Vijana wa Kenya wametoa funzo kubwa sana kwa vijana wa nchi zingine za Africa.
@simonmartin5358
4 күн бұрын
Yah is that true.
@BenPeter-vp2cy
4 күн бұрын
Hususan kwetu Tanzania tunapaswa kugeuza uoga kuwa courage kunakiongoz alitutusi kwa kusema tuamie rwanda asee dah
@jeremiahcharles6027
3 күн бұрын
Hadi vijana wa hovyo nao???😁😁
@BenPeter-vp2cy
3 күн бұрын
@@jeremiahcharles6027 wote
@leonardyona1462
2 күн бұрын
Hasa Tanzania
@WazirBoy-fe5ew4 күн бұрын
Sio kenya , hata Tanzania ndio uozo mtupu. Mama na kina mwigulu.nchemba na ccm wote waondoke kama inavyoendelea south Africa, tumechoka kunyonywa damu
@missp1814
4 күн бұрын
Wacha warelax tu muda utaongea😂😂....
@BenPeter-vp2cy
4 күн бұрын
Ndo alisema kama atutaki tozo twende rwanda .
@benoseaone4 күн бұрын
Nimesikuliza sana Hotuba ya Ruto lakini binafsi nimeona mambo mengi. 1. Ruto amepoteza kujiamini na anajaribu kutafuta huruma ya wananchi wake. 2. Amethibitisha kwamba Serikali yake haijui nini inataka kufanya na kusimamia mpaka wakumbushwe majukumu. 3. Ameshakumbuka alichokuwa amesahau kwamba nchi ni mali ya wananchi. 4. Ruto hajui Kusoma nyakati. Finally, alipaswa kuvunja Serikali Kisha ajiuzuru kwa kuwa tayari ameshaonesha udhaifu katika kusimamia masrahi ya Taifa.
Kiongozi yeyote hata kama ni Rais lazima ukubali kukosolewa Kiongozi asiyekuvali kukosolewa hastahili kuwa kiongozi lazima aelewane na wananchi wake
@ShabanKarim-tv3vn
4 күн бұрын
❤
@BenPeter-vp2cy4 күн бұрын
Na hapo kwenye wapinzani ku take advantage ndio unamkumbuka sun tzu kwenye art of war " when things mess around take the advantage" yani kufa kufaana.. dj sma anaelewa hii❤❤
@djsma255
3 күн бұрын
Uko vizur
@JacksonYusuph4 күн бұрын
Kwanza kabisa niwashukuru SNS kwa kuanzisha kipindi cha GPS na kuanza kuchambua mambo kadha wa kadha. Mliyokuwa mkiyaongea/kuyachambua siku chache nyuma yametokea. Big up sana !!
@mariamhassan17234 күн бұрын
Kwanzo KDFaskari kazi yake ni kulinda mipaka ya nchi hawezi kupiga risasi ndani ya nchi##Ruto must go
@hafidhmiraji94794 күн бұрын
Dj smaa we ni hatari bro daaahhh uko njema
@alisalimkenya39724 күн бұрын
Dj sma Ana PhD ya uchambuzi nimekufwatilia zamani , salute
@everrineanyango74104 күн бұрын
We need ruto to gasp for air,aongoze akijua anaongoza raia siyo Bibi,mamake,watoto,mpango wa kando,ruto akifaulu kuongoza hii Kenya miaka mitano basi atakua amechoka sana na kuzeeka,awe pia mwangalifu asije pigwa lisasi na security wake
@Sidrasidra6364 күн бұрын
Acheni kuongelea hizi mambo mna mtisha raisi wenyu Samia nasikia ........... nyie hamuoni hata Millard Ayo hame simamisha kupost😂
@Omosh0034 күн бұрын
Iwe jua, iwe mvua, he must GO.
@samirmswahili4 күн бұрын
Dah polen sana ndugu zetu mungu awatie nguvu katka kipind munachopitia
@WazirBoy-fe5ew4 күн бұрын
Hawezi kabisa kujiuzulu kwa sababu keshakula pesa za marrekani
@benoseaone
4 күн бұрын
Kula pesa za Marekani isiwe kigezo cha kuwabenesha raia wa Kenya mzigo ambao hawakuutaka wao. Akalipe mwenyewe
@jeremiahcharles60274 күн бұрын
Duh ,,,kama wananchi wanaamua hivo ,,bila shaka kuna watu wanaifadhili hii ishu,,,kuna watu wazito wako nyuma
@evelynemugeni2369
4 күн бұрын
Ndo manaake
@user-di9hk7bw5w
Күн бұрын
@@evelynemugeni2369unawezaj kufadhili mamilion ya watu
@mohamedabdulkadir61864 күн бұрын
Jamaa anatuma hadi snipers kuuwa protesters. Snipers walikua located kwa jengo la KICC juu😢
@mpjozzegalvanize49264 күн бұрын
600ml k/sh ndio bajet ya first lady? Hii sio sawa.
@simonmartin53584 күн бұрын
Kuna mke wa zakayo naye anasumbua sana kwenye taifa la ughaibun naye amekuwa kero tena shidaa hajui nini maana ya maisha ya mnyonge. Ipo siku mnyonge mnyongen lakin hakiyake mtatoa.
@KOMASAVAOG-yb1mm9fk1r4 күн бұрын
PIYA TANZANIA YENU IZUNGUMZIENI LISU ANAANDAMANA PIYA AU AMONI? AU MPAKA WATU WAFE NDO YATAITWA MAANDAMANO? AU KUMUOGOPA SAANA SAMIA? MBONA MUNAMPAMBA SAANA UYO MAMA WENU AU MNASAAU KM NILAZIMA AWASAIDIE RAIYA YEYE KM RAHISI? TANZANIA MDOMO SANA NA YAKWENU YANAWASHINDA TUACHENI NA KENYA YETU😭😭
@richardrichope3528
4 күн бұрын
Yani wakenya sijui vichwa vyenu vina nini au ni ujii? Watu huku tunataka muungano wewe unataka kenya kaa nayo tumekuachia mginga nini
@zayumar2955
4 күн бұрын
😅😅😅😅 mwache Mwenzio akili imevurugika na mabomu ya machozi😅😅😅@@richardrichope3528
@zayumar2955
4 күн бұрын
Sio rahis kiivyo ila (MUDA UTAONGEA SISI AFRICA NI NDUGU)🇹🇿🇹🇿🇰🇪🇰🇪❤️❤️
@halimamunga16814 күн бұрын
Tuisubili hii TANZANIA tizama migomo ya kufanya biashara hii itatupeleka mbali kama viongozi hawata sikiliza wananchi
@destindjumbe80234 күн бұрын
Kizuri Ruto must go, wanatuleteya muswada wa kufanya Watu wateketeye hao they dont care.
@OnlyRuky4 күн бұрын
Ruto hutuba yake sikuitegemea ilivyosema.... vile nilidhani atajiuzuru....Kenya stand up All the best mpka mpate haki zenu maraisi wa Africa iwe fundishoo kutoka Kenya
@user-vx1vb4cz6m4 күн бұрын
GPS Hongera Hongera Tena kwa uchambuzi wenu ulio kuwa pansa na wasi
@brianbaltazar61984 күн бұрын
SNS mpo vizuri sana...
