Walio sema movie haina sauti wote simu zao mbovu tuleteeni party two tendeelee movie inamafundisho hatar wote mlio shiriki nawapenda kwaajili ya Allah 👏
@sjl3207
4 жыл бұрын
👌👌
@christachilala78704 жыл бұрын
Wapendwa watazamaji wetu, poleni sana kwa kukosa sauti kwenye filam ya NUSAIBA ni matatizo ya kiufundi maana master iko ok na hata sasa naangalia IPO vizuri. Tunajitahidi kuona wapi shida ipo ili turekebishe. Tupo kwa ajili yenu. Asante sana
@hidayayussufu8683
4 жыл бұрын
Umeeleweka usijali ktk hilo
@zee2teacher941
3 жыл бұрын
👏👏👏👏👏👏 Hongera. Kwa mara ya kwanza naona mhusika kujali ubora wa kazi na watazamaji. Movie ni nzuri sana. Tutafika tuu 🙏
@biommy67004 жыл бұрын
Kwangu mbona sauti ipo sawa tu..Ma shaa llah nice movie
@halimashaha8442
4 жыл бұрын
Umeona eeh ata mie kwangu sauti kubwa2uu
@halimasssomar87934 жыл бұрын
Masha Allah..ina mafunzo..sauti iko poa Tu.....
@sophiakasana29374 жыл бұрын
Jamani prt 2 daah mko vzr sana
@nasrajuma32934 жыл бұрын
Masha Allah mbon ninzur tu na,sauti IPO simuzenu vimeo
@sunachummy49732 жыл бұрын
Movie nzuri mashaallah
@munasaidi6144 жыл бұрын
Ni nzuri iko na sauti ila mwanzo iko na shida ya sauti ni nzuri Sanaa mrekebishe kidogo kazi nzuri
@nyandajohn4480
4 жыл бұрын
Nzuri sans
@nyandajohn4480
4 жыл бұрын
A
@youngdidaahummy31034 жыл бұрын
Mashallah inapendeza jaman
@sabihahamadi2287 Жыл бұрын
Mtihani wifi wengine ni majanga matupu kwani wao wenyewe hwataki hao watoto
@imansaid80204 жыл бұрын
jamani move nzur sana inafurahisha na kuhuzunisha, asiyesikia vizur sauti atumie edfoni. inasikika vizur Tu
@stellajunior6511
4 жыл бұрын
Nimefanya ivo
@aishatanzania1194
3 жыл бұрын
Nikwel mm natumia edphone naiskia mwanzo mwisho
@latifahmakwegah43554 жыл бұрын
Muv mzuri tureteeni pat twoo
@rayajackson40854 жыл бұрын
Tamuiyooo nyie noma
@mayasatt11513 жыл бұрын
Saut hamna kabisaa
@user-rd4pt4kw6v4 жыл бұрын
Wakutoa sauti vfaa ndio vibovu ama hakulipwa atakavyo mana movie nzuuuuuri ila tu
@anitanahimana21154 жыл бұрын
Mashaa Allah Asha buher na kupend bur
@villanmasam63354 жыл бұрын
Nyie wapuuzi mkitoa move msikilize kwanza sauti ndipo muirushe mnaboa sana
@dwiny7841
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@zenakambi62072 жыл бұрын
Wenzenu waarab wakivaa kanzu wanavaa na msuli to ili vyombo vipate hewa ila mswahili akivaa kanzu anavaa na njinz ili achubuke vzr 😂😂😂
@zabibukivyele74074 жыл бұрын
Mm siangalii sauti hakuna
@shabaniguma8696
4 жыл бұрын
Bora movie nzuri hakuna sauti hata ukitaka kununua kazi yao utanunua vipi
@juliusneymar66094 жыл бұрын
Kwani hyo sautii vipi au mnatumaga hizi movie bila kuzikagua
Movie mbona nzur sauti ipo vizur mashaAllah inamafunzo
@many27614 жыл бұрын
Beautiful movie for Tanzania Islamic
@yusramwinjuma47214 жыл бұрын
Mmezingua saut
@saleheathumani12914 жыл бұрын
Wanaosema hii move haina sauti wote ni Mafara😂👌mbona move inasauti mwanzo mwisho au visimu vyenu ni vibovu pumbavu zenu 👌😂mabaharia huwa hawakai na simu mbovu😂😂
@dazuuhmd819
4 жыл бұрын
Hata mie naskia yote au kwakuwa nimeweka foni
@beatricerenalda80714 жыл бұрын
mnanichanganya bana mliondika comments maana wengine wanasifia wengine wanakasirika sasa hapa ntaelewa nini wacha niangalie tu 😋😂😂🤗🤗alafu ntajua ni nani ako sahihi
@ukhtysakinaa7664
4 жыл бұрын
Haya ushamaliza kuiwatch nipashe 😂 m ndo naanza i watch
@stellajunior6511
4 жыл бұрын
Na edfoni mambo ni 🔥
@stellajunior6511
4 жыл бұрын
Na edfoni mambo ni 🔥
@reginakalengesi81724 жыл бұрын
Munaboa sana bora msingeitoa tuu khaaa
@sportsmart84813 жыл бұрын
Mashaallah move nzuri san
@hidayayussufu86834 жыл бұрын
Mwanaume msimamo big up Adam👏 Part 2 tafadhali. Mnaosema hakuna sauti chunguzeni cm zenu ni mbovu.
