FUNGA MWAKA MOMBASA PART 1

Пікірлер: 789

  • @mwandishisimbampole9451
    @mwandishisimbampole94515 жыл бұрын

    Hakika hapa mb zangu zinaenda kwa halali , kama na wewe hujutii gonga like twende sawa

  • @sikitu8957

    @sikitu8957

    5 жыл бұрын

    mimi sijutii

  • @uweismohammed6959

    @uweismohammed6959

    5 жыл бұрын

    Hujutii kaka

  • @jumakagoma6667

    @jumakagoma6667

    5 жыл бұрын

    maitre zuma ght xxxx

  • @lovelove5416

    @lovelove5416

    5 жыл бұрын

    kabisaa

  • @suleamber897

    @suleamber897

    4 жыл бұрын

    Kiba kiba kiba kiba kibax100000000000000000

  • @mdbclassic1403
    @mdbclassic14035 жыл бұрын

    Wasoma comment wezangu tujuane kabisa, Weka like yako twende sawa,, yebabaaaaaaaaaa.. Kings music

  • @omarybangu5528

    @omarybangu5528

    5 жыл бұрын

    Kiba noma

  • @rajabjuma1453

    @rajabjuma1453

    5 жыл бұрын

    Niliwambia huyu ndo king jamani mtajijua

  • @fatmanahay9980

    @fatmanahay9980

    5 жыл бұрын

    @@rajabjuma1453 mtu na heshima zake

  • @hyzuhuranaombanoyakoplzhus3326

    @hyzuhuranaombanoyakoplzhus3326

    5 жыл бұрын

    Yeebaba

  • @samiraboru1930

    @samiraboru1930

    5 жыл бұрын

    U r de best

  • @hammernyundo2044
    @hammernyundo20445 жыл бұрын

    Pita na hii from kenya...kama unaamini kiba aliuwa...like twende sawa

  • @isaiahrajab1409

    @isaiahrajab1409

    5 жыл бұрын

    Good

  • @isakaramadhani613

    @isakaramadhani613

    5 жыл бұрын

    Noma

  • @venancemathias6914

    @venancemathias6914

    5 жыл бұрын

    Sana

  • @kudrangumiliza3405

    @kudrangumiliza3405

    5 жыл бұрын

    Venance Mathias Nice

  • @mosesetsabo4718
    @mosesetsabo47185 жыл бұрын

    I accept u king 10 times than all wasafi musicians led by Diamond ., if u feel the same gonga like hapa na kama una fikra kinzani jiwekee hizo ni zako, mimi nishatoa yangu maoni

  • @farajakasikile8846
    @farajakasikile88465 жыл бұрын

    Wana king naomba like yenu toka niwe mshabiki wa king sijawai ona like yenu wap +255, Na kenya African kwa jumlawapi like yenu

  • @isakaramadhani613
    @isakaramadhani6135 жыл бұрын

    Huyu ndo king ww team kiba acha tufurahi hatumiag nguv. nying love sema yeebaba ngonga like kama tupo1 aisee daaa

  • @SwahiliMedia
    @SwahiliMedia5 жыл бұрын

    GONGA LIKES HAPA KUMWOMBEA KINGKIBA AWE NA MWAKA MZURI ZAIDI 2019

  • @halimamhsiokwautamwahiingo4583

    @halimamhsiokwautamwahiingo4583

    5 жыл бұрын

    Daah vaibe Kama lote saluti kwa kka angu King Alliy kiba

  • @selemanmazemle6639

    @selemanmazemle6639

    5 жыл бұрын

    ye babaaa

  • @rehemanassoro7823

    @rehemanassoro7823

    5 жыл бұрын

    aamiin inshaallah. mola awe nae amnusuru na husda za waja

  • @nooordubem5654

    @nooordubem5654

    5 жыл бұрын

    In Shaa Allah

  • @jacksonmathayo6510

    @jacksonmathayo6510

    5 жыл бұрын

    Eyoooooooö King mofayaaa energy drink

  • @tinivanny7562
    @tinivanny75625 жыл бұрын

    huku kwetu raha kabisa hakuna kurukaruka na kuanguka majukwaani

  • @yurickshadrackkidyalla1132
    @yurickshadrackkidyalla11325 жыл бұрын

    KIBA KIBA KIBA jamaa nyimbo za kitambo watu wamekariri mpaka leo. Tena Kenya... SALUTE!

