Huyu serikali wanatakiwa kumpa ulinzi watu wasije wakamdhuru,ni talent muhimu sana kwa taifa hasa ktk ishu ya kukuza kiswahili...jamaa ni hatar na ana super intelligence and very high thinking and creative
😢😢😢Mungu Azidishe juhud zako sie weng Weeh Ndo rol model we2 Kaka
@khairuhashim2 күн бұрын
maashaallah jaman
@FucianeBulemo-nd4wc10 күн бұрын
Kwa hiki kizazi kukuelewa ni vigum ,ila qaswida pia inakufaa
@HashimSalim-qj7znАй бұрын
ILA HUYO MTT NI MZUIRI HEBU FUMAU FANYA KWELI AWE NDIO MAMA YETU HUYO
@user-it6un3tx3o7 күн бұрын
Mashallah ❤
@BensonMpomo12 күн бұрын
wewe ni wetu lazima tukusapot
@PeterNdondoАй бұрын
Pambana ata nimeipenda stahili hii
@rayisadesigns26469 күн бұрын
MAASHAALLAH HAKIKA HIZI NDIZO LADHA HALISI ZA PWANI NA KIELELEZO CHA KIFASIHI YA MSWAHILI, KIELELEZO CHA USTAARABU WA MTANZANIA TULICHOKIKOSA KWA MUDA MREFU... HATIMAYE MWISHO WA VIGODORO, VISINGENGE.... NA MARUSHA ROHO YANAYOHARIBU MILA NA TAMADUNI ZETU NCHINI TANZANIA UMEFIKA.
@user-dq1lm2be2u12 күн бұрын
Kwakweli yanga kila kona tunanga'ra🎉
@abdihaji7127 күн бұрын
Mashallah
@user-ql2hc7zt6bАй бұрын
Umeua mwamba
@abunajreenELSESANY8 күн бұрын
MAASHA ALLAH
@abuuswabr1781Ай бұрын
Kazi murua ♥️♥️♥️♥️
@VenanceBilakupendaАй бұрын
Kazi nzuri
@user-iy2jn1vp4fАй бұрын
Amenifanya nirudie tena fani yangu ya utunzi wa tenzi na mashairi
@SanguyaKeiya
Ай бұрын
Please keep doing 🙏
@SalamaNauthar9 күн бұрын
Fumau hongera Wallah
@FatumaAminaАй бұрын
Mashallah ila nilishituka sana uko vizuri kaka
@bonniventuresylivester3133Ай бұрын
Mwananchi una hatariii
@GhaniaNassorАй бұрын
Umewezaa maashaallah
@SalimSeif-hw7rbАй бұрын
Uko poa sana
@allymaranya426Ай бұрын
Nmkufatampka hukuuuuuuu Imenichm hatr kaka wajua😢
@madammubiruhamsin5205Ай бұрын
kipaji kikubwa sana hiki hongera sana
@maulidiisihaka852Ай бұрын
Mwamba 🎉
@aishaidrisa4388Ай бұрын
Nice fanya akue kweli uyo mke😂❤
@fatumajuma938812 күн бұрын
Famau unaupiga mwingi bro ongera zako ❤❤ Nkupnda tu bure kutoka 🇰🇪🇰🇪
@HilaliMussaАй бұрын
Wasanii bhn,watu tunakupa pole kumbe ni shairi😅😅 unyama sana kaka💥💥💥💥
@user-rn6xm4bj8jАй бұрын
Hongera sana nilishtuka nilidhani unaumwa kweli nakupenda kwa kazi yako hii noma bro
@amanisalum1638Ай бұрын
