora tu
Me pia
M pia
Hao mawifi mngebadilisha hawajui kuigiza
Apo sasa ndo patam sheila ten nampenda atar
Zuhura waminani apa safi sana familia
Msinicheleweshe hii kiboko jamani kesho niwekee mwendelezo🎉🎉🎉❤❤❤
Hapo safiii hawa mawifii huwaa nawatamani bs tuuu simkaolewee mkayakutee huko
😂😂,😂😂❤❤❤move ikopowa ukizingatia mawifi wenyewe kawakuta🤣🤣🤣
Dada amewajb vizury huyu nampenda
Nakupenda pia
mbna muendelezo hutoi kaz nzuri
Sheila binti likoma na Nolla tunawapenda sana from Burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Hongereni sanaaa ❤❤❤
Kasheyshey Na Nora nmekuja Kwa ajili yenu❤
Nimekujaaa baaada ya kumwona Sheilaa na Norah❤
Jaman leten ya pili jaman❤❤❤❤
Nilipoona sura zenu tu nikaplay😅😅😅😅😅shey vs nora❤❤
Sheyshey na Nora mmeniita huku❤❤❤
Hahahaha ila Sheila nyie
Sas mwendelezo sion
Yani ww She She unanijuwa nyoka❤❤❤
Mawifi kama nyie ndio nawataka niwanyooshe
Mafii ndio hawa tunaowajua sisi mh kazi ipo apo
Tuko pamoj Sanaa nawapenda Sanaa
Sheila sasa wew ndo mbayaaaa kuliko 😂
Hongeleni sanaa kwa kazi nzur sanaa 🎉🎉🎉❤❤Sheila na NOLA nawakubar
Mumetupendeza na bona amuja washilia part2❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Nimeipenda ❤❤
Tazama mbele kakaa unakaribia kufika safari Yako good muvi pambana isiishie kati Tena ❤❤❤❤
Namuona kp mbali sana😊
❤❤❤jitahidini mtuwahishieni episode ya 2 Kwa Haraka washabiki wenu tupo tutawasapoti kazi nzuri 😂😂😂ya ila mawifiiii jameni
Mh hao mawifi kwakweli wangekuwa dada zangu
Haha jamani ndo mninyanyase vizur
Sheila utaniharibia Nora maana taratibu kanaanza kuwa kajeuri😂😅
Yan kanaanza kukomaa na huo ujeur sio mda anampita sheishei
itaendelea lini
Itaendelea soon2
Nawapenda sana Sheila and norah❤❤❤❤❤❤❤❤
😂😂😂😂Sheila napenda unavyo act,nakupenda bure endelea hivyo hivyo
Ukizirwa na mawifi utakiona chamoto ❤❤ nice 👌 👍 😊 😄 😢
Watu wangu ninawapenda sana arafu sikuwa ninapenda Sona ikwishe jameni ❤❤🇧🇮🇧🇮🥰
Mbn haijaendelea muda sana shid nini
Ukuteeee huuuyuuuu kaka ndohananguvuu xakiume halafuu ukiutana na hawa mawifi walioshinxikana ndokabisaaa
Anazo nguv za kiume mume wangu jaamani
Sheilaaa na noraa 😂😂 Ukisikia limbwata ndo hilo😅😅
Likomaaaaaaaaaaa😢
Safi sana kz nzuri.happy umekimbia mbio chumbani unaogopa kupigwa.
