Hongera Chino Kidd, umefanya vizuri sana pia. Kupitia Fid Q, utajifunza vitu vingi sana. Mtumie ipasavyo. Endeleeni kutuletea mziki mzuri. Ahsante.
@lampadshigonko300611 ай бұрын
aiseee... big creativity
@BarakaAlexMalezi-ym4vj11 ай бұрын
Haya mapenzi bora niyaongeze kwa yesu kesho niend mbinguni💥💥💥💥
@Subsribed4 ай бұрын
Kama unasikiliza hii ngoma mwaka huu 2024 like hapa❤❤❤
@user-cc6ce1vg2f11 ай бұрын
One love Sana wanetu hamtmii ngvu japo so pw najua mnatmia ubnifu mkbwa na akili nyng
@onestartz11 ай бұрын
Kwa mara nyingine teena😂😂😂🙌🙌 NGOSHA WANA MAN ft CHINO WANA MANA🎉🎉
@ObediMeck-bc7sq11 ай бұрын
🙌🙌🙌🙌🙌ngoja n nomaaaaa
@abubakarkhamishaji284911 ай бұрын
Ngoma hiii umeiweza tofauti na Ile ilopitaa🎉🎉🎉
@sosomokobiasharamgaya302011 ай бұрын
AmaHipHop Big up kilichobaki ni kwenda na soko linataka nn chino wana man#Achana na Fid wa zamani mzingatie huyu wa sasa let' Go
@novertsirgent8564
11 ай бұрын
tshamzingatia wa sasa atuna namna kaka wana man😀
@sosomokobiasharamgaya3020
11 ай бұрын
@@novertsirgent8564 enjoy Bro
@johannesssamsonambogo412511 ай бұрын
Bongo HipHop ni FidQ na hakuna mwingine ❤❤🇹🇿🇹🇿
@colirass
11 ай бұрын
Wengine waimba kwaya sio au ndo ushabiki mandanzi🙂
@joshuanyakasi5151
11 ай бұрын
🏌️♂️🎱kashakua mlaini
@sosomokobiasharamgaya3020
11 ай бұрын
Alisema tuachane na yule wa zamani tumzingatie huyu wa sasa huwezi lazimisha kuuza bamia wakati nyanya zinalipa hebu tuwaache watafute mkate wao lakini mkitaka wagumu wapo akina Dizasta Vina😂😂
@user-jy3mi7sw5e
11 ай бұрын
kzread.info/dash/bejne/gWR9o66TlsjSdsY.html
@mundhirseif7492
11 ай бұрын
@@sosomokobiasharamgaya3020fid Ni Yule Yule tunaoijuwa hip-hop tunajuwa kasimamia misingi kama kawaida,,still hardcore mzee
@EzzyK43811 ай бұрын
Goma la kusikiliza mara nyingi zaidi ya doz ya panadol. Big up Ngosha ✊
@MusaSalim-pr4ky
11 ай бұрын
Ngoma Kali sana
@SwahiliQuest11 ай бұрын
Ngosha Wanaman hii imeenda. Kali sana aisee. Sema Chino bonge moja ya mwana. Katisha kinoma.