Mapenzi Hujayajua,Mapenzi Yatakuua Kwa Jina lake Muumba, Shairi Nalifungua. Sihitaji Kuyaremba, Wengi wasije Ungua. Mahaba Ukiyabumba, Afya Itakupungua. Mapenzi Hujayajua, Mapenzi Yatakuua. Ugonjwa Umetangaza, Famau Hujashikika. Sifaze Umesambaza, Kumridhi Muhibaka. Twahofia Kutuliza, Pindi Atapo Geuka. Mapenzi Hujayajua, Mapenzi Yatakuua. Dunia Ina Mifano, Fanani Jitahadhari. Punguza zako Nong'ono, Utamu huwa Shubiri. Kaulize Tangamano, Kwa Mzee Madawiri. Mapenzi Hujayajua, Mapenzi Yatakuua. Fitina Umeijenga, Jicho huna peke Yako. Wakware watamlenga, Wapite na jiko lako. Ukisha uzue ngenga, Wamekulia Vya kwako. Mapenzi Hujayajua, Mapenzi Yatakuua. Nakusihi zindukana, Mapema Hujachelewa. Wapenzi hufarakana, Hubani hawapo sawa. Wanajuta Kujuana, Penzi Limeota Mbawa. Mapenzi Hujayajua, Mapenzi Yatakuua Hizi Beti zimetosha, Hadhari Kuifikisha. Chunga Lisije Kuisha, Fedheha ukajivisha. Twawatakia Maisha, Ya Furaha na Bashasha. Mapenzi Hujayajua, Mapenzi Yatakuua. Amani Salum Seif Dsm 0713717343
@saleherashid2262
15 күн бұрын
Kweli beti zimefika,na zangu naongezea, Niwaondoe mashaka, fumau yupo Sawia, Si kua limemfika,janga la kuendelea, Ni mchezo wa filamu,sanaa yake kukuza. Kayasema kwa undani, mahaba yalomsibu, kafikiri akilini,si kwa kusoma kitabu, Kasema yamaishani,yalosemwaga na babu, Ni mchezo wa filamu, sanaa yake kukuza.
@KhadijumaKhadijq
9 күн бұрын
Asante kska
@HemedMnyambwaАй бұрын
Ubufu wa sanaa huu Kongolee sanaaaa Allah akupe afya njema, azidi kukupa misamita ya vina zaidiiiii
@IstoneDach11 күн бұрын
God bless
@AAs-qw7fsАй бұрын
❤❤❤ nimependa jmn kz nzur broo Mungu akufanyie wepesi katika kz zako
@ShajuMusicАй бұрын
Noma sana 🔥🙌💐
@Dk-Tz5 күн бұрын
Respect
@ramsostopthisbullshitmanal4002
2 күн бұрын
Good job
@harujimajali7240Ай бұрын
Walumbi tumeibeba hii kaka🎉
@yusufuheri6524Ай бұрын
Mashaalah ya salam ya salam
@binkumbesa4181Ай бұрын
Duh ni kweli, kila kitu kinaweza kukutoa ukisimamia ubunifu na kuchapa kazi. Mdogo mdogo jamaa anasonga mbele na Mashairi. Hongera sana
@NordeenGharibАй бұрын
@fumau mashairi maa sha allah
@hawakorobeh7003Ай бұрын
Mashaallah mashaallah mashaallah 😍🔥
@AngelPascal-ye7kpАй бұрын
Asante na karibia
@user-wc5pk2ob8qАй бұрын
Nzur
@nabiljumaothman59127 күн бұрын
Nice
@malengaWetuTv2699Ай бұрын
Sky is free for us to fly
@Bahati-vc8foАй бұрын
Mashaallah
@jafariabdillah8585Ай бұрын
Ongera sana kwa kipaji na sanaa nzuri
@eligahafandi2092Ай бұрын
Mpenzi wa utunzi huu,natokea pwani ya Kenya
@AlenJastineАй бұрын
Kweli ww jini Mahabaaaa😊
@abdulhatupoi5574Ай бұрын
Pole sana kaka😂
