FEISAL SALUM atia neno mchezo wa Yanga kesho, KUHUSU KUTUA Simba AJIBU HILI/ Maisha Azam YAPO HIVI..

Ойын-сауық

...........................................................
Contact Us : 0742447854
-------------------------------------------------------------------------------
Instagram rickmediatz...
---------------------------------------------------------------------------------
Facebook / rickmediatz
---------------------------------------------------------------------------------
Website www.rickmediatz.com
-----------------------------------------------------------------------------------

Пікірлер: 152

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe75437 ай бұрын

    Fei Toto ni bora sana ni mchezaji mzuri sana hongera sana kiwango chako kimerudi ASHUKURIWE MUNGU. wewe pambana kwa uwezo wa MUNGU utafika mbali.

  • @adamlubawa1281
    @adamlubawa12817 ай бұрын

    Fei umewajibu vizuri saana wamejaribu kutaka kukugombanisha na TIMU YAKO YA ZAMANI Hongera feisal

  • @ishirininasita2626
    @ishirininasita26267 ай бұрын

    fundi mchezaji bora ligi ya tanzania........bandari fan love from kenya

  • @RichardAmosnkonje-pq9oh
    @RichardAmosnkonje-pq9oh7 ай бұрын

    Asante fei kwa dua lako umeanza kuwa na akiri

  • @user-ue2nz3vc4j
    @user-ue2nz3vc4j7 ай бұрын

    Faila sufii feisal salum ni on 🔥

  • @ElizabethLukosya-lv2vf
    @ElizabethLukosya-lv2vf7 ай бұрын

    Asante kwa sara yako feitoto 🙏ktk krabu zetu sote

  • @user-nq9pi3ku7n
    @user-nq9pi3ku7n7 ай бұрын

    Maestro kabisa

  • @user-ej5uq8rx8o
    @user-ej5uq8rx8o7 ай бұрын

    Your so good Fei Salum,hayo ndiyo majibu ya mchezaji msomi.

  • @Mumewangu
    @Mumewangu7 ай бұрын

    Big up feisal

  • @user-vr5bi8rb8y
    @user-vr5bi8rb8y7 ай бұрын

    Yap Fei amejibu maswali kiakili sana😂🎉wao wanamuuliza kwa unafiki hivii

  • @brownsebastianmwibi5647
    @brownsebastianmwibi56477 ай бұрын

    Hao wandishi ni hovyo mara hovyo. Maswali gani hayo ya kuuliza?

  • @charlesmanga7362
    @charlesmanga73627 ай бұрын

    Umeongea vizuri sana this time .....Mungu awe pamoja nawe.

  • @ghulamhaji7856

    @ghulamhaji7856

    7 ай бұрын

    Kaongea vibaya lini?

  • @azizihfarijala5307
    @azizihfarijala53077 ай бұрын

    waandishi buana huyu aliye upande wa kulia viswali vyake hàta mjukuu wangu anacheka. kwani lazima uulize maswali

  • @OmanOman-iu7jf
    @OmanOman-iu7jf7 ай бұрын

    Pambana baba munguuu ndiee anayeombwa

  • @NasiriHamady
    @NasiriHamady7 ай бұрын

    Mungu nimwema pambana2

  • @user-gb7sv5fr7e
    @user-gb7sv5fr7e7 ай бұрын

    HAYA MASWALIII🙌🙌

  • @idrissajuma7308
    @idrissajuma73087 ай бұрын

    Beauty beauty mwamba sana

  • @user-fe9ug7bp2h
    @user-fe9ug7bp2h7 ай бұрын

    Watangazaji wakinongo wanakuuliza Ili uongee waanze kuchochea ugomvi asa mchezaji unamuulizaje kuhusu kushinda au kutokushinda kwa yanga na simba

  • @agusmileofficial2845
    @agusmileofficial28457 ай бұрын

    Mungu anatoshaa

  • @user-pz4se5cp6y
    @user-pz4se5cp6y7 ай бұрын

    Ala ndo kila kitu utafika tu feisal pamban unajua

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb7 ай бұрын

    Mwandishi mmbea sana.

