Goodluck Gozbert- Asante (Official Music Video) For skiza SMS 9865518 to 811

Музыка

Goodluck Gozbert presents "Asante" music video.
Watch Goodluck Gozbert New EP "Ushindi": • Goodluck Gozbert - Kin...
Follow Goodluck Gozbert
Instagram: goodluckgoz...
Subscribe to KZread Channel: / @gozbertministries
goodluckgozbert #Asante

Пікірлер: 849

  • @priscillarsidi2008
    @priscillarsidi200810 ай бұрын

    Hii nyimbo imeimbwa kwa ajili yangu... my husband was diagnosed with kidney failure, 2021, yaani zile mbio tulipambana, sema kusemwa I rem watu wakisema namroga ili nibakie na nyumba na gari... surely nyumba na gari ingenilelea watoto at this young age, I fought na magoti na maombi, alipata kidney last year he is doing well, n out of the country, sasa wale wabaya wanataka kurudi weeeeeh Mungu wangu sina cha kukwambia... kwa yote bali asante na jina lako lizidi kuinuliwa.... am now ready for my white wedding...

  • @KembiKalama

    @KembiKalama

    6 ай бұрын

    Glory to Jesus

  • @thebestofafricanadishes1300

    @thebestofafricanadishes1300

    6 ай бұрын

    Glory to God.. All is well.. When God say yes no man can say no

  • @HappyNdomba-id2yt

    @HappyNdomba-id2yt

    5 ай бұрын

    Amen

  • @WinnerNgowi-qi4wr

    @WinnerNgowi-qi4wr

    5 ай бұрын

    Woow utukufu ni kwa Mungu pekee aliyekutetea we na mimi anitete

  • @majiddiblo1597

    @majiddiblo1597

    4 ай бұрын

    Binaadam

  • @eyezonmichu
    @eyezonmichu2 жыл бұрын

    Wimbo huu ukamuinue kila mtazamaji

  • @neemakarisa4167
    @neemakarisa41672 жыл бұрын

    Asante Mungu kwa umbali huu...mengi umenivusha...barikiwa sana mtumishi wa Mungu kwa wimbo mzuri wa kumshukuru Mungu...Mungu akubariki na aibariki huduma yako Amen

  • @leahmtamba5986
    @leahmtamba59862 жыл бұрын

    Mnh asante hata kwa mabaya maana haukuyaruhusu yaniangamize!! I just love the song! Be blessed brother.

  • @cmou1750
    @cmou17502 жыл бұрын

    Umebarikiwa! Kutusemea sote tulioguswa na wimbo huu wako mpya, as always! Blessings!

  • @lalyngolochankulunzinza4479

    @lalyngolochankulunzinza4479

    2 жыл бұрын

    Barikiwa sana my brother kwn umefanyika baraka kwangu kupiti nyimbo zako 🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @rajachembe3078

    @rajachembe3078

    2 жыл бұрын

    God bless you

  • @ericmukabwa4563
    @ericmukabwa45632 жыл бұрын

    I thank God for true worshipers atleast kunao mmoja anatuthibitishia kutumainia Mungu ni vyema

  • @Aline-nq6vq
    @Aline-nq6vq2 жыл бұрын

    Nime gonga like nasija sikia wimbo 🙈🙈 nyinyi je?

  • @hellenpaul-kq7ed
    @hellenpaul-kq7ed5 ай бұрын

    Ahsanteeee Mungu najua utatenda zaidi na kwangu soon🙏 unajua ninachokuomb na kukumbusha kila siku😭😭🙏🏾🙏🏾

  • @jeremiahleonce2434
    @jeremiahleonce24342 жыл бұрын

    Umenibariki sana , huduma uliyoianza si nyepes sana kuna pepo nyingi zinavuma ila ukikaaa miguuni kwa wazee utafanya vyema zaid ya hapa; ni maombi yangu Mungu asiziache nyanyo zako ;

  • @OLELEMBRICE
    @OLELEMBRICE2 жыл бұрын

    Mungu juu ya vyote, hakuna anayeweza kupindisha injili, barikiwa sana gozbert kipaji ulicho barikiwa na akili havi nunuliki kwa pesa au mali.Wenye akili wameelewa.

