FEISAL SALUM atia neno mchezo wa Yanga kesho, KUHUSU KUTUA Simba AJIBU HILI/ Maisha Azam YAPO HIVI..
Ойын-сауық
...........................................................
Contact Us : 0742447854
-------------------------------------------------------------------------------
Instagram rickmediatz...
---------------------------------------------------------------------------------
Facebook / rickmediatz
---------------------------------------------------------------------------------
Website www.rickmediatz.com
-----------------------------------------------------------------------------------
Пікірлер: 152
Fei Toto ni bora sana ni mchezaji mzuri sana hongera sana kiwango chako kimerudi ASHUKURIWE MUNGU. wewe pambana kwa uwezo wa MUNGU utafika mbali.
Fei umewajibu vizuri saana wamejaribu kutaka kukugombanisha na TIMU YAKO YA ZAMANI Hongera feisal
fundi mchezaji bora ligi ya tanzania........bandari fan love from kenya
Asante fei kwa dua lako umeanza kuwa na akiri
Faila sufii feisal salum ni on 🔥
Asante kwa sara yako feitoto 🙏ktk krabu zetu sote
Maestro kabisa
Your so good Fei Salum,hayo ndiyo majibu ya mchezaji msomi.
Big up feisal
Yap Fei amejibu maswali kiakili sana😂🎉wao wanamuuliza kwa unafiki hivii
Hao wandishi ni hovyo mara hovyo. Maswali gani hayo ya kuuliza?
Umeongea vizuri sana this time .....Mungu awe pamoja nawe.
@ghulamhaji7856
7 ай бұрын
Kaongea vibaya lini?
waandishi buana huyu aliye upande wa kulia viswali vyake hàta mjukuu wangu anacheka. kwani lazima uulize maswali
Pambana baba munguuu ndiee anayeombwa
Mungu nimwema pambana2
HAYA MASWALIII🙌🙌
Beauty beauty mwamba sana
Watangazaji wakinongo wanakuuliza Ili uongee waanze kuchochea ugomvi asa mchezaji unamuulizaje kuhusu kushinda au kutokushinda kwa yanga na simba
Mungu anatoshaa
Ala ndo kila kitu utafika tu feisal pamban unajua
Mwandishi mmbea sana.
ALLAH anatosha
Majibu mazur
Tanzania hakuna Waandishi, sijuwi ile kupanga professionalism iliyoshikiliwa bingo na Serikali ya Magufuli Nape akiwa Waziri wa habari imeishia wapi?
Waandishi mna maswali ya kiwaki kifala yan mnauliza kam wa habar za udaku..
Sio Ala n Allah
SIFA ilishuka kwa asilimia frani toka ulipotoka Yanga.
Dh huyo muandiahi wa habali ni choko kweli sasa maswali gani ya kichoko
Mwandishi wa online anaejua kuuliza maswali wa kwanza Irene kilango na wale wa mpenja baadhi
✊
rick media hamna mwandishi wa habari hapo ila mnashoga tu ambaye hata hajielew, kuhuji hajuwi ili analazimisha kuwa anajuwa na huko ujinga tu.
Huyu Yanga damn Ila bas Shetani nae yupo
We mjinga umeshajielewa we chix kweli
Kama awajui kazi yao
Daah 😂😂😂
Akunasiku fesali ulivyo ulinikwaza kama kumponda Saidi dogo ulivyokwenda azamu NDO ulihisha
Feisal kiwango Chako ni Simba Sasa ili uonekane kimataifa angali umri bado
Nadhani umeanza kujitambua, awa waandishi wame kuuliza maswali ya kinafik na ya mtego. Waepuke Sana waandishi wa namma iyo wanaweza kukultea matatizo makubwa katika career Yako katika soccer kwakua maneno utakauo ongea Yana ishi.
@ghulamhaji7856
7 ай бұрын
Fai kajitambua since anaondoka yanga
Yaaaani waandishi wengine ni MIDABWADA KABISA TENA HASA HUYU WA HII MEDIA
Waandishi hovyo saana jifunzeni namna Bora ya kuuliza maswali. Mnapaswa kufungiwa wapuuzi saana
Maswali sio ya kuulizwa mchezaji kabisa, mengine ya kuulizwa makocha wa timu hizo zingine anaulzwa fei kweli?