@HassanMtalika-mw2xz11 ай бұрын
Ngomaaaa hiii umeuwa sana @fidq💥
@BIGCHENDREADLOCKS11 ай бұрын
Ngosha the don wakilisha bongo hipop
@brothermuslims413011 ай бұрын
Umeuwaaa kaka💥🫰
@indiaboytz573111 ай бұрын
Bora Fidi Karudi alikua amepoa sana
@lenny_DMA11 ай бұрын
Oyah weeh,nimechelewa sawa ila mnipe tu likes bn😢🔥🔥🔥 Hili goma ni🔥🔥🔥💐🚀🚀
@mrsinia306411 ай бұрын
Miondoko kama hii anaiwezea Ngosha wana man peke yake emu gonga like za kutosha hapa kama nawew umeikubar....🔥🔥🔥
@nurulwimo694711 ай бұрын
Fid mnyama, genius!!!😅😅😅😅umeuaaa
@elijahap787111 ай бұрын
Farid Kubanda💯💪 Kama unamkubali gonga like hapa
@mwanamalundi625411 ай бұрын
Chinooooo 🎷🎺🎻
@benjaminbenedicto521811 ай бұрын
Hii sawa Mzee.....imeenda hii
@abdulmasoud192111 ай бұрын
Hujawai nifelisha king fid q milele
@winepreneur732911 ай бұрын
Sana tuu Fid,unajua sannaaaa
@frankpablo825611 ай бұрын
Mhmhmh kama naona vile jinsi itakavyotrend hii Ngoma dadeki 😍😍😍🥰 Respect saana wanangu mmetisha 🥰🥰😊
@Tztechhub11 ай бұрын
Ngoma kali kinyama 🔥
@emmanuelshineneko726111 ай бұрын
Fid kaua sana hii ngoma
@bragga862211 ай бұрын
Ngoshaaa🙌🙌
@angelotiktok951411 ай бұрын
Hii imeenda hii🔥🙌
@sospeterdeon428711 ай бұрын
Nakubali sana mkali gonga like twende sawaaa...🤸🤸🇹🇿🇹🇿
@Muba-Gucci-TV11 ай бұрын
Bora nishi mbali mbali eeeeh tusijuane nimechoka bora nishi mbali mbali eeeeh nimechoka❤❤
@sanaanimaisha407211 ай бұрын
Huwa nasema Fid Q hajawahi kubahatisha. Profesa wa ghetto ni hardcore rapper. Best flow.... Huo ni mstari wa kwanza kwenye wimbo wake "ujio".
@Clever57911 ай бұрын
A rapper who can flow on each beat💯
@daylantiller873111 ай бұрын
Ngosha Wanaman🔥🔥
@juliuskalawa786011 ай бұрын
Kali sana good and unique idea
@Mbunatv11 ай бұрын
Ngosha amapiano ndo mziki utakaomlipa kuliko ngoma zake zotee
@SayyedIssa-fj9jn
4 ай бұрын
Fid anapotea mwana .. Mashabiki wake tunataka ngumu za hip hop
@mudywaya32811 ай бұрын
🔬💣💣💣💣💣💣noma sana👍
@eclatsadam9511 ай бұрын
Huu moto nani anaweza kufuataa,,, 🔥🔥🔥🔥
@goldenjunior_tz11 ай бұрын
Nomaaaaa 🤴🏿
@vibekings001tz11 ай бұрын
Mamae 🔥
@Namwai_media11 ай бұрын
Chino wan man ....eweee💥💥🔥🔥🔥
@wazambulitv573511 ай бұрын
*Hiphopiano😃💯*
@user-nz6rs9vn3t11 ай бұрын
Ngosha ni hiphop htr sana
@realsam201711 ай бұрын
Fid q hujawah niangusha rapper wangu salute kwako
@noelngakuka582111 ай бұрын
Chino you kill It💯 Ngosha much respect🔥
@shedrackhyera184411 ай бұрын
Ngosha kama ngosha Ngoma Kali mzee
@emmanuelaben-df6yr11 ай бұрын
Town vibe ,hatari
@perfectjbo91311 ай бұрын
Hakuna GOT like u Fid yani kwa hili goma 100 / 100
@AshaCharlo11 ай бұрын
Wow I like the content 😢I was hurtbroken but I think Bora mbiguni😢
@etiennekangumbu-gv4wg11 ай бұрын
Mziki bora Etiezo judoka congo
@frankndendu257011 ай бұрын
My real brother from another mother. Ngosha forever. Tanzanian Hip Hip G.O.A.T
@yusuphomary546211 ай бұрын
Big up ngosha ngoma kaliiiiii snaaaa
@ombenimesso511911 ай бұрын
Naqubarii sana fid q brother 💪💪💪
@fredimann814111 ай бұрын
Tunaodaiwa kausha DAMU, weka like apa TWENDENI TUKAISHI MBALIIII😂😂
@salahtv5591
11 ай бұрын
😂😂
@joshualaizer170711 ай бұрын
Chino🙌🙌🙌
@amirinestory11 ай бұрын
Collabo la kibabe,mmefanya zaid ya vizuri...like it like my comment💪
