FUMAU MSHAIRI - NAUMWA ( OFFICIAL MUSIC VIDEO)

Музыка

ARTIST - FUMAU MSHAIRI
SHAIRI-NAUMWA
SHOT BY @HANS_ABDALAHAH
DIRECTOR @BRAIN_UJAZO
ASSISTANT DIRECTOR @DOLPHIN_MSHISHI

Пікірлер: 163

  • @Shafikimanga7
    @Shafikimanga7Ай бұрын

    Haya ndio mapinduzi ya sanaa iliyodharaulika na kuona imepitwa wakati. Hongera kwa kutupa burudani sisi wapenzi wa tenzi na mashairi.

  • @nurkintv5815

    @nurkintv5815

    Ай бұрын

    hakika

  • @ElizabethZacharia-o3j
    @ElizabethZacharia-o3jКүн бұрын

    mwenyezimungu akufungulie lkilanjia iliofungwa kakaangu❤❤❤

  • @isaacwandera9002
    @isaacwandera9002Күн бұрын

    safi saana. ubunifu wa hali ya juu

  • @AyubuJuma-b2x
    @AyubuJuma-b2x4 сағат бұрын

    Asante sana mungu akupe ihsaani na afya tele

  • @taslimpluscargo6753
    @taslimpluscargo675312 күн бұрын

    Huyu serikali wanatakiwa kumpa ulinzi watu wasije wakamdhuru,ni talent muhimu sana kwa taifa hasa ktk ishu ya kukuza kiswahili...jamaa ni hatar na ana super intelligence and very high thinking and creative

  • @AshaMwamba-g3l
    @AshaMwamba-g3l2 күн бұрын

    Nimeipendaaa iyooko

  • @user-ce3ev9mm1l
    @user-ce3ev9mm1lАй бұрын

    Wananchi Kila Kona tunaupiga mwingi .wapite mbali

  • @AhmadRashey-oc1cx
    @AhmadRashey-oc1cx6 күн бұрын

    Khongera sana brooo

  • @Hgd-jk6lh
    @Hgd-jk6lh16 күн бұрын

    Mashaa Allah, ,wananchi tumpe sapot kijana wetu❤❤❤

  • @abdulsattar8580
    @abdulsattar8580Ай бұрын

    😢😢😢Mungu Azidishe juhud zako sie weng Weeh Ndo rol model we2 Kaka

  • @khairuhashim
    @khairuhashim2 күн бұрын

    maashaallah jaman

  • @FucianeBulemo-nd4wc
    @FucianeBulemo-nd4wc10 күн бұрын

    Kwa hiki kizazi kukuelewa ni vigum ,ila qaswida pia inakufaa

  • @HashimSalim-qj7zn
    @HashimSalim-qj7znАй бұрын

    ILA HUYO MTT NI MZUIRI HEBU FUMAU FANYA KWELI AWE NDIO MAMA YETU HUYO

  • @user-it6un3tx3o
    @user-it6un3tx3o7 күн бұрын

    Mashallah ❤

  • @BensonMpomo
    @BensonMpomo12 күн бұрын

    wewe ni wetu lazima tukusapot

  • @PeterNdondo
    @PeterNdondoАй бұрын

    Pambana ata nimeipenda stahili hii

  • @rayisadesigns2646
    @rayisadesigns26469 күн бұрын

    MAASHAALLAH HAKIKA HIZI NDIZO LADHA HALISI ZA PWANI NA KIELELEZO CHA KIFASIHI YA MSWAHILI, KIELELEZO CHA USTAARABU WA MTANZANIA TULICHOKIKOSA KWA MUDA MREFU... HATIMAYE MWISHO WA VIGODORO, VISINGENGE.... NA MARUSHA ROHO YANAYOHARIBU MILA NA TAMADUNI ZETU NCHINI TANZANIA UMEFIKA.