  • @hassanimam3548
    @hassanimam35487 ай бұрын

    ALLAH anatosha

  • @user-zf6yh6ef8q
    @user-zf6yh6ef8q7 ай бұрын

    Majibu mazur

  • @hajihassan5433
    @hajihassan54337 ай бұрын

    Tanzania hakuna Waandishi, sijuwi ile kupanga professionalism iliyoshikiliwa bingo na Serikali ya Magufuli Nape akiwa Waziri wa habari imeishia wapi?

  • @hamisimuhibu641
    @hamisimuhibu6417 ай бұрын

    Waandishi mna maswali ya kiwaki kifala yan mnauliza kam wa habar za udaku..

  • @user-ug7rb7wb7j
    @user-ug7rb7wb7j7 ай бұрын

    Sio Ala n Allah

  • @ausonjustinian4673
    @ausonjustinian46737 ай бұрын

    SIFA ilishuka kwa asilimia frani toka ulipotoka Yanga.

  • @AlafatiDondeye
    @AlafatiDondeye7 ай бұрын

    Dh huyo muandiahi wa habali ni choko kweli sasa maswali gani ya kichoko

  • @hemedbakari8997
    @hemedbakari89977 ай бұрын

    Mwandishi wa online anaejua kuuliza maswali wa kwanza Irene kilango na wale wa mpenja baadhi

  • @user-eagelwings
    @user-eagelwings7 ай бұрын

  • @claverynyanda7409
    @claverynyanda74097 ай бұрын

    rick media hamna mwandishi wa habari hapo ila mnashoga tu ambaye hata hajielew, kuhuji hajuwi ili analazimisha kuwa anajuwa na huko ujinga tu.

  • @kindulijumanne7632
    @kindulijumanne76327 ай бұрын

    Huyu Yanga damn Ila bas Shetani nae yupo

  • @AminaAmina-cr8jq
    @AminaAmina-cr8jq7 ай бұрын

    We mjinga umeshajielewa we chix kweli

  • @user-uv4rh2ig8m
    @user-uv4rh2ig8m7 ай бұрын

    Kama awajui kazi yao

  • @AmourCkay
    @AmourCkay7 ай бұрын

    Daah 😂😂😂

  • @RajabuSikabwe-rp1lj
    @RajabuSikabwe-rp1lj7 ай бұрын

    Akunasiku fesali ulivyo ulinikwaza kama kumponda Saidi dogo ulivyokwenda azamu NDO ulihisha

  • @user-ff1it9og8y
    @user-ff1it9og8y7 ай бұрын

    Feisal kiwango Chako ni Simba Sasa ili uonekane kimataifa angali umri bado

  • @toftin1eliah527
    @toftin1eliah5277 ай бұрын

    Nadhani umeanza kujitambua, awa waandishi wame kuuliza maswali ya kinafik na ya mtego. Waepuke Sana waandishi wa namma iyo wanaweza kukultea matatizo makubwa katika career Yako katika soccer kwakua maneno utakauo ongea Yana ishi.

  • @ghulamhaji7856

    @ghulamhaji7856

    7 ай бұрын

    Fai kajitambua since anaondoka yanga

  • @adamlubawa1281
    @adamlubawa12817 ай бұрын

    Yaaaani waandishi wengine ni MIDABWADA KABISA TENA HASA HUYU WA HII MEDIA

  • @Mobmob2013
    @Mobmob20137 ай бұрын

    Waandishi hovyo saana jifunzeni namna Bora ya kuuliza maswali. Mnapaswa kufungiwa wapuuzi saana

  • @josephkapinga652
    @josephkapinga6527 ай бұрын

    Maswali sio ya kuulizwa mchezaji kabisa, mengine ya kuulizwa makocha wa timu hizo zingine anaulzwa fei kweli?