@dottnatt71104 жыл бұрын
Movie ni nzur ila vipande vingi hakuna sauti
@loolaa17834 жыл бұрын
Mashaaallah esha...ila sasa
@omarymtotela24874 жыл бұрын
Mbona sauti kama yote
@munasaidi6144 жыл бұрын
Mmm muvi nzuri jamani part 2 nawaomba patamu hapoo
@halimasssomar87934 жыл бұрын
Good..iko vzr Tu
@feruzihakizimana50524 жыл бұрын
Movie nzuri tatizo sauti tu ila mjipange vizuri mnapo towa movie muwe munasikiliza kwanza
@hassanmasoud33644 жыл бұрын
Duuh saut ipo ila wanaongea pole pole sana aisee
@twahaanyoni93684 жыл бұрын
Baina ya jengua na dada yake kinacho ongelewa hakiereweki chura too ninao Wasikia mpka uko mbere mnakwama Wapi bongo move
@imansaid80204 жыл бұрын
MashaalaaaAllah kizur kizur
@user-rd4pt4kw6v4 жыл бұрын
Kitanda hakizai haramu swadakta....part 2 twaomba
@emmypc83624 жыл бұрын
Naanza tu saut mizinguo kwaelini mtakaoimalizia mtanijuza🚶♀️🚶♀️
@munasaidi614
4 жыл бұрын
Ni kidogo sauti yasumbuwa lakini ni nzuri sanaa
@munasaidi614
4 жыл бұрын
Iko poa
@halimasssomar8793
4 жыл бұрын
Mbona kwangu nasikia😁😁😁😁😁
@MariamMohamed-ur4su2 жыл бұрын
Movie nzuri ila sauti
@madiyamsonde5624 жыл бұрын
😂😂😂😂uwiii jeguwa wewe mungu anakona mama ake macho kama asibili kufa😂😂😂😂😂
@valerainmartini4037
3 жыл бұрын
Haaaa yan ata mm nimeipenda
@mamakay97014 жыл бұрын
Nice movie
@bizyega42074 жыл бұрын
mnanikeraga kwenye sauti tu kwann msinge kuwa mnaicheki kwanza
@suleimansikuyakwenda514 жыл бұрын
Jamani part 2
@renatamanirakiza20684 жыл бұрын
Movie nzuri rakini hakuna sauti
@brigitamash20074 жыл бұрын
rekebisheni sauti ya move zenu zina boa
@mohamedkayumba65764 жыл бұрын
Maneno
@mariamaaa49494 жыл бұрын
Jamani sauti 🚶🚶
@biommy67004 жыл бұрын
Waiting part ll
@nusaebahkeis67744 жыл бұрын
Hongera
@jameslaurentbalele29604 жыл бұрын
jaman move nzr
@fatumaramadhanmashaallahal99664 жыл бұрын
Mashaallah tabaraka llahu viumbe wazito
@asimgkcc2189
3 жыл бұрын
Cm zenu mbovu mbn me saut ipo
@saiedsuleiman18374 жыл бұрын
Tunaomba part 2
@shummylove46114 жыл бұрын
Movie tam Maasha Allah
@ashuraashura8824 жыл бұрын
Beautiful
@merhkpbook33624 жыл бұрын
Muendelezo ukowap
@ameirfront55964 жыл бұрын
Hii move ya viziwi si yawale wanaosikia.
