Founder TZ - Nitatokaje (Official Music Video )
Hello !! Amjambo Naitwa Founder Tz naweletea official video ya NITATOKAJE naitaji sapoti yenu ya kuniwesha hili nifike usisahau
#SUBSCRIBE #LIKE #COMMENT #SHARE Artist : Founder Tz
Song : Nitatokaje
Producer : Spadebeatz
Пікірлер: 7 100
Shukrani sana kwenu maana sina cha kuwalipa 🙏🙏🙏🙏
@alfayotumaini
9 ай бұрын
Dogo uko fiti sana kila la kheri katika safari yako ya mziki usikate tamaa dogo
@muhugokandiga5757
9 ай бұрын
Pambana mdogo wangu tumeshaona kipaji unacho Huwa napost mpaka Whatsapp kazi zako mfano Ile ya mnisapoti kusaport tu japo sikujui
@TITOtz
9 ай бұрын
Dogo inakuwaje trending haupo una 103k for 1day na ommy dimpoz ana 73k for 1 day yupo trending how? Jitahidi uijaze account yako ya youtube yaani founder tz ni nani zaidi kama jina lako la kiserikal kama Diamond platinumz alivyo jaza na mitandao mingine uliyonayo kama Spotify etc.
@ElizaZaina
9 ай бұрын
@@TITOtzcomment mzuri sana iyo nikweli kabisa kama hajawa basata ajitaidi sana kwasababu upanda wa views Yuko powa sana
@Mimi-ol3wz
9 ай бұрын
Hongera Sana dogo
Team gulf wenye tumekuja ku support huyu Dogo juu ana kipaji piteni na likes jameni🇰🇪🇶🇦
@DanielmashaGona
9 ай бұрын
Ausio 🎉
@janemzenge7119
9 ай бұрын
Tuko hapa❤❤❤
@salmaalimusa6809
9 ай бұрын
Tumooooooo
@jayclassicke8163
9 ай бұрын
Kijana yuko vizuri
@flinchclassic1531
9 ай бұрын
Dogo anajua mpka anakera
Mdgo angu nipo pamoja nawe usisite kuwa mpambanaji utafika mbali sana kusema kweli MUNGU awe nawe kila SIKU na azidi kukupaisha see you at the top 🎉🎉🎉
Kama huna mkubali huyu dogo kwa mziki wake weka like
Kama unamkubali founder naomba likes yako pleas 🙌🙌 mungu akubariki sana mdogo wangu tupo nyuma yako
@majaliwaramadhan
9 ай бұрын
Sisi wengine tuna hangalia kazi za ma director sio mpaka wasanii tu 😁😁
@rashidimkechi4194
9 ай бұрын
@@majaliwaramadhan Kojoa ulale
@gabrielkipamba4740
8 ай бұрын
Umeshatoka mdogo wangu Mungu akulinde uliko good job
@alhamdullilla5108
8 ай бұрын
Mashaallah namkubali dogoooo Mashaallah
@HawaTito-bl9sd
6 ай бұрын
Nakubali dogo
Wakati wasanii wengine wanahangaika na Amapiano, Dogo katuletea bongofleva Safi kabisa, embu tumsapoti🔥🔥🔥🔥
@DavidMido
9 ай бұрын
Kweli kabisss
@epafrapaulo7137
9 ай бұрын
Akitoboa anaanza kuhangaika na amapiano😂😂😂
@ramadhankijana9442
9 ай бұрын
Yaani dah kweli kabisa
@Kalssambabo-gv6uh
9 ай бұрын
@@epafrapaulo7137😅😅😅
@DanielNoel-ck5mj
9 ай бұрын
Mungu amsaidie
Sema nini kigoma wamebalikiwa sanaa upande wa bongoflava kama wewe niwa kigoma gonga like
Simba plus konde boy pamoja,,,much love from Kenya,,, congrats younger BT talented,, keep it up 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 ikishaitikia brother count yourself a celebrity already.guys let's support this massive talent 💥🏆
@TeresiaWanjiru-jz5vh
9 ай бұрын
That's a must
@shazardmahrezwalulaca211
9 ай бұрын
Ndo ina zidi ku sambaa🇰🇪
@damascusshady6954
9 ай бұрын
WHo lied to you...kenya hamjui kuimba so why should we need approval from yourl...lol
@universal318