  • @user-dq1lm2be2u
    @user-dq1lm2be2u12 күн бұрын

    Kwakweli yanga kila kona tunanga'ra🎉

  • @abdihaji712
    @abdihaji7127 күн бұрын

    Mashallah

  • @user-ql2hc7zt6b
    @user-ql2hc7zt6bАй бұрын

    Umeua mwamba

  • @abunajreenELSESANY
    @abunajreenELSESANY8 күн бұрын

    MAASHA ALLAH

  • @abuuswabr1781
    @abuuswabr1781Ай бұрын

    Kazi murua ♥️♥️♥️♥️

  • @VenanceBilakupenda
    @VenanceBilakupendaАй бұрын

    Kazi nzuri

  • @user-iy2jn1vp4f
    @user-iy2jn1vp4fАй бұрын

    Amenifanya nirudie tena fani yangu ya utunzi wa tenzi na mashairi

  • @SanguyaKeiya

    @SanguyaKeiya

    Ай бұрын

    Please keep doing 🙏

  • @SalamaNauthar
    @SalamaNauthar9 күн бұрын

    Fumau hongera Wallah

  • @FatumaAmina
    @FatumaAminaАй бұрын

    Mashallah ila nilishituka sana uko vizuri kaka

  • @bonniventuresylivester3133
    @bonniventuresylivester3133Ай бұрын

    Mwananchi una hatariii

  • @GhaniaNassor
    @GhaniaNassorАй бұрын

    Umewezaa maashaallah

  • @SalimSeif-hw7rb
    @SalimSeif-hw7rbАй бұрын

    Uko poa sana

  • @allymaranya426
    @allymaranya426Ай бұрын

    Nmkufatampka hukuuuuuuu Imenichm hatr kaka wajua😢

  • @madammubiruhamsin5205
    @madammubiruhamsin5205Ай бұрын

    kipaji kikubwa sana hiki hongera sana

  • @maulidiisihaka852
    @maulidiisihaka852Ай бұрын

    Mwamba 🎉

  • @aishaidrisa4388
    @aishaidrisa4388Ай бұрын

    Nice fanya akue kweli uyo mke😂❤

  • @fatumajuma9388
    @fatumajuma938812 күн бұрын

    Famau unaupiga mwingi bro ongera zako ❤❤ Nkupnda tu bure kutoka 🇰🇪🇰🇪

  • @HilaliMussa
    @HilaliMussaАй бұрын

    Wasanii bhn,watu tunakupa pole kumbe ni shairi😅😅 unyama sana kaka💥💥💥💥

  • @user-rn6xm4bj8j
    @user-rn6xm4bj8jАй бұрын

    Hongera sana nilishtuka nilidhani unaumwa kweli nakupenda kwa kazi yako hii noma bro

  • @amanisalum1638
    @amanisalum1638Ай бұрын

    Mapenzi Hujayajua,Mapenzi Yatakuua Kwa Jina lake Muumba, Shairi Nalifungua. Sihitaji Kuyaremba, Wengi wasije Ungua. Mahaba Ukiyabumba, Afya Itakupungua. Mapenzi Hujayajua, Mapenzi Yatakuua. Ugonjwa Umetangaza, Famau Hujashikika. Sifaze Umesambaza, Kumridhi Muhibaka. Twahofia Kutuliza, Pindi Atapo Geuka. Mapenzi Hujayajua, Mapenzi Yatakuua. Dunia Ina Mifano, Fanani Jitahadhari. Punguza zako Nong'ono, Utamu huwa Shubiri. Kaulize Tangamano, Kwa Mzee Madawiri. Mapenzi Hujayajua, Mapenzi Yatakuua. Fitina Umeijenga, Jicho huna peke Yako. Wakware watamlenga, Wapite na jiko lako. Ukisha uzue ngenga, Wamekulia Vya kwako. Mapenzi Hujayajua, Mapenzi Yatakuua. Nakusihi zindukana, Mapema Hujachelewa. Wapenzi hufarakana, Hubani hawapo sawa. Wanajuta Kujuana, Penzi Limeota Mbawa. Mapenzi Hujayajua, Mapenzi Yatakuua Hizi Beti zimetosha, Hadhari Kuifikisha. Chunga Lisije Kuisha, Fedheha ukajivisha. Twawatakia Maisha, Ya Furaha na Bashasha. Mapenzi Hujayajua, Mapenzi Yatakuua. Amani Salum Seif Dsm 0713717343

  • @saleherashid2262

    @saleherashid2262

    15 күн бұрын

    Kweli beti zimefika,na zangu naongezea, Niwaondoe mashaka, fumau yupo Sawia, Si kua limemfika,janga la kuendelea, Ni mchezo wa filamu,sanaa yake kukuza. Kayasema kwa undani, mahaba yalomsibu, kafikiri akilini,si kwa kusoma kitabu, Kasema yamaishani,yalosemwaga na babu, Ni mchezo wa filamu, sanaa yake kukuza.