  • @user-nz5pu5gk6n
    @user-nz5pu5gk6n7 ай бұрын

    Ndio maswalii gani ayo mnaulizaa wandishii , mswali ayo mulizee walizenii wasemajii wa club

  • @user-fu6qi5bt1y
    @user-fu6qi5bt1y7 ай бұрын

    Hao wanaouliza maswali daaaaaa sijui niseme nn

  • @user-hn3xt2us6u
    @user-hn3xt2us6u7 ай бұрын

    Toto🎉🎉

  • @TECHSMARTSWAHILI
    @TECHSMARTSWAHILI7 ай бұрын

    Sema wandishi wanauliza maswali ya kisenge badala waulize mchezo umekuwaje

  • @user-qo6qv6mc5p
    @user-qo6qv6mc5p7 ай бұрын

    Fei ww tanzania ni mmoja

  • @lowasasoingey360
    @lowasasoingey3607 ай бұрын

    Hivi kuhoji wachezaji unaamka tu usingizini au unatoka zako kulima au kuchunga mifugo unahiji make sijaona taaluma yeyote apo upuuzi mtupu

  • @mathewdickson8891
    @mathewdickson88917 ай бұрын

    lastborn utamjua tu😂😂😂

  • @rickierunyota3613
    @rickierunyota36137 ай бұрын

    Waandishi wote ni mbwa tuuu

  • @herbertfaustine4425
    @herbertfaustine44257 ай бұрын

    Hakuna waandishi humu, upumbavu mtupu

  • @user-kw1mo5ys9z
    @user-kw1mo5ys9z7 ай бұрын

    Yan maswali mepesi mno waandishi was hovyo sana

  • @EmmanuelMsangi-kb3vv
    @EmmanuelMsangi-kb3vv7 ай бұрын

    Hakuna waandishi na mtoto wangu anahitimu kozi cjui akiwa ivi nitajickiaje kwa kwakweli

  • @babaabro8847
    @babaabro88477 ай бұрын

    Wandishi wa bongo hovyo

  • @wazinzatv3152
    @wazinzatv31527 ай бұрын

    Wananchiii gonga likes

  • @ahmedimuhamed6267
    @ahmedimuhamed62677 ай бұрын

    Heeee. Daaaa. Ndio. Wandishi wa habari Hawa. Kweli. Maswali. Gani. Kila kati yanga yanga. Maswali. Yanga yanga.

  • @jamalmanishi7282
    @jamalmanishi72827 ай бұрын

    Karibu msimbazi wewe ni mchezaji bora

  • @amanimgaya9623
    @amanimgaya96237 ай бұрын

    Waandishi wabongo buana

  • @habisnasalum-nz4zo
    @habisnasalum-nz4zo7 ай бұрын

    Fei ni mmoja tu tanzania usimfananishe ba wenye midomo kama wanjwa gongo ba wale wenye minywele michafu na maskio kama popo

  • @salimmalaka256

    @salimmalaka256

    7 ай бұрын

    TENA GONGO LA BI USHUZI UKINYWA FUNDA LA KWANZA TU LAZIMA UJAMBE 😂😂😂😂😂

  • @emmanuelnkwabi8610
    @emmanuelnkwabi86107 ай бұрын

    Taaluma hamuitendei haki

  • @user-qb9le7us9c
    @user-qb9le7us9c7 ай бұрын

    Mkasome amjui atakuoji maswali kengee nyie

  • @user-bu8jb8zl9k
    @user-bu8jb8zl9k7 ай бұрын

    Muulize maxwali mazur xio maswali ya kugombanixha wat

  • @josephmwise3177
    @josephmwise31777 ай бұрын

    Msimpe moyo kiwango kimeshuka ila ni kwasababu anacheza timu ndogo hata akiitwa timu ya Taifa anasugua benchi,Sina Imani kama ana offer yoyote mezani hapo lafika akitoka ni Singida.