@BAHATIAPALALEBernard-pd8xq11 ай бұрын
This man is incroyable!!! Umenikosha sana mkubwa Fid ❤❤❤love from Lubumbashi
@jacksoncharles933211 ай бұрын
🔥🔥Mzee mbuzi u are a Hiphop Legendary …🫡icho kiitikio chino katisha
@alonnantala449711 ай бұрын
Msiuache umoja wenu mapema, mkitulia na kuendelea kuwa pamoja mtafika mbali
@adolfmweupe59911 ай бұрын
Wakati wa Mungu✅
@eljoe39011 ай бұрын
Chino kumbe bana yuko vizuri bana hili ndio goma ambalo ametisha kinyamanyama
@motiverachanger11 ай бұрын
Fid Q, long life 2 you LEGEND ✅💯✅🔥🔥🙌🔥🔥
@salimbilali517411 ай бұрын
Ata mm Bora niyaongeze Kwa uyo yesu Kwa binadamu duuu ngori
@barakalema727411 ай бұрын
Hii imeenda ngosha
@ellyphysique406811 ай бұрын
This flavor is something else more than just Bongoflavor neither Bongohip hop I bet Ngosha should give us the name of this sweet flv
@mantaofficial160311 ай бұрын
Braza fid sas ni muda wa wwew kuonekan kweny ramani sas mdogo wak kakukubali fanya jamb lingine
@luanamwambingija625411 ай бұрын
Ngoma kali sanaa 🔥🔥
@deodatusfussi314511 ай бұрын
Bora haya mahaba niyaongeze kwa yesu kesho niende mbinguni ooh ooh ooooh😂😂😂 mpak majivu yamebaki 😅😅😅kwa huo moto
@yabesibalaka671211 ай бұрын
Dah nimesha rudiaa Mara nne 🔥🔥
@ndelechetv336211 ай бұрын
Fidq papa na chino wana man bonge la hit song 🔥🔥
@danielhaule15511 ай бұрын
Ameeeen🤝
@RamadanPaul11 ай бұрын
Ngosha wanama,, kitaan now ni vurugu kwa hili piano
@lusekeloeliud410511 ай бұрын
Bora haya mapenzi niyaongeze kwa yesu kesho niende mbinguni🙌🏼🙌🏼😅
@afrodailytv433511 ай бұрын
Chino name is bigger than his talent
@muckymaccode13411 ай бұрын
🚶♂️🔥🔥🔥✈️✈️
@naimunaimu231211 ай бұрын
Mdundo ni amapiano. Alafu mziki ni hiphop🚩🚩🚩
@DeusAmos-lt9bx11 ай бұрын
Hii imeenda🔥🔥🔥💥 chino wan man
@patrickemil799111 ай бұрын
Chino wanaman ⚠️
@kilulumtunyungu936911 ай бұрын
Duuu hii fid umetisha hii inaitwa rapiano
@KaraniJunior01211 ай бұрын
Fid ni mwamba sana, Sharti moja kwa Chino. Ngoma zote mbili Vesi ya kwanza imeimba yeye.
@directordeemer481011 ай бұрын
yakwanza imegoma at least hii inaweza penya kdg 😅😅😅😅😅😅 Natania bhn zote kali 🙌🙌🙌🙌
@ramayonline228111 ай бұрын
Bora haya mapenzi niyaongeze kwa yesu kesho niende mbinguni🙏
@RichWise67111 ай бұрын
This legendary called Fid_Q never expire 👑👑👑🔥
@greysonkisinda739011 ай бұрын
Michano ya master na kuruta ni so far away different ,,fid ni master wa michano asee
@abdulmohd688011 ай бұрын
Inaonekana Faridi amegundua kwamba amapiano inalipa naona kashahamia uku ss😢 mamae mchezo na hela nn ungekaa tu ukacmamia micngi😂
@Vickyjuakam11 ай бұрын
Kwenye hiphop we ni king🤴
@brunonjawike172211 ай бұрын
Mwanangu kabisa kubanda go go go go to the top
@ValeryKarol-xx7ne11 ай бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@franzoonlinetv364111 ай бұрын
Fid Q we ni fundi real appreciate to you
@emmanuelghuliku50808 ай бұрын
Goma Hili lisikilize bar ndo utalielewa vizur yaaan ni 🔥🔥🔥
@andrewraphael30988 ай бұрын
Ngosha Wana man😊
@passuavenancy98811 ай бұрын
Fid qnakubal Sana mzeeee pga ngma Kama vile huerewiii ❤❤❤❤❤❤
@rachodo11 ай бұрын
Huyu bwan kwa upande wa hip hop Hana mpinzan bongo Kama unamkubali gonga like❤❤
@CatherineNzeki
11 ай бұрын
Roma ushamskiza??