  • @ambakisyemwakinunu2002
    @ambakisyemwakinunu20022 жыл бұрын

    Mungua aendelee kukulinda kna kukubari, nyimbo zako zinabariki wengi sana

  • @princebravoKE
    @princebravoKE2 жыл бұрын

    Who else is keeping this song on repeat mode?? I cannot explain what I feel when listening to this song! I just feel like this song is all about me! Thankyou Jesus your everything to me 🙏🇰🇪

  • @damariskanyoro5233

    @damariskanyoro5233

    2 жыл бұрын

    When it's done in spirit and in truth you will always know. I do keep alot of Goodluck's songs on repeat. I pray that God continues to use him for his glory 🙌🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @jamessabai6530

    @jamessabai6530

    2 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/pa2Fpcd8freugtI.html

  • @jamessabai6530

    @jamessabai6530

    2 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/pa2Fpcd8freugtI.html

  • @mrhabel1605

    @mrhabel1605

    2 жыл бұрын

    me too

  • @keithwafula121

    @keithwafula121

    Жыл бұрын

    I keep listening to it over and over😍

  • @luttumohamedfafara9630
    @luttumohamedfafara96302 жыл бұрын

    Mimi kwa imani ni muislamu lkn napenda nyimbo zako na ninazo nasikiliza kila mara.Nasikiliza mahala popote maana kwanza huwa hutumii neno Yesu bali hutumia neno Mungu kwahiyo nakua na amani maana hakuna wa kunikosoa kwa kusikiliza gospel kutokana na dini yangu.Mungu aendelee kukubariki hujawahi kukosea.

  • @alidiajoseph1922
    @alidiajoseph19222 жыл бұрын

    Whoever is reading this Merry Christmas and a prosperous 2022..Let's end this year with gratitude.. God will always be good.. He gave us His son.. Something a man cannot do.. Ata tukose yote ya Dunia, tumepewa YESU.❤️

  • @wafabian8116

    @wafabian8116

    2 жыл бұрын

    Amen merry Christmas to you too

  • @jamesmwaura2549

    @jamesmwaura2549

    2 жыл бұрын

    Amen 🙏

  • @petermwaura3655

    @petermwaura3655

    2 жыл бұрын

    Amen 🙏🥰

  • @mrseed4
    @mrseed42 жыл бұрын

    Soul touching music 🙏🙏

  • @nusramunini9650

    @nusramunini9650

    2 жыл бұрын

    Pia kazi lako unifuraisha,,,🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @IconBeatz

    @IconBeatz

    2 жыл бұрын

    Kijana etu, tunakupenda sanaa

  • @sammysamuel3010

    @sammysamuel3010

    2 жыл бұрын

    💯

  • @jacksonnyaito541

    @jacksonnyaito541

    2 жыл бұрын

    Mrseed wasemaje

  • @emmanuelbrownofficialke.-n7942

    @emmanuelbrownofficialke.-n7942

    2 жыл бұрын

    Indeed, Ngoma noma sana. God bless 🙏

  • @godblessgerard6914
    @godblessgerard69142 жыл бұрын

    Sisi ni Nan tusimwambie mungu ASANTE ,kwa yote Ubarikiwe sana mtumishi na kaka yangu #GoodluckGozbert

  • @FavouredKid
    @FavouredKid2 жыл бұрын

    Kama kawaida representing code +254🇰🇪,Goodluck you have always been a blessing😇 to many and I decree declare that this song is going to minster to people's life & be a true inspiration📢 . #ASANTE to the world🌏💯🌟🎼🔥. (1st Thessalonians 5:18)

  • @ixellesmbang4021
    @ixellesmbang40212 жыл бұрын

    que Dieu te benisse mon frere au nom de jesus.asante baba mungu ju ya maisha yako.rdc

  • @user-kx4vp2rb3e
    @user-kx4vp2rb3e8 ай бұрын

    Umeupiga mwingi Kaka,hakika mungu hatokuacha,, wimbo huu umenibariki sana

  • @jaydemattos9613
    @jaydemattos96132 жыл бұрын

    Asante Baba Kwa ha yote umenitendeya . Wendell wivu wamejaribu kuniharbia Nyumba yangu . Lakini umesimama na mimi Kwa Imani

  • @moricerichard982
    @moricerichard9827 ай бұрын

    Ubarikiwe sana Gozbert kwa nyimbo safi yenye kusheheni maana ya kushukuru baada ya kupata ahueni fulani ya masumbuko uliyopitia kupitia jina la Yesu. Nimeipenda sana na inazidi kunipa tumaini la kusonga mbele na Yesu wangu. Mungu akubariki sana kwa huduma hii ya uimbaji, uzidi kukua na kukua hadi kimataifa. Thanks brother Gozbert for the God words passage via Gospel Songs.