Ndio maswalii gani ayo mnaulizaa wandishii , mswali ayo mulizee walizenii wasemajii wa club
Hao wanaouliza maswali daaaaaa sijui niseme nn
Toto🎉🎉
Sema wandishi wanauliza maswali ya kisenge badala waulize mchezo umekuwaje
Fei ww tanzania ni mmoja
Hivi kuhoji wachezaji unaamka tu usingizini au unatoka zako kulima au kuchunga mifugo unahiji make sijaona taaluma yeyote apo upuuzi mtupu
lastborn utamjua tu😂😂😂
Waandishi wote ni mbwa tuuu
Hakuna waandishi humu, upumbavu mtupu
Yan maswali mepesi mno waandishi was hovyo sana
Hakuna waandishi na mtoto wangu anahitimu kozi cjui akiwa ivi nitajickiaje kwa kwakweli
Wandishi wa bongo hovyo
Wananchiii gonga likes
Heeee. Daaaa. Ndio. Wandishi wa habari Hawa. Kweli. Maswali. Gani. Kila kati yanga yanga. Maswali. Yanga yanga.
Karibu msimbazi wewe ni mchezaji bora
Waandishi wabongo buana
Fei ni mmoja tu tanzania usimfananishe ba wenye midomo kama wanjwa gongo ba wale wenye minywele michafu na maskio kama popo
@salimmalaka256
7 ай бұрын
TENA GONGO LA BI USHUZI UKINYWA FUNDA LA KWANZA TU LAZIMA UJAMBE 😂😂😂😂😂
Taaluma hamuitendei haki
Mkasome amjui atakuoji maswali kengee nyie
Muulize maxwali mazur xio maswali ya kugombanixha wat
Msimpe moyo kiwango kimeshuka ila ni kwasababu anacheza timu ndogo hata akiitwa timu ya Taifa anasugua benchi,Sina Imani kama ana offer yoyote mezani hapo lafika akitoka ni Singida.
@modestusndunguru7183
7 ай бұрын
Uwezo wako wa kufikiri kama ..wa ...dadaako.tu......hujui mpira wewe
@mohdkhatib223
7 ай бұрын
Acha chuki, wewe inaonyesha ni mchawi
Hivi nyie wandishi au wahandisii maana hvyo vijiswalii n vya kishamba kabisaaa
Fei ni bola kumtegemea mungu kuliko kutegemea uchawi na bola ukaondoka kule kwa wachawi na muamini mungu maana wanakusema kama wamekuloga wao sio mungu uchawi utawarudia wenyewe
@salimmalaka256
7 ай бұрын
SIO KAMA WAMEMROGA VIBUSHA FC WALE 😂😂😂😂😂😂
@ghulamhaji7856
7 ай бұрын
Uto walisahau km Mungu yupo hachezi mpira tena sababu kaondoka uto tunakupa Lana ktk mchezaji anae jiamini Tz hii ni fei hapendi uonevu akisema no no Fei anatoka jasho kwa club hafu mshahara wake mbuzi
@ghulamhaji7856
7 ай бұрын
Uto walisahau km Mungu yupo hachezi mpira tena sababu kaondoka uto tunakupa Lana ktk mchezaji anae jiamini Tz hii ni fei hapendi uonevu akisema no no Fei anatoka jasho kwa club hafu mshahara wake mbuzi
Magari yk yanawahusu nn sasa? Waandishi wahovyo sn nyie.
Huyu saizi ni wa azam sasa wewe mwandishi mjinga una zalilisha timu ya azam anayo chezea
Generation ya waandishi hovyo kabisa kuwahi kutokea nchi hii toka uhuru.. Eti hawa ndio wasomi wetu wenye degree ya uandishi 😮😮😅wa habari.