@blackblue9729
11 ай бұрын
Kwaiyo hii nayo HIP HOP sindio??
@rachodo
11 ай бұрын
Hip hop means flows not beat okay
@blackblue9729
11 ай бұрын
@@rachodo kwani hujui kuwa kuna beat ya trap na beat ya HIP HOP sasa kwa nini useme HIP HOP ni flows na sio beat??
@EmmaMakalwe
11 ай бұрын
@@blackblue9729 itakuw unajfunz mziki haujui kijan rud darasan
@DeusAmos-lt9bx11 ай бұрын
Ngosha the don fid q from Mwanza🔥🔥💥 heat song. Dondosha likes za kutosha
@claverymelkiony461611 ай бұрын
❤❤❤❤❤ kazi nzuri
@bajosdamour234711 ай бұрын
Chemistry ⚗ imenoga🔥
@magangasaidi46811 ай бұрын
Ngoma 😂😂😂❤❤❤❤ kali sanaaaaa sanaaaa ngoshaa ulikuwa unachelewa wapi kaka kweli kwa ngoma hiii chino aliki imekuwa sanaaa nakubali wakubwa kaz good
@jumakhaji162011 ай бұрын
kazi ya Kwendwa naitwa Juma Haji Babu J nipo Pemba 🎉🎉😂❤😂 ahaaaaa chinoo big up man 😂😂😂❤❤
@yunusabeid7411 ай бұрын
Uyu dogo kashatoboa 🤝
@johnmwandu211611 ай бұрын
Hivi mmesikiliza Mara ngapi flow ya fid verse ya kwanza🔥🔥
Пікірлер: 742
Hongera Chino Kidd, umefanya vizuri sana pia. Kupitia Fid Q, utajifunza vitu vingi sana. Mtumie ipasavyo. Endeleeni kutuletea mziki mzuri. Ahsante.
aiseee... big creativity
Haya mapenzi bora niyaongeze kwa yesu kesho niend mbinguni💥💥💥💥
Kama unasikiliza hii ngoma mwaka huu 2024 like hapa❤❤❤
One love Sana wanetu hamtmii ngvu japo so pw najua mnatmia ubnifu mkbwa na akili nyng
Kwa mara nyingine teena😂😂😂🙌🙌 NGOSHA WANA MAN ft CHINO WANA MANA🎉🎉
🙌🙌🙌🙌🙌ngoja n nomaaaaa
Ngoma hiii umeiweza tofauti na Ile ilopitaa🎉🎉🎉
AmaHipHop Big up kilichobaki ni kwenda na soko linataka nn chino wana man#Achana na Fid wa zamani mzingatie huyu wa sasa let' Go
@novertsirgent8564
11 ай бұрын
tshamzingatia wa sasa atuna namna kaka wana man😀
@sosomokobiasharamgaya3020
11 ай бұрын
@@novertsirgent8564 enjoy Bro
Bongo HipHop ni FidQ na hakuna mwingine ❤❤🇹🇿🇹🇿
@colirass
11 ай бұрын
Wengine waimba kwaya sio au ndo ushabiki mandanzi🙂
@joshuanyakasi5151
11 ай бұрын
🏌️♂️🎱kashakua mlaini
@sosomokobiasharamgaya3020
11 ай бұрын
Alisema tuachane na yule wa zamani tumzingatie huyu wa sasa huwezi lazimisha kuuza bamia wakati nyanya zinalipa hebu tuwaache watafute mkate wao lakini mkitaka wagumu wapo akina Dizasta Vina😂😂
@user-jy3mi7sw5e
11 ай бұрын
kzread.info/dash/bejne/gWR9o66TlsjSdsY.html
@mundhirseif7492
11 ай бұрын
@@sosomokobiasharamgaya3020fid Ni Yule Yule tunaoijuwa hip-hop tunajuwa kasimamia misingi kama kawaida,,still hardcore mzee
Goma la kusikiliza mara nyingi zaidi ya doz ya panadol. Big up Ngosha ✊
@MusaSalim-pr4ky
11 ай бұрын
Ngoma Kali sana
Ngosha Wanaman hii imeenda. Kali sana aisee. Sema Chino bonge moja ya mwana. Katisha kinoma.
