Goodluck Gozbert- Asante (Official Music Video) For skiza SMS 9865518 to 811
Музыка
Goodluck Gozbert presents "Asante" music video.
Watch Goodluck Gozbert New EP "Ushindi": • Goodluck Gozbert - Kin...
Follow Goodluck Gozbert
Instagram: goodluckgoz...
Subscribe to KZread Channel: / @gozbertministries
goodluckgozbert #Asante
Пікірлер: 849
Hii nyimbo imeimbwa kwa ajili yangu... my husband was diagnosed with kidney failure, 2021, yaani zile mbio tulipambana, sema kusemwa I rem watu wakisema namroga ili nibakie na nyumba na gari... surely nyumba na gari ingenilelea watoto at this young age, I fought na magoti na maombi, alipata kidney last year he is doing well, n out of the country, sasa wale wabaya wanataka kurudi weeeeeh Mungu wangu sina cha kukwambia... kwa yote bali asante na jina lako lizidi kuinuliwa.... am now ready for my white wedding...
@KembiKalama
6 ай бұрын
Glory to Jesus
@thebestofafricanadishes1300
6 ай бұрын
Glory to God.. All is well.. When God say yes no man can say no
@HappyNdomba-id2yt
5 ай бұрын
Amen
@WinnerNgowi-qi4wr
5 ай бұрын
Woow utukufu ni kwa Mungu pekee aliyekutetea we na mimi anitete
@majiddiblo1597
4 ай бұрын
Binaadam
Wimbo huu ukamuinue kila mtazamaji
Asante Mungu kwa umbali huu...mengi umenivusha...barikiwa sana mtumishi wa Mungu kwa wimbo mzuri wa kumshukuru Mungu...Mungu akubariki na aibariki huduma yako Amen
Mnh asante hata kwa mabaya maana haukuyaruhusu yaniangamize!! I just love the song! Be blessed brother.
Umebarikiwa! Kutusemea sote tulioguswa na wimbo huu wako mpya, as always! Blessings!
@lalyngolochankulunzinza4479
2 жыл бұрын
Barikiwa sana my brother kwn umefanyika baraka kwangu kupiti nyimbo zako 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@rajachembe3078
2 жыл бұрын
God bless you
I thank God for true worshipers atleast kunao mmoja anatuthibitishia kutumainia Mungu ni vyema
Nime gonga like nasija sikia wimbo 🙈🙈 nyinyi je?
Ahsanteeee Mungu najua utatenda zaidi na kwangu soon🙏 unajua ninachokuomb na kukumbusha kila siku😭😭🙏🏾🙏🏾
Umenibariki sana , huduma uliyoianza si nyepes sana kuna pepo nyingi zinavuma ila ukikaaa miguuni kwa wazee utafanya vyema zaid ya hapa; ni maombi yangu Mungu asiziache nyanyo zako ;
Mungu juu ya vyote, hakuna anayeweza kupindisha injili, barikiwa sana gozbert kipaji ulicho barikiwa na akili havi nunuliki kwa pesa au mali.Wenye akili wameelewa.
Mungua aendelee kukulinda kna kukubari, nyimbo zako zinabariki wengi sana
Who else is keeping this song on repeat mode?? I cannot explain what I feel when listening to this song! I just feel like this song is all about me! Thankyou Jesus your everything to me 🙏🇰🇪
@damariskanyoro5233
2 жыл бұрын
When it's done in spirit and in truth you will always know. I do keep alot of Goodluck's songs on repeat. I pray that God continues to use him for his glory 🙌🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@jamessabai6530
2 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/pa2Fpcd8freugtI.html
@jamessabai6530
2 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/pa2Fpcd8freugtI.html
@mrhabel1605
2 жыл бұрын
me too
@keithwafula121
Жыл бұрын
I keep listening to it over and over😍
Mimi kwa imani ni muislamu lkn napenda nyimbo zako na ninazo nasikiliza kila mara.Nasikiliza mahala popote maana kwanza huwa hutumii neno Yesu bali hutumia neno Mungu kwahiyo nakua na amani maana hakuna wa kunikosoa kwa kusikiliza gospel kutokana na dini yangu.Mungu aendelee kukubariki hujawahi kukosea.