Weeh wifi mwenyew huyo
Kumekucha mawifi wenyewe ni sheishei balaa tupu 😅😅😅
Ndio maana hata Sonaa. Haikua nzuri
nyie watu wa mikoan sheila ni nan mbona mimi simjuh😅😅
Shey shey mungu yuakuona kwa styli hii sikuezi ila movie ni nzuri sana
Mawifi wako na shida alafu unapata wengine ndiyo hawa mmabwana ❤❤❤❤
Kazi tamu
Mshapoteza uzur wa kazi mnatengana sana
Huyu wifi kama anacheat sipo upande wake kabsa
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😢 nawapenda
Sheshei nakupenda sana l love you❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Jamani Naipenda kama sonaa❤❤❤
Kumekucha,nafurahiswa sana penye Sheila Yuko, muvi inanoga sanaaaaa Shei Shei Big ❤❤❤❤ mum
KAzini Kuna kaz
Mawifi 1 jemeni 😅😅😅😅😅😅ila na nawapenda bure
😂😂😂😂 kma mawif ndio shey na norah basi kazi ipo yaani bado
Nakwambia 😂😂
Mwendelezo jmn tunaombaaa
Dibosiiiiiiii mkoapi jamani😢😢
Ni nzuri sana🎉🎉🎉🎉❤❤❤
Good job
Shei shei wallah havikupendez kwl
Aki nyinyi wacheni ku vunja ndowa ya kakayenu waah lakin movie eko sawa ❤❤❤
Mawifi kama hawa subiri waolewe wao sasa uvumilivu sifuri
Hii kali sana nimeipenda hii🎉
sas jee hapo mambo pambee mnafeligi wapi kutafuta wakuchangamxha move.piga kelele kwa mawif zakeeeee😅
Jamani penda cnaa nyie❤❤❤❤❤❤❤❤
🎉🎉🎉🎉Nora ww
Sheilla na mambo yake huyoo noma sana
Sheila na Nora nyiee mawifi Kazi nzuri sana nawakubali nyote mpoo vzr sana❤❤❤😂😂😂
Saut ya nora 🎉
Ndo kusema zebuu hayupo au ndo kihere here changu mana hata sijamaliza badoo
Jamni mbon muendelezo hautoki
Nimeipenda sanaa msicheleweshe ep 2 tafadhal
Mawifi wa sikuizi mungu atusaidie
Mweye Sheila 🤣🤣🤣🤣🤣mbavu zangu
Fanyeni mutoe ya epsodya 2 jmn
Sheila na Norah nawapenda sana hamjawahi kuniangusha chukueni 🎉🎉🎉yenu
😂😂😂😂daaaa mawifi nihawaaaa😅😅 kazi ipooo
Hii kali sana nimeipenda hii
Changamoto kumbe kuzaa au
Ndio wanataka kuitwa mashangaz mniombee nipate mtoto
Nilidhn wifi mwenyewe ni zebuu..kumbe sura ngeni.mawifi sheyshey na norah shikamooni.nadhn mumepatana
Nimeletwa huku na kp,namcheki Nora pamoja na sheila,big up
Hongeren nawapenda san hamuchelewesh kaz
Xoxir nlivowaona xhey na nora ikabidi niangalie hi mov
Kazi nzuriiiii
Hongereni 🎉🎉🎉❤
Wifi shikamoo 😂😂😢
Sheila wee kiboko
Kama mawifi ni Sheila na Norah Huna Bahati wifi
Na sina bahati kweli
Mawifi shikamooo mnaendeleaje
Jaman Norah et ukickia limbwata ndo hilo
😂😂😂😂😂😂😂😂wifi mwenyw shei shei na norra mbona hii ngondo kajisemea dibozi
Kazi Iko gudi
Jmnii mbona mliacha kuendeleza magic book tunaisubir,but good job
Ni nzury ila Saut ni ndogo zana jmn
Nimekufollow kwasababu ya sheila na nora 😅awawadada bhana
Пікірлер: 247
Mnao miss mzee likoma na diboz gonga likes
@Al-habibTwairan-ss5go
23 күн бұрын
Tunawataka
@nurafedrick378
17 күн бұрын
Na suraj pia 😂😂
Heheee kumekuch n wif wenyewe ni Sheila aaaa hii ndio movie