Ngomaaaa hiii umeuwa sana @fidq💥
Ngosha the don wakilisha bongo hipop
Umeuwaaa kaka💥🫰
Bora Fidi Karudi alikua amepoa sana
Oyah weeh,nimechelewa sawa ila mnipe tu likes bn😢🔥🔥🔥 Hili goma ni🔥🔥🔥💐🚀🚀
Miondoko kama hii anaiwezea Ngosha wana man peke yake emu gonga like za kutosha hapa kama nawew umeikubar....🔥🔥🔥
Fid mnyama, genius!!!😅😅😅😅umeuaaa
Farid Kubanda💯💪 Kama unamkubali gonga like hapa
Chinooooo 🎷🎺🎻
Hii sawa Mzee.....imeenda hii
Hujawai nifelisha king fid q milele
Sana tuu Fid,unajua sannaaaa
Mhmhmh kama naona vile jinsi itakavyotrend hii Ngoma dadeki 😍😍😍🥰 Respect saana wanangu mmetisha 🥰🥰😊
Ngoma kali kinyama 🔥
Fid kaua sana hii ngoma
Ngoshaaa🙌🙌
Hii imeenda hii🔥🙌
Nakubali sana mkali gonga like twende sawaaa...🤸🤸🇹🇿🇹🇿
Bora nishi mbali mbali eeeeh tusijuane nimechoka bora nishi mbali mbali eeeeh nimechoka❤❤
Huwa nasema Fid Q hajawahi kubahatisha. Profesa wa ghetto ni hardcore rapper. Best flow.... Huo ni mstari wa kwanza kwenye wimbo wake "ujio".
A rapper who can flow on each beat💯
Ngosha Wanaman🔥🔥
Kali sana good and unique idea
Ngosha amapiano ndo mziki utakaomlipa kuliko ngoma zake zotee
@SayyedIssa-fj9jn
4 ай бұрын
Fid anapotea mwana .. Mashabiki wake tunataka ngumu za hip hop
🔬💣💣💣💣💣💣noma sana👍
Huu moto nani anaweza kufuataa,,, 🔥🔥🔥🔥
Nomaaaaa 🤴🏿
Mamae 🔥
Chino wan man ....eweee💥💥🔥🔥🔥
*Hiphopiano😃💯*
Ngosha ni hiphop htr sana
Fid q hujawah niangusha rapper wangu salute kwako
Chino you kill It💯 Ngosha much respect🔥
Ngosha kama ngosha Ngoma Kali mzee
Town vibe ,hatari
Hakuna GOT like u Fid yani kwa hili goma 100 / 100
Wow I like the content 😢I was hurtbroken but I think Bora mbiguni😢
Mziki bora Etiezo judoka congo
My real brother from another mother. Ngosha forever. Tanzanian Hip Hip G.O.A.T
Big up ngosha ngoma kaliiiiii snaaaa
Naqubarii sana fid q brother 💪💪💪
Tunaodaiwa kausha DAMU, weka like apa TWENDENI TUKAISHI MBALIIII😂😂
@salahtv5591
11 ай бұрын
😂😂
Chino🙌🙌🙌
Collabo la kibabe,mmefanya zaid ya vizuri...like it like my comment💪
This man is incroyable!!! Umenikosha sana mkubwa Fid ❤❤❤love from Lubumbashi
🔥🔥Mzee mbuzi u are a Hiphop Legendary …🫡icho kiitikio chino katisha
Msiuache umoja wenu mapema, mkitulia na kuendelea kuwa pamoja mtafika mbali
Wakati wa Mungu✅
Chino kumbe bana yuko vizuri bana hili ndio goma ambalo ametisha kinyamanyama
Fid Q, long life 2 you LEGEND ✅💯✅🔥🔥🙌🔥🔥
Ata mm Bora niyaongeze Kwa uyo yesu Kwa binadamu duuu ngori
Hii imeenda ngosha