@jeremiahcharles60274 күн бұрын
Sns tukumbushane ,,chanzo cha yote hayo ,ni kutokea kwa Muigizaji ERICK OMOND Ndie mtu wa kwanza kuibua hizi mambo na kutia nguvu ,na erick omond amekuwa mstari wa mbele sana kwa hii ishu ya maandamano ya kupinga mswada
@jedidahbintidaudi8241
3 күн бұрын
dah ila umesema kweli kabisa. ndi yeye huyu jamaa
@husseinmassawa71864 күн бұрын
Dah alishindwa kuwaambia polisi wasiwaue watu, kashabeba dhambi za damu za watu, honest is too bad,
@user-yp9el7xp8g4 күн бұрын
Leo ndio FINAL MAANDAMANO
@salimsoyo81184 күн бұрын
Balaaa sana must go
@SalimKombo-xo4pq4 күн бұрын
Samahani bro ni kimekosea kuituma hapo. Utuko pamoja bro.
@husseinhemedi93144 күн бұрын
Tatizo la ruto ni kujifanya m babe kwa wananch wa kenya huu upuuuz labda kwetu tz il xo kwa Gn Z #kenya Na huku kwetu tz watoto wa 2000 kinukixheni
@KOMASAVAOG-yb1mm9fk1r
4 күн бұрын
KWELI KBX KAKA TZ WASAANI WANAMPAMBA SAANA UYO MAMA SAMIA WANASAAU KM NIMAJUKUMU YAKE ANALAZIMIKA AFANYE NA YAKIMXHINDA ATOKE KILA SIKU MAMA MAMA MNASAAU KM KIJIJINI WATU TUNA ANGAIKA YAANI KAWA WEKEYA MADARAJA DAR 2 BS MNAONA TZ IMEFANA DAH😭😭
@user-hj4bc5uh2x
4 күн бұрын
Watoto wa 2000 wamejaa mashoga
@husseinhemedi9314
4 күн бұрын
@@KOMASAVAOG-yb1mm9fk1rtz ni tatizo bila katiba mpya hakuna kipya
@margarethpolepole7438
4 күн бұрын
Hussein hana ubabe wowote swala kubwa nu kuelewana tu haina haja ya kuandamana hapo tatizo kybwa Wakenya wanasumbuliwa na Ukabila tu
@sonnyr1899
4 күн бұрын
@@husseinhemedi9314 Katiba mpya ndio itaondoa uvivu wa akili kwa vijana? Tuwe wa kweli vijana walio wengi wa Bongo wako bize na upuuzi, kubeti, ushoga, kumfuatilia Mwijaku na Mama Levo, vita vya Dai na Kiba. Mtu anashinda mtandaoni akiomba like kuliko kuomba kazi nadhani tunahitaji kubadili tabia zetu.
@maidimples82364 күн бұрын
Tuliomuelewa dj smaa huyo mtu aloshindwa kumtaja tujuana 😂
@simonmartin53584 күн бұрын
Mshupaza shingo huvu jika kabisa ruto must go
@user-vt6du7ll8l4 күн бұрын
Mkiwa pamoja habari ndo inanoga vzr
@mkambotv54184 күн бұрын
Haja withdraw. Amekataa kusign tuu ila after 14 days mswada utakuwa sheria automatically. Bunge linaenda mapumziko mpaka 24 july, siku 14 zitakuwa zimeisha.
@djafro87294 күн бұрын
Ruto must go
@angelanaftael79654 күн бұрын
Hasira ya mwanadamu haijawahi kutenda haki na kenya wajue Ruto Hana cha kupoteza anaweza kuondoka akawaachia nchi yao iliyoharibika kwa vita na umaskini...Mungu awape utulivu ili maamuzi ya hao vijana wa 2000 wasio na akili wajue mihemko haisaidii lolote...zaidi sana ni kumwaga damu na kuiweka nchi rehani
@bensonsimwa7263
4 күн бұрын
Wewe ujui chenye unaongea ungeliishi Kenya ungelijua, nyamaza, ndio haki ipatikane sio vile unadhani, your out of modern generation,
@DanielMukora-jx1bh
4 күн бұрын
Very true
@DanielMukora-jx1bh
4 күн бұрын
@@bensonsimwa7263iwapo atatoka ujuesio malaika ataingia,heri huyu tumeweza kulekebisha na akakubali
@zenajustus5731
4 күн бұрын
Ungezaliwa Kenya ungeelewa,so huna makosa coz hujui shda zetu,but usiwe mwepesi wakuchagua mrengo bila kuchambua source yenyewe.
@hudumablack9339
4 күн бұрын
Eti hasira ya mwanadamu haijawahi kutenda haki: Wewe ni mjinga kweli kweli, ya Dini unatuletea hapa? Ya Mungu mpe Mungu na kaisari mpe yake. Sasa kaisari amepata haki yake na amebadilisha mswada sasa kwa kuwa ameua raia wake, lazima Ruto aondoke.
@destindjumbe80234 күн бұрын
Raïs wa AFRICA wapenda kuoneya rahiya. Hasa hawa wanao shirikiana na hawa wanyonya damu ma Beberu ya Europa na America.
@rosekulola83554 күн бұрын
Hawezi withdraw financial bill amekataa kusign of which asipoipresent parliament in 14 days inakuwa law so anajifanya smart kumbe kuna wasomi Kenya
@hanifa9153
4 күн бұрын
😂😂😂
@ProdactTV-T9814
4 күн бұрын
Na parliament inaenda recess till July 24. Ruto anafikiria sisi ni mafala.
@harithimahmoud15774 күн бұрын
ALIILANI URUSI HATIMAE MUNGU KAMLAANI YEYE 😂 RUTO NI RAIS WA HOVYO SANA
@issakibwana64974 күн бұрын
Moja ya mabango ya wanda manaji huko Kenya. Aliandika. Hata zuwena hajabadilika ghafla ruto amebadilika ghafla Jmn 😢
@furahachuma9039
4 күн бұрын
Haaaaa 😅
@abdallasaid55934 күн бұрын
You can't advise Ruto ....Ruto is the one who advise his advisors.... huwezi elewa😂😂
@MohammedBwanga3 күн бұрын
Kw mujibu wa Hali ya watu wa nchini Kenya kuandamana,Muswada ulikuwa km busty lkn kuna kitu nyuma ya pazia lkn sababu kuu ni Ruto kuna kosa kubwa kalifanya la kimkakati la kimataifa kw wazo. Langu k w kiasi flani km. Alivosema Henry mwinuka kuna generation mbili 2 X na z hii Maana yake kuna mfanano wa ideology ktk vizaazi vi2 hivi vipo tofauti na mawazo na vipindi vya nyuma.lkn ndani ya waandamannaji kuna watu Wana target au shabaha ambayo ni mbali na Muswada. Lkn. Kw nini baada ya. Kauli ya Ruto tunaona bado maandamano hayakusita?