  • @marketing_storetz1257
    @marketing_storetz12572 жыл бұрын

    Hujawahi kuniangusha, mungu akuinue kwa viwango vya juu sana uwe sababu ya wengi kulijua na kulitumaini jina la kristo🙏nakuona mwimbaji mkubwa sana ajae Africa mashariki na duniani kote.

  • @neemamwantapila5202
    @neemamwantapila52027 ай бұрын

    Asante mungu nashukulu Kwa huu wimbo mana umegusa moyo wangu,Asante hata Kwa mabaya niliopitia.

  • @naomikalinga3042
    @naomikalinga30422 жыл бұрын

    Asante hata kwa wabaya wamenifundisha kuku tumani Asante baba Asante YESU barikiwa kwa uimbaji nzuri nautunzi mzuri

  • @aboy781
    @aboy781 Жыл бұрын

    Mungu shuka kwa mtumishi wako na ubari kazi yake maradufu kupitia jina ra yesu

  • @LoyceMungah-yo8hj
    @LoyceMungah-yo8hj8 ай бұрын

    Asante kwa wimbo umeniguza watching from kenya barikiwa sana kaka mungu akupe kibalizaidi

  • @melissaw9784
    @melissaw97842 жыл бұрын

    Asante Baba maana in wengi wanatamani kuona anguko letu Bali hujatuacha uko nasi umetishika na mkono wako wa KUUME MUNGU BABA waaibishe watesi wetu wakose mahali pa kuficha sura zao ASANTE BABA

  • @filledabrahamrm758
    @filledabrahamrm7582 жыл бұрын

    Kwa kweli nasema asante Baba. Nikiangalia mahali umenitoa nakosa lakusema. Uko Mungu kweli.

  • @estermpwan4739
    @estermpwan47392 жыл бұрын

    Ninakila sababu zakumrudishia shukrani Baba yangu hakika, Asante Bwana wangu. Barikiwa sana Mt

  • @dankanndalabha4160
    @dankanndalabha41602 жыл бұрын

    Mungu azidi kukutunza, najikuta narudia mala tatu tatu kuusikiliza huu wimbo.

  • @eunicekhigani6545
    @eunicekhigani654511 ай бұрын

    Nashkuru kwa wimbo msg iko ya kutia nguvu na kuweka karibu na mwenyezi mungu

  • @josphinegwehona185
    @josphinegwehona1852 жыл бұрын

    Asante Baba Wewe ni mwema Sina kukupa lakini Asante haziwezi tosha Be blessed Man of God

  • @christinapeter9284
    @christinapeter92842 жыл бұрын

    Asante 🙏 Sana Mungu amefanya mengi hapa nilipo Ni kwa uwezo wake .

  • @isackkissinger9299
    @isackkissinger92992 жыл бұрын

    Namshkuru mungu kwa umbali huu aisee! sijui ningekua wapi mimi. Jesus i love you.

  • @nyanjaujane6886
    @nyanjaujane68862 жыл бұрын

    Asante baba kwa mabaya kwa maana hukuruhusu yaniangamize.Asante kwa wabaya maana walinifunza kukutumainia.Mtetezi,mfariji,kibilio langu.