@salmasoso98394 жыл бұрын
Kaz nzur ma sha allah mola awazidishie maarifa mzid kuelimisha jamii
@jamilaibuma88874 жыл бұрын
Nyie wote mnaosema mover haina sauti simu zenu ni mbovu kwakweli mover nzur na inamafunzo
@ameenaameena3324
4 жыл бұрын
Naam kweli kabisa
@hillaryfrank22464 жыл бұрын
Alaf saut da
@umnaser17924 жыл бұрын
Sauti ya mziki tu hatuwasikii
@khamissaid48054 жыл бұрын
sautiiii hakuna jamani
@chilledpalangale37014 жыл бұрын
Bonge.la.move.aisee.
@soniashetui35924 жыл бұрын
Waoooooo
@aishamwalembe84514 жыл бұрын
Ngja nisepe zangu maana haina uhakika
@erodeshayo86724 жыл бұрын
Sasa ndio nn machoko kweli
@athmanihha17834 жыл бұрын
Nice movie mrushe part two plz
@zaymanjonjo19604 жыл бұрын
Hakuna kazi
@maisaramaulid46684 жыл бұрын
Siskii kitu mm
@radhiaomary55914 жыл бұрын
Move nzuri sauti iko vizuri mno mnaosema sauti hakuna angalieni cm zenu kwanza
@minnahlove97144 жыл бұрын
Cjui mnakwama wp wa bongo dah movie nzima sauti hmn
@angelpascal1048
4 жыл бұрын
Yani xauti yakata kata tu
@zulachama10674 жыл бұрын
Mashallah
@pelusiemanueli69264 жыл бұрын
Hahahahahaha jamani
@tundaclassic27044 жыл бұрын
Nzuri tatzo sauti yalostlost
@zulfaally4027
4 жыл бұрын
Tunda mbona jb lng unipi
@maxlove26684 жыл бұрын
Kitu gani hii,hata sauti hamna....
@saumuali81324 жыл бұрын
Part 2 jaman
@athuu14644 жыл бұрын
😘😘👏👏👌💕
@aminafesali58174 жыл бұрын
Namnakera kueka video part one tu bila part to mnatukera sarah sahihi movie nzur lakin sout hamna part to hamna ujinga tu 😕😕
@mishiathmani60554 жыл бұрын
Mama ana pozi balaa
@zee2teacher9413 жыл бұрын
👌👌👌👏👏👏👏
@rehemabakali4944 жыл бұрын
Plz muendelezo jmn
@stargal9064 жыл бұрын
Ndio naanza kuangalia
@gloryfrancisca6957
4 жыл бұрын
Sauti bhnaaa
@nsreenmoafee10644 жыл бұрын
Mbona hamna saut jamani
@khadijacarine88524 жыл бұрын
❣❣
@ummabora21182 жыл бұрын
Isiwapitie hii movie tafadhali kzread.info/dash/bejne/oIqrmMiymryxZrQ.html
@papaamusofe48804 жыл бұрын
Movie za kibongo nivichekesho sautizimewakauka😂😂
@sarasospeter82804 жыл бұрын
Movinzuriinasautikamayotejamani
@mrsliverpool42354 жыл бұрын
Hii movie mbona haina sauti
@latifahmakwegah43554 жыл бұрын
Sikilizieni na phone ndomtasikia saut Maana sauti yao IPO chini
Пікірлер: 140
Walio sema movie haina sauti wote simu zao mbovu tuleteeni party two tendeelee movie inamafundisho hatar wote mlio shiriki nawapenda kwaajili ya Allah 👏
@sjl3207
4 жыл бұрын
👌👌
Wapendwa watazamaji wetu, poleni sana kwa kukosa sauti kwenye filam ya NUSAIBA ni matatizo ya kiufundi maana master iko ok na hata sasa naangalia IPO vizuri. Tunajitahidi kuona wapi shida ipo ili turekebishe. Tupo kwa ajili yenu. Asante sana
@hidayayussufu8683
4 жыл бұрын
Umeeleweka usijali ktk hilo
@zee2teacher941
3 жыл бұрын
👏👏👏👏👏👏 Hongera. Kwa mara ya kwanza naona mhusika kujali ubora wa kazi na watazamaji. Movie ni nzuri sana. Tutafika tuu 🙏
Kwangu mbona sauti ipo sawa tu..Ma shaa llah nice movie
@halimashaha8442
4 жыл бұрын
Umeona eeh ata mie kwangu sauti kubwa2uu
Masha Allah..ina mafunzo..sauti iko poa Tu.....