  • @rosemaiko9405

    @rosemaiko9405

    5 жыл бұрын

    Yuri Official king..mmm

  • @jamesmichael6187

    @jamesmichael6187

    4 жыл бұрын

    Yuri Official yebab hatari fayaaa

  • @bwflabel5781
    @bwflabel57815 жыл бұрын

    yebaba king kiba cyo kipolepoleeeee.....mombasa lakn vibe kama upo kigoma baba lspect bro

  • @jumannemashaka9439
    @jumannemashaka94395 жыл бұрын

    Allykibaa yuko vizuri Sana kwanza yupo simpo Sana anagaa mambo ya kuvaaa micheni na kusukaa na mambo mengi ya ovvyo uyu kweli kiooo cha jamiiia nampa pongezi Sana andereee kuwa ivoivo simpo nabado mziki wake uko juuuu namkubaliii sanaaaaa

  • @rosemaiko9405

    @rosemaiko9405

    5 жыл бұрын

    Jumanne Mashaka asibadilike jamani

  • @hassansaid9925
    @hassansaid99255 жыл бұрын

    Nilijua tu lazima show iwe Kali kiba saiz ni wa kenya na tz na tukikaa vibaya wanamchukua moja kwa moja awe wao sio kwa shangwe hili khaaaaaaaaaaa👏👏👏👏👏👏👏👏😂😂😂😂😂👐👐👐👐👐

  • @dautonymgaya3594

    @dautonymgaya3594

    5 жыл бұрын

    Kiiiiinnnggg kibaaaaaaa

  • @rayahsadik9490
    @rayahsadik94905 жыл бұрын

    Mwaka wako huu kuchuma matundaa tunyooshe tuuu kipenz cha watu hakuna zaid yako salute ....

  • @sheikhnambilili4269
    @sheikhnambilili42695 жыл бұрын

    duuh abali wanayoooooo dadeki king ndo 2namfaam km unamfaam kiba gonga like apaa ufalume wa ye #baba

  • @serafimossi154
    @serafimossi1545 жыл бұрын

    Im a big fun of WASAFI CHIBUDI CHIBUDE....Ila kiba yo THE KING FOR REAL.... #KINGKONGKIBA ......Nagonga sabscybu button iv ssa...Heshma

  • @megahitstv7899
    @megahitstv78995 жыл бұрын

    Wa kwanza kucomment... Team Kiba mko wapi.. likes zenu hapa...

  • @zaiiomary8970

    @zaiiomary8970

    5 жыл бұрын

    Waoo jeshi lamtu 1 chezea wew timu kibaa yeeeebaba mpoo🎶👑

  • @user-fl2iq1ef6l

    @user-fl2iq1ef6l

    5 жыл бұрын

    Mashallah kiba

  • @nadhlfasalmazena7444

    @nadhlfasalmazena7444

    5 жыл бұрын

    Yyyeh

  • @athumanibethod3386

    @athumanibethod3386

    5 жыл бұрын

    Atari Mzee

  • @rayanalhabsi8029

    @rayanalhabsi8029

    5 жыл бұрын

    tupo ongera kwa kig kiba wetu

  • @mchachamakh6489
    @mchachamakh64895 жыл бұрын

    Maraaa eeeeeeh show ilikuwa bureee mara Nini 😂😂sisi hiloo la buree hatukijuiii tunachokijuaa mzuka wa mashabiki wa mziki mzuri tuuu. Shkamooo king 👑