  • @marthajuma2840
    @marthajuma28402 жыл бұрын

    Huu wimbo unanitia machozi, Asante baba yote ni Kwa wema

  • @dayanapastor2322
    @dayanapastor23222 жыл бұрын

    AHSANTE BABA, naanza mwaka mwingine wengi hawajapata nafac lkn mm umenipa neema 🙏🙏🙏 si kwa kuwa maybe nimekuwa mwema sana bali neema, na Rehema zako🙏🙏🙏🙏

  • @patricktegea1430
    @patricktegea14302 жыл бұрын

    Amina hakika bwana nimwema nimefurahi Sana wimbo nauludia ludia siuchoki 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @brightondyausa7511
    @brightondyausa7511 Жыл бұрын

    🙏🙏🙏🙏🙏, asante baba kila siku mpya kwangu ni neema,.. 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @palukumessager7258
    @palukumessager72582 жыл бұрын

    Amen kwa hakika sisi Si bora kuliko wale ambao wametanguli.Hatuna budi ila kushukuku Mungu

  • @filledabrahamrm758
    @filledabrahamrm7582 жыл бұрын

    Huu ni wimbo wangu. Asante Baba Mungu kwa yote. Minakosa maneno.

  • @officialnalib5208
    @officialnalib52082 жыл бұрын

    Na Mungu anapokupa sauti ya kweli, inakua sauti ya kubariki kweli. Mungu akulinde kaka

  • @GIBSONESTON527-v1g
    @GIBSONESTON527-v1g4 ай бұрын

    Daah!! Nabarikiwa San kaka na uimbaji wako Mungu akuzidish baraka kwako

  • @elizabethkisongo5905
    @elizabethkisongo59052 жыл бұрын

    Ahsante sana mtu wa Mungu kwa wimbo wenye upako wa kufungia mwaka Mungu aendelee kubariki huduma yako, ubarikiwe mpk ushangae

  • @AbelJosephtz
    @AbelJosephtz2 жыл бұрын

    Tunaisubili mtumishi achiaaaaaaaaa

  • @husseinally7052
    @husseinally70522 жыл бұрын

    Mnaujua zaidi tuachieni hii nyimbo iende hadi january mana hamshindwi kuchafua hali hewa kisa tu mnajifanya mnajua sana,much thanks goodluck god bless u for giving us a good song.🙏

  • @mariagerald6763
    @mariagerald67632 жыл бұрын

    Asanteh hata kwa mabaya&wabaya walinifundisha kukutumaini MUNGU 🙌🙌🙌 #myBrother..Goodluck this is Powerful,🙏🙏🙏Barikiwa sanah

  • @beatricejohnkomba3076
    @beatricejohnkomba30762 жыл бұрын

    Ahsante baba wimbo mnzr ,mungu ahsante kwa nipigania uja nipungukia katika maisha yangu afya umenipa katika biashara naona mkono wako , Asante

  • @kasindanomathew6502
    @kasindanomathew65022 жыл бұрын

    Hakika mungu hamtupi mjawake , Goodluck endelea kumtukuza bwana wetu asiye na wivu maana yeye pale mwanadam anaposema tuone mwisho wake yeye ndo kwanza anazidi kunyoosha mkono wake hakika mungu ni mwema daima

  • @odaseston
    @odaseston2 жыл бұрын

    Kama umesubiri kama mimi gonga like

  • @godfreyishengoma6732
    @godfreyishengoma67322 жыл бұрын

    Hii ya kufungia mwaka. GOD BLESS YOU BROTHER

  • @joycetweve7351

    @joycetweve7351

    2 жыл бұрын

    Good song

  • @annastaziasanga2642

    @annastaziasanga2642

    2 жыл бұрын

    Umeona Eee

  • @faidandongo8218

    @faidandongo8218

    2 жыл бұрын

    L.

  • @samwellupimo1125

    @samwellupimo1125

    2 жыл бұрын

    Naona umepata Likes 43 hapa kwa gudlak go go go gozbert...... Ishengoma the great

  • @godfreyishengoma6732

    @godfreyishengoma6732

    2 жыл бұрын

    @@annastaziasanga2642 eee

  • @norahelipokea7581
    @norahelipokea75812 жыл бұрын

    Asante Mungu kwa kuzaliwa yesu christ leo nimeokolewa Asante babaa

  • @wordsofhopewestpalzab4875
    @wordsofhopewestpalzab48752 жыл бұрын

    Wouw my priority msani Una nipa tumaini yakusonga mbele na Imani, tunzwa na Mungu

  • @dixonjames8611
    @dixonjames86112 жыл бұрын

    Eeeh! Hivi mi najua labda nimtandao unazingua...dah..goodluck my brother umeshatuweza