9 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
@chiroshow-ri2nd
9 ай бұрын
@damascusshady6954 we don't know but without us ,akuna mtaenda tu
Ukishakubalika Kenya mziki wako ushapenya 🇰🇪
@adammusichousekibondo5251
9 ай бұрын
Tunashukuru Kenya Kwa Support yenu aisee
@samsed-media9911
9 ай бұрын
Kabisaa
@ezrommussamusssa2540
9 ай бұрын
Dogo ndo umetoka
@pigalukunashtu918
9 ай бұрын
Btw
@KevinRamonyi
9 ай бұрын
Kaka me nependa❤❤❤❤❤❤
Mimi mwenyewe nimejikuta kumuelewa dogo naombeni like ata mia tu jamani
Kama una mkubali Founder TZ tujuane kwa like na comments ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
254..Kenya.. tunarudia mara isiyohesabika...ebu wakenya leteni likes hapa🎉
Nimewahi sana tupite na like kwa mdogo wetu founder tz ili twend sawa❤❤❤❤
UNYAMA ni Mwingi Dogo ..jipe kwa mola utatoka Dogo inshallah 🙏🙏big love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 kenya
Dogo salute Sana hiyo nimeipenda Sana komaa
Walio msuppoort mdogo wetu Mungu awabariki sana, much love from Kenya 🇰🇪
This is another LION in Tanzania, keep going my son much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@pitohtheeG
9 ай бұрын
See what other countries are doing 😢😢😢😢...hope kenya watasaidiana hivo
@NicodemusKithi-xe7mg
9 ай бұрын
Dogo Dua tu
@Milanfyv-official
9 ай бұрын
kzread.info/dash/bejne/goaWzbZmc67clJs.htmlsi=_pNBuJ5aq2xbSteD
@bulangathedonOg2604
9 ай бұрын
youtube.com/@bulangathedon2604?si=czfv91098qCLBCZV
@mshamhemedy8567
9 ай бұрын
Kweli
Kigomaa homeee boyyyy ❤❤❤ nwamis wanangu wa mwanga city
Kila siku Bongo flava Ina wakuiendeleza much love for TZ
@MRJ1308
4 ай бұрын
Haki
Ushatoka bro ...niko Kenya nasubiri🇰🇪#2023
Waweza sana dogo pambana sana utafika mbali sana kweli napenda sana wimbo wako
Kazana mdogo wangu Mungu azidi kukuinua viwango vya juu❤❤❤🙏🙏🔥
From TikTok to KZread juu yako little boy congrats 👏 and never give up God is always there for you siku moja itakuwa story tu na utaenda far sana wakenya tumependa nyimbo zako all the best 🎉🎉❤
Wa kenya kumbe ninyi ni wapenda maedeleo,, toka Congo DRC 🇨🇩 nime wa kubali, sapoti yenu kwa mdogo wetu ni nyingi sana ,gonga Link apa wa kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@ronniebertin3563
9 ай бұрын
Mkimbizi toka congo anaishi Tanzania sio kenya
@user-ls4sj3fv7t
8 ай бұрын
@@aminata3702 mimi comenti yangu, bahada ya ku ona wa kenya wana ji tokeza kwa uwingi ku msapoti dogo, ndo happy nikawa nime sema kuwa wa kenya ni wapenda maeneleo, ku sema kweli dogo, ni mkimbizi toka congo, ambae ana ishi Tanzania, na anaye sapotiwa na WA kenya, bonjour my dada
@aminata3702
8 ай бұрын
@@user-ls4sj3fv7t Saw a😊 ila dogo si mkimbizi tena kashakuwa raia wa Tz ,Na kuhusu wakenya ku support Tz hiyo ni kawaida
Wanaobaki muda Kwa muda kusukia hii ngoma tujuwane love from Zambia 🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲
Nakumbuka Aslay pia alianza hivi🙌🏾
nakubali dogo imeweza mbaya💯🔥🔥
Songs Kally sana kama unakubali gonga like apa ✊🙄😒❤❤❤❤
Ambaho tumerudia Mara 10 gonga tujuane❤❤
Mtoto yuko vizuri sanaa Mungu akusaidia umeshatoka tayari