  • @emmakwaghetto3293

    @emmakwaghetto3293

    5 жыл бұрын

    Yebabaaaaaa safi sana wameeelewa

  • @ismailmmbaga7519

    @ismailmmbaga7519

    5 жыл бұрын

    Noma saba

  • @julesjazbe4053
    @julesjazbe40535 жыл бұрын

    Yeeee baaaa sisindo king kiba tunazidi kuwaju everyday 👑 kiba🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @rizikeyernest9260
    @rizikeyernest92605 жыл бұрын

    Sijui tuu nisemeje, Tisha sana King afu hujawahi kufungiwa ata wimbo mmoja, yote n heshima ya mzki wako, gonga like twende sawa

  • @rosemaiko9405

    @rosemaiko9405

    5 жыл бұрын

    Rizikey Ernest matusi mwiko hapa

  • @rosemaiko9405

    @rosemaiko9405

    5 жыл бұрын

    Rizikey Ernest music muzuri tu Wa heshima

  • @rosemaiko9405

    @rosemaiko9405

    5 жыл бұрын

    Hapa Kazi tu

  • @rizikeyernest9260

    @rizikeyernest9260

    5 жыл бұрын

    @@rosemaiko9405 ni kweli, nitafte pliz

  • @johnleonard1354
    @johnleonard13545 жыл бұрын

    Huu moto ukiendeleaa nao mwaka huu utafka another stage

  • @athumanishabani9165

    @athumanishabani9165

    5 жыл бұрын

    unatisha San kiba

  • @julianarichard7488
    @julianarichard74885 жыл бұрын

    Ye baba king of music tem ya mtu moja king kiba Ni nomaa asee kama unsmkubali gonga like APA

  • @saidmahmoudsaid621
    @saidmahmoudsaid6215 жыл бұрын

    Brother Kiba respect kwk mwanzo mwshooooo funikaaaaaa mpk wanune mafofofoo

  • @davisamark8515
    @davisamark85155 жыл бұрын

    Doooh king this tym umeamua kwa kweli bongo nyomii la kufa mtu mombasa nako balaaa

  • @HightechTz
    @HightechTz5 жыл бұрын

    Mbona kiba Humwagi maji kama wale mazwazwa 😂😂😂😂 hapo ndo niliamnin uchawi Upo yale maji sio kabisa 😂😂😂

  • @rosemaiko9405

    @rosemaiko9405

    5 жыл бұрын

    HIGH TechTz Lucifer's, wamwache tena Na wao ndio wafuasi

  • @vanessanyanda4148
    @vanessanyanda41485 жыл бұрын

    Being his number one fan since cinderella, have never nd I'll never regret support his good music..may Allah continue to grant YoU.. Huu mwaka wetu sote Kiba Fans..

  • @hassansaid9925

    @hassansaid9925

    5 жыл бұрын

    vəˈnɛsə nakubali kaka

  • @nooordubem5654

    @nooordubem5654

    5 жыл бұрын

    Aameen

  • @iddmaketa6539

    @iddmaketa6539

    2 жыл бұрын

    9ii

  • @justinaugustino2882
    @justinaugustino28825 жыл бұрын

    Namm natak #like sijawai view mapem kam ivi leo #KingsMusic for Hearth

  • @danfordobadiamhewa4967

    @danfordobadiamhewa4967

    5 жыл бұрын

    wale wa nyegezi comment fupifupi

  • @mohamedmahmood7726

    @mohamedmahmood7726

    5 жыл бұрын

    yebabaa

  • @mohamedmahmood7726

    @mohamedmahmood7726

    5 жыл бұрын

    yebabaaa uje UK Milton Keynes

  • @anushikasharma866

    @anushikasharma866

    5 жыл бұрын

    We umepata nyingi sana like

  • @sadruhsnowwhite6483
    @sadruhsnowwhite64835 жыл бұрын

    Aiiseeeee ww ndo umefunqa mwaka kuliko wote Tanzania

  • @eliarichard9218
    @eliarichard92185 жыл бұрын

    sisi atuna hatuna sopoti kubwaa sanaa ya watu wa kupafom lakini king kiba ni yeye tyuu sisi ndiyo team kiba yebabaaa atunaga mbwembwee