  • @dkmedia1551
    @dkmedia15512 жыл бұрын

    Hii nyimbo imekwa kwenye repeat mode

  • @fideliemugombozi209
    @fideliemugombozi2092 жыл бұрын

    Sina kya ku kulipa baba, Ila tu na sema ahsante🙏🏽

  • @basimenyemwamakula3759
    @basimenyemwamakula37592 жыл бұрын

    Nauludia tangu siku niujue unapiga asubuhi mchana jioni Mungu akubariki

  • @deusderrick4504
    @deusderrick45042 жыл бұрын

    Barikiwa Sana mtumishi 🎶🙏

  • @egidius.charles
    @egidius.charles2 жыл бұрын

    Mwimbo mzuri sana @GoodluckGozbert. Siku hizi nautumia kama mwimbo wa shukrani

  • @wandedalushi2984
    @wandedalushi29842 жыл бұрын

    Nimelia Sana hakika Kama si Mungu nisingekua hai hii leo 😭

  • @godimahenge3345
    @godimahenge33452 жыл бұрын

    wimbo mzuli sana brother🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️

  • @PrincessOm3285
    @PrincessOm32852 жыл бұрын

    Ameeen wimbo mzuri kweli Asante baba God for all you've done to me 🙌🏾🤝🏾🎸🎸🎺❤️

  • @fabiannaasifiwe4732
    @fabiannaasifiwe47322 жыл бұрын

    Thanks, lord coz we finish the year, nimekuona kote katika this year, I am so grateful for this song🙏🙏

  • @Lucy-yv7zh
    @Lucy-yv7zh2 жыл бұрын

    Asante Mungu Baba.Asante Goodluck kwa wimbo huu., barikiwa sana.

  • @mrhomeelectricaldesigner7074
    @mrhomeelectricaldesigner70742 жыл бұрын

    Nakupenda sana wajina natamani sikumoja nikutane na wewe coz even mm naimbaa nahitaji sapory yako

  • @kalumbugideon4159
    @kalumbugideon41592 жыл бұрын

    Huu Ujumbe Good... Umenifanya nipate Furaha Moyoni mwangu.

  • @shashashaly3589
    @shashashaly35892 жыл бұрын

    Siku sote unaniguza roho yangu na wimbo zko God bless you

  • @user-zb7ch4oz2r
    @user-zb7ch4oz2r6 ай бұрын

    Iyi nyimbo Nay penda sana tana sana ,kila Mara Nay sikiliza

  • @esterkabogo249
    @esterkabogo2493 ай бұрын

    Asante Haitoshi MUNGU Wangu❤❤❤❤❤

  • @stephenmasaki1485
    @stephenmasaki14852 жыл бұрын

    Kaka naingoja hiyo nakupenda sn kaka

  • @christophernyongeja8584
    @christophernyongeja85842 жыл бұрын

    Gudluck yuo still high..ktk uwepo wa Mungu ....endelea kumtukuza aliye tuumba..na kutupa uhai...

  • @eliudoyalo9443
    @eliudoyalo94432 жыл бұрын

    Wow! Uneguza maisha yangu baba. Asante

  • @surehamlela8538
    @surehamlela85382 жыл бұрын

    Uzidi kwenda mbali kama baba mh.nabii mkuu alivyosema use baraka kwa wengine

  • @desirepro6126
    @desirepro61262 жыл бұрын

    penda sana wewe Gozbert kipaji hiki sichakawaida . bt ni cha furaha pia blessings . God azidi kukuinua mbele ya wa tesi wako

  • @pascalkimanuka8433
    @pascalkimanuka84332 жыл бұрын

    @goodluck gozbert champion nakupenda sana kupitiya muziki huyu tunasema asante mungu nilianza mwaka wa 2021 nikiwa mimi mwenye lakini mungu amenipa ndowa na tayari tu na mtoto binti muzuri kabisa ndiyo maana nasema asante kwa mungu asante kwako piya kutuburudisha mara tena

  • @chozen844
    @chozen8442 жыл бұрын

    Waahhh a very nice song

  • @roserobert5740
    @roserobert57402 жыл бұрын

    Daah! Aisee! Goodluck Gozbert ubarikiwe sana, MUNGU aendelee kukutumia kwa viwango vya juu sana