Ushatoka dogo ❤❤❤ nipo nawe hadi kilele cha uhai wangu
Mpeni mauwa yake huyu dogo jamani,wimbo mzuri mno!Mungu akutangulie kwa kila atuw ya kazi yako dogo🙏🙏 ,this is a natural Talent 👌
@mwanaashahamisi554
9 ай бұрын
👑👑👑👑👑💯💯💯💯🥀🥀🥀🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹
@montanahamad6974
9 ай бұрын
Daaah guy's tumpeleke trending huyu dogo hii nyimbo kalisana
Ushaatoka kaka❤ 🇰🇪😎🙏 Kama unakubali vaibu ya huyu ndogo gonga like tumtoe❤...🇰🇪
Kigoma one hongera
Hongera sana young lion ngoma iko sawa kipaji kipo.Hakuna kurudi nyuma hiyo ni mwanzo tu
Kutoka kambini mpaka duniani. Mungu hana mshirika 💪💪💪💪 #Nitatokaje 🙌🙌
Tuliorudia ngoma hii mara nyingi tujuane apa❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Bonge moja la goma❤❤❤❤❤❤❤
This boy is really talented..may God uplift u❤❤🇰🇪
Thanks,God 🙏 kwakumpa kipaji mdogo wetu naeaikomboe family yake naiman Mdogo wangu Founder Tupo nyuma yako nenda nenda Mdogo wangu Nyimbo kali sanaaaa unaweza namwnyzi Mungu akupe Maisha marefu sanaa nadhan waTanzania tumekuona tupo kutimiza ndotozako nausimwache Mungu ktk Maisha naiman atakutendea wakati sahihi my blood❤✍️🎶🎵🙏🇹🇿
Daaa dogo anaeneza on million views ndani ya siku kumi daa majabu kweri ebu nipeni like kama 1000 kama ww nishabiki yake
🇰🇪🇰🇪🇰🇪this song made me cry 😢 mob love you TZ well talented
uyu dogo noma anajuwa 🔥🔥🔥
I was suggested here while listening to the song “Dupe - Dost” 😅😅
Wenye tunarundi kuuona huu wimbo mala kwa mala kujeni hapa na like zenu. Kenya hoyeeeeeeee🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪💃💃💃💃💃💃💃💃💃
young boy big talent Keep going one day yes 🎉🎉❤❤
Mungu akuongoze kwenye hi kazi yako utatoboa mdogo wetu
Founder tz tuko pamoja 🎉🎉🎉 na kazi yako twaikubali n tutaipeperusha kila kono watu wazidi kusubscribe your channel
🇰🇪🇰🇪 tushamkubali dogo 🎉🎉🎉🎉 bonge la hit ❤❤ asiyopenda na akajiuwe na mbali maana kijani anafaa taji kwa hakika❤❤
Nakubali Mdogo wangu, Shabiki yako namba 1 nakubali sana kazi nzuri endelea kupambana mafanikio ya Mziki yapo mbali Sana
He sings bongo itself and am glad he has got the vibe🔥🇰🇪
400k plus viewa in 4 days,,, thats really amazing and nyota ya dogo inangaa ni vigumu sana kupata views hivyo kwa siku chache maze.... Wish you all the best kwenye kioaji chako,, nitafurahi sana nikiona unapiga 1 million plus in two weeks... Kama unatambua dogo piga like tukisonga❤❤
@LocsbyBasha
9 ай бұрын
100k kila siku.... In 10 days 1M... 🎉
Tanzania Kuanzia Mtoto Hadi Watu wa umri Mkubwa wana Vipaji Ilove My Motherland
Kubwa 🔥🔥🔥
Kama una mkubali dogo ni shida yani ni moto 🔥🔥🔥 wakuotea mbali Founder tz gonga like apa
@aaminaasljbgbvf745
3 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉🇹🇿🇹🇿
Kama unaamini dogo huyu tayari katoka weka likes hapa tumsupport
kazi safi dogo tunakukubali hapa 4K ENT kutoka kenya 254
Good sana mdogo wetu pambana
Very very hit song, mond wa badae keep it up 🔥
Talent from the street camp! MUNGU Hamtupi mja wake Mimi binafsi namuombea Sana huyu kijana MUNGU amuinue kipaji chake