This flavor is something else more than just Bongoflavor neither Bongohip hop I bet Ngosha should give us the name of this sweet flv
Braza fid sas ni muda wa wwew kuonekan kweny ramani sas mdogo wak kakukubali fanya jamb lingine
Ngoma kali sanaa 🔥🔥
Bora haya mahaba niyaongeze kwa yesu kesho niende mbinguni ooh ooh ooooh😂😂😂 mpak majivu yamebaki 😅😅😅kwa huo moto
Dah nimesha rudiaa Mara nne 🔥🔥
Fidq papa na chino wana man bonge la hit song 🔥🔥
Ameeeen🤝
Ngosha wanama,, kitaan now ni vurugu kwa hili piano
Bora haya mapenzi niyaongeze kwa yesu kesho niende mbinguni🙌🏼🙌🏼😅
Chino name is bigger than his talent
🚶♂️🔥🔥🔥✈️✈️
Mdundo ni amapiano. Alafu mziki ni hiphop🚩🚩🚩
Hii imeenda🔥🔥🔥💥 chino wan man
Chino wanaman ⚠️
Duuu hii fid umetisha hii inaitwa rapiano
Fid ni mwamba sana, Sharti moja kwa Chino. Ngoma zote mbili Vesi ya kwanza imeimba yeye.
yakwanza imegoma at least hii inaweza penya kdg 😅😅😅😅😅😅 Natania bhn zote kali 🙌🙌🙌🙌
Bora haya mapenzi niyaongeze kwa yesu kesho niende mbinguni🙏
This legendary called Fid_Q never expire 👑👑👑🔥
Michano ya master na kuruta ni so far away different ,,fid ni master wa michano asee
Inaonekana Faridi amegundua kwamba amapiano inalipa naona kashahamia uku ss😢 mamae mchezo na hela nn ungekaa tu ukacmamia micngi😂
Kwenye hiphop we ni king🤴
Mwanangu kabisa kubanda go go go go to the top
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Fid Q we ni fundi real appreciate to you
Goma Hili lisikilize bar ndo utalielewa vizur yaaan ni 🔥🔥🔥
Ngosha Wana man😊
Fid qnakubal Sana mzeeee pga ngma Kama vile huerewiii ❤❤❤❤❤❤
Huyu bwan kwa upande wa hip hop Hana mpinzan bongo Kama unamkubali gonga like❤❤
@CatherineNzeki
11 ай бұрын
Roma ushamskiza??
@blackblue9729
11 ай бұрын
Kwaiyo hii nayo HIP HOP sindio??
@rachodo
11 ай бұрын
Hip hop means flows not beat okay
@blackblue9729
11 ай бұрын
@@rachodo kwani hujui kuwa kuna beat ya trap na beat ya HIP HOP sasa kwa nini useme HIP HOP ni flows na sio beat??
@EmmaMakalwe
11 ай бұрын
@@blackblue9729 itakuw unajfunz mziki haujui kijan rud darasan
Ngosha the don fid q from Mwanza🔥🔥💥 heat song. Dondosha likes za kutosha
❤❤❤❤❤ kazi nzuri
Chemistry ⚗ imenoga🔥
Ngoma 😂😂😂❤❤❤❤ kali sanaaaaa sanaaaa ngoshaa ulikuwa unachelewa wapi kaka kweli kwa ngoma hiii chino aliki imekuwa sanaaa nakubali wakubwa kaz good
kazi ya Kwendwa naitwa Juma Haji Babu J nipo Pemba 🎉🎉😂❤😂 ahaaaaa chinoo big up man 😂😂😂❤❤
Uyu dogo kashatoboa 🤝
Hivi mmesikiliza Mara ngapi flow ya fid verse ya kwanza🔥🔥