@user-en2md9kn5n4 күн бұрын
Samia must go😂😂
@hamadiizo4 күн бұрын
Big up
@kilogreekachananawatuwasio4054Күн бұрын
MBONA KUNA KAULI NILIMSIKIA KINYATA AKIMALIZA MIAKA 10 YA URAISI ANAINGI RUTO KWELI WANAMISWAKI AWA VIONGOZI WAWILI?????
@mohammedhimba16474 күн бұрын
Usalama wa Taifa kenya umempotosha Rais kwani walipaswa kulitambua hili na kumshauri Rais kwani Gen z walihasishana kwenye mitandao siku kadhaa baada ya mswada kuandaliwa hivyo interejensia hawakumshauri vizuri au walifanya kazi kwa mazoea...
@Nagmah-gf4lp2 күн бұрын
Mungu saidia
@sonnyr18994 күн бұрын
Alifu nilicho penda hawa vijana waliandamana bila kutumia mwanvuli wa chama chochote bali waliungana kutetea maslahi mapana Ya wananchi.
@RuttaJames-kh5jx4 күн бұрын
Tanzania bajeti himepitiswa au bado hila bongo Huwa hatuna hakili kbs
@alphadreammedia
4 күн бұрын
Tayari imeshapitishwa Ina 49.67 Tirion
@johnmichaellukindo21
4 күн бұрын
Imegawanywa vipi?
@Eng24604 күн бұрын
This is SnS🔥🔥🔥🔥💪💪💪💪
@nomoboy1522 күн бұрын
#SNS Naomba kujibiwa kama usalama wa taifa wanasimamia usalama kwani pesa zinavyopigwa na viongozi hawaoni kama raia ambao wanaona pesa zinapigwa kila siku amani inazidi kuwa ndogo na wao wazuie au ndo na usalama wa taifa ni miyayusho pia
@billskeez924 күн бұрын
Nakubaliana nawewe Ally Masubi 👏 Mpaka Sasa kinacho takiwa RAISI RUTO ajiuluzu tuu
@bbng94754 күн бұрын
🔊🎼✌️🫶pow kweli kaka Colorado moja✌️🔊🎼
@M7-Band4 күн бұрын
Tatizo jamaa anajifanya so smart,but vijana wa saivi ten steps ahead of him,we cant trust him anymore. hata kama amekataa kusign,after 14days inakuwa sheria
@oyay28214 күн бұрын
I am happy no deaths today Thursday 27th, and we are slowly going back to calm.
@msafirimaulidi50544 күн бұрын
Wachambuz,sma ,skyks na masubi mpo vizur najua mnatakan kuitaja tz lon ndo ivo wasiojulikana wapo smwhere, lkn wa cuba tunaelewa🫡
@djsma255
4 күн бұрын
😂 watu wa cuba mnamatatizo nyie😂
@user-cw2nj4io3v4 күн бұрын
Tatizo hili haliko Kenya tu, bali ni la Afrika mashariki kwa ujumla wake, viongozi wetu wanalipina posho, wabunge wanaoptisha Sheria kandamizi wanalipwa mishahara mikubwa, kazi wanazofanya hakuna, wananunua magari ya kifahari, badala ya kupunguza matumizi ya Serikali kipau mbele chao ni kuwabebesha mzigo wa Kodi, hili la Kenya liwe fundusho kwa nchi zetu za Afrika mashariki.
@swalehbakari26673 күн бұрын
Sisi atumtaki yeye iyo 2027 tuta mpeleka home 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@Mama-A4 күн бұрын
First half imeisha....reject finance bill 2024 1-0 Second half..........Ruto must go
@chapuztv30404 күн бұрын
Bamutowe tu because Africa ataisumbua alifurahi bakia banashabulia Congo bamutowe hatujafulahi kuungana na marikani
@mpjozzegalvanize4926
4 күн бұрын
😂 batamutoa tuu papaa
@maidimples82364 күн бұрын
Tunawasikiliza vizuri but when its came Tanzania you guys do go specific on the issue
@user-ls2fq5ks7f4 күн бұрын
Mm binafsi kwa Maoni yangu Naona kama Wakenya wamewekwa kwenye mtego Kwa sababu Bunge limefungwa kwa Likizo mpk July inamaana kwa katiba yao hata kama Ruto Hatasaini Siku 14 zikipita bila Bunge kwepo Kazini huu Mswada itakuwa Sheria kwa hiyo Kuna mtego kati Rais Bunge thidi ya Wakenya
@hanifa9153
4 күн бұрын
😢😢😢
@cooljay9489
4 күн бұрын
ndomana bdo wana protest
@elishakimanga14 сағат бұрын
Maana ya yule askari kukatika mikono inamaanisha serikali ya luto wataitoa madarakani
@jumaramadhan16004 күн бұрын
Wabunge waliopitisha mswada wa fedha waliangalia upande mmoja WA kujilikimbizia mali na kutowajali waliowapeleka bungeni😢
@saimongilala89384 күн бұрын
Yan alipo kwenda kwa mashoga kuiponda urus 🇷🇺 nilimzalau sana
@Elizabeth-gq9kl
4 күн бұрын
Ushagatamu!!
@Elizabeth-gq9kl
4 күн бұрын
Yeye Huwa kigeugeu.
@Elizabeth-gq9kl
4 күн бұрын
Hapo ndio tunaenda , Alikuwa zaidi ya 150
@user-bv6ew9po7u4 күн бұрын
This is East African spring. Viingozi wa Africa Mjitasmini zakayo omba Mungu lasivo hiyo Matako hutaweka tena kwa kiti Raiyaa wameshakushtukia wewe ni Kibaraka wa Western
@HamiduMtandika-lc2tp4 күн бұрын
Ally umenifurahisha eti hapitajiki D mbili kukuelew yan principles pass
@JacksonMartin-pb2vq4 күн бұрын
Ukiingia mkataba na Marekani hakuna kujiuzuru mpaka utimize malengo yao yani hakuna tofauti na kuchukua mkopo kwenye app ya simu hakuna kutoka mpaka umalize deni Ruto kayavagaa
@aminaali792
4 күн бұрын
Dah!!
@aminakenea96144 күн бұрын
Je Imani zao zina ufahamu ya kwamba mungu yupo? Wakipata jawabu,Mtondia naakini watabadilika na kila kitu kitakuwa sawa
@Elizabeth-gq9kl4 күн бұрын
Watanzaniya, Huku Kenya tumeshinda , lakini bado tunasonga mbele
@jafarimnaro704
4 күн бұрын
Tuko nyuma yenu majirani
@golebenson4597
4 күн бұрын
🎉🎉🎉
@mosesg.pendael83814 күн бұрын
Sma em ongelea KENYA, acha kuongelea RUTO. Maana inaonekana uko against RUTO tangu atoke kutafuta msaada America. Umeulizwa swali......Je suala hili litasambaa AFRICA?.....Jibu hilo, acha kum attack Ruto!
@gasparmpoma38604 күн бұрын
Let's Wait and see Today's Demonstration. We pray for you Kenya, if this was God's plan it will be inevitable.