@bakaribakari9694Ай бұрын
Tuachanee na Shari tuzungumziee Huyu video queen 👸 kwanzaaa oyaaaaaaaa weeeee
@HassanHassan-ix7cj
Ай бұрын
😂😂😂😂
@mutwali166Ай бұрын
❤umeua rafiki yangu
@user-lv4tl3ep3lАй бұрын
Kibamba family kaka unajua Allah akuongozee
@Salima-nz1qd6 күн бұрын
❤penda sana KAZI nzuri broo,
@Joseph-57Ай бұрын
Keep it up brother 💪
@ZakiruMwambaАй бұрын
Good job
@moorzaheernyika8001Ай бұрын
Kazi nzurii broh,, Tena na-turn on notification ili niwage wa kwanza kuckia vitu hvi hadhiiiim
@bornventurenatembeya9744Ай бұрын
Hongera kaka fumau. Napenda ughani wako kwa mno
@mohammedokwisya3291Ай бұрын
Kongole our mentor
@muleereuben5197Ай бұрын
😢noma aiseeee fumau
@user-bg6yr1lu5vАй бұрын
Atokei noma sana
@AfriHerbalАй бұрын
Kaz nzr
@naimamagwala1368Ай бұрын
Big up Broo ila umetushtuwa the Mwalimu Nyerere
@Salima-nz1qd6 күн бұрын
Nimeikubali iyoo😍🥰🥳🔥
@shabanikhamisi9361Ай бұрын
❤❤❤❤
@JeremiaJohnsonmkaneАй бұрын
Umekaha vizur kwakwel
@user-wk2uw9sm2nАй бұрын
Mashallha ❤❤❤❤❤❤
@user-yu7uv6ws9hАй бұрын
Kali
@aminasaid4174Ай бұрын
Doctor wa mashahiri
@MariamHarunah-zk1snАй бұрын
❤❤❤
@daktariwamoyoАй бұрын
Kali sana
@RamadhaniHaji-wn3ddАй бұрын
Bravo. Umeweza sana hii Mr Fumau mshair
@abuuhafswamunsheedu5790Ай бұрын
Doooooh Fumau
@Munshid_Rajab10 күн бұрын
Nzuri mashallah❤❤❤
@shabanihugo833210 күн бұрын
Kazi nzur
@PaulinKalekezi10 күн бұрын
Hongera xana kijana fumau kazi nzuri xana.
@MsevenPetroАй бұрын
Fundi
@user-ic8mc3bd8l10 күн бұрын
Kazi nzuri ❤❤❤
@HusseinAyoubKijaziАй бұрын
Waooooo
@IbrahimuMussa-xb7lm9 күн бұрын
Kazi nzuri sana
@FatmaAbdulhalim17 күн бұрын
Daaaah umenishitua mbrooo kumbe mapenziii hongera
@user-yz8mc3he7qАй бұрын
❤❤❤❤❤❤
@HusseniHassan14 күн бұрын
namkubali sana juhudi nakipaji chako natamani siku napanda uringoni wewe uwe hamasa yangu mpinzani aogope
@SuleimanHassan-zq7dv7 күн бұрын
Mashallah kakaunajuwa
@fumau_mshairiАй бұрын
Nakukaribisha Kutazama Video Yangu Mpya kzread.info/dash/bejne/d5alzZltk9jfe5s.htmlsi=vgFmE4sGS4PN5AVK ARTIST - FUMAU MSHAIRI SHAIRI-NAUMWA SHOT BY @HANS_ABDLAHAH DIRECTOR @BRAIN_UJAZO ASSISTANT DIRECTOR @DOLPHIN_MSHISHI
@fatmamohammedy8778
Ай бұрын
hongera sn kaka angu hila umenistua san duuh utswauwawat na presh jpo up kazin
Пікірлер: 163
Haya ndio mapinduzi ya sanaa iliyodharaulika na kuona imepitwa wakati. Hongera kwa kutupa burudani sisi wapenzi wa tenzi na mashairi.
