Gavana Simba Arati awataka mawaziri wa kaunti ya Kisii wawajibike bila ufisadi
Gavana wa kaunti ya Kisii Simba Arati ametoa ushauri kwa mawaziri tisa walioidhinishwa na bunge la kaunti hiyo kuwafanyia wananchi kazi pasi na kujihusisha na ufisadi. Gavana huyo amesema shughuli ya kuwaondoa wafanyikazi hewa imeshika kasi huko Kisii kwa mujibu wa sheria iki kuziba mianya ya ufyonzaji wa mali ya umma
Пікірлер: 2
The best govenor so far🙏🙏
There are some people going home to home kitutu chance telling people to give money before build all planting