@khadijakimana8809
9 ай бұрын
Amin
♥♥♥♥♥tumemisi ngoma mpya CONGRATULATIONS mdogo wangu utafika MBALI♥♥♥♥♥🎤🎤🎤🎤🎤🎤🎤🎤
Mungu amwepushe na wabaya ili asaaidie mamake na mandugu zake maana waaah mashallah kipaji mungu kamjali
USA 🇺🇸 well represented 🇰🇪 🇹🇿 we love you, Founder TZ💞💞
@babaugalicomedy849
9 ай бұрын
Nipitie kwangu
@emanuel28asukile
9 ай бұрын
Awesome Awoooote weweeeeeee @dianakemmylifestyl522
@man_rungu
9 ай бұрын
dianakemmy sasa❤
@user-jy3mi7sw5e
9 ай бұрын
kzread.info/dash/bejne/g4uq2qupqq2clM4.html
@amerkingston122
9 ай бұрын
Hi miss Diana
Una kipaji kikubwa sana dogo. We as Kenyans are praying for you that may God lift you up all the days of your life 🙏🙏
kazi napenda sana
hongerag sana aisee
Founder Tz anaweza kabixa❤.anashangaza kweli,mtoto wa miaka 15❤❤❤❤❤
Nyimbo ni kari sana dogo anajua mwenyezi mungu ampe nguvu atimize malengo yake
Uko vizuri kiukweli pambana kijana ila ukiimba mapenzi iwe yakuelimiaha utafanikiwa
Unajua kuimba sana ndugu yetu ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Kenyans loves good music sisi ndo judge ....let's gang up na liles Kama tuko kimoja🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@laurentwilson-db4ir
9 ай бұрын
✊✊
sauti yake nzuri let's support him please..hawa ndoo watatuwakilisha kesho ..na kesho kutwa..am chris from Kenya uyo dogo ametrend adi radio za uku kwetu nimesikia ngoma yake ..no matter the hard life we go through there is always God's time and blessings
❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉 mungu akulinde dogo uko na kipaji kizuri sana
Mungu ni mkuu bro atainua kipaji chako cha uimbaji na utakuwa msanii mkuu barikiwa sana
uyu dogo anaimba nyimbo za mtu anaota anasikia kwenye ndoto Kama unamkubali 🔥🔥🔥💖🙏🏾 founder tz gonga like apa
Mombasa Kenya ndio daraja la kwanza la musiki wako mdogo wetu uko vizuri imepenya na bado chupa lina pasua anga Keep it up GOD bless your efforts kijana wetu EAST AFRICA to the world
Very creative
❤❤❤❤❤ dogo achanikupe mauwa yako napenda hiyi style toka Goma Congo DRC 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
🔥Founder Tz Is Talented Much🔥One Day Yes🔥Let's Support This Talented Boy🔥
@africanentertainment2124
9 ай бұрын
kzread.info/dash/bejne/eYaM2tVveMqaYLA.html
I Hope itafika 1M soon 🔥🔥🔥✅✅ Tukutane kwa like wanao amini ilo 👍👍
I'm here to support him-this music it's so fantastic let's give him some Apples🍎🍏❤
Huyu mkali😮😮😮😮😮then vocals.......upcoming king ❤
Nimekubali.Acha tumwombe Mungu siku moja tupige kolabo ya gospel pamoja🙏🙏🙏🙏
Mimi si fan wa Bongo na I've never been a fan of any bongo artist, but kwako natangaza kuwa fan wako mkubwa hapa Kenya. I wanna grow with you to your greater heights
@allykhamisi647
9 ай бұрын
He has talent wallah may allah help him amen let's support this young boy please world wide please
Tanzania never disappoint 🥰iko best watching from Kenya
Combination of hermonize n simba equals founder tz. Go go
Félicitations mon frère. En RDC nous sommes fiers de toi. Congo 🇨🇩🇨🇩na tanzania🇹🇿🇹🇿 tuko familia.