@rizikisam6481
25 күн бұрын
😂😂😂 na nora
@EdithaJoseph-zt2xu
12 күн бұрын
Nampenda sana sheila😂😂
Hii n nzuri sana tuko pamoja hadi mwisho
😂😂😂walipo watu wa KP mimi nipo 😂😂😂😂🎉🎉🎉
@alriyami9446
19 күн бұрын
😂😂❤❤
Sheyshey na Nora nimekuja kwaajili yen🎉🎉
@gracemwingwa-jx7yy
24 күн бұрын
Mi mwenyew mnaangalia kwa ajili ya Sheila na Nora tu
@FarajaEdson-ud2lx
22 күн бұрын
Me pia
@user-tf9gh8iu5s
19 күн бұрын
M pia
Hao mawifi mngebadilisha hawajui kuigiza
Apo sasa ndo patam sheila ten nampenda atar
Zuhura waminani apa safi sana familia
Msinicheleweshe hii kiboko jamani kesho niwekee mwendelezo🎉🎉🎉❤❤❤
Hapo safiii hawa mawifii huwaa nawatamani bs tuuu simkaolewee mkayakutee huko
😂😂,😂😂❤❤❤move ikopowa ukizingatia mawifi wenyewe kawakuta🤣🤣🤣
Dada amewajb vizury huyu nampenda
@HappiphniaBinagi
2 күн бұрын
Nakupenda pia
mbna muendelezo hutoi kaz nzuri
Sheila binti likoma na Nolla tunawapenda sana from Burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Hongereni sanaaa ❤❤❤
Kasheyshey Na Nora nmekuja Kwa ajili yenu❤
Nimekujaaa baaada ya kumwona Sheilaa na Norah❤
Jaman leten ya pili jaman❤❤❤❤
Nilipoona sura zenu tu nikaplay😅😅😅😅😅shey vs nora❤❤
Sheyshey na Nora mmeniita huku❤❤❤
Hahahaha ila Sheila nyie
Sas mwendelezo sion
Yani ww She She unanijuwa nyoka❤❤❤
Mawifi kama nyie ndio nawataka niwanyooshe
Mafii ndio hawa tunaowajua sisi mh kazi ipo apo
Tuko pamoj Sanaa nawapenda Sanaa
Sheila sasa wew ndo mbayaaaa kuliko 😂
Hongeleni sanaa kwa kazi nzur sanaa 🎉🎉🎉❤❤Sheila na NOLA nawakubar
Mumetupendeza na bona amuja washilia part2❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Nimeipenda ❤❤
Tazama mbele kakaa unakaribia kufika safari Yako good muvi pambana isiishie kati Tena ❤❤❤❤
Namuona kp mbali sana😊
❤❤❤jitahidini mtuwahishieni episode ya 2 Kwa Haraka washabiki wenu tupo tutawasapoti kazi nzuri 😂😂😂ya ila mawifiiii jameni
Mh hao mawifi kwakweli wangekuwa dada zangu
@HappiphniaBinagi
20 сағат бұрын
Haha jamani ndo mninyanyase vizur
Sheila utaniharibia Nora maana taratibu kanaanza kuwa kajeuri😂😅
@user-lg8zr6hc7q
21 күн бұрын
Yan kanaanza kukomaa na huo ujeur sio mda anampita sheishei
itaendelea lini
@HappiphniaBinagi
20 сағат бұрын
Itaendelea soon2
Nawapenda sana Sheila and norah❤❤❤❤❤❤❤❤
😂😂😂😂Sheila napenda unavyo act,nakupenda bure endelea hivyo hivyo
Ukizirwa na mawifi utakiona chamoto ❤❤ nice 👌 👍 😊 😄 😢
Watu wangu ninawapenda sana arafu sikuwa ninapenda Sona ikwishe jameni ❤❤🇧🇮🇧🇮🥰
Mbn haijaendelea muda sana shid nini
Ukuteeee huuuyuuuu kaka ndohananguvuu xakiume halafuu ukiutana na hawa mawifi walioshinxikana ndokabisaaa
@HappiphniaBinagi
2 күн бұрын
Anazo nguv za kiume mume wangu jaamani
Sheilaaa na noraa 😂😂 Ukisikia limbwata ndo hilo😅😅
Likomaaaaaaaaaaa😢
Safi sana kz nzuri.happy umekimbia mbio chumbani unaogopa kupigwa.