@nurkintv5815
Ай бұрын
hakika
mwenyezimungu akufungulie lkilanjia iliofungwa kakaangu❤❤❤
safi saana. ubunifu wa hali ya juu
Asante sana mungu akupe ihsaani na afya tele
Huyu serikali wanatakiwa kumpa ulinzi watu wasije wakamdhuru,ni talent muhimu sana kwa taifa hasa ktk ishu ya kukuza kiswahili...jamaa ni hatar na ana super intelligence and very high thinking and creative
Nimeipendaaa iyooko
Wananchi Kila Kona tunaupiga mwingi .wapite mbali
Khongera sana brooo
Mashaa Allah, ,wananchi tumpe sapot kijana wetu❤❤❤
😢😢😢Mungu Azidishe juhud zako sie weng Weeh Ndo rol model we2 Kaka
maashaallah jaman
Kwa hiki kizazi kukuelewa ni vigum ,ila qaswida pia inakufaa
ILA HUYO MTT NI MZUIRI HEBU FUMAU FANYA KWELI AWE NDIO MAMA YETU HUYO
Mashallah ❤
wewe ni wetu lazima tukusapot
Pambana ata nimeipenda stahili hii
MAASHAALLAH HAKIKA HIZI NDIZO LADHA HALISI ZA PWANI NA KIELELEZO CHA KIFASIHI YA MSWAHILI, KIELELEZO CHA USTAARABU WA MTANZANIA TULICHOKIKOSA KWA MUDA MREFU... HATIMAYE MWISHO WA VIGODORO, VISINGENGE.... NA MARUSHA ROHO YANAYOHARIBU MILA NA TAMADUNI ZETU NCHINI TANZANIA UMEFIKA.
Kwakweli yanga kila kona tunanga'ra🎉
Mashallah
Umeua mwamba
MAASHA ALLAH
Kazi murua ♥️♥️♥️♥️
Kazi nzuri
Amenifanya nirudie tena fani yangu ya utunzi wa tenzi na mashairi
@SanguyaKeiya
Ай бұрын
Please keep doing 🙏
Fumau hongera Wallah
Mashallah ila nilishituka sana uko vizuri kaka
Mwananchi una hatariii
Umewezaa maashaallah
Uko poa sana
Nmkufatampka hukuuuuuuu Imenichm hatr kaka wajua😢
kipaji kikubwa sana hiki hongera sana
Mwamba 🎉
Nice fanya akue kweli uyo mke😂❤
Famau unaupiga mwingi bro ongera zako ❤❤ Nkupnda tu bure kutoka 🇰🇪🇰🇪
Wasanii bhn,watu tunakupa pole kumbe ni shairi😅😅 unyama sana kaka💥💥💥💥
Hongera sana nilishtuka nilidhani unaumwa kweli nakupenda kwa kazi yako hii noma bro
Mapenzi Hujayajua,Mapenzi Yatakuua Kwa Jina lake Muumba, Shairi Nalifungua. Sihitaji Kuyaremba, Wengi wasije Ungua. Mahaba Ukiyabumba, Afya Itakupungua. Mapenzi Hujayajua, Mapenzi Yatakuua. Ugonjwa Umetangaza, Famau Hujashikika. Sifaze Umesambaza, Kumridhi Muhibaka. Twahofia Kutuliza, Pindi Atapo Geuka. Mapenzi Hujayajua, Mapenzi Yatakuua. Dunia Ina Mifano, Fanani Jitahadhari. Punguza zako Nong'ono, Utamu huwa Shubiri. Kaulize Tangamano, Kwa Mzee Madawiri. Mapenzi Hujayajua, Mapenzi Yatakuua. Fitina Umeijenga, Jicho huna peke Yako. Wakware watamlenga, Wapite na jiko lako. Ukisha uzue ngenga, Wamekulia Vya kwako. Mapenzi Hujayajua, Mapenzi Yatakuua. Nakusihi zindukana, Mapema Hujachelewa. Wapenzi hufarakana, Hubani hawapo sawa. Wanajuta Kujuana, Penzi Limeota Mbawa. Mapenzi Hujayajua, Mapenzi Yatakuua Hizi Beti zimetosha, Hadhari Kuifikisha. Chunga Lisije Kuisha, Fedheha ukajivisha. Twawatakia Maisha, Ya Furaha na Bashasha. Mapenzi Hujayajua, Mapenzi Yatakuua. Amani Salum Seif Dsm 0713717343
@saleherashid2262
15 күн бұрын
Kweli beti zimefika,na zangu naongezea, Niwaondoe mashaka, fumau yupo Sawia, Si kua limemfika,janga la kuendelea, Ni mchezo wa filamu,sanaa yake kukuza. Kayasema kwa undani, mahaba yalomsibu, kafikiri akilini,si kwa kusoma kitabu, Kasema yamaishani,yalosemwaga na babu, Ni mchezo wa filamu, sanaa yake kukuza.