  • @KhadijumaKhadijq

    @KhadijumaKhadijq

    9 күн бұрын

    Asante kska

  • @HemedMnyambwa
    @HemedMnyambwaАй бұрын

    Ubufu wa sanaa huu Kongolee sanaaaa Allah akupe afya njema, azidi kukupa misamita ya vina zaidiiiii

  • @IstoneDach
    @IstoneDach11 күн бұрын

    God bless

  • @AAs-qw7fs
    @AAs-qw7fsАй бұрын

    ❤❤❤ nimependa jmn kz nzur broo Mungu akufanyie wepesi katika kz zako

  • @ShajuMusic
    @ShajuMusicАй бұрын

    Noma sana 🔥🙌💐

  • @Dk-Tz
    @Dk-Tz5 күн бұрын

    Respect

  • @ramsostopthisbullshitmanal4002

    @ramsostopthisbullshitmanal4002

    2 күн бұрын

    Good job

  • @harujimajali7240
    @harujimajali7240Ай бұрын

    Walumbi tumeibeba hii kaka🎉

  • @yusufuheri6524
    @yusufuheri6524Ай бұрын

    Mashaalah ya salam ya salam

  • @binkumbesa4181
    @binkumbesa4181Ай бұрын

    Duh ni kweli, kila kitu kinaweza kukutoa ukisimamia ubunifu na kuchapa kazi. Mdogo mdogo jamaa anasonga mbele na Mashairi. Hongera sana

  • @NordeenGharib
    @NordeenGharibАй бұрын

    @fumau mashairi maa sha allah

  • @hawakorobeh7003
    @hawakorobeh7003Ай бұрын

    Mashaallah mashaallah mashaallah 😍🔥

  • @AngelPascal-ye7kp
    @AngelPascal-ye7kpАй бұрын

    Asante na karibia

  • @user-wc5pk2ob8q
    @user-wc5pk2ob8qАй бұрын

    Nzur

  • @nabiljumaothman5912
    @nabiljumaothman59127 күн бұрын

    Nice

  • @malengaWetuTv2699
    @malengaWetuTv2699Ай бұрын

    Sky is free for us to fly

  • @Bahati-vc8fo
    @Bahati-vc8foАй бұрын

    Mashaallah

  • @jafariabdillah8585
    @jafariabdillah8585Ай бұрын

    Ongera sana kwa kipaji na sanaa nzuri

  • @eligahafandi2092
    @eligahafandi2092Ай бұрын

    Mpenzi wa utunzi huu,natokea pwani ya Kenya

  • @AlenJastine
    @AlenJastineАй бұрын

    Kweli ww jini Mahabaaaa😊

  • @abdulhatupoi5574
    @abdulhatupoi5574Ай бұрын

    Pole sana kaka😂

  • @bakaribakari9694
    @bakaribakari9694Ай бұрын

    Tuachanee na Shari tuzungumziee Huyu video queen 👸 kwanzaaa oyaaaaaaaa weeeee

  • @HassanHassan-ix7cj

    @HassanHassan-ix7cj

    Ай бұрын

    😂😂😂😂

  • @mutwali166
    @mutwali166Ай бұрын

    ❤umeua rafiki yangu

  • @user-lv4tl3ep3l
    @user-lv4tl3ep3lАй бұрын

    Kibamba family kaka unajua Allah akuongozee

  • @Salima-nz1qd
    @Salima-nz1qd6 күн бұрын

    ❤penda sana KAZI nzuri broo,

  • @Joseph-57
    @Joseph-57Ай бұрын

    Keep it up brother 💪

  • @ZakiruMwamba
    @ZakiruMwambaАй бұрын

    Good job

  • @moorzaheernyika8001
    @moorzaheernyika8001Ай бұрын

    Kazi nzurii broh,, Tena na-turn on notification ili niwage wa kwanza kuckia vitu hvi hadhiiiim