Jamani prt 2 daah mko vzr sana
Masha Allah mbon ninzur tu na,sauti IPO simuzenu vimeo
Movie nzuri mashaallah
Ni nzuri iko na sauti ila mwanzo iko na shida ya sauti ni nzuri Sanaa mrekebishe kidogo kazi nzuri
@nyandajohn4480
4 жыл бұрын
Nzuri sans
@nyandajohn4480
4 жыл бұрын
A
Mashallah inapendeza jaman
Mtihani wifi wengine ni majanga matupu kwani wao wenyewe hwataki hao watoto
jamani move nzur sana inafurahisha na kuhuzunisha, asiyesikia vizur sauti atumie edfoni. inasikika vizur Tu
@stellajunior6511
4 жыл бұрын
Nimefanya ivo
@aishatanzania1194
3 жыл бұрын
Nikwel mm natumia edphone naiskia mwanzo mwisho
Muv mzuri tureteeni pat twoo
Tamuiyooo nyie noma
Saut hamna kabisaa
Wakutoa sauti vfaa ndio vibovu ama hakulipwa atakavyo mana movie nzuuuuuri ila tu
Mashaa Allah Asha buher na kupend bur
Nyie wapuuzi mkitoa move msikilize kwanza sauti ndipo muirushe mnaboa sana
@dwiny7841
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wenzenu waarab wakivaa kanzu wanavaa na msuli to ili vyombo vipate hewa ila mswahili akivaa kanzu anavaa na njinz ili achubuke vzr 😂😂😂
Mm siangalii sauti hakuna
@shabaniguma8696
4 жыл бұрын
Bora movie nzuri hakuna sauti hata ukitaka kununua kazi yao utanunua vipi
Kwani hyo sautii vipi au mnatumaga hizi movie bila kuzikagua
Biaha Dija wacha unoko uwo mbona ww uwolewi ukaza😀😀😀
Part 2.. movie tamu kweli
ya Mungu mengi 🙏🙏
Jamani mim sauti apa apakwangu nibomba ila naomba part 2
Acha nipotee isinimalizie bandle zangu ssuti hakuna
Fundi saiti itakuwa maiko
Movie mbona nzur sauti ipo vizur mashaAllah inamafunzo
Beautiful movie for Tanzania Islamic
Mmezingua saut
Wanaosema hii move haina sauti wote ni Mafara😂👌mbona move inasauti mwanzo mwisho au visimu vyenu ni vibovu pumbavu zenu 👌😂mabaharia huwa hawakai na simu mbovu😂😂
@dazuuhmd819
4 жыл бұрын
Hata mie naskia yote au kwakuwa nimeweka foni
mnanichanganya bana mliondika comments maana wengine wanasifia wengine wanakasirika sasa hapa ntaelewa nini wacha niangalie tu 😋😂😂🤗🤗alafu ntajua ni nani ako sahihi
@ukhtysakinaa7664
4 жыл бұрын
Haya ushamaliza kuiwatch nipashe 😂 m ndo naanza i watch
@stellajunior6511
4 жыл бұрын
Na edfoni mambo ni 🔥
@stellajunior6511
4 жыл бұрын
Na edfoni mambo ni 🔥
Munaboa sana bora msingeitoa tuu khaaa
Mashaallah move nzuri san
Mwanaume msimamo big up Adam👏 Part 2 tafadhali. Mnaosema hakuna sauti chunguzeni cm zenu ni mbovu.