  • @modestusndunguru7183

    @modestusndunguru7183

    7 ай бұрын

    Uwezo wako wa kufikiri kama ..wa ...dadaako.tu......hujui mpira wewe

  • @mohdkhatib223

    @mohdkhatib223

    7 ай бұрын

    Acha chuki, wewe inaonyesha ni mchawi

  • @ShawejiKipetello-fo1pr
    @ShawejiKipetello-fo1pr7 ай бұрын

    Hivi nyie wandishi au wahandisii maana hvyo vijiswalii n vya kishamba kabisaaa

  • @habisnasalum-nz4zo
    @habisnasalum-nz4zo7 ай бұрын

    Fei ni bola kumtegemea mungu kuliko kutegemea uchawi na bola ukaondoka kule kwa wachawi na muamini mungu maana wanakusema kama wamekuloga wao sio mungu uchawi utawarudia wenyewe

  • @salimmalaka256

    @salimmalaka256

    7 ай бұрын

    SIO KAMA WAMEMROGA VIBUSHA FC WALE 😂😂😂😂😂😂

  • @ghulamhaji7856

    @ghulamhaji7856

    7 ай бұрын

    Uto walisahau km Mungu yupo hachezi mpira tena sababu kaondoka uto tunakupa Lana ktk mchezaji anae jiamini Tz hii ni fei hapendi uonevu akisema no no Fei anatoka jasho kwa club hafu mshahara wake mbuzi

  • @ghulamhaji7856

    @ghulamhaji7856

    7 ай бұрын

    Uto walisahau km Mungu yupo hachezi mpira tena sababu kaondoka uto tunakupa Lana ktk mchezaji anae jiamini Tz hii ni fei hapendi uonevu akisema no no Fei anatoka jasho kwa club hafu mshahara wake mbuzi

  • @HenryAnatoly-jg3df
    @HenryAnatoly-jg3df7 ай бұрын

    Magari yk yanawahusu nn sasa? Waandishi wahovyo sn nyie.

  • @fidelismwakanyamale6787
    @fidelismwakanyamale67877 ай бұрын

    Huyu saizi ni wa azam sasa wewe mwandishi mjinga una zalilisha timu ya azam anayo chezea

  • @jumbeojaso5767
    @jumbeojaso57677 ай бұрын

    Generation ya waandishi hovyo kabisa kuwahi kutokea nchi hii toka uhuru.. Eti hawa ndio wasomi wetu wenye degree ya uandishi 😮😮😅wa habari.

  • @user-zy8qv7kt7g
    @user-zy8qv7kt7g7 ай бұрын

    Dogo mnzuri

  • @RahmaKhalfani-qp3vc
    @RahmaKhalfani-qp3vc7 ай бұрын

    Fei toto karibu sana simba

  • @user-tw8zf5sv2c

    @user-tw8zf5sv2c

    6 ай бұрын

    Muvi

  • @user-tw8zf5sv2c

    @user-tw8zf5sv2c

    6 ай бұрын

    Yangs

  • @pakistanmwambene2202
    @pakistanmwambene22027 ай бұрын

    Mpira unaujua lakin tatizo lako unatumiwa na makolo ndo unakuja kuonekana wa hovyo kweli

  • @ghulamhaji7856

    @ghulamhaji7856

    7 ай бұрын

    Makolo wanalipa hela nzuri ww

  • @PhilomenaSteven-tq2tx
    @PhilomenaSteven-tq2tx7 ай бұрын

    Waandishi wasenge kweli nyie

  • @HussainMaula-mw8vz
    @HussainMaula-mw8vz7 ай бұрын

    Kwani Azam ni club ndogo ulizeni maswali ya msingi

  • @salimmalaka256

    @salimmalaka256

    7 ай бұрын

    DHARAU NDIO SIFA ZAO WAJINGA HAWA.