  • @bornventurenatembeya9744
    @bornventurenatembeya9744Ай бұрын

    Hongera kaka fumau. Napenda ughani wako kwa mno

  • @mohammedokwisya3291
    @mohammedokwisya3291Ай бұрын

    Kongole our mentor

  • @muleereuben5197
    @muleereuben5197Ай бұрын

    😢noma aiseeee fumau

  • @user-bg6yr1lu5v
    @user-bg6yr1lu5vАй бұрын

    Atokei noma sana

  • @AfriHerbal
    @AfriHerbalАй бұрын

    Kaz nzr

  • @naimamagwala1368
    @naimamagwala1368Ай бұрын

    Big up Broo ila umetushtuwa the Mwalimu Nyerere

  • @Salima-nz1qd
    @Salima-nz1qd6 күн бұрын

    Nimeikubali iyoo😍🥰🥳🔥

  • @shabanikhamisi9361
    @shabanikhamisi9361Ай бұрын

    ❤❤❤❤

  • @JeremiaJohnsonmkane
    @JeremiaJohnsonmkaneАй бұрын

    Umekaha vizur kwakwel

  • @user-wk2uw9sm2n
    @user-wk2uw9sm2nАй бұрын

    Mashallha ❤❤❤❤❤❤

  • @user-yu7uv6ws9h
    @user-yu7uv6ws9hАй бұрын

    Kali

  • @aminasaid4174
    @aminasaid4174Ай бұрын

    Doctor wa mashahiri

  • @MariamHarunah-zk1sn
    @MariamHarunah-zk1snАй бұрын

    ❤❤❤

  • @daktariwamoyo
    @daktariwamoyoАй бұрын

    Kali sana

  • @RamadhaniHaji-wn3dd
    @RamadhaniHaji-wn3ddАй бұрын

    Bravo. Umeweza sana hii Mr Fumau mshair

  • @abuuhafswamunsheedu5790
    @abuuhafswamunsheedu5790Ай бұрын

    Doooooh Fumau

  • @Munshid_Rajab
    @Munshid_Rajab10 күн бұрын

    Nzuri mashallah❤❤❤

  • @shabanihugo8332
    @shabanihugo833210 күн бұрын

    Kazi nzur

  • @PaulinKalekezi
    @PaulinKalekezi10 күн бұрын

    Hongera xana kijana fumau kazi nzuri xana.

  • @MsevenPetro
    @MsevenPetroАй бұрын

    Fundi

  • @user-ic8mc3bd8l
    @user-ic8mc3bd8l10 күн бұрын

    Kazi nzuri ❤❤❤

  • @HusseinAyoubKijazi
    @HusseinAyoubKijaziАй бұрын

    Waooooo

  • @IbrahimuMussa-xb7lm
    @IbrahimuMussa-xb7lm9 күн бұрын

    Kazi nzuri sana

  • @FatmaAbdulhalim
    @FatmaAbdulhalim17 күн бұрын

    Daaaah umenishitua mbrooo kumbe mapenziii hongera

  • @user-yz8mc3he7q
    @user-yz8mc3he7qАй бұрын

    ❤❤❤❤❤❤

  • @HusseniHassan
    @HusseniHassan14 күн бұрын

    namkubali sana juhudi nakipaji chako natamani siku napanda uringoni wewe uwe hamasa yangu mpinzani aogope

  • @SuleimanHassan-zq7dv
    @SuleimanHassan-zq7dv7 күн бұрын

    Mashallah kakaunajuwa

  • @fumau_mshairi
    @fumau_mshairiАй бұрын

    Nakukaribisha Kutazama Video Yangu Mpya kzread.info/dash/bejne/d5alzZltk9jfe5s.htmlsi=vgFmE4sGS4PN5AVK ARTIST - FUMAU MSHAIRI SHAIRI-NAUMWA SHOT BY @HANS_ABDLAHAH DIRECTOR @BRAIN_UJAZO ASSISTANT DIRECTOR @DOLPHIN_MSHISHI

  • @fatmamohammedy8778

    @fatmamohammedy8778

    Ай бұрын

    hongera sn kaka angu hila umenistua san duuh utswauwawat na presh jpo up kazin

  • @fatmamohammedy8778

    @fatmamohammedy8778

    Ай бұрын

    una ujeuli ww jmn

  • @user-fi4qy9se4r

    @user-fi4qy9se4r

    Ай бұрын

    Hongera brother from kenya

  • @user-og6jy1lq7w

    @user-og6jy1lq7w

    Ай бұрын

    🇹🇿🤲👏🤝👏🤲🇹🇿

  • @yusufuheri6524

    @yusufuheri6524

    Ай бұрын

    Inshallah

  • @zakimukijori9510
    @zakimukijori951011 күн бұрын

    We famauuu ww

  • @HASANMTARIKA
    @HASANMTARIKA12 күн бұрын

    Safi sana wajina

  • @yl_sports_af1994
    @yl_sports_af1994Ай бұрын

    Mgonjwa kapona

  • @HabibuMohamedlujuo
    @HabibuMohamedlujuo12 күн бұрын

    Huyo bibie mashaallah

  • @JinaMakame-vq8mq
    @JinaMakame-vq8mq26 күн бұрын

    Hongera😂napendaa sana tenzii

  • @AnuariMwago
    @AnuariMwagoАй бұрын

    nakubali kk kazi nzuri🎉

  • @CHIPUKIZIWASHAIRI
    @CHIPUKIZIWASHAIRIАй бұрын

    Mashaallah al akhy

  • @amaniomar1755
    @amaniomar175510 күн бұрын

    Nimeona uzi wa Yanga SC

  • @shamilasudi5660
    @shamilasudi566015 күн бұрын

    Mashallah ila umejua kunishtua🎉

Келесі