Whoever is reading this Merry Christmas and a prosperous 2022..Let's end this year with gratitude.. God will always be good.. He gave us His son.. Something a man cannot do.. Ata tukose yote ya Dunia, tumepewa YESU.❤️
@wafabian8116
2 жыл бұрын
Amen merry Christmas to you too
@jamesmwaura2549
2 жыл бұрын
Amen 🙏
@petermwaura3655
2 жыл бұрын
Amen 🙏🥰
Soul touching music 🙏🙏
@nusramunini9650
2 жыл бұрын
Pia kazi lako unifuraisha,,,🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@IconBeatz
2 жыл бұрын
Kijana etu, tunakupenda sanaa
@sammysamuel3010
2 жыл бұрын
💯
@jacksonnyaito541
2 жыл бұрын
Mrseed wasemaje
@emmanuelbrownofficialke.-n7942
2 жыл бұрын
Indeed, Ngoma noma sana. God bless 🙏
Sisi ni Nan tusimwambie mungu ASANTE ,kwa yote Ubarikiwe sana mtumishi na kaka yangu #GoodluckGozbert
Kama kawaida representing code +254🇰🇪,Goodluck you have always been a blessing😇 to many and I decree declare that this song is going to minster to people's life & be a true inspiration📢 . #ASANTE to the world🌏💯🌟🎼🔥. (1st Thessalonians 5:18)
que Dieu te benisse mon frere au nom de jesus.asante baba mungu ju ya maisha yako.rdc
Umeupiga mwingi Kaka,hakika mungu hatokuacha,, wimbo huu umenibariki sana
Asante Baba Kwa ha yote umenitendeya . Wendell wivu wamejaribu kuniharbia Nyumba yangu . Lakini umesimama na mimi Kwa Imani
Ubarikiwe sana Gozbert kwa nyimbo safi yenye kusheheni maana ya kushukuru baada ya kupata ahueni fulani ya masumbuko uliyopitia kupitia jina la Yesu. Nimeipenda sana na inazidi kunipa tumaini la kusonga mbele na Yesu wangu. Mungu akubariki sana kwa huduma hii ya uimbaji, uzidi kukua na kukua hadi kimataifa. Thanks brother Gozbert for the God words passage via Gospel Songs.
Hujawahi kuniangusha, mungu akuinue kwa viwango vya juu sana uwe sababu ya wengi kulijua na kulitumaini jina la kristo🙏nakuona mwimbaji mkubwa sana ajae Africa mashariki na duniani kote.
Asante mungu nashukulu Kwa huu wimbo mana umegusa moyo wangu,Asante hata Kwa mabaya niliopitia.
Asante hata kwa wabaya wamenifundisha kuku tumani Asante baba Asante YESU barikiwa kwa uimbaji nzuri nautunzi mzuri
Mungu shuka kwa mtumishi wako na ubari kazi yake maradufu kupitia jina ra yesu
Asante kwa wimbo umeniguza watching from kenya barikiwa sana kaka mungu akupe kibalizaidi
Asante Baba maana in wengi wanatamani kuona anguko letu Bali hujatuacha uko nasi umetishika na mkono wako wa KUUME MUNGU BABA waaibishe watesi wetu wakose mahali pa kuficha sura zao ASANTE BABA
Kwa kweli nasema asante Baba. Nikiangalia mahali umenitoa nakosa lakusema. Uko Mungu kweli.
Ninakila sababu zakumrudishia shukrani Baba yangu hakika, Asante Bwana wangu. Barikiwa sana Mt
Mungu azidi kukutunza, najikuta narudia mala tatu tatu kuusikiliza huu wimbo.
Nashkuru kwa wimbo msg iko ya kutia nguvu na kuweka karibu na mwenyezi mungu
Asante Baba Wewe ni mwema Sina kukupa lakini Asante haziwezi tosha Be blessed Man of God
Asante 🙏 Sana Mungu amefanya mengi hapa nilipo Ni kwa uwezo wake .