  • @richardarord8344
    @richardarord83447 ай бұрын

    Umimi tu uwo akuna chamaana chochote ss kama yanga atutishwi upuuz tu mtupu ss tunaangalia kimataifa tz akuna mpuuz atakae chukua kombe

  • @ikangaankundi5383
    @ikangaankundi53837 ай бұрын

    Nimefurahi Faisal unajielewa.

  • @ghulamhaji7856

    @ghulamhaji7856

    7 ай бұрын

    Kwa sababu anajielewa ndio kaondoka yanga

  • @chinchon2126
    @chinchon21267 ай бұрын

    Dua ipi mtoto jeuri na kiburi huyu muulize maswali ya Azam FC muhimu muulizrni anajisikiaje kukosa kutolewa mapema kwenye mashindano ya club bingwa Afica

  • @salimmalaka256

    @salimmalaka256

    7 ай бұрын

    FUNGA KIJAMBIYO HICHO USIMLAZIMISHE MTU KITU KATIKA MAISHA YAKE KIBUSHA FC WEWE.

  • @danielgadiye7983
    @danielgadiye79837 ай бұрын

    Sizani

  • @dvjmiloow2955
    @dvjmiloow29557 ай бұрын

    Watangazaji wa onilaini medea😂 maswali yao hovyo kweli. Same question anauliza zaaidi ya mara tatu?

  • @sniper93999

    @sniper93999

    7 ай бұрын

    Wallah😂😂😂😂

  • @ismailkipira6632
    @ismailkipira66327 ай бұрын

    Wapuuzi sana nyie sijui mmesomea wapi hii taaluma!! Ndio maswali gani hayo mnayouliza khaah!!! Nyie ndio waandishi wa habari au SIO😳😳😳😳

  • @allymada5370

    @allymada5370

    7 ай бұрын

    ..safi

  • @user-bc4cz7vo1x

    @user-bc4cz7vo1x

    7 ай бұрын

    Kahoji ww ulosomea

  • @plankwizzo4935

    @plankwizzo4935

    7 ай бұрын

    Akili zimelala hawa

  • @MahatmanMalcom

    @MahatmanMalcom

    7 ай бұрын

    Jamaa hawan maswali kabisa

  • @rajabushedafa6397

    @rajabushedafa6397

    7 ай бұрын

    Acha makasiriko 😂

  • @JAIVINGGWISKI
    @JAIVINGGWISKI7 ай бұрын

    Poor, poor, poor waandishi

  • @sniper93999
    @sniper939997 ай бұрын

    WAADISHI HAMNA KITU 😂

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe75437 ай бұрын

    NYIE MNAMSEMA FEI TOTO NA KUMTUKANA AMEWAKOSEA NN? KWANI KUHAMA TIMU NI YEYE TUU WA KWANZA?AMEENDA AZAM AMETULIA MWACHENI. FEI TOTO KAZA BUTI UCHAPE KAZI. WEWE MWOMBE MUNGU KWANI MUNGU NI KILA KITU KTK MAISHA YA BINADAMU. TUNAKUOMBEA UENDELEE KUFANYA VZR.

  • @mohdkhatib223

    @mohdkhatib223

    7 ай бұрын

    Ndio tatizo la utopolo

  • @khamismohammed7867
    @khamismohammed78677 ай бұрын

    Kaisha mpemba uyo😅😅😅

  • @ghulamhaji7856

    @ghulamhaji7856

    7 ай бұрын

    Ww umerongwa

  • @abdallahmohamed7166
    @abdallahmohamed71667 ай бұрын

    Huyu sisi tumembaliki wala hatujampa lahana kama tulivyo wapa Ihefu

  • @murattywamuratty9778

    @murattywamuratty9778

    7 ай бұрын

    Saivii tenaaa?😂

  • @yusuframadhan4744

    @yusuframadhan4744

    7 ай бұрын

    Bora hamjampa laana na sio lahana😅😅😅

  • @salimmalaka256

    @salimmalaka256

    7 ай бұрын

    KIBUSHA FC WEWE 😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @AlsonKipomela-bq1vk
    @AlsonKipomela-bq1vk7 ай бұрын