@user-yj9hj8dc9q
9 ай бұрын
Unakipaji kaza mwanangu
@JoybCraq
7 ай бұрын
Merci
@JoybCraq
7 ай бұрын
kzread.info/dash/bejne/aYqZq6pvj63KiKg.htmlsi=XxtIhdb7GDxBI3je
@JoybCraq
6 ай бұрын
kzread.info/dash/bejne/dZuXycuvlLmwndI.htmlsi=-SZe68yHLNeJx_cU
Check this comment after 10 yrs. This talent is going far. The next diamond of his time. May God help you lil bro❤❤ 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Kama unaamini huyu ni mkali kuliko d voice likes hapa ❤️🖤
Dogo unajua mpaka unakera yani noma. Unakila kitu cha kuku fanya Uwe matawi. Kila la kheri.From Zürich Switzerland 🇨🇭
True talented boy more love from kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@devontndauka8268
9 ай бұрын
🙏🙏❤️❤️❤️❤️❤️🥰🥰🥰
THIS KID IS THE NEXT BIG THING IN TZ... WATCHING FROM ZAMBIA 🇿🇲. YOU WILL ALL WITNESS.
@thezedjrlecturer.4019
8 ай бұрын
I totally agree with you my fellow Zambian. I'm also watching from ZAMBIA ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
@Learnswahilisaidam.9443
6 ай бұрын
True
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤❤hongera mwaba umeuwa Alll azindi kupatya kipaji very nice dogo fonder
Tanzania always produces young talents Quality Talents. Aslay, Yprince, now Founder Tz.
Hongera sana Founder Tz kwa safi unayoifanya nyimbo nzuri naipenda hii..pia hongara kwa speed beat na director wa video hi ni kali sana aisee dogo utafika mbali twakuombea sana ufike level za juu 💖💖💖
@husnaarafat2725
9 ай бұрын
Kabisa hivo ndo twaomba dogo afike level ya juu
@africanentertainment2124
9 ай бұрын
kzread.info/dash/bejne/eYaM2tVveMqaYLA.html
@productiontolo1747
9 ай бұрын
Asante sana by director tolo
Founder tz congratulations 🎉🎉 mpen mauwa yake jamani
Unaweza mdogo wangu mungu aendelee kukuuza kipaji chako
Wallahy We Dogo Ni Genius Akili Nyingi Amujakosea Kujiita Wabongo Mana Mnajua Mpka Mnakera Maa shaa Allah...Nakuombea Kila la Kheri Mdogo Wangu Founder TZ Una Kipaji Kikubwa Sanaaaa tena Sanaaaa....PAmbania Kipaji Chako
Daah huyu wimbo mkali sana ukipiga collaboration na SIMBA inaweza kiwa tishio EA kabisa❤❤❤