Dogo mnzuri
Fei toto karibu sana simba
@user-tw8zf5sv2c
6 ай бұрын
Muvi
@user-tw8zf5sv2c
6 ай бұрын
Yangs
Mpira unaujua lakin tatizo lako unatumiwa na makolo ndo unakuja kuonekana wa hovyo kweli
@ghulamhaji7856
7 ай бұрын
Makolo wanalipa hela nzuri ww
Waandishi wasenge kweli nyie
Kwani Azam ni club ndogo ulizeni maswali ya msingi
@salimmalaka256
7 ай бұрын
DHARAU NDIO SIFA ZAO WAJINGA HAWA.
Umimi tu uwo akuna chamaana chochote ss kama yanga atutishwi upuuz tu mtupu ss tunaangalia kimataifa tz akuna mpuuz atakae chukua kombe
Nimefurahi Faisal unajielewa.
@ghulamhaji7856
7 ай бұрын
Kwa sababu anajielewa ndio kaondoka yanga
Dua ipi mtoto jeuri na kiburi huyu muulize maswali ya Azam FC muhimu muulizrni anajisikiaje kukosa kutolewa mapema kwenye mashindano ya club bingwa Afica
@salimmalaka256
7 ай бұрын
FUNGA KIJAMBIYO HICHO USIMLAZIMISHE MTU KITU KATIKA MAISHA YAKE KIBUSHA FC WEWE.
Sizani
Watangazaji wa onilaini medea😂 maswali yao hovyo kweli. Same question anauliza zaaidi ya mara tatu?
@sniper93999
7 ай бұрын
Wallah😂😂😂😂
Wapuuzi sana nyie sijui mmesomea wapi hii taaluma!! Ndio maswali gani hayo mnayouliza khaah!!! Nyie ndio waandishi wa habari au SIO😳😳😳😳
@allymada5370
7 ай бұрын
..safi
@user-bc4cz7vo1x
7 ай бұрын
Kahoji ww ulosomea
@plankwizzo4935
7 ай бұрын
Akili zimelala hawa
@MahatmanMalcom
7 ай бұрын
Jamaa hawan maswali kabisa
@rajabushedafa6397
7 ай бұрын
Acha makasiriko 😂
Poor, poor, poor waandishi
WAADISHI HAMNA KITU 😂
NYIE MNAMSEMA FEI TOTO NA KUMTUKANA AMEWAKOSEA NN? KWANI KUHAMA TIMU NI YEYE TUU WA KWANZA?AMEENDA AZAM AMETULIA MWACHENI. FEI TOTO KAZA BUTI UCHAPE KAZI. WEWE MWOMBE MUNGU KWANI MUNGU NI KILA KITU KTK MAISHA YA BINADAMU. TUNAKUOMBEA UENDELEE KUFANYA VZR.
@mohdkhatib223
7 ай бұрын
Ndio tatizo la utopolo
Kaisha mpemba uyo😅😅😅
@ghulamhaji7856
7 ай бұрын
Ww umerongwa
Huyu sisi tumembaliki wala hatujampa lahana kama tulivyo wapa Ihefu
@murattywamuratty9778
7 ай бұрын
Saivii tenaaa?😂
@yusuframadhan4744
7 ай бұрын
Bora hamjampa laana na sio lahana😅😅😅
@salimmalaka256
7 ай бұрын
KIBUSHA FC WEWE 😂😂😂😂😂😂😂😂
Kwenda azamu ni kujizimia ndoto zake app ndio bas tena
@Allykoroshotv
7 ай бұрын
Huna akili ww
This man he is not sex on answering the questions!
@HassaniAli-ts1dp
7 ай бұрын
ww muogo anaomba mungo yanga tufungwe mnafiki nkubwa huyo
@mohdkhatib223
7 ай бұрын
@@HassaniAli-ts1dppengine wewe ndio mnafiki, husda si kitu kizur
Yaani hawa waandishi wanao mhoji wote wajinga wanaladhimisha majibu yalio kichwani mwao wapumbavu sana
Unasema kuheshimu viongozi benchi la ufundi na kadhalika je una moyo huo sikuamini tone we ktk kundi la wanafiki umo pole sana unajua afhabu ya mnafiki
@salimmalaka256
7 ай бұрын
MNAFIKI NI WEWE SIO YEYE KIBUSHA FC WEWE 😂😂😂😂😂
Bila kucheza na timu pungufu hayo magoli 7 usingekua nayo taalifa zako tunazo
@suleimankombo1743
7 ай бұрын
Choyo hicho
@sylvestermlwale8875
7 ай бұрын
Acha roho mbaya.