Namshkuru mungu kwa umbali huu aisee! sijui ningekua wapi mimi. Jesus i love you.
Asante baba kwa mabaya kwa maana hukuruhusu yaniangamize.Asante kwa wabaya maana walinifunza kukutumainia.Mtetezi,mfariji,kibilio langu.
Huu wimbo unanitia machozi, Asante baba yote ni Kwa wema
AHSANTE BABA, naanza mwaka mwingine wengi hawajapata nafac lkn mm umenipa neema 🙏🙏🙏 si kwa kuwa maybe nimekuwa mwema sana bali neema, na Rehema zako🙏🙏🙏🙏
Amina hakika bwana nimwema nimefurahi Sana wimbo nauludia ludia siuchoki 🙏🙏🙏🙏🙏
🙏🙏🙏🙏🙏, asante baba kila siku mpya kwangu ni neema,.. 🙏🙏🙏🙏🙏
Amen kwa hakika sisi Si bora kuliko wale ambao wametanguli.Hatuna budi ila kushukuku Mungu
Huu ni wimbo wangu. Asante Baba Mungu kwa yote. Minakosa maneno.
Na Mungu anapokupa sauti ya kweli, inakua sauti ya kubariki kweli. Mungu akulinde kaka
Daah!! Nabarikiwa San kaka na uimbaji wako Mungu akuzidish baraka kwako
Ahsante sana mtu wa Mungu kwa wimbo wenye upako wa kufungia mwaka Mungu aendelee kubariki huduma yako, ubarikiwe mpk ushangae
Tunaisubili mtumishi achiaaaaaaaaa
Mnaujua zaidi tuachieni hii nyimbo iende hadi january mana hamshindwi kuchafua hali hewa kisa tu mnajifanya mnajua sana,much thanks goodluck god bless u for giving us a good song.🙏
Asanteh hata kwa mabaya&wabaya walinifundisha kukutumaini MUNGU 🙌🙌🙌 #myBrother..Goodluck this is Powerful,🙏🙏🙏Barikiwa sanah
Ahsante baba wimbo mnzr ,mungu ahsante kwa nipigania uja nipungukia katika maisha yangu afya umenipa katika biashara naona mkono wako , Asante
Hakika mungu hamtupi mjawake , Goodluck endelea kumtukuza bwana wetu asiye na wivu maana yeye pale mwanadam anaposema tuone mwisho wake yeye ndo kwanza anazidi kunyoosha mkono wake hakika mungu ni mwema daima
Kama umesubiri kama mimi gonga like
Hii ya kufungia mwaka. GOD BLESS YOU BROTHER
@joycetweve7351
2 жыл бұрын
Good song
@annastaziasanga2642
2 жыл бұрын
Umeona Eee
@faidandongo8218
2 жыл бұрын
L.
@samwellupimo1125
2 жыл бұрын
Naona umepata Likes 43 hapa kwa gudlak go go go gozbert...... Ishengoma the great
@godfreyishengoma6732
2 жыл бұрын
@@annastaziasanga2642 eee
Asante Mungu kwa kuzaliwa yesu christ leo nimeokolewa Asante babaa
Wouw my priority msani Una nipa tumaini yakusonga mbele na Imani, tunzwa na Mungu
Eeeh! Hivi mi najua labda nimtandao unazingua...dah..goodluck my brother umeshatuweza
Hii nyimbo imekwa kwenye repeat mode
Sina kya ku kulipa baba, Ila tu na sema ahsante🙏🏽
Nauludia tangu siku niujue unapiga asubuhi mchana jioni Mungu akubariki
Barikiwa Sana mtumishi 🎶🙏
Mwimbo mzuri sana @GoodluckGozbert. Siku hizi nautumia kama mwimbo wa shukrani
Nimelia Sana hakika Kama si Mungu nisingekua hai hii leo 😭
wimbo mzuli sana brother🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Ameeen wimbo mzuri kweli Asante baba God for all you've done to me 🙌🏾🤝🏾🎸🎸🎺❤️
Thanks, lord coz we finish the year, nimekuona kote katika this year, I am so grateful for this song🙏🙏
Asante Mungu Baba.Asante Goodluck kwa wimbo huu., barikiwa sana.