@wkjshsxbbsbs6392
4 күн бұрын
We gave him 48 hours
@user-ho2jy6mc8i3 күн бұрын
Ruto must go 🤨🤨
@hamoudcreator63434 күн бұрын
Hao Wabunge Nyuma ya Ruto, Wote ni Wezi na Mafisadi... Eti Leo hii, Wanapiga Makofi...😢 Na juzi mwandishi aliuliza Swali wakacheka sana kwa dharau...
@salehkhalfan73454 күн бұрын
Tunafahamu Changamoto za kiutendaji lkn GPS Kwa njia ya cm haiko smart kabisa
@HamiduMtandika-lc2tp4 күн бұрын
Hii issue ya mapinduz bolvia imekaaje wakuu
@MargaretNyambura-zm5em4 күн бұрын
Gen Zs after 21 day hii bill itaanza kufanya kazi,ache kutumbemba ujinga hakuna kutuliya Leo ni maandamano Hadi atoe Bill yote chini
@3erffeoui864 күн бұрын
HII MWASADA IMF NDIO IMESUKUMA ATA WALI HONGA KILA MUBUNGE MILLION MBILI KENYA SHILLINGS
@NepporSabith4 күн бұрын
Duhhhhhhh ubabe unamwisho
@isaacramadhan97214 күн бұрын
Hawa vijana kuingiya state house siyo tatizo maana naona kama bunge walingiya na kuchoma na wabunge kuingiya mitini basi state house wanaweza ingia, Rais wao asijipige kifuwa lazima asikize wananchi maana wee kenya nawapa heko
@lovebitegang4 күн бұрын
Cheki uyo dada mweupe Alivo na komweeeeee😅😅😅😅
@zenajustus5731
4 күн бұрын
Ndiye mwizi mwingine waporaji wa serikali ya kenya.
@hemedmwipopo7804 күн бұрын
Haina maana because too late
@aminakenea96144 күн бұрын
Yani imejitokeza kiongozi tulio Wachovia ni ukosefu wa INANI kbsa
@gregorymukui9804 күн бұрын
Shida ya ruto ni utumiaji wa pesa kwa wambunge kama sudi, ichungwa,ndindi nyoro wanazunguka na pesa kaa miungu ndo wanavyo chomewa manyumba na maafisi kisha tulipe kodi wakule mbure manyangao😭😭😭
@Jibambeshow254k4 күн бұрын
Zakayo kiburi yake ndio imefanya afikishue hapa jamaa amepata mamlaka akawapotezea wanchii atajua hajuii marahii atarefuka n hio ufupii kavule bakuli ymboga mwizii mkubwa n kibaraka w mashoga U.S mtu pumbavuu kabisa
@mpefu_49364 күн бұрын
Kwenye hiyo lazima kutokee vifo akuna uhuru bila damu hiyo walijua kabisa ni kitendo Cha kuamua
@hbdina4 күн бұрын
🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿 Mimi kama Mtanzania nasisitiza tuachane na mikopo Hasa ya IMF na IMF ni vyombo vya kutunyonya tubaki masikini.Ni mashirika ya nchi za Magharibi ni pesa zao wanaprint tu.
Kakonda Ruto katoka shingo iyo 😂😂famasihara😂na nguvu ya umma Tanzania 🇹🇿 pekee ndo tutakaochelewa kujipigania wasanii wetu hawapo pamoja na wananchi wapo na serikali bega kwa bega kwa maslahi yao kenya wasanii wao wameungana na wananchi kuipinga serikali bongo wafanya biashara wamegoma hakuna sauti ilopazwa kuwapigania
@user-pi4et2cc7s4 күн бұрын
KENYA NA WAPA PONGEZI SANA KWA MISIMAMO WENU NA UMOJA WENU HONGELENI SANA AMANI ITAPATIKANA KWA DEMOKRASIA AU KWA ICHA YA UPANGA.
@salmasaid70584 күн бұрын
Leo hadi ikulu
@jamilaathumani54814 күн бұрын
Kaka smaa we ujuwi kumbe unasema wangeweza kukubali mapema kabla ya maafa...shida walikuwa wanapima upepo wa wananchi...viongozi bwana wanakopa mipesa mingii alafu wanafanya ufisadi alafu maden yote wanatutupia sisi wananchi wakawaida..
@djsma255
4 күн бұрын
Najuwa walikuwa wnapima, na ndio mana nikasema wangeweza kukubali mapema, ukipima ni 50,50 inaweza kukubali au kubuma, so r u ready to take the risk? Narudia tena wangeweza kukubali mapema, niliongea haya kabla ya mandamano nawajuwa wakenya
@jamilaathumani5481
4 күн бұрын
@@djsma255 Mimi nipo pamoja Sana na ninyi kaka smaa .Yan aya mambo yamakato bila sababu nikwer yanaumiza Sana wananchi Yan ..maisha magumu no ajira mikod mikubwa watu hawana furaha ya maisha kabisa..ila ndo ivyo inabidi ukae tu kimya..maufisadi..
@husseinmassawa7186
4 күн бұрын
Sifa ya kiongozi bora ni awe hatua tatu zaidi mbele kabla ya kuamua jambo hususani kwa wananchi wenye misimamo mikali ka wakenya..ile bills aisee ilibidi ajue kinachofuata ni kipi, ilibidi mapemaaaa aitie kibiritii😅
@jamilaathumani5481
4 күн бұрын
@@husseinmassawa7186 tatizo walijizima data walijisahau wakazania wakenya wamepowa kumbe Bado wapo active Zaid na washachoka na maisha mda tu ivyo kujiripua kwao sio tatizo..safi ila maandamano yawe ya amani tu Kila la heri kwao wakenya
@fahmanalbulushi29254 күн бұрын
Tusisahau kuwa kabla ya south africa nigeria waliteta demonstration ya wafanya kazi na kufata Kenya na Tanzania Wana demonstration ya wafanya biashara hii ni wimbi la vijana ambalo mmojanya wasemaji marekani alisema Kuna nguvu ya umma ambayo Ina nguvu Sana la kufanya ninkukaa mbali na kuwapa njia na kuwasikiza
@wkjshsxbbsbs63924 күн бұрын
We don't need anything from ruto but to leave the office
@abdallasaid55934 күн бұрын
You can't kill us and lead us....he shud resign Ruto must Go🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪occupy state house
@DanielMukora-jx1bh
4 күн бұрын
Kwahivo tuyaite mapinduzi
@abdallasaid5593
4 күн бұрын
@@DanielMukora-jx1bh ndio we want him to resign peacefully hatuna Imani nae
@danielmgalla5584 күн бұрын
During consultative meeting na wananchi waliukataa mswada mzima kwa 90℅. So basically ni mswada mzima unakataliwa
@jenifferwanjira61244 күн бұрын
Sad
@beatricemortensen85334 күн бұрын
Hii ilyotokea Kenya ni UHAMSHO wa nchi nyingine.za.Afrika, hasa hasa nchi majirani zenye tabia km ya Kenya, Rushwa, Wizi wa fedha za UMA, serikali nguli km mnavyojiita .