Aibu Yako, kaka, tubu urudi
@suleimankombo1743
7 ай бұрын
Kwani mkemtaka?
Ila waandishi jifunzeni kuuliza maswali ur unprofessional poor kabisa
Kochabmupy
Fei bado hajajua kujieleza
@OmanOman-iu7jf
7 ай бұрын
Mbona anajibu vizuri tu
@ismailmasoud6001
7 ай бұрын
Hataki lawama, 🤣🤣🤣
@OmanOman-iu7jf
7 ай бұрын
@@ismailmasoud6001 lawama zinatosha santaim
@IsmailKatala
7 ай бұрын
Hata maswali anayoulizwa ni ya hovyo kaka.
@OmanOman-iu7jf
7 ай бұрын
@@IsmailKatala ndio mujuwe
HAKA KAJAMAA KANAFIKI SANA.
@rizikiabdalla2501
7 ай бұрын
Kama ww tuu maana ndege wanaofanana wanarukaa pamoja ulimjuwaje kama sio mwezio
Hawa hawajasomoea hii kazi hii inaitwa unga unga mwana
Mnafiki
Anacheza chamanzi uswailini,,apandi ndege kama zamani😂😂😂😅
@babiddi8620
7 ай бұрын
Kwani ndege na mkwanja bora nn
@fahadfaraj6474
7 ай бұрын
Ndege ndio nini analipwa mshahara zaidi ya milioni Kumi akitaka ndege anapanda anytime anaweza kukulisha wewe bwana ako na madanga yako mwaka mzima , mwenzio anaingiza hela we unaongea ushubwada pumbu za paka wewe.
@mohdkhatib223
7 ай бұрын
Hilo yeye alilijua ila elewa soka ni ajira, wachezaji wanaangalia maslahi yao kwanza, soka mchezo wa muda mfupi sana. Kwahiyo hata kama timu yake Azam imetolewa mapema lakini anapiga hela ndefu mara tatu ya ule Yanga. Ushauri, acheni chuki na husda hakuna mchezaji anaekaa katika timu maisha
Maswali ya kijinga 😂
Hana lolote boya tu,angekua mchezaji angels angeisadia Azam kimataifa
@fahadfaraj6474
7 ай бұрын
Yanga alikua analipwa milioni 4 huko analipwa milioni Kumi na kitu kakua kiuchumi akiisadia familia yake inatosha sasa wewe acha kukomaa ubadili Maisha yako endelea kulaumu watu wao wanaongeza vipato
@Allykoroshotv
7 ай бұрын
Yaan watu tujalibu kuongeza uwelewa jaman duh et angeisadia Azam kimataifa
@yusuframadhan4744
7 ай бұрын
Muda utaongea tu,wewe ulitaka aendelee kula ugali na sukari ndengeles 😂😂😂!kawaachia utopolo wenu lkn kwasababu inawauma ndio maana mnamfuatilia bado!!!na bado mtaongea yote pambaf zenyu 😂😂😂😂😂😂😂
@juliuswandwi3421
7 ай бұрын
Sasa ww hata kula Kwako ni shida utajulinganisha na Fei ww fala TU kwani ww unasaidia nn huko uliko?
@AzizaHussein-wq8ql
7 ай бұрын
@@yusuframadhan4744 🤔🤔🤔🤔🤔🤔 we msambaa wa wap
Huyu Yanga damn Ila bas Shetani nae yupo
@muksinimbaruku1233
7 ай бұрын
Kaa na yanga yako
@salimmalaka256
7 ай бұрын
HAYO MAMBO YA DAM NIWAKATI WA AKINA MZEE MPILI ALIPOKUWA KIJANA KWA SASA MPIRA NI KAZI UNACHEZA PENYE MALIPO MAZURI TU.
Sasa nyie mnaopenda kumsemea ya moyoni mwake ni wapuuzi sana kama mkiketa ujuaji kichapo kama kawa hakuna ubishi fei aombe asiombe msimsene vibaya mwacheni mtoto wa watu ajiachie