Movie ni nzur ila vipande vingi hakuna sauti
Mashaaallah esha...ila sasa
Mbona sauti kama yote
Mmm muvi nzuri jamani part 2 nawaomba patamu hapoo
Good..iko vzr Tu
Movie nzuri tatizo sauti tu ila mjipange vizuri mnapo towa movie muwe munasikiliza kwanza
Duuh saut ipo ila wanaongea pole pole sana aisee
Baina ya jengua na dada yake kinacho ongelewa hakiereweki chura too ninao Wasikia mpka uko mbere mnakwama Wapi bongo move
MashaalaaaAllah kizur kizur
Kitanda hakizai haramu swadakta....part 2 twaomba
Naanza tu saut mizinguo kwaelini mtakaoimalizia mtanijuza🚶♀️🚶♀️
@munasaidi614
4 жыл бұрын
Ni kidogo sauti yasumbuwa lakini ni nzuri sanaa
@munasaidi614
4 жыл бұрын
Iko poa
@halimasssomar8793
4 жыл бұрын
Mbona kwangu nasikia😁😁😁😁😁
Movie nzuri ila sauti
😂😂😂😂uwiii jeguwa wewe mungu anakona mama ake macho kama asibili kufa😂😂😂😂😂
@valerainmartini4037
3 жыл бұрын
Haaaa yan ata mm nimeipenda
Nice movie
mnanikeraga kwenye sauti tu kwann msinge kuwa mnaicheki kwanza
Jamani part 2
Movie nzuri rakini hakuna sauti
rekebisheni sauti ya move zenu zina boa
Maneno
Jamani sauti 🚶🚶
Waiting part ll
Hongera
jaman move nzr
Mashaallah tabaraka llahu viumbe wazito
@asimgkcc2189
3 жыл бұрын
Cm zenu mbovu mbn me saut ipo
Tunaomba part 2
Movie tam Maasha Allah
Beautiful
Muendelezo ukowap
Hii move ya viziwi si yawale wanaosikia.
Kaz nzur ma sha allah mola awazidishie maarifa mzid kuelimisha jamii
Nyie wote mnaosema mover haina sauti simu zenu ni mbovu kwakweli mover nzur na inamafunzo
@ameenaameena3324
4 жыл бұрын
Naam kweli kabisa
Alaf saut da
Sauti ya mziki tu hatuwasikii
sautiiii hakuna jamani
Bonge.la.move.aisee.
Waoooooo
Ngja nisepe zangu maana haina uhakika
Sasa ndio nn machoko kweli
Nice movie mrushe part two plz
Hakuna kazi
Siskii kitu mm
Move nzuri sauti iko vizuri mno mnaosema sauti hakuna angalieni cm zenu kwanza
Cjui mnakwama wp wa bongo dah movie nzima sauti hmn
@angelpascal1048
4 жыл бұрын
Yani xauti yakata kata tu
Mashallah
Hahahahahaha jamani
Nzuri tatzo sauti yalostlost
@zulfaally4027
4 жыл бұрын
Tunda mbona jb lng unipi
Kitu gani hii,hata sauti hamna....
Part 2 jaman
😘😘👏👏👌💕
Namnakera kueka video part one tu bila part to mnatukera sarah sahihi movie nzur lakin sout hamna part to hamna ujinga tu 😕😕
Mama ana pozi balaa
👌👌👌👏👏👏👏
Plz muendelezo jmn
Ndio naanza kuangalia
@gloryfrancisca6957
4 жыл бұрын
Sauti bhnaaa
Mbona hamna saut jamani
❣❣
Isiwapitie hii movie tafadhali kzread.info/dash/bejne/oIqrmMiymryxZrQ.html
Movie za kibongo nivichekesho sautizimewakauka😂😂
Movinzuriinasautikamayotejamani
Hii movie mbona haina sauti
Sikilizieni na phone ndomtasikia saut Maana sauti yao IPO chini
@halimashaha8442
4 жыл бұрын
Haswaaa bila phone walaa usikiii
@aishaawadhimaloki197
4 жыл бұрын
Hapoume nena
Sauti
Movie nzur but some parts hamna sauti mnakera
🙉🇰🇪
Masha allah movei iko sawa
Sautiiiiiiii
@rahmamusa9627
4 жыл бұрын
Mbonasehemunyengine haizoisait
@ibraathedone4577
4 жыл бұрын
Nzr
@hillaryfrank2246
4 жыл бұрын
Jaman mwendelezo du
@yuliaabassabass4940
4 жыл бұрын
Movie za Tanzania 80% hazina sauti
@yuliaabassabass4940
4 жыл бұрын
Movie za Tanzania %80 hazina sauti