@timothykaiza3274 күн бұрын
Kwan shida iko kwa wa bunge walioamua au ni Ruto kaagiza hivyo, naomba kupewa elimu hapo
@exclusive4528
4 күн бұрын
Ruto anafaa kuskiza wabunge ila anawahonga na kuamua yeye Sheria ila sivyo Sheria itakavyo...kwaio yeye analazimisha anavyotaka yeye ndo tatizo
@KuwakuMalumba68954 күн бұрын
🫵🏿👊🏿🇰🇪🇧🇮🇨🇩🇹🇿🇷🇼👊🏿🫵🏿Kweli Kaka matatizo Africa yana fanana sana! Viongozi awajali watu wa Africa's 😢 Africa ali ningumu sana sana😢 Africa watu wana kufa kila siku😢 wa Africa shida nikila siku 😢 Africa viozozi wana iba sana😢 Africa akuna madawa hospital 🏥 😢 Africa kila siku ni vita😢 lazima tukataye sasa😢 Africa President's they don't care about Africa's people's 😢 Africa's President's they keep make us Africa's people's be more poor every day 😢 Africa is very poverty every day! Kwa kweli sisi wa Africa tuna shoka na viogozi wa Africa's😢 Kila mwaka wa Africa tuna kimbiya Africa kuja Europe 🇪🇺 sio kwetu 😢America 🇺🇸 sio kwetu😢 UK 🇬🇧 sio kwetu😢 Australia 🇦🇺 sio kwetu 😢 Canada 🇨🇦 sio kwetu 😢 lazima tutegeneze Africa yetu sasa hivi😢 our Africa's President's they keeps send our money 💰 Africa's people's to Europe and America 🇺🇸 how many Africa's people's died every day in Africa 😢 we need change now all Africa 😢 power to all people's of Kenya now 🇰🇪🇧🇮🇨🇩🇹🇿🇷🇼🫵🏿👊🏿
@samtechtanzania32524 күн бұрын
Ruto alitaka kukurupuka inatakiwa atumie akili kubwa san na tena angeruhusu jeshi ndio ingekuwa mbaya zaid ingekuwa kama 2007 hali ingekuwa mbaya sna
Пікірлер: 295
Vijana wa Kenya wametoa funzo kubwa sana kwa vijana wa nchi zingine za Africa.
@simonmartin5358
4 күн бұрын
Yah is that true.
@BenPeter-vp2cy
4 күн бұрын
Hususan kwetu Tanzania tunapaswa kugeuza uoga kuwa courage kunakiongoz alitutusi kwa kusema tuamie rwanda asee dah
@jeremiahcharles6027
3 күн бұрын
Hadi vijana wa hovyo nao???😁😁
@BenPeter-vp2cy
3 күн бұрын
@@jeremiahcharles6027 wote
@leonardyona1462
2 күн бұрын
Hasa Tanzania
Sio kenya , hata Tanzania ndio uozo mtupu. Mama na kina mwigulu.nchemba na ccm wote waondoke kama inavyoendelea south Africa, tumechoka kunyonywa damu
@missp1814
4 күн бұрын
Wacha warelax tu muda utaongea😂😂....
@BenPeter-vp2cy
4 күн бұрын
Ndo alisema kama atutaki tozo twende rwanda .
Nimesikuliza sana Hotuba ya Ruto lakini binafsi nimeona mambo mengi. 1. Ruto amepoteza kujiamini na anajaribu kutafuta huruma ya wananchi wake. 2. Amethibitisha kwamba Serikali yake haijui nini inataka kufanya na kusimamia mpaka wakumbushwe majukumu. 3. Ameshakumbuka alichokuwa amesahau kwamba nchi ni mali ya wananchi. 4. Ruto hajui Kusoma nyakati. Finally, alipaswa kuvunja Serikali Kisha ajiuzuru kwa kuwa tayari ameshaonesha udhaifu katika kusimamia masrahi ya Taifa.
@lusajondaga4892
4 күн бұрын
😊
@cocotz1892
4 күн бұрын
💯
@omarsirleem7105
4 күн бұрын
swadakta ndugu umeongea ukweli.....watanzania tunawapenda
@margarethpolepole7438
4 күн бұрын
Kiongozi yeyote hata kama ni Rais lazima ukubali kukosolewa Kiongozi asiyekuvali kukosolewa hastahili kuwa kiongozi lazima aelewane na wananchi wake
@ShabanKarim-tv3vn
4 күн бұрын
❤
Na hapo kwenye wapinzani ku take advantage ndio unamkumbuka sun tzu kwenye art of war " when things mess around take the advantage" yani kufa kufaana.. dj sma anaelewa hii❤❤
@djsma255
3 күн бұрын
Uko vizur
Kwanza kabisa niwashukuru SNS kwa kuanzisha kipindi cha GPS na kuanza kuchambua mambo kadha wa kadha. Mliyokuwa mkiyaongea/kuyachambua siku chache nyuma yametokea. Big up sana !!
Kwanzo KDFaskari kazi yake ni kulinda mipaka ya nchi hawezi kupiga risasi ndani ya nchi##Ruto must go
Dj smaa we ni hatari bro daaahhh uko njema
Dj sma Ana PhD ya uchambuzi nimekufwatilia zamani , salute
We need ruto to gasp for air,aongoze akijua anaongoza raia siyo Bibi,mamake,watoto,mpango wa kando,ruto akifaulu kuongoza hii Kenya miaka mitano basi atakua amechoka sana na kuzeeka,awe pia mwangalifu asije pigwa lisasi na security wake
Acheni kuongelea hizi mambo mna mtisha raisi wenyu Samia nasikia ........... nyie hamuoni hata Millard Ayo hame simamisha kupost😂
Iwe jua, iwe mvua, he must GO.
Dah polen sana ndugu zetu mungu awatie nguvu katka kipind munachopitia
Hawezi kabisa kujiuzulu kwa sababu keshakula pesa za marrekani
@benoseaone
4 күн бұрын
Kula pesa za Marekani isiwe kigezo cha kuwabenesha raia wa Kenya mzigo ambao hawakuutaka wao. Akalipe mwenyewe
Duh ,,,kama wananchi wanaamua hivo ,,bila shaka kuna watu wanaifadhili hii ishu,,,kuna watu wazito wako nyuma
@evelynemugeni2369
4 күн бұрын
Ndo manaake
@user-di9hk7bw5w
Күн бұрын
@@evelynemugeni2369unawezaj kufadhili mamilion ya watu
Jamaa anatuma hadi snipers kuuwa protesters. Snipers walikua located kwa jengo la KICC juu😢
600ml k/sh ndio bajet ya first lady? Hii sio sawa.
Kuna mke wa zakayo naye anasumbua sana kwenye taifa la ughaibun naye amekuwa kero tena shidaa hajui nini maana ya maisha ya mnyonge. Ipo siku mnyonge mnyongen lakin hakiyake mtatoa.