  • @beatricekamengekamenge5543

    @beatricekamengekamenge5543

    5 жыл бұрын

    Yebabaaa

  • @hyzuhuranaombanoyakoplzhus3326

    @hyzuhuranaombanoyakoplzhus3326

    5 жыл бұрын

    Umeonaeeee

  • @hyzuhuranaombanoyakoplzhus3326

    @hyzuhuranaombanoyakoplzhus3326

    5 жыл бұрын

    Yeeebaba

  • @leonardmavele183

    @leonardmavele183

    5 жыл бұрын

    Saut soul nao walikuwepo,Alf hata harmonize akiwa peke yake anaweza kujaza kwn ww haujaona shows alizofany harmo kenya peke yake ila ile inaitwa wasaf festival kwyo lazima wote wawepo

  • @rosemaiko9405

    @rosemaiko9405

    5 жыл бұрын

    Elia Richard waambie,adabu Na heshima music muzuri

  • @jumahamiduhamidu1076
    @jumahamiduhamidu10765 жыл бұрын

    Bado inahit sana sinderella uko mombasa good.

  • @wemakalam9415
    @wemakalam94155 жыл бұрын

    Duuh nomaaa mombasani kwetu hatuna kinyongo nanyi karibu sana alikiba tutakusapot mwanzo mwisho#001 Ali hassan joho hongera kwa kumpokea king kiba together we can.

  • @abdinasirmohamed2238
    @abdinasirmohamed22385 жыл бұрын

    Your songs never gets old. You are unbeatable, unstoppable & all time king of bongo ✌ Love from a Somali brother❤ Thanks for visiting my country kenya all the way👌

  • @salmamohammed5633
    @salmamohammed56335 жыл бұрын

    Kiba watisha Bana ...hii ndio show😍muziki wagusa😎

  • @shanizyusuf8210
    @shanizyusuf82105 жыл бұрын

    Natamani ningekuepo jmn naangalia tu mm nikiwa Doha qatar

  • @simonmuga2083
    @simonmuga20835 жыл бұрын

    Cool, come and well collected. Keep the Good music alive kiba

  • @tempolo9964
    @tempolo99645 жыл бұрын

    Kama unakubaliana na MIMI kuwa nyimbo za #KINGKIBA hazichuji gonga likes za kutosha hapa.

  • @mrjonasi
    @mrjonasi5 жыл бұрын

    kama mna mkubali kiba tafadhali tem kiba gongeni like zenu apa ili twende nae sambambaaaaah 👍

  • @hashtagdarling4738
    @hashtagdarling47385 жыл бұрын

    King kiba yeeeee babaaa.254 ndio kwenu ww.Big lov kwako na mke pia tukakupatia.

  • @jbclassic1009
    @jbclassic10095 жыл бұрын

    team kiba see u hare uuh ndo mzik mzur sas

  • @sidemohamed1960
    @sidemohamed19602 жыл бұрын

    Umetisha sana king kiba,mashemeji wameifulika Kwa kifupi wamekupokea vzr

  • @lestermtweve5990
    @lestermtweve59905 жыл бұрын

    Wa kwanz jaman Naombn likes z mwaka mpya #yebaba

  • @mussaamos3526
    @mussaamos35263 жыл бұрын

    Sana kiba wew ndo king wa music tz

  • @frankhaji1387
    @frankhaji13875 жыл бұрын

    Kweli kigoma tunaiwakilisha Tanzania kwa music safi sana king kiba na Mondi.