Nakupenda sana wajina natamani sikumoja nikutane na wewe coz even mm naimbaa nahitaji sapory yako
Huu Ujumbe Good... Umenifanya nipate Furaha Moyoni mwangu.
Siku sote unaniguza roho yangu na wimbo zko God bless you
Iyi nyimbo Nay penda sana tana sana ,kila Mara Nay sikiliza
Asante Haitoshi MUNGU Wangu❤❤❤❤❤
Kaka naingoja hiyo nakupenda sn kaka
Gudluck yuo still high..ktk uwepo wa Mungu ....endelea kumtukuza aliye tuumba..na kutupa uhai...
Wow! Uneguza maisha yangu baba. Asante
Uzidi kwenda mbali kama baba mh.nabii mkuu alivyosema use baraka kwa wengine
penda sana wewe Gozbert kipaji hiki sichakawaida . bt ni cha furaha pia blessings . God azidi kukuinua mbele ya wa tesi wako
@goodluck gozbert champion nakupenda sana kupitiya muziki huyu tunasema asante mungu nilianza mwaka wa 2021 nikiwa mimi mwenye lakini mungu amenipa ndowa na tayari tu na mtoto binti muzuri kabisa ndiyo maana nasema asante kwa mungu asante kwako piya kutuburudisha mara tena
Waahhh a very nice song
Daah! Aisee! Goodluck Gozbert ubarikiwe sana, MUNGU aendelee kukutumia kwa viwango vya juu sana
Sijawahi kuachwa kuguswa na nyimbo za kaka goodluck Gozbert
Asante kwa mabaya na wabaya😌🙏
Wow fonce encore mon frère
Asant Sana mungu kwa apa nilipo fikia na kunilinda pia miaka yote
Ahsante baba kwa kuniwezesha kusikiliza wimbo huu
Asante kwa shuklani hiyo
I am a muslim lakini hii nyimbo😭😭mungu kaniokoa kwa mengi,ningekua nisha sahaulika😭na mengine yataisha,mungu kafanya mengi😭😭
Mungu akubariki good Luck kwa wimbo juu ni mutumishi wa Mungu kutok Burundi Jean grâce
Nimebarikiwa sana asante na baba ooh! Asante baba ooh!
Asante Mungu kwakunilinda mwaka mzima Asante Bwana
Asante mungu kumletea gozbat ,ongera Sana mwana,
I hear this song it's like you are telling my story but who is God alisimama kunitetea na kubadilisha mambo.Amina
Barikiwa sana uzidi kutuhubiri kupitia nyimbo zako tunabarikiwa sana!
Wimbo mzuri sana Goodluck. Wimbo huu lazima utakuwa umezaliwa kwenye maombi
Umenibariki sana kwenye uyu wimbo, Que mon Dieu puissant vous bénisse
Asante baba kwakila kitu kwenyemaisha yangu
Ahsante Yesu bless bro kwa wimbo mzuri🙏🥰
Dah nabarikiwa sana maana sijafa baado naishi asante baba
Ubarikiwe sana mtumishi wa mungu kwa kazi nzuri unayoifanya mungu akubariki sana
Thanks lote Jesus is the first in our life nyimbo nzuli inanikumbusha matatizo napitia bakuyavuka salama asante baba wambinguni
hii ya kufungia mwaka, Very nice song, kiukweli nyimbo zako zinanibariki sana
Asante Kaka tumemaliza mwaka kw a yote ni kwa neema,glory to God Asante!!
@queenestherngrit6415
2 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/kYKHlZqhXZvXo84.html.
Tuko pamoja Goodluck Tuombeane sote tukimshukuru pia Mungu