PIYA TANZANIA YENU IZUNGUMZIENI LISU ANAANDAMANA PIYA AU AMONI? AU MPAKA WATU WAFE NDO YATAITWA MAANDAMANO? AU KUMUOGOPA SAANA SAMIA? MBONA MUNAMPAMBA SAANA UYO MAMA WENU AU MNASAAU KM NILAZIMA AWASAIDIE RAIYA YEYE KM RAHISI? TANZANIA MDOMO SANA NA YAKWENU YANAWASHINDA TUACHENI NA KENYA YETU😭😭
@richardrichope3528
4 күн бұрын
Yani wakenya sijui vichwa vyenu vina nini au ni ujii? Watu huku tunataka muungano wewe unataka kenya kaa nayo tumekuachia mginga nini
@zayumar2955
4 күн бұрын
😅😅😅😅 mwache Mwenzio akili imevurugika na mabomu ya machozi😅😅😅@@richardrichope3528
@zayumar2955
4 күн бұрын
Sio rahis kiivyo ila (MUDA UTAONGEA SISI AFRICA NI NDUGU)🇹🇿🇹🇿🇰🇪🇰🇪❤️❤️
Tuisubili hii TANZANIA tizama migomo ya kufanya biashara hii itatupeleka mbali kama viongozi hawata sikiliza wananchi
Kizuri Ruto must go, wanatuleteya muswada wa kufanya Watu wateketeye hao they dont care.
Ruto hutuba yake sikuitegemea ilivyosema.... vile nilidhani atajiuzuru....Kenya stand up All the best mpka mpate haki zenu maraisi wa Africa iwe fundishoo kutoka Kenya
GPS Hongera Hongera Tena kwa uchambuzi wenu ulio kuwa pansa na wasi
SNS mpo vizuri sana...
Sns tukumbushane ,,chanzo cha yote hayo ,ni kutokea kwa Muigizaji ERICK OMOND Ndie mtu wa kwanza kuibua hizi mambo na kutia nguvu ,na erick omond amekuwa mstari wa mbele sana kwa hii ishu ya maandamano ya kupinga mswada
@jedidahbintidaudi8241
3 күн бұрын
dah ila umesema kweli kabisa. ndi yeye huyu jamaa
Dah alishindwa kuwaambia polisi wasiwaue watu, kashabeba dhambi za damu za watu, honest is too bad,
Leo ndio FINAL MAANDAMANO
Balaaa sana must go
Samahani bro ni kimekosea kuituma hapo. Utuko pamoja bro.
Tatizo la ruto ni kujifanya m babe kwa wananch wa kenya huu upuuuz labda kwetu tz il xo kwa Gn Z #kenya Na huku kwetu tz watoto wa 2000 kinukixheni
@KOMASAVAOG-yb1mm9fk1r
4 күн бұрын
KWELI KBX KAKA TZ WASAANI WANAMPAMBA SAANA UYO MAMA SAMIA WANASAAU KM NIMAJUKUMU YAKE ANALAZIMIKA AFANYE NA YAKIMXHINDA ATOKE KILA SIKU MAMA MAMA MNASAAU KM KIJIJINI WATU TUNA ANGAIKA YAANI KAWA WEKEYA MADARAJA DAR 2 BS MNAONA TZ IMEFANA DAH😭😭
@user-hj4bc5uh2x
4 күн бұрын
Watoto wa 2000 wamejaa mashoga
@husseinhemedi9314
4 күн бұрын
@@KOMASAVAOG-yb1mm9fk1rtz ni tatizo bila katiba mpya hakuna kipya
@margarethpolepole7438
4 күн бұрын
Hussein hana ubabe wowote swala kubwa nu kuelewana tu haina haja ya kuandamana hapo tatizo kybwa Wakenya wanasumbuliwa na Ukabila tu
@sonnyr1899
4 күн бұрын
@@husseinhemedi9314 Katiba mpya ndio itaondoa uvivu wa akili kwa vijana? Tuwe wa kweli vijana walio wengi wa Bongo wako bize na upuuzi, kubeti, ushoga, kumfuatilia Mwijaku na Mama Levo, vita vya Dai na Kiba. Mtu anashinda mtandaoni akiomba like kuliko kuomba kazi nadhani tunahitaji kubadili tabia zetu.
Tuliomuelewa dj smaa huyo mtu aloshindwa kumtaja tujuana 😂
Mshupaza shingo huvu jika kabisa ruto must go
Mkiwa pamoja habari ndo inanoga vzr
Haja withdraw. Amekataa kusign tuu ila after 14 days mswada utakuwa sheria automatically. Bunge linaenda mapumziko mpaka 24 july, siku 14 zitakuwa zimeisha.
Ruto must go
Hasira ya mwanadamu haijawahi kutenda haki na kenya wajue Ruto Hana cha kupoteza anaweza kuondoka akawaachia nchi yao iliyoharibika kwa vita na umaskini...Mungu awape utulivu ili maamuzi ya hao vijana wa 2000 wasio na akili wajue mihemko haisaidii lolote...zaidi sana ni kumwaga damu na kuiweka nchi rehani
@bensonsimwa7263
4 күн бұрын
Wewe ujui chenye unaongea ungeliishi Kenya ungelijua, nyamaza, ndio haki ipatikane sio vile unadhani, your out of modern generation,
@DanielMukora-jx1bh
4 күн бұрын
Very true
@DanielMukora-jx1bh
4 күн бұрын
@@bensonsimwa7263iwapo atatoka ujuesio malaika ataingia,heri huyu tumeweza kulekebisha na akakubali
@zenajustus5731
4 күн бұрын
Ungezaliwa Kenya ungeelewa,so huna makosa coz hujui shda zetu,but usiwe mwepesi wakuchagua mrengo bila kuchambua source yenyewe.
@hudumablack9339
4 күн бұрын
Eti hasira ya mwanadamu haijawahi kutenda haki: Wewe ni mjinga kweli kweli, ya Dini unatuletea hapa? Ya Mungu mpe Mungu na kaisari mpe yake. Sasa kaisari amepata haki yake na amebadilisha mswada sasa kwa kuwa ameua raia wake, lazima Ruto aondoke.
Raïs wa AFRICA wapenda kuoneya rahiya. Hasa hawa wanao shirikiana na hawa wanyonya damu ma Beberu ya Europa na America.
Hawezi withdraw financial bill amekataa kusign of which asipoipresent parliament in 14 days inakuwa law so anajifanya smart kumbe kuna wasomi Kenya
@hanifa9153
4 күн бұрын
😂😂😂
@ProdactTV-T9814
4 күн бұрын
Na parliament inaenda recess till July 24. Ruto anafikiria sisi ni mafala.
ALIILANI URUSI HATIMAE MUNGU KAMLAANI YEYE 😂 RUTO NI RAIS WA HOVYO SANA
Moja ya mabango ya wanda manaji huko Kenya. Aliandika. Hata zuwena hajabadilika ghafla ruto amebadilika ghafla Jmn 😢
@furahachuma9039
4 күн бұрын
Haaaaa 😅
You can't advise Ruto ....Ruto is the one who advise his advisors.... huwezi elewa😂😂
Kw mujibu wa Hali ya watu wa nchini Kenya kuandamana,Muswada ulikuwa km busty lkn kuna kitu nyuma ya pazia lkn sababu kuu ni Ruto kuna kosa kubwa kalifanya la kimkakati la kimataifa kw wazo. Langu k w kiasi flani km. Alivosema Henry mwinuka kuna generation mbili 2 X na z hii Maana yake kuna mfanano wa ideology ktk vizaazi vi2 hivi vipo tofauti na mawazo na vipindi vya nyuma.lkn ndani ya waandamannaji kuna watu Wana target au shabaha ambayo ni mbali na Muswada. Lkn. Kw nini baada ya. Kauli ya Ruto tunaona bado maandamano hayakusita?