    Kwenda azamu ni kujizimia ndoto zake app ndio bas tena

  • @Allykoroshotv

    @Allykoroshotv

    7 ай бұрын

    Huna akili ww

  • @peteveprosper7186
    @peteveprosper71867 ай бұрын

    This man he is not sex on answering the questions!

  • @HassaniAli-ts1dp

    @HassaniAli-ts1dp

    7 ай бұрын

    ww muogo anaomba mungo yanga tufungwe mnafiki nkubwa huyo

  • @mohdkhatib223

    @mohdkhatib223

    7 ай бұрын

    ​@@HassaniAli-ts1dppengine wewe ndio mnafiki, husda si kitu kizur

  • @hemedbakari8997
    @hemedbakari89977 ай бұрын

    Yaani hawa waandishi wanao mhoji wote wajinga wanaladhimisha majibu yalio kichwani mwao wapumbavu sana

  • @maliadii4829
    @maliadii48297 ай бұрын

    Unasema kuheshimu viongozi benchi la ufundi na kadhalika je una moyo huo sikuamini tone we ktk kundi la wanafiki umo pole sana unajua afhabu ya mnafiki

  • @salimmalaka256

    @salimmalaka256

    7 ай бұрын

    MNAFIKI NI WEWE SIO YEYE KIBUSHA FC WEWE 😂😂😂😂😂

  • @ZainabuHassani-fe8ur
    @ZainabuHassani-fe8ur7 ай бұрын

    Bila kucheza na timu pungufu hayo magoli 7 usingekua nayo taalifa zako tunazo

  • @suleimankombo1743

    @suleimankombo1743

    7 ай бұрын

    Choyo hicho

  • @sylvestermlwale8875

    @sylvestermlwale8875

    7 ай бұрын

    Acha roho mbaya.

  • @queenmwasanguti2370
    @queenmwasanguti23707 ай бұрын

    Aibu Yako, kaka, tubu urudi

  • @suleimankombo1743

    @suleimankombo1743

    7 ай бұрын

    Kwani mkemtaka?

  • @wkadege
    @wkadege7 ай бұрын

    Ila waandishi jifunzeni kuuliza maswali ur unprofessional poor kabisa

  • @Gerevascostantine
    @Gerevascostantine12 күн бұрын

    Kochabmupy

  • @sosomacharles9920
    @sosomacharles99207 ай бұрын

    Fei bado hajajua kujieleza

  • @OmanOman-iu7jf

    @OmanOman-iu7jf

    7 ай бұрын

    Mbona anajibu vizuri tu

  • @ismailmasoud6001

    @ismailmasoud6001

    7 ай бұрын

    Hataki lawama, 🤣🤣🤣

  • @OmanOman-iu7jf

    @OmanOman-iu7jf

    7 ай бұрын

    @@ismailmasoud6001 lawama zinatosha santaim

  • @IsmailKatala

    @IsmailKatala

    7 ай бұрын

    Hata maswali anayoulizwa ni ya hovyo kaka.

  • @OmanOman-iu7jf

    @OmanOman-iu7jf

    7 ай бұрын

    @@IsmailKatala ndio mujuwe

  • @songombingo108
    @songombingo1087 ай бұрын

    HAKA KAJAMAA KANAFIKI SANA.