  • @felisterjames5859
    @felisterjames58592 жыл бұрын

    Sijawahi kuachwa kuguswa na nyimbo za kaka goodluck Gozbert

  • @celebcorner9398
    @celebcorner93982 жыл бұрын

    Asante kwa mabaya na wabaya😌🙏

  • @estheramisiofficiel8304
    @estheramisiofficiel83042 жыл бұрын

    Wow fonce encore mon frère

  • @fadhilismnekajr8514
    @fadhilismnekajr85142 жыл бұрын

    Asant Sana mungu kwa apa nilipo fikia na kunilinda pia miaka yote

  • @dijohbanks4312
    @dijohbanks43122 жыл бұрын

    Ahsante baba kwa kuniwezesha kusikiliza wimbo huu

  • @sosthenesmaemba
    @sosthenesmaemba2 жыл бұрын

    Asante kwa shuklani hiyo

  • @MukamusoniHawa-cj2yc
    @MukamusoniHawa-cj2yc7 ай бұрын

    I am a muslim lakini hii nyimbo😭😭mungu kaniokoa kwa mengi,ningekua nisha sahaulika😭na mengine yataisha,mungu kafanya mengi😭😭

  • @jeangrace5615
    @jeangrace5615 Жыл бұрын

    Mungu akubariki good Luck kwa wimbo juu ni mutumishi wa Mungu kutok Burundi Jean grâce

  • @philipojohn7510
    @philipojohn7510 Жыл бұрын

    Nimebarikiwa sana asante na baba ooh! Asante baba ooh!

  • @jacksonsimon4453
    @jacksonsimon44532 жыл бұрын

    Asante Mungu kwakunilinda mwaka mzima Asante Bwana

  • @happynescostat7420
    @happynescostat74202 жыл бұрын

    Asante mungu kumletea gozbat ,ongera Sana mwana,

  • @jewelholla5527
    @jewelholla55272 жыл бұрын

    I hear this song it's like you are telling my story but who is God alisimama kunitetea na kubadilisha mambo.Amina

  • @dianasospeter1708
    @dianasospeter17082 жыл бұрын

    Barikiwa sana uzidi kutuhubiri kupitia nyimbo zako tunabarikiwa sana!

  • @henryelias4241
    @henryelias42412 жыл бұрын

    Wimbo mzuri sana Goodluck. Wimbo huu lazima utakuwa umezaliwa kwenye maombi

  • @angelnyotaepungu6024
    @angelnyotaepungu6024 Жыл бұрын

    Umenibariki sana kwenye uyu wimbo, Que mon Dieu puissant vous bénisse

  • @MarryKabuje
    @MarryKabuje3 ай бұрын

    Asante baba kwakila kitu kwenyemaisha yangu

  • @hellenrichard187
    @hellenrichard1877 ай бұрын

    Ahsante Yesu bless bro kwa wimbo mzuri🙏🥰

  • @SmilingAgilityPuppy-mo1fy
    @SmilingAgilityPuppy-mo1fy7 ай бұрын

    Dah nabarikiwa sana maana sijafa baado naishi asante baba

  • @jamesisaya1271
    @jamesisaya12712 жыл бұрын

    Ubarikiwe sana mtumishi wa mungu kwa kazi nzuri unayoifanya mungu akubariki sana

  • @niyomungerejmarrie4640
    @niyomungerejmarrie46402 жыл бұрын

    Thanks lote Jesus is the first in our life nyimbo nzuli inanikumbusha matatizo napitia bakuyavuka salama asante baba wambinguni

  • @elihaikamariki9714
    @elihaikamariki97142 жыл бұрын

    hii ya kufungia mwaka, Very nice song, kiukweli nyimbo zako zinanibariki sana

  • @rehemakacheya8320
    @rehemakacheya83202 жыл бұрын

    Asante Kaka tumemaliza mwaka kw a yote ni kwa neema,glory to God Asante!!

  • @queenestherngrit6415

    @queenestherngrit6415

    2 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/kYKHlZqhXZvXo84.html.

  • @Mwl_Lupimo_
    @Mwl_Lupimo_2 жыл бұрын

    Tuko pamoja Goodluck Tuombeane sote tukimshukuru pia Mungu

Келесі