  • @mbodzebemasika7477
    @mbodzebemasika74775 жыл бұрын

    Jamani Ali anapendwa mombasa hata 2017 alifunga mwaka mombasa

  • @ano_boy8656
    @ano_boy86565 жыл бұрын

    Umetisha sanaa king kiba

  • @jonesdegrandson9261
    @jonesdegrandson92615 жыл бұрын

    Huyu jamaa hatariii Sana.He really knows how to perform.Nice work Mr Yebabaaa and thanks for killing it.

  • @rosemaiko9405

    @rosemaiko9405

    5 жыл бұрын

    Jones Matheka siyo macd,ma playback

  • @omabizo686
    @omabizo6865 жыл бұрын

    Hii ndio show sio ile imepita Nairobi MTU anajaribu kuimba live na hawezi kunyamba tu kwa stage king kiba for ever fireeeeeeeeeeee

  • @rosemaiko9405

    @rosemaiko9405

    5 жыл бұрын

    Lugwe Lalo Sauti Ka kameza mfupa Wa Samaki live hawaiwezi

  • @rosemaiko9405

    @rosemaiko9405

    5 жыл бұрын

    Labda harmo tu

  • @nassorali4061

    @nassorali4061

    5 жыл бұрын

    😂😂😂

  • @artemisneoy9596

    @artemisneoy9596

    5 жыл бұрын

    Yule akaendeleze ukahaba tu hawezi kuimba, huyu ndio King Kiba

  • @rohimapretty4664

    @rohimapretty4664

    5 жыл бұрын

    Heheheheee mimi na cheka tuuuu huku nacheza mziki mtam

  • @doublek5764
    @doublek57645 жыл бұрын

    Hatakama #alikiba usinge wahitaji sapot ya wasanii wengine wakenya kukusapot ungejaza kinoma noma japo sivyema kwenda kufanya show pekeyako ukawanyima nafasi wenyeji ila watu wachache mnajaza uwanja sio kama waleeeee watu mamia Napenda sana uvaaji wako wa eshima utukivu kutokupenda kujilinganisha wala kushindana na watu wengine do what u think it's better to u. Respect bro

  • @rosemaiko9405

    @rosemaiko9405

    5 жыл бұрын

    DBABA TZ Kijana Na malezi yake ya adabu,king.....

  • @jacobalex4197
    @jacobalex41975 жыл бұрын

    Daaah jamaa yupo vizuli sijawahi ona msanii peke yake na akafanya bonge la show sarut kingkiba🙏

  • @leonardmavele183

    @leonardmavele183

    5 жыл бұрын

    Saut soul pia walikuwepo baada yakushuka ally k wakapanda wao

  • @humphreymwasha159
    @humphreymwasha1595 жыл бұрын

    Ye ye yebaaaaaaba mwenye heshma aheshimiwe mwenye kutoa ngoma znazoeleweka asapotiwe Uyu king respect zote kwakeeee kama unamkuba gonga like kwa niaba ykeee

  • @muhajjiribrahim1460
    @muhajjiribrahim14605 жыл бұрын

    Mnaonaje King Kiba akiurudia wimbo wa Cinderella kwa Mara ya 2??

  • @hadija846
    @hadija8465 жыл бұрын

    KING KIBAAAAA WOYOOOO EBB 💋🎉🎊💕😍💞👏MBELE ZAIDI NYUMA MWIKO. PAMOJA SAAANA WAKATI WOTE 🙏😍

  • @solanuskomba82
    @solanuskomba825 жыл бұрын

    hiii ndo ile yebabaaa..gonga like kama unamkubali king kibaaa

  • @yasriharuna6288
    @yasriharuna62885 жыл бұрын

    King ni king 2 sikuzote mfalme akihitaji kichwa cha simba lazina kiletwe Yebabaaaaaaaaaa!?