Samia must go😂😂
Big up
MBONA KUNA KAULI NILIMSIKIA KINYATA AKIMALIZA MIAKA 10 YA URAISI ANAINGI RUTO KWELI WANAMISWAKI AWA VIONGOZI WAWILI?????
Usalama wa Taifa kenya umempotosha Rais kwani walipaswa kulitambua hili na kumshauri Rais kwani Gen z walihasishana kwenye mitandao siku kadhaa baada ya mswada kuandaliwa hivyo interejensia hawakumshauri vizuri au walifanya kazi kwa mazoea...
Mungu saidia
Alifu nilicho penda hawa vijana waliandamana bila kutumia mwanvuli wa chama chochote bali waliungana kutetea maslahi mapana Ya wananchi.
Tanzania bajeti himepitiswa au bado hila bongo Huwa hatuna hakili kbs
@alphadreammedia
4 күн бұрын
Tayari imeshapitishwa Ina 49.67 Tirion
@johnmichaellukindo21
4 күн бұрын
Imegawanywa vipi?
This is SnS🔥🔥🔥🔥💪💪💪💪
#SNS Naomba kujibiwa kama usalama wa taifa wanasimamia usalama kwani pesa zinavyopigwa na viongozi hawaoni kama raia ambao wanaona pesa zinapigwa kila siku amani inazidi kuwa ndogo na wao wazuie au ndo na usalama wa taifa ni miyayusho pia
Nakubaliana nawewe Ally Masubi 👏 Mpaka Sasa kinacho takiwa RAISI RUTO ajiuluzu tuu
🔊🎼✌️🫶pow kweli kaka Colorado moja✌️🔊🎼
Tatizo jamaa anajifanya so smart,but vijana wa saivi ten steps ahead of him,we cant trust him anymore. hata kama amekataa kusign,after 14days inakuwa sheria
I am happy no deaths today Thursday 27th, and we are slowly going back to calm.
Wachambuz,sma ,skyks na masubi mpo vizur najua mnatakan kuitaja tz lon ndo ivo wasiojulikana wapo smwhere, lkn wa cuba tunaelewa🫡
@djsma255
4 күн бұрын
😂 watu wa cuba mnamatatizo nyie😂
Tatizo hili haliko Kenya tu, bali ni la Afrika mashariki kwa ujumla wake, viongozi wetu wanalipina posho, wabunge wanaoptisha Sheria kandamizi wanalipwa mishahara mikubwa, kazi wanazofanya hakuna, wananunua magari ya kifahari, badala ya kupunguza matumizi ya Serikali kipau mbele chao ni kuwabebesha mzigo wa Kodi, hili la Kenya liwe fundusho kwa nchi zetu za Afrika mashariki.
Sisi atumtaki yeye iyo 2027 tuta mpeleka home 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
First half imeisha....reject finance bill 2024 1-0 Second half..........Ruto must go
Bamutowe tu because Africa ataisumbua alifurahi bakia banashabulia Congo bamutowe hatujafulahi kuungana na marikani
@mpjozzegalvanize4926
4 күн бұрын
😂 batamutoa tuu papaa
Tunawasikiliza vizuri but when its came Tanzania you guys do go specific on the issue
Mm binafsi kwa Maoni yangu Naona kama Wakenya wamewekwa kwenye mtego Kwa sababu Bunge limefungwa kwa Likizo mpk July inamaana kwa katiba yao hata kama Ruto Hatasaini Siku 14 zikipita bila Bunge kwepo Kazini huu Mswada itakuwa Sheria kwa hiyo Kuna mtego kati Rais Bunge thidi ya Wakenya
@hanifa9153
4 күн бұрын
😢😢😢
@cooljay9489
4 күн бұрын
ndomana bdo wana protest
Maana ya yule askari kukatika mikono inamaanisha serikali ya luto wataitoa madarakani
Wabunge waliopitisha mswada wa fedha waliangalia upande mmoja WA kujilikimbizia mali na kutowajali waliowapeleka bungeni😢
Yan alipo kwenda kwa mashoga kuiponda urus 🇷🇺 nilimzalau sana
@Elizabeth-gq9kl
4 күн бұрын
Ushagatamu!!
@Elizabeth-gq9kl
4 күн бұрын
Yeye Huwa kigeugeu.
@Elizabeth-gq9kl
4 күн бұрын
Hapo ndio tunaenda , Alikuwa zaidi ya 150
This is East African spring. Viingozi wa Africa Mjitasmini zakayo omba Mungu lasivo hiyo Matako hutaweka tena kwa kiti Raiyaa wameshakushtukia wewe ni Kibaraka wa Western
Ally umenifurahisha eti hapitajiki D mbili kukuelew yan principles pass
Ukiingia mkataba na Marekani hakuna kujiuzuru mpaka utimize malengo yao yani hakuna tofauti na kuchukua mkopo kwenye app ya simu hakuna kutoka mpaka umalize deni Ruto kayavagaa
@aminaali792
4 күн бұрын
Dah!!
Je Imani zao zina ufahamu ya kwamba mungu yupo? Wakipata jawabu,Mtondia naakini watabadilika na kila kitu kitakuwa sawa
Watanzaniya, Huku Kenya tumeshinda , lakini bado tunasonga mbele
@jafarimnaro704
4 күн бұрын
Tuko nyuma yenu majirani
@golebenson4597
4 күн бұрын
🎉🎉🎉
Sma em ongelea KENYA, acha kuongelea RUTO. Maana inaonekana uko against RUTO tangu atoke kutafuta msaada America. Umeulizwa swali......Je suala hili litasambaa AFRICA?.....Jibu hilo, acha kum attack Ruto!
Let's Wait and see Today's Demonstration. We pray for you Kenya, if this was God's plan it will be inevitable.
@wkjshsxbbsbs6392
4 күн бұрын
We gave him 48 hours
Ruto must go 🤨🤨
Hao Wabunge Nyuma ya Ruto, Wote ni Wezi na Mafisadi... Eti Leo hii, Wanapiga Makofi...😢 Na juzi mwandishi aliuliza Swali wakacheka sana kwa dharau...
Tunafahamu Changamoto za kiutendaji lkn GPS Kwa njia ya cm haiko smart kabisa
Hii issue ya mapinduz bolvia imekaaje wakuu
Gen Zs after 21 day hii bill itaanza kufanya kazi,ache kutumbemba ujinga hakuna kutuliya Leo ni maandamano Hadi atoe Bill yote chini
HII MWASADA IMF NDIO IMESUKUMA ATA WALI HONGA KILA MUBUNGE MILLION MBILI KENYA SHILLINGS
Duhhhhhhh ubabe unamwisho
Hawa vijana kuingiya state house siyo tatizo maana naona kama bunge walingiya na kuchoma na wabunge kuingiya mitini basi state house wanaweza ingia, Rais wao asijipige kifuwa lazima asikize wananchi maana wee kenya nawapa heko
Cheki uyo dada mweupe Alivo na komweeeeee😅😅😅😅
@zenajustus5731
4 күн бұрын
Ndiye mwizi mwingine waporaji wa serikali ya kenya.