@KhadijumaKhadijq
9 күн бұрын
Asante kska
Ubufu wa sanaa huu Kongolee sanaaaa Allah akupe afya njema, azidi kukupa misamita ya vina zaidiiiii
God bless
❤❤❤ nimependa jmn kz nzur broo Mungu akufanyie wepesi katika kz zako
Noma sana 🔥🙌💐
Respect
@ramsostopthisbullshitmanal4002
2 күн бұрын
Good job
Walumbi tumeibeba hii kaka🎉
Mashaalah ya salam ya salam
Duh ni kweli, kila kitu kinaweza kukutoa ukisimamia ubunifu na kuchapa kazi. Mdogo mdogo jamaa anasonga mbele na Mashairi. Hongera sana
@fumau mashairi maa sha allah
Mashaallah mashaallah mashaallah 😍🔥
Asante na karibia
Nzur
Nice
Sky is free for us to fly
Mashaallah
Ongera sana kwa kipaji na sanaa nzuri
Mpenzi wa utunzi huu,natokea pwani ya Kenya
Kweli ww jini Mahabaaaa😊
Pole sana kaka😂
Tuachanee na Shari tuzungumziee Huyu video queen 👸 kwanzaaa oyaaaaaaaa weeeee
@HassanHassan-ix7cj
Ай бұрын
😂😂😂😂
❤umeua rafiki yangu
Kibamba family kaka unajua Allah akuongozee
❤penda sana KAZI nzuri broo,
Keep it up brother 💪
Good job
Kazi nzurii broh,, Tena na-turn on notification ili niwage wa kwanza kuckia vitu hvi hadhiiiim
Hongera kaka fumau. Napenda ughani wako kwa mno
Kongole our mentor
😢noma aiseeee fumau
Atokei noma sana
Kaz nzr
Big up Broo ila umetushtuwa the Mwalimu Nyerere
Nimeikubali iyoo😍🥰🥳🔥
❤❤❤❤
Umekaha vizur kwakwel
Mashallha ❤❤❤❤❤❤
Kali
Doctor wa mashahiri
❤❤❤
Kali sana
Bravo. Umeweza sana hii Mr Fumau mshair
Doooooh Fumau
Nzuri mashallah❤❤❤
Kazi nzur
Hongera xana kijana fumau kazi nzuri xana.
Fundi
Kazi nzuri ❤❤❤
Waooooo
Kazi nzuri sana
Daaaah umenishitua mbrooo kumbe mapenziii hongera
❤❤❤❤❤❤
namkubali sana juhudi nakipaji chako natamani siku napanda uringoni wewe uwe hamasa yangu mpinzani aogope
Mashallah kakaunajuwa
Nakukaribisha Kutazama Video Yangu Mpya kzread.info/dash/bejne/d5alzZltk9jfe5s.htmlsi=vgFmE4sGS4PN5AVK ARTIST - FUMAU MSHAIRI SHAIRI-NAUMWA SHOT BY @HANS_ABDLAHAH DIRECTOR @BRAIN_UJAZO ASSISTANT DIRECTOR @DOLPHIN_MSHISHI
@fatmamohammedy8778
Ай бұрын
hongera sn kaka angu hila umenistua san duuh utswauwawat na presh jpo up kazin
@fatmamohammedy8778
Ай бұрын
una ujeuli ww jmn
@user-fi4qy9se4r
Ай бұрын
Hongera brother from kenya
@user-og6jy1lq7w
Ай бұрын
🇹🇿🤲👏🤝👏🤲🇹🇿
@yusufuheri6524
Ай бұрын
Inshallah
We famauuu ww
Safi sana wajina
Mgonjwa kapona
Huyo bibie mashaallah
Hongera😂napendaa sana tenzii
nakubali kk kazi nzuri🎉
Mashaallah al akhy
Nimeona uzi wa Yanga SC
Mashallah ila umejua kunishtua🎉