  • @ullymcdonald6254

    @ullymcdonald6254

    5 жыл бұрын

    Yebaba 😁😁😁

  • @rosemaiko9405

    @rosemaiko9405

    5 жыл бұрын

    Yasri Haruna waambie MTU Na heshima zake huyoooi

  • @yasriharuna6288

    @yasriharuna6288

    5 жыл бұрын

    Rose Maiko Umeonaeee

  • @josephyohana6305
    @josephyohana63055 жыл бұрын

    Huu mwaka we2 King Kiba piga kaz sis ndotunakukiliza naww 2kiliz hapakaz 2 safi san 👑👑👑👑👑👑

  • @allyramadhani5033
    @allyramadhani50335 жыл бұрын

    Thawabu nyepesi inapatikana kwa huyu jamaa @officialalikiba ukimkubali tu ushapata

  • @kassimrajabu7805

    @kassimrajabu7805

    5 жыл бұрын

    Astaghafirul'llah

  • @hamedmohammed8912
    @hamedmohammed89122 жыл бұрын

    The greatest in Africa Ali kiba. Always u are my no1 artist

  • @maltinimaltiniyona8980
    @maltinimaltiniyona89805 жыл бұрын

    Watanyoka kiba ndoyeye King. mwingine akuna 🤗🤗🤗

  • @youngsachafurniture5482
    @youngsachafurniture54825 жыл бұрын

    kubabake king kiba respect mzazi

  • @romwardyrevokatus6955
    @romwardyrevokatus69555 жыл бұрын

    Daima utabaki kuwa king tyu nakukubali sana King Kiba

  • @sponsalfathedj8177
    @sponsalfathedj81775 жыл бұрын

    Huyu ndie shemegi bora sie yule alietingishia watu matako jana Nairobi 😂😂😂

  • @saidjuma9782

    @saidjuma9782

    5 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @stancedeozil7471

    @stancedeozil7471

    5 жыл бұрын

    🖕🖕

  • @matesomateso9310

    @matesomateso9310

    5 жыл бұрын

    🤣🤣😂😁😀😀😁😁😁😀😀

  • @soffymicah2081

    @soffymicah2081

    5 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nakupenda ujue

  • @mchachamakh6489

    @mchachamakh6489

    5 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂halafuuu viunoo vilikuwaa vigumuuu Kama mashine ya zegeee

  • @misswamboh9585
    @misswamboh95855 жыл бұрын

    KING KIBA mwenyewe,kipenzi cha wengi!❤❤ Karibu Eldoret

  • @fettymsuya340

    @fettymsuya340

    5 жыл бұрын

    Wamboh Penainah njoeni huku fastar

  • @abelmakungu2880
    @abelmakungu28805 жыл бұрын

    Shooo LA kibabe bila jaxho daaah kiba mungu anakuona unatexa watu kuleeeee

  • @zulfahassan7111
    @zulfahassan71115 жыл бұрын

    King will alwaya be a king haters mjikazeeeee tuuuu jamani sio kwa ubayaaaaa lakini #OneManArmy❤❤❤❤💨💨💨💨💨💨👋👋👋👋👋

  • @ibrahimmzee3237
    @ibrahimmzee32375 жыл бұрын

    Mzki mtamu ...no kick ...no drama....anaitwa Fundi king kiba.....imepenya iyooooo

  • @rosemaiko9405

    @rosemaiko9405

    5 жыл бұрын

    Ibrahim Mzee Fundi hahitaji hayo mambo ,hajayazoea pia tuwachie waliyozoea

  • @sadcommpalestina516
    @sadcommpalestina5165 жыл бұрын

    team muzik mzur KING kiba noumer xn mzee unatisha balaa

  • @superrockboysongs7061
    @superrockboysongs70615 жыл бұрын

    Kwakweli nagonga like shangwe kwa king kiba

  • @rajimumsoffe2444
    @rajimumsoffe24445 жыл бұрын

    Nakshi nakshi the of the best song to me till now love this song

  • @bonnymakuke1408
    @bonnymakuke14085 жыл бұрын

    We waumbue2 mungu anakuona aiwezekani ujaze ivyo duh!! Wenzentu watacoment WAP make wao Nairobi wameumbuka ile mbaya alijifanya kuiga akaimba bila CD ma,ma,maaah utumbo+ kuaibisha nchi=na bwege stahiri kwishaa habari yao afrika mashariki bila king aiwezekani yebabaaaaah

