FINNALLY GOODNEWS KUMBE NI KAZIN NA RAFIKI YA SHEILA WAMESHIKWA WENYE WAM£MUUA

Ойын-сауық

Try the free video editor CapCut to create videos! www.capcut.com/?...

Пікірлер: 27

  • @joyjoey2164
    @joyjoey2164Ай бұрын

    Thanks for your information, that's why I chose to be a single adi siku nitarudi Kenya mungu ani connect na bwana nikiwa huko but nikiwa hapa Saudi sitakimajambazi wa online

  • @user-pc7mf4sk1g
    @user-pc7mf4sk1gАй бұрын

    Sio mostly Egypt hakuna agency

  • @noelmgono6978
    @noelmgono69783 күн бұрын

    Wacha nikae single for life 💔 mm nashangaa 🤔 na team strong 💪 Kwani lazima mkihome mtolewe dry spell

  • @user-pq9be8re6i
    @user-pq9be8re6iАй бұрын

    Jackson,siku hizi matara ni wengi,sijui kama ni lini tuta learn, maana siku hizi haifai kuchat chat na wanaume,enda nyumbani in silent

  • @florencewangetha9281
    @florencewangetha9281Ай бұрын

    Ni wapi Kenya watu wanambemba cash si kuna ma simu zakubemba pesa.

  • @user-xk6lz3pl8n
    @user-xk6lz3pl8nАй бұрын

    Mapenzi ya online akh wasichana c musikie yawah,Jackson akh wewe😅😅 anyway rip Sheila 😢😢

  • @user-pq9be8re6i
    @user-pq9be8re6iАй бұрын

    Wacha mapenzi yakae nilee watoto wangu kwanza,mambo na online dating sijawai penda kabisa

  • @user-pc7mf4sk1g
    @user-pc7mf4sk1gАй бұрын

    Hakuna mambo na dry spell hapo anless kama umeokoka huwezi kua na mwanaume unashika tu kanisa juu Kuna churches

  • @user-iz4qq6rc9b
    @user-iz4qq6rc9bАй бұрын

    Kuna rafiki anitaki juu ya kumwambia ukweli kuhusu mapenzi ya online..anasema simtaki wema😮😅mmmh..cna say😂😅

  • @user-pc7mf4sk1g
    @user-pc7mf4sk1gАй бұрын

    Egypt hakuna doh ya Maana labuda kitambo but sahizi hakuna doh na Tena hakuna job za company ni job za Hao tu labuda kama unajua kushuka nywele unaeza fungua salon ama business yeyote

  • @Esendi564
    @Esendi564Ай бұрын

    😢😢😢😢wanaume wa online wako after money sio love

  • @noelmgono6978

    @noelmgono6978

    3 күн бұрын

    Ukweli xweety

  • @Esendi564
    @Esendi564Ай бұрын

    Mm sina mtu yeyote ata kidogo ata nikifika sina haja

  • @Esendi564
    @Esendi564Ай бұрын

    Mm mapenzi ya online nijikute ata kwa dawa kwani dryspel ya siku moja iwezi kuinua si Kenya nilikua na one yrs bila

  • @phoebeadikinyi3441
    @phoebeadikinyi3441Ай бұрын

    Ni matanga but naeza cheka kiasi,Jackson,eti badala afurahie utamu ,anakukula na anachange mind 😂

  • @appsplay4324
    @appsplay4324Ай бұрын

    So sad😢😢😢

  • @Esendi564
    @Esendi564Ай бұрын

    😅😅😅😅mom mudete iko vihiga root ya kapsabet

  • @user-pc7mf4sk1g
    @user-pc7mf4sk1gАй бұрын

    10 years in Egypt unataka kuniambia hakua na mtu Egypt hakuna contact yenye utasema ati huyu dem aliishi hii miaka yote Bila mtu watu Egypt urent nyumba kazi wanafanya 26 days 4 days anakaa kwake hata wengine hawafanyi kazi wako na biashara huku

  • @cobyveron
    @cobyveronАй бұрын

    Nikubaya

  • @emilykamula4131
    @emilykamula4131Ай бұрын

    Maadui wako ni wanyumbani kwenu,si nasikia cousin yke ndie muhusika ameshikwa

  • @emilykamula4131
    @emilykamula4131Ай бұрын

    Kivagala sub-location watu wahuko niwatu wako na wivu jackson

  • @emilykamula4131
    @emilykamula4131Ай бұрын

    Navenye huyu msichana amesaidia kwao,inaniuma jameni😭😭,wivu ni ya nini wamaragoli wenzangu

  • @user-nn5pi2ds4v
    @user-nn5pi2ds4vАй бұрын

    Waa so sad

  • @eunitakesio
    @eunitakesioАй бұрын

    Kwani hawa wasichana hawana kwao wanafunzwa na hawasikii ata Mimi mtu aniambie tukutane siwezi

  • @emilykamula4131
    @emilykamula4131Ай бұрын

    Very sad

  • @hildainziani7147
    @hildainziani7147Ай бұрын

    What happened

Келесі