@HappiphniaBinagi
2 күн бұрын
Weeh wifi mwenyew huyo
Kumekucha mawifi wenyewe ni sheishei balaa tupu 😅😅😅
Ndio maana hata Sonaa. Haikua nzuri
nyie watu wa mikoan sheila ni nan mbona mimi simjuh😅😅
Shey shey mungu yuakuona kwa styli hii sikuezi ila movie ni nzuri sana
Mawifi wako na shida alafu unapata wengine ndiyo hawa mmabwana ❤❤❤❤
Kazi tamu
Mshapoteza uzur wa kazi mnatengana sana
Huyu wifi kama anacheat sipo upande wake kabsa
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😢 nawapenda
Sheshei nakupenda sana l love you❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Jamani Naipenda kama sonaa❤❤❤
Kumekucha,nafurahiswa sana penye Sheila Yuko, muvi inanoga sanaaaaa Shei Shei Big ❤❤❤❤ mum
KAzini Kuna kaz
Mawifi 1 jemeni 😅😅😅😅😅😅ila na nawapenda bure
😂😂😂😂 kma mawif ndio shey na norah basi kazi ipo yaani bado
@Ftwm-ew3up
25 күн бұрын
Nakwambia 😂😂
Mwendelezo jmn tunaombaaa
Dibosiiiiiiii mkoapi jamani😢😢
Ni nzuri sana🎉🎉🎉🎉❤❤❤
Good job
Shei shei wallah havikupendez kwl
Aki nyinyi wacheni ku vunja ndowa ya kakayenu waah lakin movie eko sawa ❤❤❤
Mawifi kama hawa subiri waolewe wao sasa uvumilivu sifuri
Hii kali sana nimeipenda hii🎉
sas jee hapo mambo pambee mnafeligi wapi kutafuta wakuchangamxha move.piga kelele kwa mawif zakeeeee😅
Jamani penda cnaa nyie❤❤❤❤❤❤❤❤
🎉🎉🎉🎉Nora ww
Sheilla na mambo yake huyoo noma sana
Sheila na Nora nyiee mawifi Kazi nzuri sana nawakubali nyote mpoo vzr sana❤❤❤😂😂😂
Saut ya nora 🎉
Ndo kusema zebuu hayupo au ndo kihere here changu mana hata sijamaliza badoo
Jamni mbon muendelezo hautoki
Nimeipenda sanaa msicheleweshe ep 2 tafadhal
Mawifi wa sikuizi mungu atusaidie
Mweye Sheila 🤣🤣🤣🤣🤣mbavu zangu
Fanyeni mutoe ya epsodya 2 jmn
Sheila na Norah nawapenda sana hamjawahi kuniangusha chukueni 🎉🎉🎉yenu
😂😂😂😂daaaa mawifi nihawaaaa😅😅 kazi ipooo
Hii kali sana nimeipenda hii
Changamoto kumbe kuzaa au
@HappiphniaBinagi
20 сағат бұрын
Ndio wanataka kuitwa mashangaz mniombee nipate mtoto
Nilidhn wifi mwenyewe ni zebuu..kumbe sura ngeni.mawifi sheyshey na norah shikamooni.nadhn mumepatana
Nimeletwa huku na kp,namcheki Nora pamoja na sheila,big up
Hongeren nawapenda san hamuchelewesh kaz
Xoxir nlivowaona xhey na nora ikabidi niangalie hi mov
Kazi nzuriiiii
Hongereni 🎉🎉🎉❤
Wifi shikamoo 😂😂😢
Sheila wee kiboko
Kama mawifi ni Sheila na Norah Huna Bahati wifi
@HappiphniaBinagi
2 күн бұрын
Na sina bahati kweli
Mawifi shikamooo mnaendeleaje
Jaman Norah et ukickia limbwata ndo hilo
😂😂😂😂😂😂😂😂wifi mwenyw shei shei na norra mbona hii ngondo kajisemea dibozi
Kazi Iko gudi
Jmnii mbona mliacha kuendeleza magic book tunaisubir,but good job
Ni nzury ila Saut ni ndogo zana jmn
Nimekufollow kwasababu ya sheila na nora 😅awawadada bhana