  • @rosemaiko9405

    @rosemaiko9405

    5 жыл бұрын

    Bonny Makuke hiki kipaji c janja janja ya CD,hata nyumbani unasikiliza ,live band hiyo c mchezo

  • @richardkamanya2951
    @richardkamanya29515 жыл бұрын

    irikuwa noumahh sanaaaa mombasaa oyeeeehhh yebabaaaaa

  • @leonardmavele183
    @leonardmavele1835 жыл бұрын

    Kweli ally kiba anaweza snaa live band leo ndo nimekubalii king kiba we nomaaaaaaa

  • @nancynaaa6954
    @nancynaaa69545 жыл бұрын

    Yaani mpk machozi yamenitoka,,,its real I lv my king kiba jmn,,huyu ni kpenz cha watu,,,km hutak Fanya km unajikuna👌

  • @adoniamaseneje5669
    @adoniamaseneje56695 жыл бұрын

    show ilikua kali sana mashabiki wamechangamka so kama bongo

  • @allyswaah5318

    @allyswaah5318

    5 жыл бұрын

    Kali sana ♥️

  • @mwanamwainat4673
    @mwanamwainat46735 жыл бұрын

    very nice perfomance....kiba

  • @buruhanimandazi8000
    @buruhanimandazi80005 жыл бұрын

    Msanii bora tz mwenye heshima zake...big up king 🙏

  • @kijonalusay6498
    @kijonalusay64985 жыл бұрын

    Yebaba Mombasa Mojaa Mtu Nyomiiiii

  • @athumaniddy9084
    @athumaniddy90845 жыл бұрын

    kadogo kanapenda kelolo like Kama unApenda wimbo huu

  • @rosemaiko9405

    @rosemaiko9405

    5 жыл бұрын

    Athuman Iddy mpaka mamangu anaupenda sana,Leo tumetoka out kacheza huu wimbo balaaa

  • @rosemaiko9405

    @rosemaiko9405

    5 жыл бұрын

    Na MTU mzima? Ujue ni hatari

  • @athumaniddy9084

    @athumaniddy9084

    5 жыл бұрын

    love all

  • @benjamanelenesti3342

    @benjamanelenesti3342

    4 жыл бұрын

    Jameni atabaki kuwa king

  • @epifaniamponda5676
    @epifaniamponda56765 жыл бұрын

    sijui nikwanini huwa na like hata kabla sijaangalia wallah dah 😂😂😂😂😂😂😂 yebabaaaaaaaaaaaaaa 👏👏👏👏👏👍👍👍👍😘😘😘

  • @samsondeppacito3074
    @samsondeppacito30745 жыл бұрын

    A natural born king of music in Africa nani kama king kiba wale mashabiki wa baba lips wameze hii

  • @rosemaiko9405

    @rosemaiko9405

    5 жыл бұрын

    samson deppacito isiache music, tutaugua Cc king music wako matibabu kwetu,kiburudisho

  • @samsondeppacito3074

    @samsondeppacito3074

    5 жыл бұрын

    inaonekana ww ni shabiki wa yule jamaa wa kuvaa chain za miguu

  • @jacksonmathayo6510
    @jacksonmathayo65105 жыл бұрын

    Penda milele alikiba nyimbo zako Zina inspire tangu enzi za njiwa

  • @graceorgasimaghulu9573
    @graceorgasimaghulu95734 жыл бұрын

    Eeeeeeeh Congo ni juuu tuna ku support

  • @vumimanga9363
    @vumimanga93635 жыл бұрын

    Moto usio zimika🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @christophersoty101
    @christophersoty1015 жыл бұрын

    huyu jamaa ukimchukia utapata gonjwa LA moyo bureeeeee yanini kujitesa??? 💪💪💪💪💪💪💪💪👌👌👌👌👌👌😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀👍👍👍👍👍👍👊👊👊👊👊