Haina maana because too late
Yani imejitokeza kiongozi tulio Wachovia ni ukosefu wa INANI kbsa
Shida ya ruto ni utumiaji wa pesa kwa wambunge kama sudi, ichungwa,ndindi nyoro wanazunguka na pesa kaa miungu ndo wanavyo chomewa manyumba na maafisi kisha tulipe kodi wakule mbure manyangao😭😭😭
Zakayo kiburi yake ndio imefanya afikishue hapa jamaa amepata mamlaka akawapotezea wanchii atajua hajuii marahii atarefuka n hio ufupii kavule bakuli ymboga mwizii mkubwa n kibaraka w mashoga U.S mtu pumbavuu kabisa
Kwenye hiyo lazima kutokee vifo akuna uhuru bila damu hiyo walijua kabisa ni kitendo Cha kuamua
🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿 Mimi kama Mtanzania nasisitiza tuachane na mikopo Hasa ya IMF na IMF ni vyombo vya kutunyonya tubaki masikini.Ni mashirika ya nchi za Magharibi ni pesa zao wanaprint tu.
Ruto hakuwa chaguo la wakenya..ukweli unejukikana sasa. Huyo shetani lazima tumbandue
Kakonda Ruto katoka shingo iyo 😂😂famasihara😂na nguvu ya umma Tanzania 🇹🇿 pekee ndo tutakaochelewa kujipigania wasanii wetu hawapo pamoja na wananchi wapo na serikali bega kwa bega kwa maslahi yao kenya wasanii wao wameungana na wananchi kuipinga serikali bongo wafanya biashara wamegoma hakuna sauti ilopazwa kuwapigania
KENYA NA WAPA PONGEZI SANA KWA MISIMAMO WENU NA UMOJA WENU HONGELENI SANA AMANI ITAPATIKANA KWA DEMOKRASIA AU KWA ICHA YA UPANGA.
Leo hadi ikulu
Kaka smaa we ujuwi kumbe unasema wangeweza kukubali mapema kabla ya maafa...shida walikuwa wanapima upepo wa wananchi...viongozi bwana wanakopa mipesa mingii alafu wanafanya ufisadi alafu maden yote wanatutupia sisi wananchi wakawaida..
@djsma255
4 күн бұрын
Najuwa walikuwa wnapima, na ndio mana nikasema wangeweza kukubali mapema, ukipima ni 50,50 inaweza kukubali au kubuma, so r u ready to take the risk? Narudia tena wangeweza kukubali mapema, niliongea haya kabla ya mandamano nawajuwa wakenya
@jamilaathumani5481
4 күн бұрын
@@djsma255 Mimi nipo pamoja Sana na ninyi kaka smaa .Yan aya mambo yamakato bila sababu nikwer yanaumiza Sana wananchi Yan ..maisha magumu no ajira mikod mikubwa watu hawana furaha ya maisha kabisa..ila ndo ivyo inabidi ukae tu kimya..maufisadi..
@husseinmassawa7186
4 күн бұрын
Sifa ya kiongozi bora ni awe hatua tatu zaidi mbele kabla ya kuamua jambo hususani kwa wananchi wenye misimamo mikali ka wakenya..ile bills aisee ilibidi ajue kinachofuata ni kipi, ilibidi mapemaaaa aitie kibiritii😅
@jamilaathumani5481
4 күн бұрын
@@husseinmassawa7186 tatizo walijizima data walijisahau wakazania wakenya wamepowa kumbe Bado wapo active Zaid na washachoka na maisha mda tu ivyo kujiripua kwao sio tatizo..safi ila maandamano yawe ya amani tu Kila la heri kwao wakenya
Tusisahau kuwa kabla ya south africa nigeria waliteta demonstration ya wafanya kazi na kufata Kenya na Tanzania Wana demonstration ya wafanya biashara hii ni wimbi la vijana ambalo mmojanya wasemaji marekani alisema Kuna nguvu ya umma ambayo Ina nguvu Sana la kufanya ninkukaa mbali na kuwapa njia na kuwasikiza
We don't need anything from ruto but to leave the office
You can't kill us and lead us....he shud resign Ruto must Go🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪occupy state house
@DanielMukora-jx1bh
4 күн бұрын
Kwahivo tuyaite mapinduzi
@abdallasaid5593
4 күн бұрын
@@DanielMukora-jx1bh ndio we want him to resign peacefully hatuna Imani nae
During consultative meeting na wananchi waliukataa mswada mzima kwa 90℅. So basically ni mswada mzima unakataliwa
Sad
Hii ilyotokea Kenya ni UHAMSHO wa nchi nyingine.za.Afrika, hasa hasa nchi majirani zenye tabia km ya Kenya, Rushwa, Wizi wa fedha za UMA, serikali nguli km mnavyojiita .
Kwan shida iko kwa wa bunge walioamua au ni Ruto kaagiza hivyo, naomba kupewa elimu hapo
@exclusive4528
4 күн бұрын
Ruto anafaa kuskiza wabunge ila anawahonga na kuamua yeye Sheria ila sivyo Sheria itakavyo...kwaio yeye analazimisha anavyotaka yeye ndo tatizo
🫵🏿👊🏿🇰🇪🇧🇮🇨🇩🇹🇿🇷🇼👊🏿🫵🏿Kweli Kaka matatizo Africa yana fanana sana! Viongozi awajali watu wa Africa's 😢 Africa ali ningumu sana sana😢 Africa watu wana kufa kila siku😢 wa Africa shida nikila siku 😢 Africa viozozi wana iba sana😢 Africa akuna madawa hospital 🏥 😢 Africa kila siku ni vita😢 lazima tukataye sasa😢 Africa President's they don't care about Africa's people's 😢 Africa's President's they keep make us Africa's people's be more poor every day 😢 Africa is very poverty every day! Kwa kweli sisi wa Africa tuna shoka na viogozi wa Africa's😢 Kila mwaka wa Africa tuna kimbiya Africa kuja Europe 🇪🇺 sio kwetu 😢America 🇺🇸 sio kwetu😢 UK 🇬🇧 sio kwetu😢 Australia 🇦🇺 sio kwetu 😢 Canada 🇨🇦 sio kwetu 😢 lazima tutegeneze Africa yetu sasa hivi😢 our Africa's President's they keeps send our money 💰 Africa's people's to Europe and America 🇺🇸 how many Africa's people's died every day in Africa 😢 we need change now all Africa 😢 power to all people's of Kenya now 🇰🇪🇧🇮🇨🇩🇹🇿🇷🇼🫵🏿👊🏿
Ruto alitaka kukurupuka inatakiwa atumie akili kubwa san na tena angeruhusu jeshi ndio ingekuwa mbaya zaid ingekuwa kama 2007 hali ingekuwa mbaya sna