  • @rizikiabdalla2501

    @rizikiabdalla2501

    7 ай бұрын

    Kama ww tuu maana ndege wanaofanana wanarukaa pamoja ulimjuwaje kama sio mwezio

  • @remytory8001
    @remytory80017 ай бұрын

    Hawa hawajasomoea hii kazi hii inaitwa unga unga mwana

  • @Pelegrinoemanuel
    @Pelegrinoemanuel7 ай бұрын

    Mnafiki

  • @aminahkhuzwayo-iv1wl
    @aminahkhuzwayo-iv1wl7 ай бұрын

    Anacheza chamanzi uswailini,,apandi ndege kama zamani😂😂😂😅

  • @babiddi8620

    @babiddi8620

    7 ай бұрын

    Kwani ndege na mkwanja bora nn

  • @fahadfaraj6474

    @fahadfaraj6474

    7 ай бұрын

    Ndege ndio nini analipwa mshahara zaidi ya milioni Kumi akitaka ndege anapanda anytime anaweza kukulisha wewe bwana ako na madanga yako mwaka mzima , mwenzio anaingiza hela we unaongea ushubwada pumbu za paka wewe.

  • @mohdkhatib223

    @mohdkhatib223

    7 ай бұрын

    Hilo yeye alilijua ila elewa soka ni ajira, wachezaji wanaangalia maslahi yao kwanza, soka mchezo wa muda mfupi sana. Kwahiyo hata kama timu yake Azam imetolewa mapema lakini anapiga hela ndefu mara tatu ya ule Yanga. Ushauri, acheni chuki na husda hakuna mchezaji anaekaa katika timu maisha

  • @dianajeremiah1547
    @dianajeremiah15477 ай бұрын

    Maswali ya kijinga 😂

  • @binwasiumbanga9256
    @binwasiumbanga92567 ай бұрын

    Hana lolote boya tu,angekua mchezaji angels angeisadia Azam kimataifa

  • @fahadfaraj6474

    @fahadfaraj6474

    7 ай бұрын

    Yanga alikua analipwa milioni 4 huko analipwa milioni Kumi na kitu kakua kiuchumi akiisadia familia yake inatosha sasa wewe acha kukomaa ubadili Maisha yako endelea kulaumu watu wao wanaongeza vipato

  • @Allykoroshotv

    @Allykoroshotv

    7 ай бұрын

    Yaan watu tujalibu kuongeza uwelewa jaman duh et angeisadia Azam kimataifa

  • @yusuframadhan4744

    @yusuframadhan4744

    7 ай бұрын

    Muda utaongea tu,wewe ulitaka aendelee kula ugali na sukari ndengeles 😂😂😂!kawaachia utopolo wenu lkn kwasababu inawauma ndio maana mnamfuatilia bado!!!na bado mtaongea yote pambaf zenyu 😂😂😂😂😂😂😂

  • @juliuswandwi3421

    @juliuswandwi3421

    7 ай бұрын

    Sasa ww hata kula Kwako ni shida utajulinganisha na Fei ww fala TU kwani ww unasaidia nn huko uliko?

  • @AzizaHussein-wq8ql

    @AzizaHussein-wq8ql

    7 ай бұрын

    @@yusuframadhan4744 🤔🤔🤔🤔🤔🤔 we msambaa wa wap

  • @kindulijumanne7632
    @kindulijumanne76327 ай бұрын

    Huyu Yanga damn Ila bas Shetani nae yupo

  • @muksinimbaruku1233

    @muksinimbaruku1233

    7 ай бұрын

    Kaa na yanga yako

  • @salimmalaka256

    @salimmalaka256

    7 ай бұрын

    HAYO MAMBO YA DAM NIWAKATI WA AKINA MZEE MPILI ALIPOKUWA KIJANA KWA SASA MPIRA NI KAZI UNACHEZA PENYE MALIPO MAZURI TU.

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa7 ай бұрын

    Sasa nyie mnaopenda kumsemea ya moyoni mwake ni wapuuzi sana kama mkiketa ujuaji kichapo kama kawa hakuna ubishi fei aombe asiombe msimsene vibaya mwacheni mtoto wa watu ajiachie

Келесі