  • @renerene4444
    @renerene44445 жыл бұрын

    My number one favourite bongo star

  • @abdulkadirnagib9639
    @abdulkadirnagib96395 жыл бұрын

    King king king am yua number one fan

  • @mussamussamussa8444
    @mussamussamussa84445 жыл бұрын

    KINGKIBA Jeshi la mmoja ❤️❤️ penda mnoy kingTZA

  • @makubimagesa2219
    @makubimagesa22195 жыл бұрын

    We jamaaa so poa hutumii nguvu kabsa!! Hongera king kiba

  • @rosemaiko9405

    @rosemaiko9405

    5 жыл бұрын

    Maky Mags kipaji

  • @makubimagesa2219

    @makubimagesa2219

    5 жыл бұрын

    @@rosemaiko9405 ofcoz na anakitumia ipasavyo

  • @tfl4963
    @tfl49632 жыл бұрын

    King Kiba muziki wake mtaamu! Da! mwisho wa mawazo

  • @igulug5450
    @igulug54505 жыл бұрын

    safi sana kiba usitishwe na gege la waharamia

  • @dotnathalyangaukwelmtupu8174
    @dotnathalyangaukwelmtupu81744 жыл бұрын

    Unajua broo

  • @princessshamim6539
    @princessshamim65395 жыл бұрын

    Shemeji wetu wakubalika my best Tz artist

  • @mwandishisimbampole9451
    @mwandishisimbampole94515 жыл бұрын

    Huyu fala kama ni mziki anaujua aiseee yuko gud kuliko yule master wetu wa Africa diamond platnumz

  • @josephatpolis1642
    @josephatpolis16425 жыл бұрын

    yeeebaba no one like you am fans from mwanza tanzania

  • @deoglatiaslameck3585
    @deoglatiaslameck35855 жыл бұрын

    Fanya kama vile unajikuna kwa kilichotokea #Mombasa #001#254 hahahahahahahahahah sinaga presh

  • @hashimuismail5587
    @hashimuismail55875 жыл бұрын

    Yaani nyimbo za king KIBA hazichuji

  • @mejubaraza9415
    @mejubaraza94155 жыл бұрын

    Jeshi la mtu mmoja mlinzi wake mkuu mungu tyuu penda sana king kiba mungu akujalie hivyo hivyo heshima na busara

  • @africanchinese6491
    @africanchinese64915 жыл бұрын

    jamani huyu mshkaji...ni msanii mwenye sauti nzuri kati ya wanamzuki wa tanzania

  • @shemelsyi208
    @shemelsyi2085 жыл бұрын

    Nimekuwa wa406 kukoment..duh!ila sijachelewa ..huyujamaa nachompendea nimavazi havai kihuni..hongerasana kwake

  • @roybevankusimba7321
    @roybevankusimba73215 жыл бұрын

    Yes this is worth paying for..... Jana WCB wametucheza.... Nairobi ilikua to choir, diamond akaona aongee the whole show..... Thanks king kiba.... 254 tunakukubali

  • @naomienelly8398

    @naomienelly8398

    5 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂 aki alishindia niwambie kitu

  • @nassorali4061

    @nassorali4061

    5 жыл бұрын

    😂😂😂

  • @Noname-gg6bx
    @Noname-gg6bx5 жыл бұрын

    Kama wewe ni timu domo kama mm na umekuja kuangalia mziki mtamu gonga like hapa

  • @footballlife7288
    @footballlife72885 жыл бұрын

    Huyu ndio mfalme jikune kama unabisha